HAI: DIWANI ADAIWA KUBAKA NA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI
> Diwani wa Kata ya Masama Mashariki Mkoani Kilimanjaro, John Munisi(38), amefikishwa Mahakamani akidaiwa kumbaka na kumpa mimba mwanafunzi(17) kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Marire
> Alikana mashtaka na yupo nje kwa dhamana baada ya kukidhi masharti
Soma - https://jamii.app/DiwaniUbakajiMimba
> Diwani wa Kata ya Masama Mashariki Mkoani Kilimanjaro, John Munisi(38), amefikishwa Mahakamani akidaiwa kumbaka na kumpa mimba mwanafunzi(17) kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Marire
> Alikana mashtaka na yupo nje kwa dhamana baada ya kukidhi masharti
Soma - https://jamii.app/DiwaniUbakajiMimba
JAGUAR AFIKISHWA MAHAKAMANI, ANYIMWA DHAMANA
- Mbunge wa Starehe, Charles Njagua maarufu Jaguar amekosa dhamana huku Hakimu akisema atatoa hukumu Ijumaa
- Aidha, simu yake ya mkononi inashikiliwa na Wapelelezi ila bado haijafanyiwa uchunguzi
Zaidi, soma https://jamii.app/JaguarMahakamaniUchochezi
- Mbunge wa Starehe, Charles Njagua maarufu Jaguar amekosa dhamana huku Hakimu akisema atatoa hukumu Ijumaa
- Aidha, simu yake ya mkononi inashikiliwa na Wapelelezi ila bado haijafanyiwa uchunguzi
Zaidi, soma https://jamii.app/JaguarMahakamaniUchochezi
NGARA: WANAFAMILIA WAFARIKI BAADA YA NYUMBA KUTEKETEA KWA MOTO
> Ajali hiyo ilitokea jana na waliofariki ni Abubakary Ramadhan Sudi(41) ambaye ni Baba, Zamrat Abubakary(4), Maryam Abubakari(7) na Suzy Abubakari
(36) ambaye ni mama na alifariki akiwa anapewa matibabu hospitalini
Soma - https://jamii.app/FamiliaKifoMoto
#JFLeo
> Ajali hiyo ilitokea jana na waliofariki ni Abubakary Ramadhan Sudi(41) ambaye ni Baba, Zamrat Abubakary(4), Maryam Abubakari(7) na Suzy Abubakari
(36) ambaye ni mama na alifariki akiwa anapewa matibabu hospitalini
Soma - https://jamii.app/FamiliaKifoMoto
#JFLeo
TATIZO JINGINE LAGUNDULIKA KATIKA NDEGE ZA BOEING 737 MAX
- Wakaguzi wa Marekani wamegundua tatizo linaloweza kuchelewesha ndege hiyo kurudi kutoa huduma
- Bila kutaja tatizo wamesema wakati wa majaribio wamegundua "inayowezekana kuwa hatari"
Zaidi, soma https://jamii.app/TatizoJipyaBoeingMax
- Wakaguzi wa Marekani wamegundua tatizo linaloweza kuchelewesha ndege hiyo kurudi kutoa huduma
- Bila kutaja tatizo wamesema wakati wa majaribio wamegundua "inayowezekana kuwa hatari"
Zaidi, soma https://jamii.app/TatizoJipyaBoeingMax
NGARA, KAGERA: WALIOKUWA WAKISAFIRISHA MITIHANI WAFARIKI AJALINI
- Ni Watu 2 akiwemo Askari wa JWTZ waliokuwa wakisafirisha mitihani ya majaribio ya kidato cha 4
- Gari walimokuwemo lilipinduka katika mteremko mkali ulioko barabara ya Kumnazi
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliWawiliWafariki-KumnaziKGR
- Ni Watu 2 akiwemo Askari wa JWTZ waliokuwa wakisafirisha mitihani ya majaribio ya kidato cha 4
- Gari walimokuwemo lilipinduka katika mteremko mkali ulioko barabara ya Kumnazi
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliWawiliWafariki-KumnaziKGR
MAUAJI AFISA WA JESHI ETHIOPIA: WATU 39 MBARONI WAKIHUSISHWA
> Polisi nchini Ethiopia wamewakamata watu 39 kutoka chama cha Impala kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya maafisa watano wa Jeshi katika jaribio la kuipindua Serikali katika jimbo la Amhara
> Kati ya waliofariki yupo Mkuu wa majeshi na aliyekuwa Gavana wa jimbo la Amhara
Soma - https://jamii.app/Revolution39Arrested
> Polisi nchini Ethiopia wamewakamata watu 39 kutoka chama cha Impala kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya maafisa watano wa Jeshi katika jaribio la kuipindua Serikali katika jimbo la Amhara
> Kati ya waliofariki yupo Mkuu wa majeshi na aliyekuwa Gavana wa jimbo la Amhara
Soma - https://jamii.app/Revolution39Arrested
NIGERIA: FEDHA ZILIZOKUWA ZIMEFICHWA NA RAIS MSTAAFU ZATAIFISHWA
> Fedha hizo ni zaidi ya Dola milioni 267 (zaidi ya Tsh bilioni 600) ambazo zilifichwa na Rais San Abacha katika benki iliyopo kisiwa cha Jersey
> Zilipatikana kwa njia za rushwa wakati wa utawala wake kati ya mwaka 1993 hadi kifo chake mwaka 1998
Soma - https://jamii.app/TaifishoFedhaRais
> Fedha hizo ni zaidi ya Dola milioni 267 (zaidi ya Tsh bilioni 600) ambazo zilifichwa na Rais San Abacha katika benki iliyopo kisiwa cha Jersey
> Zilipatikana kwa njia za rushwa wakati wa utawala wake kati ya mwaka 1993 hadi kifo chake mwaka 1998
Soma - https://jamii.app/TaifishoFedhaRais
URUSI: WAWILI WAFARIKI, SABA WAJERUHIWA KATIKA AJALI YA NDEGE
- Ni baada ya ndege kutua kwa dharura katika uwanja wa ndege katika eneo la Buryatia huko Siberia na kuwaka moto
- Waliofariki katika ndege hiyo iliyokuwa imebeba watu 48 ni rubani na fundi
Zaidi, soma https://jamii.app/TwoKilledPlaneAcc-Urusi
- Ni baada ya ndege kutua kwa dharura katika uwanja wa ndege katika eneo la Buryatia huko Siberia na kuwaka moto
- Waliofariki katika ndege hiyo iliyokuwa imebeba watu 48 ni rubani na fundi
Zaidi, soma https://jamii.app/TwoKilledPlaneAcc-Urusi
KOREA KASKAZINI YAITAKA KOREA KUSINI KUSITISHA MAZUNGUMZO NA MAREKANI
> Korea Kaskazini imeitaka Korea Kusini kusitisha juhudi zake za upatanishi katika mazungumzo yake na Marekani
> Rais Donald Trump atakutana tena na kiongozi wa Korea Kusini, Moon Jae In mjini Seoul Jumapili baada ya mkutano wa kilele wa G20 huko Osaka Japan
Soma - https://jamii.app/NorthKoreaVsUs
> Korea Kaskazini imeitaka Korea Kusini kusitisha juhudi zake za upatanishi katika mazungumzo yake na Marekani
> Rais Donald Trump atakutana tena na kiongozi wa Korea Kusini, Moon Jae In mjini Seoul Jumapili baada ya mkutano wa kilele wa G20 huko Osaka Japan
Soma - https://jamii.app/NorthKoreaVsUs
AFCON2019: Mchezo kati ya timu za Taifa za Tanzania ‘Taifa Stars’ na Kenya ‘Harambee Stars’ umeenda mapumziko huku Tanzania ikiwa inaongoza kwa goli 2-1
Magoli ya Tanzania yamefungwa na Simon Msuva katika dakika ya 6 na Mbwana Samatta katika dakika ya 40 huku goli la Kenya likifungwa na Michael Olunga katika dakika ya 39
Magoli ya Tanzania yamefungwa na Simon Msuva katika dakika ya 6 na Mbwana Samatta katika dakika ya 40 huku goli la Kenya likifungwa na Michael Olunga katika dakika ya 39
AFCON2019: Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepoteza mchezo wake wa pili katika hatua ya makundi baada ya kukubali kufungwa goli 3-2 na timu ya Taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’
-
Kwa matokeo yao, Algeria inaongoza Kundi C ikiwa na alama 6 huku Kenya na Senegal wakiwa wanafuata wakiwa na alama 3 kila moja, Tanzania inashika nafasi ya mwisho ikiwa na alama 0
-
Kwa matokeo yao, Algeria inaongoza Kundi C ikiwa na alama 6 huku Kenya na Senegal wakiwa wanafuata wakiwa na alama 3 kila moja, Tanzania inashika nafasi ya mwisho ikiwa na alama 0
Bunge la Tanzania jana lilipitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (No.3) wa 2019
> Muswada unagusa Sheria za Takwimu, Makampuni, Asasi za Kiraia, Vikundi vya Kijamii, Uwakala wa Usafirishaji Majini, Filamu na Michezo ya Kuigiza
Zaidi, soma - https://jamii.app/PitishoSheriaAZAKI
#UhuruWetu
> Muswada unagusa Sheria za Takwimu, Makampuni, Asasi za Kiraia, Vikundi vya Kijamii, Uwakala wa Usafirishaji Majini, Filamu na Michezo ya Kuigiza
Zaidi, soma - https://jamii.app/PitishoSheriaAZAKI
#UhuruWetu
KAKA AMUUA MDOGO WAKE KWA MADAI YA KUPENDWA SANA NA BABA YAO
> Hassan Chacha(7) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Kijiji cha Getenga Wilayani Tarime ameuawa kwa kushambuliwa na kaka yake Mniko Chacha (20) kwa kumning'iniza juu na kumtupa chini mara 2
> Mtuhumiwa alitoroka baada ya kutenda tukio hilo na juhudi za kumtafuta zinaendelea
Soma - https://jamii.app/KakaAuaMdogo
> Hassan Chacha(7) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Kijiji cha Getenga Wilayani Tarime ameuawa kwa kushambuliwa na kaka yake Mniko Chacha (20) kwa kumning'iniza juu na kumtupa chini mara 2
> Mtuhumiwa alitoroka baada ya kutenda tukio hilo na juhudi za kumtafuta zinaendelea
Soma - https://jamii.app/KakaAuaMdogo
ACACIA YAKATAA KUUZA HISA ZAKE KWA BARRICK, YADAI $979M HAIAKISI THAMANI YAKE HALISI
> Barrick inayomiliki 63.9% ya Acacia ilipendekeza kuinunua Acacia kwa mfumo wa hisa, ambapo hisa 1 ya Acacia itabadilishwa kwa hisa 0.153 ya Barrick
Soma - https://jamii.app/AcaciaVsBarrick
#JFLeo
> Barrick inayomiliki 63.9% ya Acacia ilipendekeza kuinunua Acacia kwa mfumo wa hisa, ambapo hisa 1 ya Acacia itabadilishwa kwa hisa 0.153 ya Barrick
Soma - https://jamii.app/AcaciaVsBarrick
#JFLeo
WALIOFANYA UDANGANYIFU KUPATA NAFASI ZA KAZI JKT KUSHTAKIWA
> Jeshi la Wananchi (JWTZ) limetangaza kuwachukulia hatua viongozi wa ndani na nje ya Jeshi hilo na vijana waliohusika katika vitendo vya udanganyifu katika uandikishaji wa majina ya kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
> Udanganyifu ulihusisha ukiukaji wa taratibu na kughushi nyaraka na vyeti vilivyotumika katika uandikishaji
Soma - https://jamii.app/UdanganyifuNafasiJKT
> Jeshi la Wananchi (JWTZ) limetangaza kuwachukulia hatua viongozi wa ndani na nje ya Jeshi hilo na vijana waliohusika katika vitendo vya udanganyifu katika uandikishaji wa majina ya kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
> Udanganyifu ulihusisha ukiukaji wa taratibu na kughushi nyaraka na vyeti vilivyotumika katika uandikishaji
Soma - https://jamii.app/UdanganyifuNafasiJKT
JAGUAR ANYIMWA DHAMANA, KUSHIKILIWA KWA SIKU 3 ZAIDI
- Mahakama imeruhusu Polisi kuendelea kumshikilia kwa siku 3 za kazi ili imalize uchunguzi
- Atakuwa katika Kituo cha Kileleshwa kuanzia leo hadi Jumanne(bila kuhesabu Jumamosi na Jumapili)
Zaidi, soma https://jamii.app/JaguarRumandeSiku3
- Mahakama imeruhusu Polisi kuendelea kumshikilia kwa siku 3 za kazi ili imalize uchunguzi
- Atakuwa katika Kituo cha Kileleshwa kuanzia leo hadi Jumanne(bila kuhesabu Jumamosi na Jumapili)
Zaidi, soma https://jamii.app/JaguarRumandeSiku3
AC MILAN YAFUNGIWA KUSHIRIKI MICHUANO YA ULAYA
- Itatumikia kifungo cha mwaka mmoja kutokushiriki michuano ya Ulaya inayoandaliwa na UEFA hivyo itakosa Ligi ya Europa ya msimu ujao
- Ni baada ya kuvunja sheria ya soka ya Financial Fair Play
Zaidi, soma https://jamii.app/ACMilanBannedEuropeanComptn
- Itatumikia kifungo cha mwaka mmoja kutokushiriki michuano ya Ulaya inayoandaliwa na UEFA hivyo itakosa Ligi ya Europa ya msimu ujao
- Ni baada ya kuvunja sheria ya soka ya Financial Fair Play
Zaidi, soma https://jamii.app/ACMilanBannedEuropeanComptn
AFGHANISTAN: POLISI 8 WAFARIKI KWENYE SHAMBULIO LA BOMU
> Askari polisi nane wamethibitika kufariki na wengine 66 wamejeruhiwa ktk shambulio la kujitoa muhanga katika lango la kukagua usalama kwenye mkoa wa Daikundi
> Kundi la Taliban limedai kuhusika na mlipuko huo
Soma - https://jamii.app/Bomb8DeadAfgh
> Askari polisi nane wamethibitika kufariki na wengine 66 wamejeruhiwa ktk shambulio la kujitoa muhanga katika lango la kukagua usalama kwenye mkoa wa Daikundi
> Kundi la Taliban limedai kuhusika na mlipuko huo
Soma - https://jamii.app/Bomb8DeadAfgh