UINGEREZA: MWILI WA MZAMIAJI WAANGUKA NDEGE IKIWA ANGANI
> Mwili wa mwanaume anayedhaniwa kuzamia kisiri kwenye ndege ya Kenya Airways umeanguka katika bustani ya Clapham wakati ndege hiyo ikielekea kutua katika Uwanja wa ndege wa Heathrow jijini London juzi, Juni 30
> Mwili huo utafanyiwa uchunguzi kubaini kilichosababisha kifo
Soma - https://jamii.app/KifoMzamiajiNdege
> Mwili wa mwanaume anayedhaniwa kuzamia kisiri kwenye ndege ya Kenya Airways umeanguka katika bustani ya Clapham wakati ndege hiyo ikielekea kutua katika Uwanja wa ndege wa Heathrow jijini London juzi, Juni 30
> Mwili huo utafanyiwa uchunguzi kubaini kilichosababisha kifo
Soma - https://jamii.app/KifoMzamiajiNdege
MFANYABIASHARA RAPHAEL ONGANGI APATIKANA MOMBASA NCHINI KENYA
> Aliripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana wiki iliyopita Jijini Dar na amepatikana leo akiwa hai
> Raphael ni Mfanyabiashara mwenye asili ya Kenya, aliyesoma na kuamua kuishi nchini
Soma > https://jamii.app/OngangiApatikanaMombasa
> Aliripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana wiki iliyopita Jijini Dar na amepatikana leo akiwa hai
> Raphael ni Mfanyabiashara mwenye asili ya Kenya, aliyesoma na kuamua kuishi nchini
Soma > https://jamii.app/OngangiApatikanaMombasa
WANAOTAFSIRI FILAMU KUPIGWA FAINI YA TSH MILIONI 20 MPAKA 30
> Chama Cha Hakimiliki Tanzania kimesema watu wote wanaorudufu na kuuza kazi ambazo sio zao ziwe za Tanzania au nje ya nchi na za kutafsiri ni maharamia
> Adhabu hiyo inaweza kuongezeka mara 3 endapo mzigo uliokutwa eneo la biashara una thamani zaidi ya faini iliyowekwa
Soma - https://jamii.app/HaramuTafsiriFilamu
> Chama Cha Hakimiliki Tanzania kimesema watu wote wanaorudufu na kuuza kazi ambazo sio zao ziwe za Tanzania au nje ya nchi na za kutafsiri ni maharamia
> Adhabu hiyo inaweza kuongezeka mara 3 endapo mzigo uliokutwa eneo la biashara una thamani zaidi ya faini iliyowekwa
Soma - https://jamii.app/HaramuTafsiriFilamu
MICHEZO: LEICESTER CITY YAKATAA KUMUUZA HARRY MAGUIRE KWA MAN UTD
> Klabu hiyo imekataa kumuuza beki huyo kwenda Manchester United dau la Paundi Milioni 70
> Taarifa zinaeleza kuwa mmiliki wa Klabu hiyo Aiyawatt Shrivaddhanaprabha hana mpango wa kumuuza mchezaji huyo
Soma > https://jamii.app/MaguireHauzwi
> Klabu hiyo imekataa kumuuza beki huyo kwenda Manchester United dau la Paundi Milioni 70
> Taarifa zinaeleza kuwa mmiliki wa Klabu hiyo Aiyawatt Shrivaddhanaprabha hana mpango wa kumuuza mchezaji huyo
Soma > https://jamii.app/MaguireHauzwi
MUSIBA APEWA SIKU 7 KUWASILISHA MAJIBU KUHUSU MADAI YA MEMBE
> Mahakama Kuu Kanda ya Dar, imempa siku 7 mmiliki na wachapishaji wa gazeti la Tanzanite wawe wamewasilisha majibu dhidi ya madai ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe anayetaka kulipwa Tsh bilioni 10 kwa kuchafuliwa
Soma - https://jamii.app/MembeKesiMusiba
> Mahakama Kuu Kanda ya Dar, imempa siku 7 mmiliki na wachapishaji wa gazeti la Tanzanite wawe wamewasilisha majibu dhidi ya madai ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe anayetaka kulipwa Tsh bilioni 10 kwa kuchafuliwa
Soma - https://jamii.app/MembeKesiMusiba
RAIS KENYATTA AKERWA NA KAULI YA 'JAGUAR', AMTUMIA UJUMBE RAIS MAGUFULI
> Serikali yake imekerwa na matamshi ya Mbunge jimbo la Starehe, Charles Njagua 'Jaguar'
> Ujumbe huo umepokelewa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa niaba ya Rais
Soma => https://jamii.app/UjumbeKenyatta-Magufuli
> Serikali yake imekerwa na matamshi ya Mbunge jimbo la Starehe, Charles Njagua 'Jaguar'
> Ujumbe huo umepokelewa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa niaba ya Rais
Soma => https://jamii.app/UjumbeKenyatta-Magufuli
MKE WA MTAWALA WA DUBAI AKIMBILIA UINGEREZA NA KUOMBA HIFADHI YA UKIMBIZI
> Haya bint Hussein ambaye ni Mtoto wa aliyekuwa Mfalme wa Jordan, ametoroka nchini humo pamoja na Watoto wake wawili na kukimbilia nchini Uingereza akimtuhumu mumewe kumnyanyasa
Zaidi, soma => https://jamii.app/PrincessHaya-UK
> Haya bint Hussein ambaye ni Mtoto wa aliyekuwa Mfalme wa Jordan, ametoroka nchini humo pamoja na Watoto wake wawili na kukimbilia nchini Uingereza akimtuhumu mumewe kumnyanyasa
Zaidi, soma => https://jamii.app/PrincessHaya-UK
KENYA: MWANAHABARI ZA MTANDAONI ALIYETUHUMIWA KUSHIRIKIANA NA AL-SHABAAB AACHIWA KWA DHAMANA
> Robert Alai Onyango alishtakiwa kwa makosa mawili likiwemo la kuvujisha siri kwa nia ya kuwasaidia Wanamgambo wa Al-Shabaab na kuvuruga uchunguzi wa Polisi
Soma > https://jamii.app/AlaiAachiwaDhamana
> Robert Alai Onyango alishtakiwa kwa makosa mawili likiwemo la kuvujisha siri kwa nia ya kuwasaidia Wanamgambo wa Al-Shabaab na kuvuruga uchunguzi wa Polisi
Soma > https://jamii.app/AlaiAachiwaDhamana
URUSI: MVUA YASABABISHA MAFURIKO NA KUUA WATU 12
> Mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika jimbo la Irkutsk imesababisha vifo vya watu 12 huku wengine 9 wakiwa hawajulikana walipo baada ya makazi yao kukumbwa na maji
> Nyumba zaidi ya 3000 zimeathirika na mafuriko hayo
Soma - https://jamii.app/MvuaMaafaVifo
> Mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika jimbo la Irkutsk imesababisha vifo vya watu 12 huku wengine 9 wakiwa hawajulikana walipo baada ya makazi yao kukumbwa na maji
> Nyumba zaidi ya 3000 zimeathirika na mafuriko hayo
Soma - https://jamii.app/MvuaMaafaVifo
MATUMIZI YA ASALI KWENYE UREMBO WA NGOZI NA NYWELE
> Chukua asali mbichi kijiko 1 cha chakula na baking soda kijiko 1 na changanya mchanganyiko uwe mlaini kisha paka usoni huku ukisugua taratibu kwa kufanya kama viduara. Epuka kufikisha machoni halafu osha uso wako
> Asali inatibu nywele kavu zilizopauka, na kulainisha ngozi kavu ya kichwa na kutibu muwasho kichwani
> Changanya kijiko kikubwa cha asali na maji ya uvuguvugu kisha paka kichwani. Acha kwa muda wa saa 1 iwe kama 'conditioner ' kisha safisha nywele zako
Soma - https://jamii.app/AsaliNgoziNywele
> Chukua asali mbichi kijiko 1 cha chakula na baking soda kijiko 1 na changanya mchanganyiko uwe mlaini kisha paka usoni huku ukisugua taratibu kwa kufanya kama viduara. Epuka kufikisha machoni halafu osha uso wako
> Asali inatibu nywele kavu zilizopauka, na kulainisha ngozi kavu ya kichwa na kutibu muwasho kichwani
> Changanya kijiko kikubwa cha asali na maji ya uvuguvugu kisha paka kichwani. Acha kwa muda wa saa 1 iwe kama 'conditioner ' kisha safisha nywele zako
Soma - https://jamii.app/AsaliNgoziNywele
KISUMU, KENYA: NAIBU MKUU WA SHULE ASHIKILIWA KWA TUHUMA ZA KUMNAJISI MWANAFUNZI
> Mwalimu Dan Odhiambo Osok wa Shule ya Msingi Arombo ataendelea kukaa rumande hadi Julai 8 atakapopelekwa tena Mahakamani kwa tuhuma za kumnajisi Mwanafunzi wa Kike
Zaidi, soma => https://jamii.app/MwalimuAnajisi-Kisumu
> Mwalimu Dan Odhiambo Osok wa Shule ya Msingi Arombo ataendelea kukaa rumande hadi Julai 8 atakapopelekwa tena Mahakamani kwa tuhuma za kumnajisi Mwanafunzi wa Kike
Zaidi, soma => https://jamii.app/MwalimuAnajisi-Kisumu
MSICHANA WA KAZI ALIYEIBA MTOTO WA MWAKA 1 AKAMATWA
> Christina Claudia (23) anashikiliwa na Polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kuiba mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja Wilayani Kilosa na kukimbia naye Mkoani Tabora
> Alidanganya anaenda naye kufua nguo bombani ndipo alipopata upenyo na kutoroka
Soma - https://jamii.app/MbaroniWiziMtoto
> Christina Claudia (23) anashikiliwa na Polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kuiba mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja Wilayani Kilosa na kukimbia naye Mkoani Tabora
> Alidanganya anaenda naye kufua nguo bombani ndipo alipopata upenyo na kutoroka
Soma - https://jamii.app/MbaroniWiziMtoto
KESI YA JAMIIFORUMS: JAMHURI YAKOSA SHAHIDI, HAKIMU ASITA KUFUTA KESI
> Kesi iliyoahirishwa ni namba 458 inayowatuhumu Wakurugenzi wa JamiiForums kwa kuendesha mtandao huo bila kutumia Kikoa cha do.TZ pamoja na kuzuia upelelezi wa Polisi
Soma > https://jamii.app/KesiJF-Jamhuri
> Kesi iliyoahirishwa ni namba 458 inayowatuhumu Wakurugenzi wa JamiiForums kwa kuendesha mtandao huo bila kutumia Kikoa cha do.TZ pamoja na kuzuia upelelezi wa Polisi
Soma > https://jamii.app/KesiJF-Jamhuri
MICHEZO: Taarifa kutoka klabu ya mpira Simba imesema Ibrahim Ajibu amesaini kandarasi ya miaka miwili kuitumikia timu ya Simba akitokea timu ya Yanga ambako alimaliza mkataba Juni 30
> Kwenye msimu wa 2018/2019 alitoa jumla ya pasi za mabao 17 na kufunga mabao sita
#JFMichezo
> Kwenye msimu wa 2018/2019 alitoa jumla ya pasi za mabao 17 na kufunga mabao sita
#JFMichezo
KENYA: ALIYEKUWA AFISA WA IKULU AKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUTAKA KUMUUA MAKAMU WA RAIS
> Dennis Itumbi, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Kidijitali Ikulu anashikiliwa akihojiwa kuhusu njama za kumuua William Ruto
> Wapo Mawaziri wanaotuhumiwa kuhusika
Soma > https://jamii.app/ItumbiVsRuto
> Dennis Itumbi, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Kidijitali Ikulu anashikiliwa akihojiwa kuhusu njama za kumuua William Ruto
> Wapo Mawaziri wanaotuhumiwa kuhusika
Soma > https://jamii.app/ItumbiVsRuto
LIBYA: KAMBI YA WAHAMIAJI YASHAMBULIWA, ZAIDI YA 40 WAFARIKI
> Wahamiaji zaidi ya 40 wameuawa katika shambulio la angani dhidi ya kambi yao katika moja ya vitongoji vya mji wa Tripoli na watu wengine 70 wamejeruhiwa katika shambulio hilo
> Inaripotiwa idadi ya waliofariki inaweza kuongezeka kutokana watu wengi kufunikwa na kifusi
Soma - https://jamii.app/MigrantsCampAttack
#JFLeo
> Wahamiaji zaidi ya 40 wameuawa katika shambulio la angani dhidi ya kambi yao katika moja ya vitongoji vya mji wa Tripoli na watu wengine 70 wamejeruhiwa katika shambulio hilo
> Inaripotiwa idadi ya waliofariki inaweza kuongezeka kutokana watu wengi kufunikwa na kifusi
Soma - https://jamii.app/MigrantsCampAttack
#JFLeo
MARA: MWAMUZI AFARIKI UWANJANI MECHI IKIENDELEA
> Gugumiya Werema(30) amepoteza maisha ghafla wakati akichezesha mpira kati ya Nyakitono FC na Nyanungu FC Wilaya ya Serengeti
> Tukio hilo lilitokea jana muda mfupi baada ya mwamuzi huyo kupokea simu na ghafla kuishiwa nguvu na kuanguka
#JFMichezo
> Gugumiya Werema(30) amepoteza maisha ghafla wakati akichezesha mpira kati ya Nyakitono FC na Nyanungu FC Wilaya ya Serengeti
> Tukio hilo lilitokea jana muda mfupi baada ya mwamuzi huyo kupokea simu na ghafla kuishiwa nguvu na kuanguka
#JFMichezo
MITANDAO YA WHATSAPP, INSTAGRAM NA FACEBOOK YASUMBUA BAADHI YA MAENEO
> Watumiaji wa mitandao hiyo duniani wametoa malalamiko hasa kupitia mtandao wa Twitter kuhusu kupata shida katika kutuma ujumbe wa maandishi, kutuma na kupokea picha
> Hali inaonekana kuwa mbaya zaidi katika maeneo ya Ulaya, Brazil na Kaskazini mwa Marekani
Soma - https://jamii.app/WhatsupFBIGDown
#JFLeo
> Watumiaji wa mitandao hiyo duniani wametoa malalamiko hasa kupitia mtandao wa Twitter kuhusu kupata shida katika kutuma ujumbe wa maandishi, kutuma na kupokea picha
> Hali inaonekana kuwa mbaya zaidi katika maeneo ya Ulaya, Brazil na Kaskazini mwa Marekani
Soma - https://jamii.app/WhatsupFBIGDown
#JFLeo
NIGERIA: LORI LA MAFUTA LALIPUKA, WATU 35 WAPOTEZA MAISHA
> Watu 35 wamefariki na wengine 101 kujeruhiwa baada ya lori ya mafuta ya Petroli kulipuka katika kijiji cha Ahumbe
> Janga hilo lilitokea jana baada ya lori hilo kupoteza uelekeo na kuanguka na kisha kugongwa na basi aina ya Toyota na kusababisha milipuko 2
Soma - https://jamii.app/AjaliMlipukoLori
> Watu 35 wamefariki na wengine 101 kujeruhiwa baada ya lori ya mafuta ya Petroli kulipuka katika kijiji cha Ahumbe
> Janga hilo lilitokea jana baada ya lori hilo kupoteza uelekeo na kuanguka na kisha kugongwa na basi aina ya Toyota na kusababisha milipuko 2
Soma - https://jamii.app/AjaliMlipukoLori
RAIS KENYATTA KUFANYA ZIARA YA SIKU 2 NCHINI, ATAWASILI CHATO IJUMAA HII
> Rais wa Kenya anatarajiwa kufanya ziara binafsi nchini kwa mwaliko wa Rais Magufuli
> Atawasili katika Uwanja wa Ndege wa Chato Mkoani Geita Ijumaa wiki hii
Zaidi, soma => https://jamii.app/KenyattaChato
> Rais wa Kenya anatarajiwa kufanya ziara binafsi nchini kwa mwaliko wa Rais Magufuli
> Atawasili katika Uwanja wa Ndege wa Chato Mkoani Geita Ijumaa wiki hii
Zaidi, soma => https://jamii.app/KenyattaChato