ALIYEHUSIKA NA MAUAJI YA MWANAFUNZI WA KIU AKAMATWA, AKIRI MAKOSA
> Ernest Joseph(19) amekamatwa na Polisi usiku wa kuamkia leo akiwa Madale, Dar
> Akiri kumjeruhi kwa kisu Anifa Mgaya na kumpora pochi iliyokuwa na simu, Tsh. 8,000 na vitambulisho
Soma > https://jamii.app/MtuhumiwaMauajiKIU
> Ernest Joseph(19) amekamatwa na Polisi usiku wa kuamkia leo akiwa Madale, Dar
> Akiri kumjeruhi kwa kisu Anifa Mgaya na kumpora pochi iliyokuwa na simu, Tsh. 8,000 na vitambulisho
Soma > https://jamii.app/MtuhumiwaMauajiKIU
MBUNGE MSTAAFU WA KILOMBERO, ABDUL MTEKETA AFARIKI DUNIA
> Amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu
> Abdul Mteketa alikuwa Mbunge wa Kilombero kuanzia mwaka 2010-2015, alianguka kwenye kura za maoni 2015
Zaidi, soma => https://jamii.app/RIPAbdulMteketa
> Amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu
> Abdul Mteketa alikuwa Mbunge wa Kilombero kuanzia mwaka 2010-2015, alianguka kwenye kura za maoni 2015
Zaidi, soma => https://jamii.app/RIPAbdulMteketa
NEC KUTOTUMIA WAKURUGENZI KATIKA UCHAGUZI
- Imesema vifungu vya sheria ya uchaguzi vilivyotenguliwa na Mahakama havitatumika
- Ni Vifungu vya 7(1) na 7(3) vinavyowapa Wakurugenzi wa Jiji na Manispaa uwezo wa kuteuliwa kusimamia Uchaguzi
Zaidi, soma https://jamii.app/DEDKutosimamiaUchaguzi
- Imesema vifungu vya sheria ya uchaguzi vilivyotenguliwa na Mahakama havitatumika
- Ni Vifungu vya 7(1) na 7(3) vinavyowapa Wakurugenzi wa Jiji na Manispaa uwezo wa kuteuliwa kusimamia Uchaguzi
Zaidi, soma https://jamii.app/DEDKutosimamiaUchaguzi
MBEYA: MHANDISI AJINYONGA KWA KUTUMIA SURUALI YAKE
> Aswile Msika (37) Mhandisi wa Halmashauri ya Chunya ajiua kwa kujinyonga katika eneo la Nyatura Kata ya Mbugani
> Alikuwa akituhumiwa kwa kuomba na kupokea rushwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/MhandisiAjinyongaChunya
> Aswile Msika (37) Mhandisi wa Halmashauri ya Chunya ajiua kwa kujinyonga katika eneo la Nyatura Kata ya Mbugani
> Alikuwa akituhumiwa kwa kuomba na kupokea rushwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/MhandisiAjinyongaChunya
LUIS ENRIQUE AJIUZULU KUENDELEA KUINOA UHISPANIA
- Inadaiwa ni kutokana na sababu binafsi na sasa nafasi yake inachukuliwa na Kocha Msaidizi, Robert Moreno
- Hatua hii inakuja akiwa hajamaliza hata mwaka mmoja tangu asaini mkataba wa miaka 2
Zaidi, soma https://jamii.app/EnriqueQuitsSpain
- Inadaiwa ni kutokana na sababu binafsi na sasa nafasi yake inachukuliwa na Kocha Msaidizi, Robert Moreno
- Hatua hii inakuja akiwa hajamaliza hata mwaka mmoja tangu asaini mkataba wa miaka 2
Zaidi, soma https://jamii.app/EnriqueQuitsSpain
UFARANSA: RAIS MSTAAFU, NICOLAS SARKOZY KUSHTAKIWA KWA RUSHWA
> Nicolas Sarkozy anatarajiwa kufikishwa Mahakamani mwezi ujao baada ya rufaa yake ya utetezi kukwama
> Anatuhumiwa kwa rushwa na kufanya biashara ya mali za wizi
Zaidi, soma => https://jamii.app/SarkozyRushwa
> Nicolas Sarkozy anatarajiwa kufikishwa Mahakamani mwezi ujao baada ya rufaa yake ya utetezi kukwama
> Anatuhumiwa kwa rushwa na kufanya biashara ya mali za wizi
Zaidi, soma => https://jamii.app/SarkozyRushwa
TAHADHARI: UBALOZI WA MAREKANI WAONYA UWEZEKANO WA KUTOKEA SHAMBULIO, TANZANIA
- Ubalozi wa Marekani umeonya kuwa kuna tetesi za kutokea shambulio katika maeneo ya Masaki jijini Dar hususani katika migahawa na hoteli ya Slipway Shopping Center ya Msasani
- Watu wanashauriwa kuwa makini na mazingira, kuepuka mikusanyiko, kufuatilia vyombo vya habari ili kupata mwendelezo wa habari na kuwa waangalifu katika maeneo yanayotembelewa sana na Watalii
- Ubalozi wa Marekani umeonya kuwa kuna tetesi za kutokea shambulio katika maeneo ya Masaki jijini Dar hususani katika migahawa na hoteli ya Slipway Shopping Center ya Msasani
- Watu wanashauriwa kuwa makini na mazingira, kuepuka mikusanyiko, kufuatilia vyombo vya habari ili kupata mwendelezo wa habari na kuwa waangalifu katika maeneo yanayotembelewa sana na Watalii
RAIS MAGUFULI KUONGOZA KONGAMANO LA KOROSHO, MTWARA
- Anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo litakalofanyikia Julai 12 na 13 mwaka huu
- Lengo la kongamano ni kuwavutia Wawekezaji waanzishe miradi na viwanda vya kusindika korosho
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliKongamanoKorosho
- Anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo litakalofanyikia Julai 12 na 13 mwaka huu
- Lengo la kongamano ni kuwavutia Wawekezaji waanzishe miradi na viwanda vya kusindika korosho
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliKongamanoKorosho
JESHI LA POLISI: TAARIFA ZA TISHIO LA SHAMBULIO DAR, TUNAZIFANYIA KAZI
> Jeshi la Polisi limesema kuwa taarifa hizo wanazo na wanaendelea kuzifanyia kazi
> Mussa Taibu, RPC Kinondoni amewataka Wananchi kutoa taarifa za viashiria vya hatari
Zaidi, soma => https://jamii.app/PolisiOnyoShambulioDar
> Jeshi la Polisi limesema kuwa taarifa hizo wanazo na wanaendelea kuzifanyia kazi
> Mussa Taibu, RPC Kinondoni amewataka Wananchi kutoa taarifa za viashiria vya hatari
Zaidi, soma => https://jamii.app/PolisiOnyoShambulioDar
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
MAKONDA: DAR NI SHWARI, WANANCHI MSIWE NA HOFU
- Baada ya Tahadhari ya Usalama katika Jiji la Dar iliyotolewa na Ubalozini wa Marekani, RC wa Dar, Paul Makonda amewahakikishia Wananchi kuwa hali ni shwari
- Aidha, ameomba watoa taarifa kuzigatia sheria, Kanuni na Katiba ya nchi kwani kuna vyombo maalumu vilivyopewa mamlaka ya kutangaza hali ya hatari
- Baada ya Tahadhari ya Usalama katika Jiji la Dar iliyotolewa na Ubalozini wa Marekani, RC wa Dar, Paul Makonda amewahakikishia Wananchi kuwa hali ni shwari
- Aidha, ameomba watoa taarifa kuzigatia sheria, Kanuni na Katiba ya nchi kwani kuna vyombo maalumu vilivyopewa mamlaka ya kutangaza hali ya hatari
KENYA: MTANZANIA AKUTWA NA HATIA KATIKA MAKOSA YA UGAIDI
- Rashid Mberesero mwenyeji wa Kilimanjaro na Wakenya wawili wamekutwa na hatia ya kutekeleza shambulio la kigaidi mwaka 2015 katika Chuo Kikuu cha Garissa, Kenya na kuua Wanafunzi 148
Zaidi, soma https://jamii.app/MtanzaniaHatianiUgaidi-KE
- Rashid Mberesero mwenyeji wa Kilimanjaro na Wakenya wawili wamekutwa na hatia ya kutekeleza shambulio la kigaidi mwaka 2015 katika Chuo Kikuu cha Garissa, Kenya na kuua Wanafunzi 148
Zaidi, soma https://jamii.app/MtanzaniaHatianiUgaidi-KE
MWANZA: AJITEKETEZA KWA MOTO BAADA YA KUMUUA MPENZI WAKE
> Fungi Mayala adaiwa kujichoma kwa moto baada ya kumuua mpenzi wake kwa kumkata kwa panga
> Inaelezwa kuwa alikuwa katika ugomvi na mpenzi wake ambaye alimshitaki na kesi iko Mahakamani
Soma > https://jamii.app/AjichomaMotoMwanza
> Fungi Mayala adaiwa kujichoma kwa moto baada ya kumuua mpenzi wake kwa kumkata kwa panga
> Inaelezwa kuwa alikuwa katika ugomvi na mpenzi wake ambaye alimshitaki na kesi iko Mahakamani
Soma > https://jamii.app/AjichomaMotoMwanza
KENYA: WAPENZI WA JINSIA MOJA WALIOTOROKA KAMBI YA WAKIMBIZI KAKUMA WARUDISHWA
> Walitoroka katika kambi hiyo ya Kakuma kwa madai kuwa walikuwa walengwa wa matukio ya ubaguzi dhidi yao, wamekamatwa Nairobi na wamerudishwa katika kambi hiyo
Soma => https://jamii.app/LGBTQKakuma
> Walitoroka katika kambi hiyo ya Kakuma kwa madai kuwa walikuwa walengwa wa matukio ya ubaguzi dhidi yao, wamekamatwa Nairobi na wamerudishwa katika kambi hiyo
Soma => https://jamii.app/LGBTQKakuma
MICHEZO: MSHAMBULIAJI WA KLABU YA MBEYA CITY ASAJILIWA NA TP MAZEMBE
> Eliud Ambokile mchezaji wa nafasi ya ushambuliaji amesajiliwa na TP Mazembe ya DRC kwa dau la shilingi milioni 50
> Aliifungia Mbeya City magoli 10 katika mzunguko wa kwanza wa ligi
Soma > https://jamii.app/AmbokileTPMazembe
> Eliud Ambokile mchezaji wa nafasi ya ushambuliaji amesajiliwa na TP Mazembe ya DRC kwa dau la shilingi milioni 50
> Aliifungia Mbeya City magoli 10 katika mzunguko wa kwanza wa ligi
Soma > https://jamii.app/AmbokileTPMazembe
SERIKALI YASHAURIWA KUFUTA TOZO YA MAITI
- Mbunge wa Kahama, Jumanne Kishimba ameishauri Serikali kufuta tozo hiyo kwenye chumba cha kuhifadhia maiti hospitalini(Mortuary)
- Amesema kutokana tozo hizo, ndugu wengi hukwepa kuchukua maiti
Zaidi, soma https://jamii.app/TozoMaitiIfutwe
- Mbunge wa Kahama, Jumanne Kishimba ameishauri Serikali kufuta tozo hiyo kwenye chumba cha kuhifadhia maiti hospitalini(Mortuary)
- Amesema kutokana tozo hizo, ndugu wengi hukwepa kuchukua maiti
Zaidi, soma https://jamii.app/TozoMaitiIfutwe
KENYA: ALIYEKUWA MGOMBEA URAIS KENYA AKAMATWA AKISAFIRISHA BANGI
- Jaffer Isaak Sora aliyekuwa anagombea Urais Kenya mwaka 2017, alikuwa akisafirisha Kilo 445 za bangi kwenye gari lake
- Polisi wanasema bangi hizo zinadhaniwa zimetoka Ethiopia
Zaidi, soma https://jamii.app/JafferSoraArrested-KE
- Jaffer Isaak Sora aliyekuwa anagombea Urais Kenya mwaka 2017, alikuwa akisafirisha Kilo 445 za bangi kwenye gari lake
- Polisi wanasema bangi hizo zinadhaniwa zimetoka Ethiopia
Zaidi, soma https://jamii.app/JafferSoraArrested-KE
KAIMU BALOZI WA MAREKANI AITWA WIZARA YA MAMBO YA NJE
> Wito huu umetokana na taarifa ya tahadhari ya kiusalama iliyotolewa na Ubalozi huo ikieleza juu ya uwepo wa dalili za kutokea kwa shambulio katika mitaa ya Msasani Jijini, Dar
Zaidi, soma => https://jamii.app/USAvsTZ-UsalamaTZ
> Wito huu umetokana na taarifa ya tahadhari ya kiusalama iliyotolewa na Ubalozi huo ikieleza juu ya uwepo wa dalili za kutokea kwa shambulio katika mitaa ya Msasani Jijini, Dar
Zaidi, soma => https://jamii.app/USAvsTZ-UsalamaTZ
UGANDA: MZEE WA MIAKA 70 AKAMATWA KWA KULIPIGA MAWE GARI LA RAIS MUSEVENI
> Mzee Omar Risasi Amabua anatuhumiwa kwa kulipiga mawe gari la Rais Museveni likiwa kwenye msafara mwishoni mwaka jana
> Atashtakiwa kwa makosa ya uhaini
Zaidi, soma => https://jamii.app/Mzee70ApigaGariMuseveni
> Mzee Omar Risasi Amabua anatuhumiwa kwa kulipiga mawe gari la Rais Museveni likiwa kwenye msafara mwishoni mwaka jana
> Atashtakiwa kwa makosa ya uhaini
Zaidi, soma => https://jamii.app/Mzee70ApigaGariMuseveni
INDIA: JOTO LAZIDI KUONGEZEKA, WATU 92 WAFARIKI
- Vifo vingi vimetokea katika Jimbo la Bahir hasa katika maeneo ya Aurangabad, Gaya na Nawada, ambapo joto limefikia jotoridi 45
- Aidha, Watu 562 wamelazwa na kuongeza hofu ya vifo kuongezeka
Zaidi, soma https://jamii.app/IndianHeatwaveKills92
- Vifo vingi vimetokea katika Jimbo la Bahir hasa katika maeneo ya Aurangabad, Gaya na Nawada, ambapo joto limefikia jotoridi 45
- Aidha, Watu 562 wamelazwa na kuongeza hofu ya vifo kuongezeka
Zaidi, soma https://jamii.app/IndianHeatwaveKills92
TAHADHARI: UBALOZI WA MAREKANI UGANDA WATOA ONYO LA SHAMBULIO
- Umesema kuna uvumi wa shambulio katika maeneo yanayopendwa kutembelewa na raia wa kigeni Afrika Mashariki ikiwemo Uganda
- Japo umesema hauna ushahidi wa kutosha, umewaonya Wakazi kuchukua tahadhari
Zaidi, soma https://jamii.app/TahadhariShambulioUganda
- Umesema kuna uvumi wa shambulio katika maeneo yanayopendwa kutembelewa na raia wa kigeni Afrika Mashariki ikiwemo Uganda
- Japo umesema hauna ushahidi wa kutosha, umewaonya Wakazi kuchukua tahadhari
Zaidi, soma https://jamii.app/TahadhariShambulioUganda