TANGA: KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AGOMA KUZINDUA MRADI WA DARAJA
> Mkongea Ally amegoma kuzindua mradi wa Daraja la Mfuto lililopo eneo la Bwawani, Wilayani Handeni, kutokana na ujenzi wake kutozingatia ushauri wa kitaalamu
> Ametoa wiki mbili kwa Mhandisi wa Wilaya kuhakikisha anafanya upya vipimo vya mradi ili kujiridhisha na ubora malighafi zilizotumika
Soma - https://jamii.app/MgomoMradiMwenge
> Mkongea Ally amegoma kuzindua mradi wa Daraja la Mfuto lililopo eneo la Bwawani, Wilayani Handeni, kutokana na ujenzi wake kutozingatia ushauri wa kitaalamu
> Ametoa wiki mbili kwa Mhandisi wa Wilaya kuhakikisha anafanya upya vipimo vya mradi ili kujiridhisha na ubora malighafi zilizotumika
Soma - https://jamii.app/MgomoMradiMwenge
JAPAN YAWEKA VIKWAZO UUZAJI WA VIFAA VYAKE VYA TEKNOLOJIA, KOREA KUSINI
> Wizara ya Uchumi, Biashara na Viwanda ya Japan imesema kuanzia Julai 04, 2019 kampuni za Japan zitahitajika kuomba kibali cha binafsi ili kuuza vifaa vya kiteknolojia vikiwemo vya kutengenezea simu za mkononi
> Uamuzi huo umeifanya Korea Kusini kuwasilisha waraka wa malalamiko kwa Shirika la Kibiashara Duniani
Soma - https://jamii.app/JapanDeniesTechSK
#JFLeo
> Wizara ya Uchumi, Biashara na Viwanda ya Japan imesema kuanzia Julai 04, 2019 kampuni za Japan zitahitajika kuomba kibali cha binafsi ili kuuza vifaa vya kiteknolojia vikiwemo vya kutengenezea simu za mkononi
> Uamuzi huo umeifanya Korea Kusini kuwasilisha waraka wa malalamiko kwa Shirika la Kibiashara Duniani
Soma - https://jamii.app/JapanDeniesTechSK
#JFLeo
CHALINZE, PWANI: WATU WAWILI WAUAWA KATIKA MATUKIO TOFAUTI
> Damian Kimiti(70) ameuawa kwa kupigwa shoka na kuporwa simu 3 aina ya tecno, solar paneli, shuka na baiskeli
> Ngurai Waziri(33) mfugaji huko Msolwa kijiji cha Lukenge ameuawa kwa kukatwa kwa visu akidaiwa kuwa mwizi wa mifugo
Soma https://jamii.app/Mauaji2Chalinze
#JFLeo
> Damian Kimiti(70) ameuawa kwa kupigwa shoka na kuporwa simu 3 aina ya tecno, solar paneli, shuka na baiskeli
> Ngurai Waziri(33) mfugaji huko Msolwa kijiji cha Lukenge ameuawa kwa kukatwa kwa visu akidaiwa kuwa mwizi wa mifugo
Soma https://jamii.app/Mauaji2Chalinze
#JFLeo
MAHUSIANO: Kuishi na Wanaume walevi wa Pombe, Sigara au Bangi kunadaiwa kuwa kero kwa Wanawake wengi hasa ambao wameolewa
- Nini kinachoweza kusaidia Wanaume hao kuacha ulevi huo?
Kutana na mjadala wa wahanga wa tatizo hilo hapa => https://jamii.app/WanaumeUlevi
- Nini kinachoweza kusaidia Wanaume hao kuacha ulevi huo?
Kutana na mjadala wa wahanga wa tatizo hilo hapa => https://jamii.app/WanaumeUlevi
SRI LANKA YAKATAA WITO WA UN KUTAKA ISITEKELEZE ADHABU YA KIFO
-
Rais Maithiripala Sirisena amekataa wito wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres wa kuangazia upya shinikizo lake la kurejesha upya adhabu ya kifo nchini humo baada ya miaka 43
-
Rais Sirisena amesema, amemueleza Katibu Mkuu huyo katika mazungumzo yao kupitia simu kwamba anataka kuinusuru nchi yake na tatizo la #DawaZaKulevya
-
Rais Maithiripala Sirisena amekataa wito wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres wa kuangazia upya shinikizo lake la kurejesha upya adhabu ya kifo nchini humo baada ya miaka 43
-
Rais Sirisena amesema, amemueleza Katibu Mkuu huyo katika mazungumzo yao kupitia simu kwamba anataka kuinusuru nchi yake na tatizo la #DawaZaKulevya
RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA KYELA
> Uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Bi. Lucy Mganga umetenguliwa kwa utendaji usioridhisha
> Mkurugenzi mpya wa Halmashauri hiyo atateuliwa hapo baadaye
Zaidi, soma => https://jamii.app/UtenguziDEDKyela
> Uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Bi. Lucy Mganga umetenguliwa kwa utendaji usioridhisha
> Mkurugenzi mpya wa Halmashauri hiyo atateuliwa hapo baadaye
Zaidi, soma => https://jamii.app/UtenguziDEDKyela
#AFCON2019: Timu ya Taifa ya #Tanzania ‘#TaifaStars’ imefungwa goli 2-0 na timu ya Taifa ya #Algeria katika mchezo wa kumalizia hatua ya makundi unaoendelea nchini Misri
- Aidha, mchezo kati ya timu ya Taifa ya #Kenya ‘#HarambeeStars’ na #Senegal unaendelea wakiwa bado 0-0
#JFLeo
- Aidha, mchezo kati ya timu ya Taifa ya #Kenya ‘#HarambeeStars’ na #Senegal unaendelea wakiwa bado 0-0
#JFLeo
#AFCON2019: Timu ya Taifa ya #Tanzania ‘#TaifaStars’ imefungwa goli 3-0 na timu ya Taifa ya #Algeria katika mchezo wa kumalizia hatua ya makundi uliopo mapumziko sasa
- Aidha, mchezo kati ya #Kenya ‘#HarambeeStars’ na #Senegal umeenda mapumziko pia wakiwa bado 0-0
#JFLeo
- Aidha, mchezo kati ya #Kenya ‘#HarambeeStars’ na #Senegal umeenda mapumziko pia wakiwa bado 0-0
#JFLeo
#AFCON2019: Timu ya Taifa ya #Kenya ‘#HarambeeStars’ imefungwa goli 3-0 na timu ya Taifa ya #Senagal katika mchezo wa kumalizia hatua ya makundi unaoendelea hivi sasa
- Katika mchezo mwingine Timu ya Taifa ya #Tanzania '#TaifaStars nayo iko nyuma kwa mabao 3 kwa 0 dhidi ya Algeria
#JFLeo
- Katika mchezo mwingine Timu ya Taifa ya #Tanzania '#TaifaStars nayo iko nyuma kwa mabao 3 kwa 0 dhidi ya Algeria
#JFLeo
#AFCON2019: Michezo miwili iliyozihusisha timu kutoka Afrika Mashariki imemalizika kwa timu ya Taifa ya #Kenya ‘#HarambeeStars’ na timu ya Taifa ya #Tanzania '#TaifaStars’ zote mbili kufungwa mabao 3-0 kila moja
- Tanzania ilikuwa akicheza na Algeria huku Kenya ikicheza dhidi ya Senegal
#JFLeo
- Tanzania ilikuwa akicheza na Algeria huku Kenya ikicheza dhidi ya Senegal
#JFLeo
URUSI: KIONGOZI WA UPINZANI AFUNGWA JELA SIKU 10 KWA KUANDAMANA
> Alexei Navalny alishiriki maandamano ya kupinga kukamatwa kwa Mwanahabari, Ivan Golunov
> Golunov alikamatwa kwa tuhuma za #DawaZaKulevya tuhuma zilizofutwa siku 2 baadaye kwa kukosa ushahidi
Soma > https://jamii.app/NavalnyAfungwa
> Alexei Navalny alishiriki maandamano ya kupinga kukamatwa kwa Mwanahabari, Ivan Golunov
> Golunov alikamatwa kwa tuhuma za #DawaZaKulevya tuhuma zilizofutwa siku 2 baadaye kwa kukosa ushahidi
Soma > https://jamii.app/NavalnyAfungwa
MAREKANI: Watu 10 wamepoteza maisha katika jimbo la Texas baada ya kutokea kwa ajali ya ndege katika eneo la Addison kwenye kiwanja cha ndege
-
Pindi ikiruka, ndege hiyo ilipoteza muelekeo na hatimaye kujibamiza na kuwaka moto na mpaka sasa mamlaka hazijatoa sababu ya ajali hiyo
-
Kati ya waliofariki, watu 4 ni ndugu wa familia moja
-
Pindi ikiruka, ndege hiyo ilipoteza muelekeo na hatimaye kujibamiza na kuwaka moto na mpaka sasa mamlaka hazijatoa sababu ya ajali hiyo
-
Kati ya waliofariki, watu 4 ni ndugu wa familia moja
Je, unaifahamu Dawa ya usingizi inayotumiwa na wezi kuwapulizia watu kabla ya kuiba?
> Kwa muda mrefu kumekithiri vitendo vya uhalifu unaohusisha wezi kuingia kwenye nyumba za watu nyakati za usiku na kuwapulizia dawa ya usingizi na kisha kuchukua chochote wanachokitaka ndani ya nyumba
> Baadhi ya watu wamekuwa wakihusisha aina hiyo ya uhalifu na ushirikina lakini ukweli ni kwamba ipo dawa mojawapo ya usingizi ambayo hutumiwa na wezi wengi kutekeleza uhalifu huo. Dawa hiyo kitaalamu inaitwa CHLOROFORM
Soma uchambuzi wa kina kuhusu dawa hii hatari => https://jamii.app/ElimuChroloformJF
> Kwa muda mrefu kumekithiri vitendo vya uhalifu unaohusisha wezi kuingia kwenye nyumba za watu nyakati za usiku na kuwapulizia dawa ya usingizi na kisha kuchukua chochote wanachokitaka ndani ya nyumba
> Baadhi ya watu wamekuwa wakihusisha aina hiyo ya uhalifu na ushirikina lakini ukweli ni kwamba ipo dawa mojawapo ya usingizi ambayo hutumiwa na wezi wengi kutekeleza uhalifu huo. Dawa hiyo kitaalamu inaitwa CHLOROFORM
Soma uchambuzi wa kina kuhusu dawa hii hatari => https://jamii.app/ElimuChroloformJF
INDIA: WATU 16 WAMEKAMATWA KWA KUMCHAPA AFISA MISITU
> Wanaume 16 wamekamatwa baada ya umati wa watu kumpiga vibaya kwa fito Afisa mwanamke wa misitu wakati maafisa wa Polisi wakitazama katika jimbo la Kusini, Telangana
> Umati huo ulikuwa ukilalamika kuhusu kampeni ya upandaji wa miti iliyoidhinishwa Jumapili
Soma https://jamii.app/KipigoAfisaMisitu
#JFLeo
> Wanaume 16 wamekamatwa baada ya umati wa watu kumpiga vibaya kwa fito Afisa mwanamke wa misitu wakati maafisa wa Polisi wakitazama katika jimbo la Kusini, Telangana
> Umati huo ulikuwa ukilalamika kuhusu kampeni ya upandaji wa miti iliyoidhinishwa Jumapili
Soma https://jamii.app/KipigoAfisaMisitu
#JFLeo
INDIA: WATU 13 WAFARIKI BAADA YA UKUTA WA MPAKA KUANGUKA
> Takribani watu 13 wamefariki na wengine 4 kujeruhiwa baada ya ukuta wa mpaka kuporomoka mjini Mumbai asubuhi ya leo kutokana na mvua kubwa kunyesha siku chache zilizopita
> Ukuta mwingine uliporomoka Jumamosi na watu wasiopungua 15 walifariki huko Kondhwa mjini Pune
Soma - https://jamii.app/VifoAngukoUkuta
> Takribani watu 13 wamefariki na wengine 4 kujeruhiwa baada ya ukuta wa mpaka kuporomoka mjini Mumbai asubuhi ya leo kutokana na mvua kubwa kunyesha siku chache zilizopita
> Ukuta mwingine uliporomoka Jumamosi na watu wasiopungua 15 walifariki huko Kondhwa mjini Pune
Soma - https://jamii.app/VifoAngukoUkuta
HALMASHAURI KUU YA CCM YAMVUA UJUMBE WA KAMATI KUU 'KEISHA'
> Khadija Shabani Taya maarufu ‘Keisha’ ameondolewa ndani ya Kamati Kuu ya chama hicho baada ya kuitumikia kwa siku 396
> Taarifa zisizo rasmi zinadai Keisha anatuhumiwa kuvujisha siri za CCM
Soma > https://jamii.app/KeishaAtenguliwaCCM
> Khadija Shabani Taya maarufu ‘Keisha’ ameondolewa ndani ya Kamati Kuu ya chama hicho baada ya kuitumikia kwa siku 396
> Taarifa zisizo rasmi zinadai Keisha anatuhumiwa kuvujisha siri za CCM
Soma > https://jamii.app/KeishaAtenguliwaCCM