Bunge la Tanzania jana lilipitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (No.3) wa 2019
> Muswada unagusa Sheria za Takwimu, Makampuni, Asasi za Kiraia, Vikundi vya Kijamii, Uwakala wa Usafirishaji Majini, Filamu na Michezo ya Kuigiza
Zaidi, soma - https://jamii.app/PitishoSheriaAZAKI
#UhuruWetu
> Muswada unagusa Sheria za Takwimu, Makampuni, Asasi za Kiraia, Vikundi vya Kijamii, Uwakala wa Usafirishaji Majini, Filamu na Michezo ya Kuigiza
Zaidi, soma - https://jamii.app/PitishoSheriaAZAKI
#UhuruWetu
KAKA AMUUA MDOGO WAKE KWA MADAI YA KUPENDWA SANA NA BABA YAO
> Hassan Chacha(7) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Kijiji cha Getenga Wilayani Tarime ameuawa kwa kushambuliwa na kaka yake Mniko Chacha (20) kwa kumning'iniza juu na kumtupa chini mara 2
> Mtuhumiwa alitoroka baada ya kutenda tukio hilo na juhudi za kumtafuta zinaendelea
Soma - https://jamii.app/KakaAuaMdogo
> Hassan Chacha(7) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Kijiji cha Getenga Wilayani Tarime ameuawa kwa kushambuliwa na kaka yake Mniko Chacha (20) kwa kumning'iniza juu na kumtupa chini mara 2
> Mtuhumiwa alitoroka baada ya kutenda tukio hilo na juhudi za kumtafuta zinaendelea
Soma - https://jamii.app/KakaAuaMdogo
ACACIA YAKATAA KUUZA HISA ZAKE KWA BARRICK, YADAI $979M HAIAKISI THAMANI YAKE HALISI
> Barrick inayomiliki 63.9% ya Acacia ilipendekeza kuinunua Acacia kwa mfumo wa hisa, ambapo hisa 1 ya Acacia itabadilishwa kwa hisa 0.153 ya Barrick
Soma - https://jamii.app/AcaciaVsBarrick
#JFLeo
> Barrick inayomiliki 63.9% ya Acacia ilipendekeza kuinunua Acacia kwa mfumo wa hisa, ambapo hisa 1 ya Acacia itabadilishwa kwa hisa 0.153 ya Barrick
Soma - https://jamii.app/AcaciaVsBarrick
#JFLeo
WALIOFANYA UDANGANYIFU KUPATA NAFASI ZA KAZI JKT KUSHTAKIWA
> Jeshi la Wananchi (JWTZ) limetangaza kuwachukulia hatua viongozi wa ndani na nje ya Jeshi hilo na vijana waliohusika katika vitendo vya udanganyifu katika uandikishaji wa majina ya kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
> Udanganyifu ulihusisha ukiukaji wa taratibu na kughushi nyaraka na vyeti vilivyotumika katika uandikishaji
Soma - https://jamii.app/UdanganyifuNafasiJKT
> Jeshi la Wananchi (JWTZ) limetangaza kuwachukulia hatua viongozi wa ndani na nje ya Jeshi hilo na vijana waliohusika katika vitendo vya udanganyifu katika uandikishaji wa majina ya kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
> Udanganyifu ulihusisha ukiukaji wa taratibu na kughushi nyaraka na vyeti vilivyotumika katika uandikishaji
Soma - https://jamii.app/UdanganyifuNafasiJKT
JAGUAR ANYIMWA DHAMANA, KUSHIKILIWA KWA SIKU 3 ZAIDI
- Mahakama imeruhusu Polisi kuendelea kumshikilia kwa siku 3 za kazi ili imalize uchunguzi
- Atakuwa katika Kituo cha Kileleshwa kuanzia leo hadi Jumanne(bila kuhesabu Jumamosi na Jumapili)
Zaidi, soma https://jamii.app/JaguarRumandeSiku3
- Mahakama imeruhusu Polisi kuendelea kumshikilia kwa siku 3 za kazi ili imalize uchunguzi
- Atakuwa katika Kituo cha Kileleshwa kuanzia leo hadi Jumanne(bila kuhesabu Jumamosi na Jumapili)
Zaidi, soma https://jamii.app/JaguarRumandeSiku3
AC MILAN YAFUNGIWA KUSHIRIKI MICHUANO YA ULAYA
- Itatumikia kifungo cha mwaka mmoja kutokushiriki michuano ya Ulaya inayoandaliwa na UEFA hivyo itakosa Ligi ya Europa ya msimu ujao
- Ni baada ya kuvunja sheria ya soka ya Financial Fair Play
Zaidi, soma https://jamii.app/ACMilanBannedEuropeanComptn
- Itatumikia kifungo cha mwaka mmoja kutokushiriki michuano ya Ulaya inayoandaliwa na UEFA hivyo itakosa Ligi ya Europa ya msimu ujao
- Ni baada ya kuvunja sheria ya soka ya Financial Fair Play
Zaidi, soma https://jamii.app/ACMilanBannedEuropeanComptn
AFGHANISTAN: POLISI 8 WAFARIKI KWENYE SHAMBULIO LA BOMU
> Askari polisi nane wamethibitika kufariki na wengine 66 wamejeruhiwa ktk shambulio la kujitoa muhanga katika lango la kukagua usalama kwenye mkoa wa Daikundi
> Kundi la Taliban limedai kuhusika na mlipuko huo
Soma - https://jamii.app/Bomb8DeadAfgh
> Askari polisi nane wamethibitika kufariki na wengine 66 wamejeruhiwa ktk shambulio la kujitoa muhanga katika lango la kukagua usalama kwenye mkoa wa Daikundi
> Kundi la Taliban limedai kuhusika na mlipuko huo
Soma - https://jamii.app/Bomb8DeadAfgh
WIZARA YA FEDHA YAKANUSHA KUTOA MIKOPO
- Imekanusha taarifa kuwa inatoa mikopo ya kilimo na biashara bila riba
- Taarifa iliyokanushwa inadai kuwa Wizara pamoja na Taasisi ya Global Entrepreneurship na Benki ya Dunia zimeungana kutoa mikopo
Zaidi, soma https://jamii.app/MikopoWizaraFedhaHakuna
- Imekanusha taarifa kuwa inatoa mikopo ya kilimo na biashara bila riba
- Taarifa iliyokanushwa inadai kuwa Wizara pamoja na Taasisi ya Global Entrepreneurship na Benki ya Dunia zimeungana kutoa mikopo
Zaidi, soma https://jamii.app/MikopoWizaraFedhaHakuna
LISSU AVULIWA UBUNGE, JIMBO LIPO WAZI
- Spika Ndugai amekitangaza kiti cha ubunge cha jimbo la Singida Mashariki lililokuwa linashikiliwa na Tundu Lissu(CHADEMA) kuwa wazi
- Amesema ameshamwandikia Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi juu ya uamuzi huo
Zaidi, soma https://jamii.app/LissuAvuliwaUbunge
- Spika Ndugai amekitangaza kiti cha ubunge cha jimbo la Singida Mashariki lililokuwa linashikiliwa na Tundu Lissu(CHADEMA) kuwa wazi
- Amesema ameshamwandikia Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi juu ya uamuzi huo
Zaidi, soma https://jamii.app/LissuAvuliwaUbunge
MBEYA: SHEHENA YA VIUATILIFU YAKAMATWA IKIWA NA NEMBO BANDIA
> Viuatilifu hivyo vina thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 600 na ni mali ya Mfanyabiashara Yona Kalinga
> Malalamiko yalitolewa na Kampuni ya Rista life Sayansi Tanzania Limited kuwa kuna mfanyabiashara anavunja sheria ya alama za bidhaa
Soma - https://jamii.app/ViuatilifuBandiaMBY
#JFLeo
> Viuatilifu hivyo vina thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 600 na ni mali ya Mfanyabiashara Yona Kalinga
> Malalamiko yalitolewa na Kampuni ya Rista life Sayansi Tanzania Limited kuwa kuna mfanyabiashara anavunja sheria ya alama za bidhaa
Soma - https://jamii.app/ViuatilifuBandiaMBY
#JFLeo
KAMPUNI YA APPLE YAPOTEZA DOLA BILIONI 9 NDANI YA SAA MOJA
> Imepoteza fedha hizo ambazo ni sawa na Trilioni Tsh. 21 katika soko la hisa, saa moja baada ya Jony Ive aliyehusika katika ubunifu wa takribani bidhaa zote za Apple, kutangaza kuondoka ndani ya kampuni hiyo
> Jony alijiunga na Apple mwaka 1992 na ametangaza kufungua kampuni yake ya ubunifu
Soma - https://jamii.app/IveLeavesApple
#JFTeknolojia
> Imepoteza fedha hizo ambazo ni sawa na Trilioni Tsh. 21 katika soko la hisa, saa moja baada ya Jony Ive aliyehusika katika ubunifu wa takribani bidhaa zote za Apple, kutangaza kuondoka ndani ya kampuni hiyo
> Jony alijiunga na Apple mwaka 1992 na ametangaza kufungua kampuni yake ya ubunifu
Soma - https://jamii.app/IveLeavesApple
#JFTeknolojia
WATANZANIA 9 WAULIWA MPAKANI MWA TANZANIA NA MSUMBIJI
> Raia 9 wa Tanzania pamoja na wawili wa Msumbiji wameuliwa na watu wasiojulikana huku watanzania wengine 6 wakijeruhiwa vibaya katika kijiji cha Mtole kilichopo upande wa Msumbiji mpakani mwa Tanzania na Msumbiji
> IGP Siro amesema msako unaanza mara moja kwa kushirikiana na Serikali ya Msumbiji ili kuwakamata waliohusika na mauaji hayo
Soma - https://jamii.app/TznsDeadBoader
> Raia 9 wa Tanzania pamoja na wawili wa Msumbiji wameuliwa na watu wasiojulikana huku watanzania wengine 6 wakijeruhiwa vibaya katika kijiji cha Mtole kilichopo upande wa Msumbiji mpakani mwa Tanzania na Msumbiji
> IGP Siro amesema msako unaanza mara moja kwa kushirikiana na Serikali ya Msumbiji ili kuwakamata waliohusika na mauaji hayo
Soma - https://jamii.app/TznsDeadBoader
TUNDU LISSU KWENDA MAHAKAMANI KUPINGA KUVULIWA UBUNGE
> Mbunge huyo wa Singida Mashariki (CHADEMA), amesema atakwenda Mahakamani kupinga uamuzi wa Spika wa Bunge kumvua uongozi kwa madai kuwa amepoteza sifa ya kuendelea kuwa Mbunge
> Amesisitiza kuwa bado anapata matibabu nje ya nchi lakini Septemba 7, 2019 atarudi nchini
Soma - https://jamii.app/LissuKesiUbunge
> Mbunge huyo wa Singida Mashariki (CHADEMA), amesema atakwenda Mahakamani kupinga uamuzi wa Spika wa Bunge kumvua uongozi kwa madai kuwa amepoteza sifa ya kuendelea kuwa Mbunge
> Amesisitiza kuwa bado anapata matibabu nje ya nchi lakini Septemba 7, 2019 atarudi nchini
Soma - https://jamii.app/LissuKesiUbunge
MEXICO: POLISI WANENE HATARINI KUFUKUZWA KAZI WASIPOPUNGUA
> Maafisa wa Polisi wanaotaka kujiunga na kikosi kipya cha ulinzi wa Taifa nchini Mexico wamepewa hadi miezi 6 kupunguza uzito la sivyo wafutwe kazi
> Agizo hilo limetolewa katika maandalizi ya kukabiliana na wahamiaji haramu na tayari maafisa 625 tayari wamefeli vigezo vya kiafya vya kujiunga na kikosi hicho
Soma - https://jamii.app/FatPoliceTrouble
> Maafisa wa Polisi wanaotaka kujiunga na kikosi kipya cha ulinzi wa Taifa nchini Mexico wamepewa hadi miezi 6 kupunguza uzito la sivyo wafutwe kazi
> Agizo hilo limetolewa katika maandalizi ya kukabiliana na wahamiaji haramu na tayari maafisa 625 tayari wamefeli vigezo vya kiafya vya kujiunga na kikosi hicho
Soma - https://jamii.app/FatPoliceTrouble
DRC: WATU 43 WAMEPOTEZA MAISHA KWENYE MAPOROMOKO YA UDONGO
> Watu 43 wamefariki na wengine kadhaa wajeruhiwa katika maporomoko ya ardhi yaliyotokea kwenye mgodi wa shaba huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
> Mgodi huo unamilikiwa na shirika la Uingereza la Kamoto Copper Company
> Watu 43 wamefariki na wengine kadhaa wajeruhiwa katika maporomoko ya ardhi yaliyotokea kwenye mgodi wa shaba huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
> Mgodi huo unamilikiwa na shirika la Uingereza la Kamoto Copper Company
MAGARI YA MIZIGO YAGONGANA RUVU, YAPELEKEA FOLENI KUBWA
> Malori mawili yaliyogongana uso kwa uso katika eneo la Ruvu na kuwaka moto saa 7 usiku wa kuamkia leo yamepelekea foleni kubwa sana katika barabara ya Morogoro
Soma https://jamii.app/AjaliMaloriRuvu
> Malori mawili yaliyogongana uso kwa uso katika eneo la Ruvu na kuwaka moto saa 7 usiku wa kuamkia leo yamepelekea foleni kubwa sana katika barabara ya Morogoro
Soma https://jamii.app/AjaliMaloriRuvu
TRUMP AKUTANA NA KIM JONG-UN “DEMILITARIZED ZONE”
> Donald Trump awa Rais wa kwanza wa Marekani kukanyaga ardhi ya Korea Kaskazini akiwa madarakani
> Licha ya mkutano huo, Trump amesema vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini viko pale pale
Zaidi, soma jamii.app/TrumpKimMeetDMZ
> Donald Trump awa Rais wa kwanza wa Marekani kukanyaga ardhi ya Korea Kaskazini akiwa madarakani
> Licha ya mkutano huo, Trump amesema vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini viko pale pale
Zaidi, soma jamii.app/TrumpKimMeetDMZ
CHADEMA: LISSU KAVULIWA UBUNGE ILI ASIGOMBEE URAIS 2020
Wadai kumvua Lissu Ubunge kunamfanya asiruhusiwe kugombea ndani ya miaka mitano, na hawezi kugombea Urais wa Tanzania 2020 kama hana sifa za kugombea Ubunge kwa mujibu wa ibara ya 39(1)(d) ya Katiba
Zaidi, soma => https://jamii.app/CDMLissuUrais2020
Wadai kumvua Lissu Ubunge kunamfanya asiruhusiwe kugombea ndani ya miaka mitano, na hawezi kugombea Urais wa Tanzania 2020 kama hana sifa za kugombea Ubunge kwa mujibu wa ibara ya 39(1)(d) ya Katiba
Zaidi, soma => https://jamii.app/CDMLissuUrais2020
SUDAN: WATU 7 WAMEUAWA WAKATI WA MAANDAMANO
> Wananchi wanaendelea kushinikiza Baraza la Kijeshi la Mpito linalotawala nchi hiyo, kurudisha madaraka kwa raia
> Maandamano hayo yanafanyika ikiwa ni wiki kadhaa tangu Jeshi livamie kambi ya Waandamanaji
Soma https://jamii.app/Wasudan7wauawa
> Wananchi wanaendelea kushinikiza Baraza la Kijeshi la Mpito linalotawala nchi hiyo, kurudisha madaraka kwa raia
> Maandamano hayo yanafanyika ikiwa ni wiki kadhaa tangu Jeshi livamie kambi ya Waandamanaji
Soma https://jamii.app/Wasudan7wauawa
KENYA: MTENDAJI MKUU WA KAMPUNI YA SAFARICOM AFARIKI DUNIA
> Robert Collymore(61) maarufu ‘Bob’ amefariki dunia asubuhi ya leo akiwa nyumbani kwake Jijini Nairobi baada ya kuugua saratani ya damu kwa muda mrefu
> Bob alipanga kustaafu Agosti, 2020
Soma => https://jamii.app/RIPCollymore
> Robert Collymore(61) maarufu ‘Bob’ amefariki dunia asubuhi ya leo akiwa nyumbani kwake Jijini Nairobi baada ya kuugua saratani ya damu kwa muda mrefu
> Bob alipanga kustaafu Agosti, 2020
Soma => https://jamii.app/RIPCollymore