UNASHAURIWA KUZINGATIA HAYA KATIKA KUCHAJI SIMU ILI KUTUNZA UBORA WA BETRI
> Usiache simu yako iishe chaji hadi 0% ndipo uichaji. Weka utaratibu wa kuchaji simu yako ikiwa kati ya asilimia 5 – 50%
> Kuacha simu yako kwenye umeme muda mrefu hasa pale ambapo imeshajaa huharibu ubora wa betri la simu yako hasa kuacha simu ikichaji usiku kucha
> Kama umenunua simu kwa bei ya juu, ni bora pia uhakikishe unatumia chaja zenye kiwango cha juu cha ubora
Soma - https://jamii.app/ChajiSimuBetri
#JFTeknolojia
> Usiache simu yako iishe chaji hadi 0% ndipo uichaji. Weka utaratibu wa kuchaji simu yako ikiwa kati ya asilimia 5 – 50%
> Kuacha simu yako kwenye umeme muda mrefu hasa pale ambapo imeshajaa huharibu ubora wa betri la simu yako hasa kuacha simu ikichaji usiku kucha
> Kama umenunua simu kwa bei ya juu, ni bora pia uhakikishe unatumia chaja zenye kiwango cha juu cha ubora
Soma - https://jamii.app/ChajiSimuBetri
#JFTeknolojia
KENYA: MTANZANIA AHUKUMIWA JELA MAISHA KWA KUHUSIKA NA UGAIDI
> Mahakama ya Kenya imemhukumu Rashid Mberesero na wenzake 2 baada ya kuwakuta na hatia ya kutekeleza shambulio la kigaidi mwaka 2015 katika Chuo Kikuu cha Garissa, Kenya na kusababisha vifo vya wanafunzi 148
> Walitekeleza shambulio hilo wakishirikiana na kundi la Al Shabaab
Soma - https://jamii.app/MtzJelaUgaidiGarisa
> Mahakama ya Kenya imemhukumu Rashid Mberesero na wenzake 2 baada ya kuwakuta na hatia ya kutekeleza shambulio la kigaidi mwaka 2015 katika Chuo Kikuu cha Garissa, Kenya na kusababisha vifo vya wanafunzi 148
> Walitekeleza shambulio hilo wakishirikiana na kundi la Al Shabaab
Soma - https://jamii.app/MtzJelaUgaidiGarisa
BEIJING, CHINA: UWANJA MKUBWA ZAIDI WA NDEGE KUFUNGULIWA
> Uwanja huo wenye mita za mraba milioni 1.4 unatarajiwa kuwa na uwezo wa kuhudumia wasafiri milioni 45 kwa mwaka ifikapo mwaka 2021 na kuhudumia watu milioni 75 ifikapo 2025
Zaidi, soma > https://jamii.app/BeijingDaxing
> Uwanja huo wenye mita za mraba milioni 1.4 unatarajiwa kuwa na uwezo wa kuhudumia wasafiri milioni 45 kwa mwaka ifikapo mwaka 2021 na kuhudumia watu milioni 75 ifikapo 2025
Zaidi, soma > https://jamii.app/BeijingDaxing
UN: SHAMBULIO LA WAHAMIAJI LIBYA LAWEZA KUWA NI UHALIFU WA KIVITA
> Afisa wa Umoja wa Mataifa amesema, shambulio lililofanywa dhidi ya kituo cha wahamiaji na kuua zaidi ya watu 44 linaweza kuwa ni uhalifu wa kivita
> Wengi wa waliouawa wanaaminiwa kuwa ni watu wa asili ya Kiafrika kutoka eneo la jangwa la Sahara ambao wamekuwa wakijaribu kuingia Ulaya kupitia Libya
Soma - https://jamii.app/UhalifuKivitaLibya
#JFLeo
> Afisa wa Umoja wa Mataifa amesema, shambulio lililofanywa dhidi ya kituo cha wahamiaji na kuua zaidi ya watu 44 linaweza kuwa ni uhalifu wa kivita
> Wengi wa waliouawa wanaaminiwa kuwa ni watu wa asili ya Kiafrika kutoka eneo la jangwa la Sahara ambao wamekuwa wakijaribu kuingia Ulaya kupitia Libya
Soma - https://jamii.app/UhalifuKivitaLibya
#JFLeo
TAKWIMU KIWANGO CHA UMASIKINI: MKOA WA RUKWA WAONGOZA
> Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema mikoa inayoongoza kwa wananchi wake kuwa masikini Tanzania bara kwa mwaka 2017/2018 ni mkoa wa Rukwa kwa 45%, Simiyu 39.2%, Geita 37.5%, Lindi 36% na Kigoma 34.5%
> Umasikini wa mahitaji ya msingi umepungua kutoka 28.2% mwaka 2011/12 hadi 26.4% mwaka 2017/18
Soma - https://jamii.app/HaliUmasikiniTz
#JFLeo
> Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema mikoa inayoongoza kwa wananchi wake kuwa masikini Tanzania bara kwa mwaka 2017/2018 ni mkoa wa Rukwa kwa 45%, Simiyu 39.2%, Geita 37.5%, Lindi 36% na Kigoma 34.5%
> Umasikini wa mahitaji ya msingi umepungua kutoka 28.2% mwaka 2011/12 hadi 26.4% mwaka 2017/18
Soma - https://jamii.app/HaliUmasikiniTz
#JFLeo
ENGLAND: FRANK LAMPARD KOCHA MPYA WA CHELSEA FC
> Frank Lampard ambaye ni miongoni mwa Wachezaji waliowahi kuichezea Klabu hiyo kwa mafanikio makubwa ametangazwa rasmi kuwa kocha mpya baada ya tetesi za muda mrefu
Zaidi, soma => https://jamii.app/Lampard-ChelseaFC
#JFLeo #JFSports
> Frank Lampard ambaye ni miongoni mwa Wachezaji waliowahi kuichezea Klabu hiyo kwa mafanikio makubwa ametangazwa rasmi kuwa kocha mpya baada ya tetesi za muda mrefu
Zaidi, soma => https://jamii.app/Lampard-ChelseaFC
#JFLeo #JFSports
VIONGOZI 3 WATUHUMIWA KUTAFUNA FEDHA ZA MAUZO YA DHAHABU
> M/kiti, Katibu na Meneja wa kikundi cha wachimbaji dhahabu cha Winima Group kilichopo katika mgodi wa Kitunda Wilayani Sikonge wako hatiani kukamatwa kwa tuhuma za kutafuna Tsh milioni 342 za mauzo ya kilo 1.549 za dhahabu
> Walikwenda kufanya mauzo ya dhahabu ikiwa ni mali ya wanakikundi lakini hawakukabidhi fedha za mauzo
Soma - https://jamii.app/HujumaMauzoDhahabu
> M/kiti, Katibu na Meneja wa kikundi cha wachimbaji dhahabu cha Winima Group kilichopo katika mgodi wa Kitunda Wilayani Sikonge wako hatiani kukamatwa kwa tuhuma za kutafuna Tsh milioni 342 za mauzo ya kilo 1.549 za dhahabu
> Walikwenda kufanya mauzo ya dhahabu ikiwa ni mali ya wanakikundi lakini hawakukabidhi fedha za mauzo
Soma - https://jamii.app/HujumaMauzoDhahabu
KISUTU, DAR: WEMA SEPETU AACHIWA NA KUKAMATWA TENA
> Msanii huyo wa filamu amezua kizaazaa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu alipokuwa akigoma kukamatwa tena na Askari wa Jeshi la Polisi
> Wema aliachiwa huru baada ya shahidi wa Jamhuri kutofika Mahakamani
Soma > https://jamii.app/WemaAkamtwaTena
> Msanii huyo wa filamu amezua kizaazaa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu alipokuwa akigoma kukamatwa tena na Askari wa Jeshi la Polisi
> Wema aliachiwa huru baada ya shahidi wa Jamhuri kutofika Mahakamani
Soma > https://jamii.app/WemaAkamtwaTena
KAMPUNI YA ACACIA YATAKA MAZUNGUMZO NA SERIKALI YA TANZANIA
> Acacia inatafuta suluhu ya mgogoro wa kodi uliopo baina yake na Tanzania
> Tanzania ilizuia shehena ya Makinikia hadi hapo Acacia itakapolipa deni la kodi la kiasi cha TSh. Trilioni 436
Soma > https://jamii.app/Acacia-Tanzania
> Acacia inatafuta suluhu ya mgogoro wa kodi uliopo baina yake na Tanzania
> Tanzania ilizuia shehena ya Makinikia hadi hapo Acacia itakapolipa deni la kodi la kiasi cha TSh. Trilioni 436
Soma > https://jamii.app/Acacia-Tanzania
NIGERIA: MWANAUME AFARIKI BAADA YA KUFANYA MAPENZI KWA MIZUNGUKO 7
> Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina moja tu la Davy amefariki wakati akiwa kwenye mashindano ya kufanya mapenzi na Mwanamke aitwaye Loveth
> Inaelezwa kuwa Davy aliimudu vyema mizunguko ya awali kabla ya kuzidiwa na kufariki akiwa kwenye mzunguko wa 7
Kusoma kisa hiki, fungus => https://jamii.app/AfarikiAkifanyaMapenzi
> Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina moja tu la Davy amefariki wakati akiwa kwenye mashindano ya kufanya mapenzi na Mwanamke aitwaye Loveth
> Inaelezwa kuwa Davy aliimudu vyema mizunguko ya awali kabla ya kuzidiwa na kufariki akiwa kwenye mzunguko wa 7
Kusoma kisa hiki, fungus => https://jamii.app/AfarikiAkifanyaMapenzi
JamiiForums
LAGOS, NIGERIA: Mwanaume afariki baada ya kufanya mapenzi kwa round 7
Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina moja tu la Davy amefariki wakati akiwa kwenye mashindano ya kufanya mapenzi na Mwanamke aitwaye Loveth
Baada ya mabishano ya muda mrefu baina ya wawili hao...
Baada ya mabishano ya muda mrefu baina ya wawili hao...
MUME AWACHOMA MOTO KWA PETROLI MAMA NA MTOTO
> Mkazi wa kijiji cha Mlazo, Wilaya ya Chamwino, Mkami Mbarahi(19) na mwanaye wenye umri wa miezi mitatu wamelazwa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma baada ya kujeruhiwa kwa moto na mumewe, kwenye maeneo mbalimbali ya mwili
> Tukio hilo lilitokea Juni 28 baada ya mume kumkuta mkewe akipika kwa kutumia kuni
Soma - https://jamii.app/MeAchomaKeMtoto
> Mkazi wa kijiji cha Mlazo, Wilaya ya Chamwino, Mkami Mbarahi(19) na mwanaye wenye umri wa miezi mitatu wamelazwa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma baada ya kujeruhiwa kwa moto na mumewe, kwenye maeneo mbalimbali ya mwili
> Tukio hilo lilitokea Juni 28 baada ya mume kumkuta mkewe akipika kwa kutumia kuni
Soma - https://jamii.app/MeAchomaKeMtoto
TANZIA: MAMA MKUU WA SHIRIKA LA KIFUNGILO PAMOJA NA DEREVA WAFARIKI KATIKA AJALI
> Waliofariki ni Sister Octavia pamoja na dereva wake Aminiel
> Ajali hiyo imetokea katika maeneo ya Wilaya ya Same, Kilimanjaro
Zaidi, soma => https://jamii.app/TanziaSisterKifungilo
> Waliofariki ni Sister Octavia pamoja na dereva wake Aminiel
> Ajali hiyo imetokea katika maeneo ya Wilaya ya Same, Kilimanjaro
Zaidi, soma => https://jamii.app/TanziaSisterKifungilo
FARU MWEUSI AFARIKI WAKATI AKISAFIRISHWA KUTOKA UINGEREZA KUJA TANZANIA
> Faru huyo alikuwa akisafirishwa kwa ushirikiano wa Grumeti na Serikali ya Tanzania kama sehemu ya mkakati wa kuongeza idadi ya Faru Weusi kwenye Hifadhi ya Serengeti
Soma > https://jamii.app/FaruUKTanzaia
> Faru huyo alikuwa akisafirishwa kwa ushirikiano wa Grumeti na Serikali ya Tanzania kama sehemu ya mkakati wa kuongeza idadi ya Faru Weusi kwenye Hifadhi ya Serengeti
Soma > https://jamii.app/FaruUKTanzaia
JamiiForums
Faru Mweusi aliyekuwa akisafirishwa kutoka Uingereza kuja Tanzania...
Faru dume aliyekuwa akisafirishwa kutoka hifadhi ya Port Lympne nchini Uingereza amefariki akiwa kwenye ndege wakati akisafirishwa kuja Tanzania
Taasisi ya Aspinall inayosimamia hifadhi ya Port...
Taasisi ya Aspinall inayosimamia hifadhi ya Port...
HISTORIA: FAHAMU KUHUSU ASILI YA KABILA LA WAKURYA
> Wakurya ni kabila la watu wanaoishi katika Wilaya ya Rorya, Tarime na Serengeti Kaskazini mwa Tanzania, na katika Wilaya za Magharibi na Mashariki mwa Mkoa wa Nyanza katika sehemu ya Kenya
> Shuguli zao kubwa ni Kilimo na Ufugaji, huku Wakurya wa Kenya wakiegemea sana kwenye kilimo na Tanzania wakiegemea sana kwenye ufugaji
> Wakurya hawapendi kutawaliwa wala kuonewa hivyo walikuwa na saiga lika ya vijana kwa ajili ya ulinzi na usalama hivyo utumwa haukuwaathiri sana
Fahamu zaidi - https://jamii.app/HistoriaKabilaWakurya
#JFHistoria
> Wakurya ni kabila la watu wanaoishi katika Wilaya ya Rorya, Tarime na Serengeti Kaskazini mwa Tanzania, na katika Wilaya za Magharibi na Mashariki mwa Mkoa wa Nyanza katika sehemu ya Kenya
> Shuguli zao kubwa ni Kilimo na Ufugaji, huku Wakurya wa Kenya wakiegemea sana kwenye kilimo na Tanzania wakiegemea sana kwenye ufugaji
> Wakurya hawapendi kutawaliwa wala kuonewa hivyo walikuwa na saiga lika ya vijana kwa ajili ya ulinzi na usalama hivyo utumwa haukuwaathiri sana
Fahamu zaidi - https://jamii.app/HistoriaKabilaWakurya
#JFHistoria
CHATO: RAIS MAGUFULI KUZINDUA HIFADHI YA BURIGI JULAI 9, 2019
> Hifadhi ya Taifa ya Burigi iliyopo Chato, Geita itazindulia siku ya Jumanne baada ya kupandishwa hadhi hivi karibuni
> Hifadhi hii ilikuwa ikijulikana kama Pori la Akiba la Burigi.
Soma > https://jamii.app/HifadhiBurigi
> Hifadhi ya Taifa ya Burigi iliyopo Chato, Geita itazindulia siku ya Jumanne baada ya kupandishwa hadhi hivi karibuni
> Hifadhi hii ilikuwa ikijulikana kama Pori la Akiba la Burigi.
Soma > https://jamii.app/HifadhiBurigi
MALI ZA MBOWE KUPIGWA MNADA, ADAIWA KUTOLIPA KODI
> Mali hizo ni zile zilizokuwa kwenye ukumbi wa disko wa Club Bilicanas uliokuwa unamilikiwa na Mbowe Limited
> Kampuni hiyo inadaiwa kodi ya shilingi bilioni 1.1. Mnada utafanyika Jumamosi wiki hii
Soma > https://jamii.app/MaliMbowe-Mnada
> Mali hizo ni zile zilizokuwa kwenye ukumbi wa disko wa Club Bilicanas uliokuwa unamilikiwa na Mbowe Limited
> Kampuni hiyo inadaiwa kodi ya shilingi bilioni 1.1. Mnada utafanyika Jumamosi wiki hii
Soma > https://jamii.app/MaliMbowe-Mnada
TUNISIA: TAKRIBANI WAKIMBIZI 82 WANAHOFIWA KUFARIKI BAADA YA BOTI WALIYOKUWA WAKISAFIRIA KUZAMA
> Boti hiyo imezama katika Pwani ya Tunisia na ilikuwa ikisafirisha Wakimbizi 86
> Manusura wanne wameeleza kuwa Boti hiyo ilizama katika eneo la Zarzis
Soma > https://jamii.app/WakimbiziWazama
> Boti hiyo imezama katika Pwani ya Tunisia na ilikuwa ikisafirisha Wakimbizi 86
> Manusura wanne wameeleza kuwa Boti hiyo ilizama katika eneo la Zarzis
Soma > https://jamii.app/WakimbiziWazama
WATANZANIA WAPEWA SIKU 3 KUONDOKA KWENYE KIJIJI MPAKANI MWA MSUMBIJI
> Serikali ya Tanzania na Msumbiji zimekubaliana kutoa siku tatu kwa wakazi wa kijiji cha Kitaya Wilaya ya Mtwara kuhamisha mali zao zilizopo katika kijiji cha Mtole nchini Msumbiji baada ya kutokea kwa mauaji ya Watanzania 10 waliopigwa risasi na watu wasiojulikana
Soma - https://jamii.app/UhamishoWatzMsumbiji
#JFLeo
> Serikali ya Tanzania na Msumbiji zimekubaliana kutoa siku tatu kwa wakazi wa kijiji cha Kitaya Wilaya ya Mtwara kuhamisha mali zao zilizopo katika kijiji cha Mtole nchini Msumbiji baada ya kutokea kwa mauaji ya Watanzania 10 waliopigwa risasi na watu wasiojulikana
Soma - https://jamii.app/UhamishoWatzMsumbiji
#JFLeo
MWALIMU ANUSURIKA KIFO AKITAKA KUJIUA KUTOKANA NA UGUMU WA MAISHA
> Mwalimu wa Shule ya Msingi Rung'abure Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Godfrey Tarimo (35) amenusurika kifo baada ya kujikata shingoni kwa chupa, huku ikidaiwa ni kwasababu ya ugumu wa maisha
> Hajapata athari yoyote katika mfumo wake wa upumuaji
Soma - https://jamii.app/KujiuaUgumuMaisha
> Mwalimu wa Shule ya Msingi Rung'abure Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Godfrey Tarimo (35) amenusurika kifo baada ya kujikata shingoni kwa chupa, huku ikidaiwa ni kwasababu ya ugumu wa maisha
> Hajapata athari yoyote katika mfumo wake wa upumuaji
Soma - https://jamii.app/KujiuaUgumuMaisha
DODOMA: WATATU WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUBAKA NA KULAWITI
> Jeshi la Polisi linawashikilia watu hao kwa makosa ya ulawiti na ubakaji wa watoto na wazee katika matukio tofauti
> Kati yao, yupo kijana(28) aliyemlawiti mama yake mzazi mwenye umri wa miaka 56
Soma - https://jamii.app/KijanaAlawitiMama
> Jeshi la Polisi linawashikilia watu hao kwa makosa ya ulawiti na ubakaji wa watoto na wazee katika matukio tofauti
> Kati yao, yupo kijana(28) aliyemlawiti mama yake mzazi mwenye umri wa miaka 56
Soma - https://jamii.app/KijanaAlawitiMama