#AFCON2019: Timu ya Taifa ya #Tanzania ‘#TaifaStars’ imefungwa goli 2-0 na timu ya Taifa ya #Algeria katika mchezo wa kumalizia hatua ya makundi unaoendelea nchini Misri
- Aidha, mchezo kati ya timu ya Taifa ya #Kenya ‘#HarambeeStars’ na #Senegal unaendelea wakiwa bado 0-0
#JFLeo
- Aidha, mchezo kati ya timu ya Taifa ya #Kenya ‘#HarambeeStars’ na #Senegal unaendelea wakiwa bado 0-0
#JFLeo
#AFCON2019: Timu ya Taifa ya #Tanzania ‘#TaifaStars’ imefungwa goli 3-0 na timu ya Taifa ya #Algeria katika mchezo wa kumalizia hatua ya makundi uliopo mapumziko sasa
- Aidha, mchezo kati ya #Kenya ‘#HarambeeStars’ na #Senegal umeenda mapumziko pia wakiwa bado 0-0
#JFLeo
- Aidha, mchezo kati ya #Kenya ‘#HarambeeStars’ na #Senegal umeenda mapumziko pia wakiwa bado 0-0
#JFLeo
#AFCON2019: Timu ya Taifa ya #Kenya ‘#HarambeeStars’ imefungwa goli 3-0 na timu ya Taifa ya #Senagal katika mchezo wa kumalizia hatua ya makundi unaoendelea hivi sasa
- Katika mchezo mwingine Timu ya Taifa ya #Tanzania '#TaifaStars nayo iko nyuma kwa mabao 3 kwa 0 dhidi ya Algeria
#JFLeo
- Katika mchezo mwingine Timu ya Taifa ya #Tanzania '#TaifaStars nayo iko nyuma kwa mabao 3 kwa 0 dhidi ya Algeria
#JFLeo
#AFCON2019: Michezo miwili iliyozihusisha timu kutoka Afrika Mashariki imemalizika kwa timu ya Taifa ya #Kenya ‘#HarambeeStars’ na timu ya Taifa ya #Tanzania '#TaifaStars’ zote mbili kufungwa mabao 3-0 kila moja
- Tanzania ilikuwa akicheza na Algeria huku Kenya ikicheza dhidi ya Senegal
#JFLeo
- Tanzania ilikuwa akicheza na Algeria huku Kenya ikicheza dhidi ya Senegal
#JFLeo
URUSI: KIONGOZI WA UPINZANI AFUNGWA JELA SIKU 10 KWA KUANDAMANA
> Alexei Navalny alishiriki maandamano ya kupinga kukamatwa kwa Mwanahabari, Ivan Golunov
> Golunov alikamatwa kwa tuhuma za #DawaZaKulevya tuhuma zilizofutwa siku 2 baadaye kwa kukosa ushahidi
Soma > https://jamii.app/NavalnyAfungwa
> Alexei Navalny alishiriki maandamano ya kupinga kukamatwa kwa Mwanahabari, Ivan Golunov
> Golunov alikamatwa kwa tuhuma za #DawaZaKulevya tuhuma zilizofutwa siku 2 baadaye kwa kukosa ushahidi
Soma > https://jamii.app/NavalnyAfungwa
MAREKANI: Watu 10 wamepoteza maisha katika jimbo la Texas baada ya kutokea kwa ajali ya ndege katika eneo la Addison kwenye kiwanja cha ndege
-
Pindi ikiruka, ndege hiyo ilipoteza muelekeo na hatimaye kujibamiza na kuwaka moto na mpaka sasa mamlaka hazijatoa sababu ya ajali hiyo
-
Kati ya waliofariki, watu 4 ni ndugu wa familia moja
-
Pindi ikiruka, ndege hiyo ilipoteza muelekeo na hatimaye kujibamiza na kuwaka moto na mpaka sasa mamlaka hazijatoa sababu ya ajali hiyo
-
Kati ya waliofariki, watu 4 ni ndugu wa familia moja
Je, unaifahamu Dawa ya usingizi inayotumiwa na wezi kuwapulizia watu kabla ya kuiba?
> Kwa muda mrefu kumekithiri vitendo vya uhalifu unaohusisha wezi kuingia kwenye nyumba za watu nyakati za usiku na kuwapulizia dawa ya usingizi na kisha kuchukua chochote wanachokitaka ndani ya nyumba
> Baadhi ya watu wamekuwa wakihusisha aina hiyo ya uhalifu na ushirikina lakini ukweli ni kwamba ipo dawa mojawapo ya usingizi ambayo hutumiwa na wezi wengi kutekeleza uhalifu huo. Dawa hiyo kitaalamu inaitwa CHLOROFORM
Soma uchambuzi wa kina kuhusu dawa hii hatari => https://jamii.app/ElimuChroloformJF
> Kwa muda mrefu kumekithiri vitendo vya uhalifu unaohusisha wezi kuingia kwenye nyumba za watu nyakati za usiku na kuwapulizia dawa ya usingizi na kisha kuchukua chochote wanachokitaka ndani ya nyumba
> Baadhi ya watu wamekuwa wakihusisha aina hiyo ya uhalifu na ushirikina lakini ukweli ni kwamba ipo dawa mojawapo ya usingizi ambayo hutumiwa na wezi wengi kutekeleza uhalifu huo. Dawa hiyo kitaalamu inaitwa CHLOROFORM
Soma uchambuzi wa kina kuhusu dawa hii hatari => https://jamii.app/ElimuChroloformJF
INDIA: WATU 16 WAMEKAMATWA KWA KUMCHAPA AFISA MISITU
> Wanaume 16 wamekamatwa baada ya umati wa watu kumpiga vibaya kwa fito Afisa mwanamke wa misitu wakati maafisa wa Polisi wakitazama katika jimbo la Kusini, Telangana
> Umati huo ulikuwa ukilalamika kuhusu kampeni ya upandaji wa miti iliyoidhinishwa Jumapili
Soma https://jamii.app/KipigoAfisaMisitu
#JFLeo
> Wanaume 16 wamekamatwa baada ya umati wa watu kumpiga vibaya kwa fito Afisa mwanamke wa misitu wakati maafisa wa Polisi wakitazama katika jimbo la Kusini, Telangana
> Umati huo ulikuwa ukilalamika kuhusu kampeni ya upandaji wa miti iliyoidhinishwa Jumapili
Soma https://jamii.app/KipigoAfisaMisitu
#JFLeo
INDIA: WATU 13 WAFARIKI BAADA YA UKUTA WA MPAKA KUANGUKA
> Takribani watu 13 wamefariki na wengine 4 kujeruhiwa baada ya ukuta wa mpaka kuporomoka mjini Mumbai asubuhi ya leo kutokana na mvua kubwa kunyesha siku chache zilizopita
> Ukuta mwingine uliporomoka Jumamosi na watu wasiopungua 15 walifariki huko Kondhwa mjini Pune
Soma - https://jamii.app/VifoAngukoUkuta
> Takribani watu 13 wamefariki na wengine 4 kujeruhiwa baada ya ukuta wa mpaka kuporomoka mjini Mumbai asubuhi ya leo kutokana na mvua kubwa kunyesha siku chache zilizopita
> Ukuta mwingine uliporomoka Jumamosi na watu wasiopungua 15 walifariki huko Kondhwa mjini Pune
Soma - https://jamii.app/VifoAngukoUkuta
HALMASHAURI KUU YA CCM YAMVUA UJUMBE WA KAMATI KUU 'KEISHA'
> Khadija Shabani Taya maarufu ‘Keisha’ ameondolewa ndani ya Kamati Kuu ya chama hicho baada ya kuitumikia kwa siku 396
> Taarifa zisizo rasmi zinadai Keisha anatuhumiwa kuvujisha siri za CCM
Soma > https://jamii.app/KeishaAtenguliwaCCM
> Khadija Shabani Taya maarufu ‘Keisha’ ameondolewa ndani ya Kamati Kuu ya chama hicho baada ya kuitumikia kwa siku 396
> Taarifa zisizo rasmi zinadai Keisha anatuhumiwa kuvujisha siri za CCM
Soma > https://jamii.app/KeishaAtenguliwaCCM
UINGEREZA: MWILI WA MZAMIAJI WAANGUKA NDEGE IKIWA ANGANI
> Mwili wa mwanaume anayedhaniwa kuzamia kisiri kwenye ndege ya Kenya Airways umeanguka katika bustani ya Clapham wakati ndege hiyo ikielekea kutua katika Uwanja wa ndege wa Heathrow jijini London juzi, Juni 30
> Mwili huo utafanyiwa uchunguzi kubaini kilichosababisha kifo
Soma - https://jamii.app/KifoMzamiajiNdege
> Mwili wa mwanaume anayedhaniwa kuzamia kisiri kwenye ndege ya Kenya Airways umeanguka katika bustani ya Clapham wakati ndege hiyo ikielekea kutua katika Uwanja wa ndege wa Heathrow jijini London juzi, Juni 30
> Mwili huo utafanyiwa uchunguzi kubaini kilichosababisha kifo
Soma - https://jamii.app/KifoMzamiajiNdege
MFANYABIASHARA RAPHAEL ONGANGI APATIKANA MOMBASA NCHINI KENYA
> Aliripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana wiki iliyopita Jijini Dar na amepatikana leo akiwa hai
> Raphael ni Mfanyabiashara mwenye asili ya Kenya, aliyesoma na kuamua kuishi nchini
Soma > https://jamii.app/OngangiApatikanaMombasa
> Aliripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana wiki iliyopita Jijini Dar na amepatikana leo akiwa hai
> Raphael ni Mfanyabiashara mwenye asili ya Kenya, aliyesoma na kuamua kuishi nchini
Soma > https://jamii.app/OngangiApatikanaMombasa
WANAOTAFSIRI FILAMU KUPIGWA FAINI YA TSH MILIONI 20 MPAKA 30
> Chama Cha Hakimiliki Tanzania kimesema watu wote wanaorudufu na kuuza kazi ambazo sio zao ziwe za Tanzania au nje ya nchi na za kutafsiri ni maharamia
> Adhabu hiyo inaweza kuongezeka mara 3 endapo mzigo uliokutwa eneo la biashara una thamani zaidi ya faini iliyowekwa
Soma - https://jamii.app/HaramuTafsiriFilamu
> Chama Cha Hakimiliki Tanzania kimesema watu wote wanaorudufu na kuuza kazi ambazo sio zao ziwe za Tanzania au nje ya nchi na za kutafsiri ni maharamia
> Adhabu hiyo inaweza kuongezeka mara 3 endapo mzigo uliokutwa eneo la biashara una thamani zaidi ya faini iliyowekwa
Soma - https://jamii.app/HaramuTafsiriFilamu
MICHEZO: LEICESTER CITY YAKATAA KUMUUZA HARRY MAGUIRE KWA MAN UTD
> Klabu hiyo imekataa kumuuza beki huyo kwenda Manchester United dau la Paundi Milioni 70
> Taarifa zinaeleza kuwa mmiliki wa Klabu hiyo Aiyawatt Shrivaddhanaprabha hana mpango wa kumuuza mchezaji huyo
Soma > https://jamii.app/MaguireHauzwi
> Klabu hiyo imekataa kumuuza beki huyo kwenda Manchester United dau la Paundi Milioni 70
> Taarifa zinaeleza kuwa mmiliki wa Klabu hiyo Aiyawatt Shrivaddhanaprabha hana mpango wa kumuuza mchezaji huyo
Soma > https://jamii.app/MaguireHauzwi
MUSIBA APEWA SIKU 7 KUWASILISHA MAJIBU KUHUSU MADAI YA MEMBE
> Mahakama Kuu Kanda ya Dar, imempa siku 7 mmiliki na wachapishaji wa gazeti la Tanzanite wawe wamewasilisha majibu dhidi ya madai ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe anayetaka kulipwa Tsh bilioni 10 kwa kuchafuliwa
Soma - https://jamii.app/MembeKesiMusiba
> Mahakama Kuu Kanda ya Dar, imempa siku 7 mmiliki na wachapishaji wa gazeti la Tanzanite wawe wamewasilisha majibu dhidi ya madai ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe anayetaka kulipwa Tsh bilioni 10 kwa kuchafuliwa
Soma - https://jamii.app/MembeKesiMusiba
RAIS KENYATTA AKERWA NA KAULI YA 'JAGUAR', AMTUMIA UJUMBE RAIS MAGUFULI
> Serikali yake imekerwa na matamshi ya Mbunge jimbo la Starehe, Charles Njagua 'Jaguar'
> Ujumbe huo umepokelewa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa niaba ya Rais
Soma => https://jamii.app/UjumbeKenyatta-Magufuli
> Serikali yake imekerwa na matamshi ya Mbunge jimbo la Starehe, Charles Njagua 'Jaguar'
> Ujumbe huo umepokelewa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa niaba ya Rais
Soma => https://jamii.app/UjumbeKenyatta-Magufuli