MAHUSIANO: WAKWE ZANGU WAMEHAMIA NYUMBANI KWANGU, NIMECHOKA VIKAO
> Wazazi wa Mke wangu walikuja Dar kututembelea na ilikuwa wakae kwa muda wa mwezi mmoja lakini cha kushangaza wanakuwa kama wamehamia
> Napata changamoto nyingi ikiwemo Baba Mkwe kutoa amri ndani ya nyumba yangu
Zaidi, soma > https://jamii.app/KeroYaWakwe
> Wazazi wa Mke wangu walikuja Dar kututembelea na ilikuwa wakae kwa muda wa mwezi mmoja lakini cha kushangaza wanakuwa kama wamehamia
> Napata changamoto nyingi ikiwemo Baba Mkwe kutoa amri ndani ya nyumba yangu
Zaidi, soma > https://jamii.app/KeroYaWakwe
NDEGE ZA KIMATAIFA ZAEPUKA ANGA LA IRAN
- Ni baada ya ndege ya Marekani isiyokuwa na rubani kudunguliwa na Iran
- Ndege hizo ni za Mashirika ya Cathay Pacific, Emirates, FlyDubai, British Airways, KLM, Qantas, Singapore Airlines na Lufthansa
Zaidi, soma https://jamii.app/NdegeKimataifaAngaIran
- Ni baada ya ndege ya Marekani isiyokuwa na rubani kudunguliwa na Iran
- Ndege hizo ni za Mashirika ya Cathay Pacific, Emirates, FlyDubai, British Airways, KLM, Qantas, Singapore Airlines na Lufthansa
Zaidi, soma https://jamii.app/NdegeKimataifaAngaIran
TETESI ZA SOKA: Gazeti la Tuttosport la Italia limedai kuwa Kiungo wa Manchester United, Paul Pogba amempigia simu Kocha mpya wa Juventus, Maurizio Sarri kumshawishi amsajili
- Aidha, inadaiwa kuwa Manchester United inataka kumpa mkataba wa mnono wa miaka mitano wa thamani ya Paundi 350,000(Tsh. 1,024,788,755) kwa wiki, Kipa wake David De Gea
- Aidha, inadaiwa kuwa Manchester United inataka kumpa mkataba wa mnono wa miaka mitano wa thamani ya Paundi 350,000(Tsh. 1,024,788,755) kwa wiki, Kipa wake David De Gea
HAWAII: NDEGE YAANGUKA YAUA WATU WOTE 9 WALIOKUWEMO NDANI
- Imeanguka na kuwaka moto karibu na Uwanja wa ndege wa Dillingham huko Oahu, Honolulu
- Haijaeleweka sababu za ndege hiyo kuanguka na kama ilikuwa inatua au kupaa katika uwanja huo
Zaidi, soma https://jamii.app/HawaiiPlaneKills9
- Imeanguka na kuwaka moto karibu na Uwanja wa ndege wa Dillingham huko Oahu, Honolulu
- Haijaeleweka sababu za ndege hiyo kuanguka na kama ilikuwa inatua au kupaa katika uwanja huo
Zaidi, soma https://jamii.app/HawaiiPlaneKills9
SHINYANGA: MUME MBARONI AKITUHUMIWA KUMUUA ALIYEMFUMANIA NA MKEWE
- Rafael Martine(34) anatuhumiwa kumuua Shija Mahoiga(45) baada ya kumfumania akiwa amelala na mkewe
- Anatuhumumiwa kumshambulia marehemu kwa kipande cha chuma
Zaidi, soma https://jamii.app/AmuuaAliyemfumania-SHY
- Rafael Martine(34) anatuhumiwa kumuua Shija Mahoiga(45) baada ya kumfumania akiwa amelala na mkewe
- Anatuhumumiwa kumshambulia marehemu kwa kipande cha chuma
Zaidi, soma https://jamii.app/AmuuaAliyemfumania-SHY
BUKOMBE, GEITA: AFISA MTENDAJI AFARIKI KWA KUSHAMBULIWA NA WASIOJULIKANA
- Ni Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Ibambilo, Kata ya Bulega, Juma Maziku
- Amefariki baada ya kuokotwa kwenye barabara iendayo Mnekesi, Chato akiwa na majeraha mwilini
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaMtendajiAuawa-GIT
- Ni Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Ibambilo, Kata ya Bulega, Juma Maziku
- Amefariki baada ya kuokotwa kwenye barabara iendayo Mnekesi, Chato akiwa na majeraha mwilini
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaMtendajiAuawa-GIT
IRAN YAMPUUZA TRUMP, YASEMA ITAJIBU MAPIGO
- Imeyapuuza madai ya Trump kuwa alisitisha shambulizi dhidi yake kwa hofu ya kusababisha idadi kubwa ya vifo
- Pia, haitovumilia uvamizi katika eneo lake na hivyo kukabiliana na hatari yoyote
Zaidi, soma https://jamii.app/IranYampuuzaTrump
- Imeyapuuza madai ya Trump kuwa alisitisha shambulizi dhidi yake kwa hofu ya kusababisha idadi kubwa ya vifo
- Pia, haitovumilia uvamizi katika eneo lake na hivyo kukabiliana na hatari yoyote
Zaidi, soma https://jamii.app/IranYampuuzaTrump
ETHIOPIA: MKUU WA MAJESHI APIGWA RISASI KATIKA JARIBIO LA MAPINDUZI
- Waziri Mkuu wa nchi hiyo ameongea hayo huku akikemea jaribio hilo la Mapinduzi lililotokea huko Amhara
- Hali ya Mkuu wa Majeshi kwa sasa bado haifahamiki
Soma https://jamii.app/EthiopiaCoupAttempt
- Waziri Mkuu wa nchi hiyo ameongea hayo huku akikemea jaribio hilo la Mapinduzi lililotokea huko Amhara
- Hali ya Mkuu wa Majeshi kwa sasa bado haifahamiki
Soma https://jamii.app/EthiopiaCoupAttempt
GEITA: MAMA ADAIWA KUMCHINJA MTOTO WAKE NA KUMPIKA
- Ni Happiness Shadrack(36) mwenye tatizo la akili, amemchinja mtoto wake wa mwaka mmoja
- Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Kamishna Msaidizi Dismas Kisusi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo
Soma https://jamii.app/MamaAmchinjaMtoto
- Ni Happiness Shadrack(36) mwenye tatizo la akili, amemchinja mtoto wake wa mwaka mmoja
- Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Kamishna Msaidizi Dismas Kisusi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo
Soma https://jamii.app/MamaAmchinjaMtoto
GEITA: WANAFUNZI 6 WA MIAKA 13-16 WAKUTWA WAKIISHI KINYUMBA
- Ni Wanafunzi wa kike wa darasa la 7 wa Shule ya msingi Nyamalele wenye miaka 13 na wa kiume wenye miaka 16 wa Shule ya Sekondari Nkome
- Watoto wa kike walitoroka nyumbani kwao na kwenda kuishi na watoto hao wa kiume
Zaidi, soma https://jamii.app/WatotoWaishiKinyumba
- Ni Wanafunzi wa kike wa darasa la 7 wa Shule ya msingi Nyamalele wenye miaka 13 na wa kiume wenye miaka 16 wa Shule ya Sekondari Nkome
- Watoto wa kike walitoroka nyumbani kwao na kwenda kuishi na watoto hao wa kiume
Zaidi, soma https://jamii.app/WatotoWaishiKinyumba
ETHIOPIA: MKUU WA MAJESHI AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI KWENYE JARIBIO LA MAPINDUZI
- Seare Mekonnen amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na mlinzi huko Addis Ababa
- Rais wa Mkoa wa Amhara na Mshauri Mkuu pia wamefariki kwenye tukio hilo
Soma https://jamii.app/EthiopiaCoupAttempt
- Seare Mekonnen amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na mlinzi huko Addis Ababa
- Rais wa Mkoa wa Amhara na Mshauri Mkuu pia wamefariki kwenye tukio hilo
Soma https://jamii.app/EthiopiaCoupAttempt
KENYA: MWANAFUNZI AMUUA MWENZAKE KISA MVULANA
- Mwanafunzi wa Kidato cha 4, Juni 21 anadaiwa kumchoma kwa kitu chenye ncha, Mwanafunzi wa darasa la 8 huko Lukose, Kakamega
- Alikuwa akimtuhumu wa darasa la 8 kumchukulia 'Mchumba' wake
Zaidi, soma https://jamii.app/StudentKillsAnother-KE
- Mwanafunzi wa Kidato cha 4, Juni 21 anadaiwa kumchoma kwa kitu chenye ncha, Mwanafunzi wa darasa la 8 huko Lukose, Kakamega
- Alikuwa akimtuhumu wa darasa la 8 kumchukulia 'Mchumba' wake
Zaidi, soma https://jamii.app/StudentKillsAnother-KE
INDIA: WATU 14 WAFARIKI BAADA YA KUANGUKIWA NA HEMA KUBWA
- Watu wengine 50 wamejeruhiwa katika tukio hilo hapo jana Juni 23 Wilayani Barmer katika jimbo la Rajasthan
- Hema hilo lilianguka kutokana na mvua kubwa na upepo mkali
Zaidi, soma https://jamii.app/TentCollapseKills14-India
- Watu wengine 50 wamejeruhiwa katika tukio hilo hapo jana Juni 23 Wilayani Barmer katika jimbo la Rajasthan
- Hema hilo lilianguka kutokana na mvua kubwa na upepo mkali
Zaidi, soma https://jamii.app/TentCollapseKills14-India
POLISI 6 MBARONI KWA KUOMBA RUSHWA KWA MZEE WA MIAKA 95
> Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) Wilaya ya Igunga inawachunguza askari Polisi wa Kituo cha Igunga kwa tuhuma za kuomba rushwa ya Tsh. milioni 8 Ngaka Mataluma ili wasimpeleke kituoni
Soma - https://jamii.app/PolisiMadaiRushwa
> Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) Wilaya ya Igunga inawachunguza askari Polisi wa Kituo cha Igunga kwa tuhuma za kuomba rushwa ya Tsh. milioni 8 Ngaka Mataluma ili wasimpeleke kituoni
Soma - https://jamii.app/PolisiMadaiRushwa
KISUTU: MAHAKAMA YAMUONYA WEMA. YAMREJESHEA DHAMANA
- Wema Sepetu(30) ameonywa kutokiuka masharti ya dhamana, vinginevyo Mahakama itamfutia dhamana
- Wema alikuwa rumande siku 7 hadi leo kutokana na kushindwa kufika Mahakamani bila taarifa
Zaidi, soma https://jamii.app/WemaAonywaDhamana
- Wema Sepetu(30) ameonywa kutokiuka masharti ya dhamana, vinginevyo Mahakama itamfutia dhamana
- Wema alikuwa rumande siku 7 hadi leo kutokana na kushindwa kufika Mahakamani bila taarifa
Zaidi, soma https://jamii.app/WemaAonywaDhamana
JEAN PIERRE BEMBA AREJEA RASMI DR CONGO
- Amerejea jana akitokea Brussels, Ubelgiji na kulakiwa na umati wa watu baada ya kukaa miezi 10 ugenini
- Inadaiwa amerudi kumsaidia mpinzani Martin Fayulu anayesisitiza kushinda Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2018
Zaidi, soma https://jamii.app/BembaArejeaCongo
- Amerejea jana akitokea Brussels, Ubelgiji na kulakiwa na umati wa watu baada ya kukaa miezi 10 ugenini
- Inadaiwa amerudi kumsaidia mpinzani Martin Fayulu anayesisitiza kushinda Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2018
Zaidi, soma https://jamii.app/BembaArejeaCongo
TARIME: MWALIMU AMKATA MWANAFUNZI NA PANGA KICHWANI
> Jeshi la Polisi Mkoani Mara linamshikilia Mwalimu Kangoyi Marwa wa shule ya msingi Nyamumbara kwa tuhuma za kumjeruhi mwanafunzi wa darasa la tatu kwa kumkata panga kichwani
> Uongozi wa Halmashauri umemsimamisha kazi mwalimu huyo
Soma - https://jamii.app/MwlAmkataPangaMwf
> Jeshi la Polisi Mkoani Mara linamshikilia Mwalimu Kangoyi Marwa wa shule ya msingi Nyamumbara kwa tuhuma za kumjeruhi mwanafunzi wa darasa la tatu kwa kumkata panga kichwani
> Uongozi wa Halmashauri umemsimamisha kazi mwalimu huyo
Soma - https://jamii.app/MwlAmkataPangaMwf