SERIKALI YATOA MAPENDEKEZO YA KUBADILI SHERIA KATI YA TBS NA TFDA
> Imependekeza marekebisho ya sheria ya viwango ili kuhamisha usimamizi wa masuala ya chakula na vipodozi kwa Shirika la Viwango Tanzania kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa
Soma - https://jamii.app/SheriaTBSnTFDA
#JFLeo
> Imependekeza marekebisho ya sheria ya viwango ili kuhamisha usimamizi wa masuala ya chakula na vipodozi kwa Shirika la Viwango Tanzania kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa
Soma - https://jamii.app/SheriaTBSnTFDA
#JFLeo
MBEYA: DAKTARI FEKI ANASWA. AKUTWA NA WAGONJWA ZAIDI YA 100
- Ni Abdallah Bushiri(42) aliyejifanya daktari wa binadamu na kufanyia watu upasuaji wakati hana taaluma hiyo
- Wagonjwa zaidi ya 100 wamekutwa nyumbani kwake wakisubiri matibabu
Zaidi, soma https://jamii.app/DaktariFekiMbeya-Juni2019
- Ni Abdallah Bushiri(42) aliyejifanya daktari wa binadamu na kufanyia watu upasuaji wakati hana taaluma hiyo
- Wagonjwa zaidi ya 100 wamekutwa nyumbani kwake wakisubiri matibabu
Zaidi, soma https://jamii.app/DaktariFekiMbeya-Juni2019
MADEREVA BAJAJI WAGOMA KUNUNUA VITAMBULISHO VYA WAJASIRIAMALI
> Polisi Mkoani Rukwa wamefyatua mabomu ya machozi hewani ili kuwatawanya baadhi ya madereva wa bajaji wanaoendelea na mgomo wa kutoa huduma ya usafiri wakipinga kuuziwa vitambulisho vya ujasiriamali
> Wamesema wao vitambulisho haviwahusu kwani ni madereva kama walivyo madereva wengine na vyombo vyao vimesajiliwa
Soma - https://jamii.app/MgomoBajajiVitambulisho
#JFLeo
> Polisi Mkoani Rukwa wamefyatua mabomu ya machozi hewani ili kuwatawanya baadhi ya madereva wa bajaji wanaoendelea na mgomo wa kutoa huduma ya usafiri wakipinga kuuziwa vitambulisho vya ujasiriamali
> Wamesema wao vitambulisho haviwahusu kwani ni madereva kama walivyo madereva wengine na vyombo vyao vimesajiliwa
Soma - https://jamii.app/MgomoBajajiVitambulisho
#JFLeo
MTUMISHI WA HIFADHI MATATANI BAADA YA KUKUTWA NA NYAMA YA NYUMBU
> Thomas Mugabo (56) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Wilaya ya Serengeti kwa kosa la kukutwa na nyama ya nyumbu vipande 231 sawa na nyumbu mzima mwenye thamani ya Tsh. 1,430,000
Soma - https://jamii.app/HujumaNyamaNyumbu
> Thomas Mugabo (56) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Wilaya ya Serengeti kwa kosa la kukutwa na nyama ya nyumbu vipande 231 sawa na nyumbu mzima mwenye thamani ya Tsh. 1,430,000
Soma - https://jamii.app/HujumaNyamaNyumbu
HAI: DIWANI ADAIWA KUBAKA NA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI
> Diwani wa Kata ya Masama Mashariki Mkoani Kilimanjaro, John Munisi(38), amefikishwa Mahakamani akidaiwa kumbaka na kumpa mimba mwanafunzi(17) kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Marire
> Alikana mashtaka na yupo nje kwa dhamana baada ya kukidhi masharti
Soma - https://jamii.app/DiwaniUbakajiMimba
> Diwani wa Kata ya Masama Mashariki Mkoani Kilimanjaro, John Munisi(38), amefikishwa Mahakamani akidaiwa kumbaka na kumpa mimba mwanafunzi(17) kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Marire
> Alikana mashtaka na yupo nje kwa dhamana baada ya kukidhi masharti
Soma - https://jamii.app/DiwaniUbakajiMimba
JAGUAR AFIKISHWA MAHAKAMANI, ANYIMWA DHAMANA
- Mbunge wa Starehe, Charles Njagua maarufu Jaguar amekosa dhamana huku Hakimu akisema atatoa hukumu Ijumaa
- Aidha, simu yake ya mkononi inashikiliwa na Wapelelezi ila bado haijafanyiwa uchunguzi
Zaidi, soma https://jamii.app/JaguarMahakamaniUchochezi
- Mbunge wa Starehe, Charles Njagua maarufu Jaguar amekosa dhamana huku Hakimu akisema atatoa hukumu Ijumaa
- Aidha, simu yake ya mkononi inashikiliwa na Wapelelezi ila bado haijafanyiwa uchunguzi
Zaidi, soma https://jamii.app/JaguarMahakamaniUchochezi
NGARA: WANAFAMILIA WAFARIKI BAADA YA NYUMBA KUTEKETEA KWA MOTO
> Ajali hiyo ilitokea jana na waliofariki ni Abubakary Ramadhan Sudi(41) ambaye ni Baba, Zamrat Abubakary(4), Maryam Abubakari(7) na Suzy Abubakari
(36) ambaye ni mama na alifariki akiwa anapewa matibabu hospitalini
Soma - https://jamii.app/FamiliaKifoMoto
#JFLeo
> Ajali hiyo ilitokea jana na waliofariki ni Abubakary Ramadhan Sudi(41) ambaye ni Baba, Zamrat Abubakary(4), Maryam Abubakari(7) na Suzy Abubakari
(36) ambaye ni mama na alifariki akiwa anapewa matibabu hospitalini
Soma - https://jamii.app/FamiliaKifoMoto
#JFLeo
TATIZO JINGINE LAGUNDULIKA KATIKA NDEGE ZA BOEING 737 MAX
- Wakaguzi wa Marekani wamegundua tatizo linaloweza kuchelewesha ndege hiyo kurudi kutoa huduma
- Bila kutaja tatizo wamesema wakati wa majaribio wamegundua "inayowezekana kuwa hatari"
Zaidi, soma https://jamii.app/TatizoJipyaBoeingMax
- Wakaguzi wa Marekani wamegundua tatizo linaloweza kuchelewesha ndege hiyo kurudi kutoa huduma
- Bila kutaja tatizo wamesema wakati wa majaribio wamegundua "inayowezekana kuwa hatari"
Zaidi, soma https://jamii.app/TatizoJipyaBoeingMax
NGARA, KAGERA: WALIOKUWA WAKISAFIRISHA MITIHANI WAFARIKI AJALINI
- Ni Watu 2 akiwemo Askari wa JWTZ waliokuwa wakisafirisha mitihani ya majaribio ya kidato cha 4
- Gari walimokuwemo lilipinduka katika mteremko mkali ulioko barabara ya Kumnazi
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliWawiliWafariki-KumnaziKGR
- Ni Watu 2 akiwemo Askari wa JWTZ waliokuwa wakisafirisha mitihani ya majaribio ya kidato cha 4
- Gari walimokuwemo lilipinduka katika mteremko mkali ulioko barabara ya Kumnazi
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliWawiliWafariki-KumnaziKGR
MAUAJI AFISA WA JESHI ETHIOPIA: WATU 39 MBARONI WAKIHUSISHWA
> Polisi nchini Ethiopia wamewakamata watu 39 kutoka chama cha Impala kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya maafisa watano wa Jeshi katika jaribio la kuipindua Serikali katika jimbo la Amhara
> Kati ya waliofariki yupo Mkuu wa majeshi na aliyekuwa Gavana wa jimbo la Amhara
Soma - https://jamii.app/Revolution39Arrested
> Polisi nchini Ethiopia wamewakamata watu 39 kutoka chama cha Impala kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya maafisa watano wa Jeshi katika jaribio la kuipindua Serikali katika jimbo la Amhara
> Kati ya waliofariki yupo Mkuu wa majeshi na aliyekuwa Gavana wa jimbo la Amhara
Soma - https://jamii.app/Revolution39Arrested
NIGERIA: FEDHA ZILIZOKUWA ZIMEFICHWA NA RAIS MSTAAFU ZATAIFISHWA
> Fedha hizo ni zaidi ya Dola milioni 267 (zaidi ya Tsh bilioni 600) ambazo zilifichwa na Rais San Abacha katika benki iliyopo kisiwa cha Jersey
> Zilipatikana kwa njia za rushwa wakati wa utawala wake kati ya mwaka 1993 hadi kifo chake mwaka 1998
Soma - https://jamii.app/TaifishoFedhaRais
> Fedha hizo ni zaidi ya Dola milioni 267 (zaidi ya Tsh bilioni 600) ambazo zilifichwa na Rais San Abacha katika benki iliyopo kisiwa cha Jersey
> Zilipatikana kwa njia za rushwa wakati wa utawala wake kati ya mwaka 1993 hadi kifo chake mwaka 1998
Soma - https://jamii.app/TaifishoFedhaRais
URUSI: WAWILI WAFARIKI, SABA WAJERUHIWA KATIKA AJALI YA NDEGE
- Ni baada ya ndege kutua kwa dharura katika uwanja wa ndege katika eneo la Buryatia huko Siberia na kuwaka moto
- Waliofariki katika ndege hiyo iliyokuwa imebeba watu 48 ni rubani na fundi
Zaidi, soma https://jamii.app/TwoKilledPlaneAcc-Urusi
- Ni baada ya ndege kutua kwa dharura katika uwanja wa ndege katika eneo la Buryatia huko Siberia na kuwaka moto
- Waliofariki katika ndege hiyo iliyokuwa imebeba watu 48 ni rubani na fundi
Zaidi, soma https://jamii.app/TwoKilledPlaneAcc-Urusi
KOREA KASKAZINI YAITAKA KOREA KUSINI KUSITISHA MAZUNGUMZO NA MAREKANI
> Korea Kaskazini imeitaka Korea Kusini kusitisha juhudi zake za upatanishi katika mazungumzo yake na Marekani
> Rais Donald Trump atakutana tena na kiongozi wa Korea Kusini, Moon Jae In mjini Seoul Jumapili baada ya mkutano wa kilele wa G20 huko Osaka Japan
Soma - https://jamii.app/NorthKoreaVsUs
> Korea Kaskazini imeitaka Korea Kusini kusitisha juhudi zake za upatanishi katika mazungumzo yake na Marekani
> Rais Donald Trump atakutana tena na kiongozi wa Korea Kusini, Moon Jae In mjini Seoul Jumapili baada ya mkutano wa kilele wa G20 huko Osaka Japan
Soma - https://jamii.app/NorthKoreaVsUs
AFCON2019: Mchezo kati ya timu za Taifa za Tanzania ‘Taifa Stars’ na Kenya ‘Harambee Stars’ umeenda mapumziko huku Tanzania ikiwa inaongoza kwa goli 2-1
Magoli ya Tanzania yamefungwa na Simon Msuva katika dakika ya 6 na Mbwana Samatta katika dakika ya 40 huku goli la Kenya likifungwa na Michael Olunga katika dakika ya 39
Magoli ya Tanzania yamefungwa na Simon Msuva katika dakika ya 6 na Mbwana Samatta katika dakika ya 40 huku goli la Kenya likifungwa na Michael Olunga katika dakika ya 39
AFCON2019: Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepoteza mchezo wake wa pili katika hatua ya makundi baada ya kukubali kufungwa goli 3-2 na timu ya Taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’
-
Kwa matokeo yao, Algeria inaongoza Kundi C ikiwa na alama 6 huku Kenya na Senegal wakiwa wanafuata wakiwa na alama 3 kila moja, Tanzania inashika nafasi ya mwisho ikiwa na alama 0
-
Kwa matokeo yao, Algeria inaongoza Kundi C ikiwa na alama 6 huku Kenya na Senegal wakiwa wanafuata wakiwa na alama 3 kila moja, Tanzania inashika nafasi ya mwisho ikiwa na alama 0