UFARANSA NA UJERUMANI ZAKUMBWA NA JOTO KALI
> Idara kuu ya hali ya hewa imesema kiwango cha joto kinatarajiwa kufikia nyuzi joto 38 na kinaweza kuvunja rekodi hadi kufikia nyuzi joto 40 kwenye baadhi ya maeneo ya Ujerumani kama vile sehemu zinazouzunguzuka mji wa Frankfurt
> Waathirika wakubwa ni watoto chini ya miaka 2 na wazee wenye matatizo ya afya kama vile ya figo na moyo
Soma - https://jamii.app/OngezekoJotoUJFRN
> Idara kuu ya hali ya hewa imesema kiwango cha joto kinatarajiwa kufikia nyuzi joto 38 na kinaweza kuvunja rekodi hadi kufikia nyuzi joto 40 kwenye baadhi ya maeneo ya Ujerumani kama vile sehemu zinazouzunguzuka mji wa Frankfurt
> Waathirika wakubwa ni watoto chini ya miaka 2 na wazee wenye matatizo ya afya kama vile ya figo na moyo
Soma - https://jamii.app/OngezekoJotoUJFRN
KAMISHNA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BIMA TANZANIA, ATEULIWA
- Rais Magufuli amemteua Dkt. Mussa C. Juma kuwa Kamishna wa Mamlaka hiyo(TIRA) kuanzia Jana Juni 25
- Anachukua nafasi ya Dkt. Baghayo Abdallah Saqware ambaye uteuzi wake umetenguliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAtenguaKamshnaTIRA
- Rais Magufuli amemteua Dkt. Mussa C. Juma kuwa Kamishna wa Mamlaka hiyo(TIRA) kuanzia Jana Juni 25
- Anachukua nafasi ya Dkt. Baghayo Abdallah Saqware ambaye uteuzi wake umetenguliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAtenguaKamshnaTIRA
WATUMISHI 6 WASIMAMISHWA KAZI KWA TUHUMA ZA UBADHIRIFU WA FEDHA
> Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro limewasimamisha kazi watumishi sita kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa fedha pamoja na kufanya manunuzi yanayotia shaka
> Baadhi ya miradi inayotiliwa shaka ni ujenzi wa hospitali ya Wilaya hiyo pamoja na kituo cha afya Mkuyuni na Duthumi
Soma - https://jamii.app/SitishoKaziWatumishi
#JFLeo
> Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro limewasimamisha kazi watumishi sita kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa fedha pamoja na kufanya manunuzi yanayotia shaka
> Baadhi ya miradi inayotiliwa shaka ni ujenzi wa hospitali ya Wilaya hiyo pamoja na kituo cha afya Mkuyuni na Duthumi
Soma - https://jamii.app/SitishoKaziWatumishi
#JFLeo
MAREKANI: MKUU WA USALAMA WA MIPAKANI AJIUZULU
> John Sanders ametangaza kuachia ngazi baada ya shirika la Haki za Binadamu 'Human Rights Watch' kuchapisha ripoti mbaya kuhusu hali ya watoto wahamiaji 250 wanaozuiliwa katika kituo cha Clint
Soma - https://jamii.app/UzuluUsalamaMipaka
#JFLeo
> John Sanders ametangaza kuachia ngazi baada ya shirika la Haki za Binadamu 'Human Rights Watch' kuchapisha ripoti mbaya kuhusu hali ya watoto wahamiaji 250 wanaozuiliwa katika kituo cha Clint
Soma - https://jamii.app/UzuluUsalamaMipaka
#JFLeo
KENYA: MBUNGE JAGUAR AKAMATWA NA POLISI
- Mbunge wa Jimbo la Starehe, Charles Njagua maarufu 'Jaguar' amekamatwa baada ya kuwataka Wafanyabiashara wa kigeni Jimboni kwake kufunga biashara zao na kuondoka la sivyo wataondolewa kwa nguvu
Zaidi, soma https://jamii.app/JaguarMbaroniKenya
- Mbunge wa Jimbo la Starehe, Charles Njagua maarufu 'Jaguar' amekamatwa baada ya kuwataka Wafanyabiashara wa kigeni Jimboni kwake kufunga biashara zao na kuondoka la sivyo wataondolewa kwa nguvu
Zaidi, soma https://jamii.app/JaguarMbaroniKenya
MFANYABIASHARA KUTOKA KENYA ADAIWA KUTEKWA, JIJINI DAR
- Raphael O. Ongangi anadaiwa kutekwa Juni 24, 2019 na watu wenye silaha akielekea nyumbani kwake maeneo ya Masaki
- Alikuwa mshauri wa karibu wa Zitto Kabwe kabla ya Uchaguzi Mkuu 2015
Zaidi, soma https://jamii.app/MfanyabiasharaOngangiAtekwa-Dar
- Raphael O. Ongangi anadaiwa kutekwa Juni 24, 2019 na watu wenye silaha akielekea nyumbani kwake maeneo ya Masaki
- Alikuwa mshauri wa karibu wa Zitto Kabwe kabla ya Uchaguzi Mkuu 2015
Zaidi, soma https://jamii.app/MfanyabiasharaOngangiAtekwa-Dar
IDADI YA WARAIBU WA DAWA ZA KULEVYA YAPUNGUA
> Tanzania leo Juni 26, imeungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha siku ya Kimataifa ya kupambana na matumizi na biashara ya dawa za kulevya
> Idadi ya waathirika katika vituo vya tiba imeongezeka kutoka wagonjwa 2,400 mwaka 2015 hadi wagonjwa 7000 mwaka 2018 na kufanya waraibu wa dawa za kulevya wanaojidunga kupungua kutoka 35% mwaka 2015 hadi 18.5% mwaka 2018
Soma - https://jamii.app/SikuDawaKulevya
#JFLeo
> Tanzania leo Juni 26, imeungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha siku ya Kimataifa ya kupambana na matumizi na biashara ya dawa za kulevya
> Idadi ya waathirika katika vituo vya tiba imeongezeka kutoka wagonjwa 2,400 mwaka 2015 hadi wagonjwa 7000 mwaka 2018 na kufanya waraibu wa dawa za kulevya wanaojidunga kupungua kutoka 35% mwaka 2015 hadi 18.5% mwaka 2018
Soma - https://jamii.app/SikuDawaKulevya
#JFLeo
SERIKALI YATOA MAPENDEKEZO YA KUBADILI SHERIA KATI YA TBS NA TFDA
> Imependekeza marekebisho ya sheria ya viwango ili kuhamisha usimamizi wa masuala ya chakula na vipodozi kwa Shirika la Viwango Tanzania kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa
Soma - https://jamii.app/SheriaTBSnTFDA
#JFLeo
> Imependekeza marekebisho ya sheria ya viwango ili kuhamisha usimamizi wa masuala ya chakula na vipodozi kwa Shirika la Viwango Tanzania kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa
Soma - https://jamii.app/SheriaTBSnTFDA
#JFLeo
MBEYA: DAKTARI FEKI ANASWA. AKUTWA NA WAGONJWA ZAIDI YA 100
- Ni Abdallah Bushiri(42) aliyejifanya daktari wa binadamu na kufanyia watu upasuaji wakati hana taaluma hiyo
- Wagonjwa zaidi ya 100 wamekutwa nyumbani kwake wakisubiri matibabu
Zaidi, soma https://jamii.app/DaktariFekiMbeya-Juni2019
- Ni Abdallah Bushiri(42) aliyejifanya daktari wa binadamu na kufanyia watu upasuaji wakati hana taaluma hiyo
- Wagonjwa zaidi ya 100 wamekutwa nyumbani kwake wakisubiri matibabu
Zaidi, soma https://jamii.app/DaktariFekiMbeya-Juni2019
MADEREVA BAJAJI WAGOMA KUNUNUA VITAMBULISHO VYA WAJASIRIAMALI
> Polisi Mkoani Rukwa wamefyatua mabomu ya machozi hewani ili kuwatawanya baadhi ya madereva wa bajaji wanaoendelea na mgomo wa kutoa huduma ya usafiri wakipinga kuuziwa vitambulisho vya ujasiriamali
> Wamesema wao vitambulisho haviwahusu kwani ni madereva kama walivyo madereva wengine na vyombo vyao vimesajiliwa
Soma - https://jamii.app/MgomoBajajiVitambulisho
#JFLeo
> Polisi Mkoani Rukwa wamefyatua mabomu ya machozi hewani ili kuwatawanya baadhi ya madereva wa bajaji wanaoendelea na mgomo wa kutoa huduma ya usafiri wakipinga kuuziwa vitambulisho vya ujasiriamali
> Wamesema wao vitambulisho haviwahusu kwani ni madereva kama walivyo madereva wengine na vyombo vyao vimesajiliwa
Soma - https://jamii.app/MgomoBajajiVitambulisho
#JFLeo
MTUMISHI WA HIFADHI MATATANI BAADA YA KUKUTWA NA NYAMA YA NYUMBU
> Thomas Mugabo (56) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Wilaya ya Serengeti kwa kosa la kukutwa na nyama ya nyumbu vipande 231 sawa na nyumbu mzima mwenye thamani ya Tsh. 1,430,000
Soma - https://jamii.app/HujumaNyamaNyumbu
> Thomas Mugabo (56) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Wilaya ya Serengeti kwa kosa la kukutwa na nyama ya nyumbu vipande 231 sawa na nyumbu mzima mwenye thamani ya Tsh. 1,430,000
Soma - https://jamii.app/HujumaNyamaNyumbu
HAI: DIWANI ADAIWA KUBAKA NA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI
> Diwani wa Kata ya Masama Mashariki Mkoani Kilimanjaro, John Munisi(38), amefikishwa Mahakamani akidaiwa kumbaka na kumpa mimba mwanafunzi(17) kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Marire
> Alikana mashtaka na yupo nje kwa dhamana baada ya kukidhi masharti
Soma - https://jamii.app/DiwaniUbakajiMimba
> Diwani wa Kata ya Masama Mashariki Mkoani Kilimanjaro, John Munisi(38), amefikishwa Mahakamani akidaiwa kumbaka na kumpa mimba mwanafunzi(17) kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Marire
> Alikana mashtaka na yupo nje kwa dhamana baada ya kukidhi masharti
Soma - https://jamii.app/DiwaniUbakajiMimba
JAGUAR AFIKISHWA MAHAKAMANI, ANYIMWA DHAMANA
- Mbunge wa Starehe, Charles Njagua maarufu Jaguar amekosa dhamana huku Hakimu akisema atatoa hukumu Ijumaa
- Aidha, simu yake ya mkononi inashikiliwa na Wapelelezi ila bado haijafanyiwa uchunguzi
Zaidi, soma https://jamii.app/JaguarMahakamaniUchochezi
- Mbunge wa Starehe, Charles Njagua maarufu Jaguar amekosa dhamana huku Hakimu akisema atatoa hukumu Ijumaa
- Aidha, simu yake ya mkononi inashikiliwa na Wapelelezi ila bado haijafanyiwa uchunguzi
Zaidi, soma https://jamii.app/JaguarMahakamaniUchochezi
NGARA: WANAFAMILIA WAFARIKI BAADA YA NYUMBA KUTEKETEA KWA MOTO
> Ajali hiyo ilitokea jana na waliofariki ni Abubakary Ramadhan Sudi(41) ambaye ni Baba, Zamrat Abubakary(4), Maryam Abubakari(7) na Suzy Abubakari
(36) ambaye ni mama na alifariki akiwa anapewa matibabu hospitalini
Soma - https://jamii.app/FamiliaKifoMoto
#JFLeo
> Ajali hiyo ilitokea jana na waliofariki ni Abubakary Ramadhan Sudi(41) ambaye ni Baba, Zamrat Abubakary(4), Maryam Abubakari(7) na Suzy Abubakari
(36) ambaye ni mama na alifariki akiwa anapewa matibabu hospitalini
Soma - https://jamii.app/FamiliaKifoMoto
#JFLeo
TATIZO JINGINE LAGUNDULIKA KATIKA NDEGE ZA BOEING 737 MAX
- Wakaguzi wa Marekani wamegundua tatizo linaloweza kuchelewesha ndege hiyo kurudi kutoa huduma
- Bila kutaja tatizo wamesema wakati wa majaribio wamegundua "inayowezekana kuwa hatari"
Zaidi, soma https://jamii.app/TatizoJipyaBoeingMax
- Wakaguzi wa Marekani wamegundua tatizo linaloweza kuchelewesha ndege hiyo kurudi kutoa huduma
- Bila kutaja tatizo wamesema wakati wa majaribio wamegundua "inayowezekana kuwa hatari"
Zaidi, soma https://jamii.app/TatizoJipyaBoeingMax
NGARA, KAGERA: WALIOKUWA WAKISAFIRISHA MITIHANI WAFARIKI AJALINI
- Ni Watu 2 akiwemo Askari wa JWTZ waliokuwa wakisafirisha mitihani ya majaribio ya kidato cha 4
- Gari walimokuwemo lilipinduka katika mteremko mkali ulioko barabara ya Kumnazi
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliWawiliWafariki-KumnaziKGR
- Ni Watu 2 akiwemo Askari wa JWTZ waliokuwa wakisafirisha mitihani ya majaribio ya kidato cha 4
- Gari walimokuwemo lilipinduka katika mteremko mkali ulioko barabara ya Kumnazi
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliWawiliWafariki-KumnaziKGR
MAUAJI AFISA WA JESHI ETHIOPIA: WATU 39 MBARONI WAKIHUSISHWA
> Polisi nchini Ethiopia wamewakamata watu 39 kutoka chama cha Impala kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya maafisa watano wa Jeshi katika jaribio la kuipindua Serikali katika jimbo la Amhara
> Kati ya waliofariki yupo Mkuu wa majeshi na aliyekuwa Gavana wa jimbo la Amhara
Soma - https://jamii.app/Revolution39Arrested
> Polisi nchini Ethiopia wamewakamata watu 39 kutoka chama cha Impala kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya maafisa watano wa Jeshi katika jaribio la kuipindua Serikali katika jimbo la Amhara
> Kati ya waliofariki yupo Mkuu wa majeshi na aliyekuwa Gavana wa jimbo la Amhara
Soma - https://jamii.app/Revolution39Arrested