KENYA: MWANAMKE ALIYEONESHA DALILI ZA EBOLA, HANA UGONJWA HUO
- Matokeo ya vipimo ya mgonjwa aliyedhaniwa kuwa na Ebola yameonesha hana ugonjwa huo
- Amelazwa kwenye Hospitali ya Rufaa ya Kaunti ya Kericho akiwa ameonesha dalili kama za Ebola
Zaidi, soma https://jamii.app/SuspectedEbolaCase-KE
- Matokeo ya vipimo ya mgonjwa aliyedhaniwa kuwa na Ebola yameonesha hana ugonjwa huo
- Amelazwa kwenye Hospitali ya Rufaa ya Kaunti ya Kericho akiwa ameonesha dalili kama za Ebola
Zaidi, soma https://jamii.app/SuspectedEbolaCase-KE
MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI WA REA ATENGULIWA
- Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati Vijijini(REA), Michael Pius Nyagoga
- Aidha, amemteua Wakili Julius B. Kalolo kushika nafasi hiyo kuanzia leo
Zaidi, soma https://jamii.app/MwenyekitiBodiREAAtenguliwa
- Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati Vijijini(REA), Michael Pius Nyagoga
- Aidha, amemteua Wakili Julius B. Kalolo kushika nafasi hiyo kuanzia leo
Zaidi, soma https://jamii.app/MwenyekitiBodiREAAtenguliwa
MTANDAO WA 5G WAANZA KUPATIKANA KWENYE BAADHI YA MAJIMBO YA MAREKANI
> Kampuni ya Verizon imefunga miundombinu ya mtandao wa 5G katika Majiji yafuatayo, Houston, Indianapolis, Los Angeles, Sacramento, na California
> Siku za hivi karibuni Kampuni ya Huawei ya China ilijitapa kuwa na teknolojia hiyo
Soma => https://jamii.app/5GMarekani
> Kampuni ya Verizon imefunga miundombinu ya mtandao wa 5G katika Majiji yafuatayo, Houston, Indianapolis, Los Angeles, Sacramento, na California
> Siku za hivi karibuni Kampuni ya Huawei ya China ilijitapa kuwa na teknolojia hiyo
Soma => https://jamii.app/5GMarekani
TUKUKURU YAKANUSHA TAARIFA ZA UPOTOSHAJI ZENYE TUHUMA DHIDI YA MAAFISA WAKE
> Taarifa hizo zinazotajwa kuwa za upotoshaji zilichapishwa katika magazeti mawili ya Fahari Yetu na Tanzanite
> TAKUKURU yasema taarifa hizo zimelenga kuidhoofisha
Soma > https://jamii.app/TAKUKURUVsMagazeti
> Taarifa hizo zinazotajwa kuwa za upotoshaji zilichapishwa katika magazeti mawili ya Fahari Yetu na Tanzanite
> TAKUKURU yasema taarifa hizo zimelenga kuidhoofisha
Soma > https://jamii.app/TAKUKURUVsMagazeti
DODOMA: WATU 29 WAJERUHIWA KATIKA AJALI YA TRENI NA LORI
- Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo ambapo pia mabehewa matatu ya treni yalianguka
- Treni hiyo iliyokuwa inatoka Tabora kwenda Dar ilipata ajali kabla ya kuingia stesheni
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliTreni29Wajeruhiwa-DOM
- Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo ambapo pia mabehewa matatu ya treni yalianguka
- Treni hiyo iliyokuwa inatoka Tabora kwenda Dar ilipata ajali kabla ya kuingia stesheni
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliTreni29Wajeruhiwa-DOM
TANZANIA KINARA WA AMANI AFRIKA MASHARIKI
- Kwa mujibu wa ripoti ya Global Peace Index(GPI), Tanzania imeshika nafasi ya 7 kwa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara
- Kwa Afrika Mashariki, Rwanda inafuata, ikifuatiwa na Uganda na kisha Kenya
Zaidi, soma https://jamii.app/TZKinaraAmaniEA
- Kwa mujibu wa ripoti ya Global Peace Index(GPI), Tanzania imeshika nafasi ya 7 kwa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara
- Kwa Afrika Mashariki, Rwanda inafuata, ikifuatiwa na Uganda na kisha Kenya
Zaidi, soma https://jamii.app/TZKinaraAmaniEA
CHINA: WATU 12 WAMEFARIKI NA 134 KUJERUHIWA KATIKA TETEMEKO LA ARDHI
- Uokoaji unaendelea huko Sichuani Kusini Magharibi mwa China baada ya kutokea tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa Kipimo cha Richa 6, jana usiku
Zaidi, soma https://jamii.app/EarthquakeKills12-China
- Uokoaji unaendelea huko Sichuani Kusini Magharibi mwa China baada ya kutokea tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa Kipimo cha Richa 6, jana usiku
Zaidi, soma https://jamii.app/EarthquakeKills12-China
MCHEZAJI WA FC BARCELONA FRENKIE DE JONG ATEMBELEA SERENGETI
> Amepost picha kupitia Instagram akionekana ndani mbuga hiyo
> Aidha, zipo taarifa pia za Mshambuliaji, wa Chelsea, Gonzalo Higuaín kuwepo nchini akitembelea vivutio mbalimbali
Soma > https://jamii.app/FrenkieDeJongTz
> Amepost picha kupitia Instagram akionekana ndani mbuga hiyo
> Aidha, zipo taarifa pia za Mshambuliaji, wa Chelsea, Gonzalo Higuaín kuwepo nchini akitembelea vivutio mbalimbali
Soma > https://jamii.app/FrenkieDeJongTz
RAIS WA ZAMANI WA UEFA, MICHEL PLATINI AMEKAMATWA NA POLISI
- Amekamatwa ikiwa ni sehemu ya uchunguzi unaoendelea dhidi ya madai ya kuwepo kwa rushwa katika uamuzi wa kukubali michuano ya Soka ya Kombe la Dunia ya mwaka 2022, kufanyika Qatar
Zaidi, soma https://jamii.app/MichelPlatiniArrested-2019
- Amekamatwa ikiwa ni sehemu ya uchunguzi unaoendelea dhidi ya madai ya kuwepo kwa rushwa katika uamuzi wa kukubali michuano ya Soka ya Kombe la Dunia ya mwaka 2022, kufanyika Qatar
Zaidi, soma https://jamii.app/MichelPlatiniArrested-2019
RUVUMA: WATU 8 MBARONI WAKIDAIWA KUTAKA KUMTOA MTOTO KAFARA
- Watu hao, Wanne kutoka Njombe na wanne kutoka Ruvuma Wanashikiliwa Wilayani Namtumbo
- Wanatuhumiwa kufanya ramli chonganishi na kutaka kumtoa kafara mtoto katika mlima Mgwijima
Zaidi, soma https://jamii.app/8MbaroniKafaraMtoto-RVM
- Watu hao, Wanne kutoka Njombe na wanne kutoka Ruvuma Wanashikiliwa Wilayani Namtumbo
- Wanatuhumiwa kufanya ramli chonganishi na kutaka kumtoa kafara mtoto katika mlima Mgwijima
Zaidi, soma https://jamii.app/8MbaroniKafaraMtoto-RVM
PWANI: WATUMISHI 7 WA NIDA MBARONI WAKIDAIWA KUIBA VITAMBULISHO 15,000
- Pia wamekamatwa na kompyuta mpakato 2, meza, scana, kamera, maturubai, BVR kits na friji ndogo
- Wanadaiwa kuiba vitu hivyo wakati ofisi za NIDA zilipokuwa zinahamishwa
Zaidi, soma https://jamii.app/WatumishiNIDAMbaroniWizi-PWN
- Pia wamekamatwa na kompyuta mpakato 2, meza, scana, kamera, maturubai, BVR kits na friji ndogo
- Wanadaiwa kuiba vitu hivyo wakati ofisi za NIDA zilipokuwa zinahamishwa
Zaidi, soma https://jamii.app/WatumishiNIDAMbaroniWizi-PWN
KENYA: MWANDISHI WA BLOG MBARONI KWA KU-POST PICHA ZISIZOTAKIWA
- Robert Alai alikamatwa jana kwa ku-post picha zinazoonesha miili ya Polisi waliouawa katika shambulio la bomu siku ya Ijumaa
- Polisi ilizuia picha hizo zisisambazwe mtandaoni lakini yeye aliweka akielezea hisia zake kwa namna Serikali ilivyokuwa ikishughulikia miili ya Polisi hao
Zaidi, soma https://jamii.app/RobertAlaiArrested-KNY
- Robert Alai alikamatwa jana kwa ku-post picha zinazoonesha miili ya Polisi waliouawa katika shambulio la bomu siku ya Ijumaa
- Polisi ilizuia picha hizo zisisambazwe mtandaoni lakini yeye aliweka akielezea hisia zake kwa namna Serikali ilivyokuwa ikishughulikia miili ya Polisi hao
Zaidi, soma https://jamii.app/RobertAlaiArrested-KNY
TAKUKURU INAWASAKA WAMILIKI WA KAMPUNI YA MEIS INDUSTRIES KWA TUHUMA ZA KUTOROKA NA BILIONI 46
> Walikopa fedha hizo kwa ajili ya kujenga kiwanda cha saruji, Lindi
> Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, amesema walikabidhiwa mwaka 2011
Soma => https://jamii.app/TakukuruVsMeis
> Walikopa fedha hizo kwa ajili ya kujenga kiwanda cha saruji, Lindi
> Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, amesema walikabidhiwa mwaka 2011
Soma => https://jamii.app/TakukuruVsMeis
SUDAN: JESHI LAKIRI KUWA LILIAMUA KUONDOA KAMBI YA WAANDAMANAJI
- Limesema lilipanga kuwaondoa Waandamanaji hao ila linasikitika kuwa mpango ulikuwa na makosa
- Katika tukio, Watu 120 wanadaiwa kufariki ila Wizara ya Afya inasema ni watu 61
Zaidi, soma https://jamii.app/MilitaryProtestersDispersal-SDN
- Limesema lilipanga kuwaondoa Waandamanaji hao ila linasikitika kuwa mpango ulikuwa na makosa
- Katika tukio, Watu 120 wanadaiwa kufariki ila Wizara ya Afya inasema ni watu 61
Zaidi, soma https://jamii.app/MilitaryProtestersDispersal-SDN
GEITA: TAKUKURU YAWASHIKILIA WATUMISHI 3 WA TRA KWA KUOMBA RUSHWA
> Wanatuhumiwa kwa kuwafanyia makadirio ya juu Wafanyabiashara na baadaye kuwaomba rushwa ili washushiwe makadirio
> Wanaoshikiliwa ni Sadick Lutenge, Amza Rugemalira na Elias Msula
Soma > https://jamii.app/TakukuruVsTRAGeita
> Wanatuhumiwa kwa kuwafanyia makadirio ya juu Wafanyabiashara na baadaye kuwaomba rushwa ili washushiwe makadirio
> Wanaoshikiliwa ni Sadick Lutenge, Amza Rugemalira na Elias Msula
Soma > https://jamii.app/TakukuruVsTRAGeita
JESHI LA POLISI LIMEWATAMBUA WALIOSABABISHA KIFO CHA MWANAFUNZI WA KIU
> Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema Jeshi la Polisi limewatambua wahusika
> Ameliagiza Jeshi la Polisi kuwachukulia hatua kali wahalifu ili liwe fundisho
Soma > https://jamii.app/MasauniVsKifoMwanafunziKIU
> Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema Jeshi la Polisi limewatambua wahusika
> Ameliagiza Jeshi la Polisi kuwachukulia hatua kali wahalifu ili liwe fundisho
Soma > https://jamii.app/MasauniVsKifoMwanafunziKIU
CHINA YAIONYA MAREKANI KUHUSU KUTUMA WANAJESHI MASHARIKI YA KATI
- Ni baada ya Marekani kutangaza kutuma Wanajeshi 1,000 wa ziada katika eneo la Mashariki ya Kati
- Aidha, imeisihi Iran kutojitenga na makubaliano ya nyuklia kiurahisi
Zaidi, soma https://jamii.app/ChinaYaionyaUSA
- Ni baada ya Marekani kutangaza kutuma Wanajeshi 1,000 wa ziada katika eneo la Mashariki ya Kati
- Aidha, imeisihi Iran kutojitenga na makubaliano ya nyuklia kiurahisi
Zaidi, soma https://jamii.app/ChinaYaionyaUSA
BUNGENI: Wabunge wa CHADEMA, Esther Matiko, John Heche na Dkt. Emmaculate Sware walitolewa Bungeni wakipinga Dkt. Tulia kumtaka Augustine Vuma(CCM) kuomba radhi kwa alichokizungumza wakati akichana kitabu cha hotuba ya Upinzani na si kitendo chake cha kuchana kitabu
Zaidi, soma https://jamii.app/WabungeCDMWatolewaBungeni
Zaidi, soma https://jamii.app/WabungeCDMWatolewaBungeni
ETHIOPIA: INTERNET YAREJEA BAADA YA KUKATWA KWA WIKI MOJA
> Huduma hiyo imerejeshwa leo baada ya mtandao kuzimwa kwa muda wa wiki moja
> Yadaiwa 'internet' ilizimwa ili kuzuia udanganyifu kwenye mitihani ya Taifa ya Sekondari
Zaidi, soma => https://jamii.app/EthiopiaInternet
> Huduma hiyo imerejeshwa leo baada ya mtandao kuzimwa kwa muda wa wiki moja
> Yadaiwa 'internet' ilizimwa ili kuzuia udanganyifu kwenye mitihani ya Taifa ya Sekondari
Zaidi, soma => https://jamii.app/EthiopiaInternet
ORLANDO, MAREKANI: RAIS DONALD TRUMP AZINDUA KAMPENI ZAKE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2020
> Rais wa Marekani, Donald Trump amezindua kampeni zake kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020
> Hotuba yake imegusia utoaji mimba, familia, silaha, ujamaa na uchumi
Soma > https://jamii.app/Trump2020
> Rais wa Marekani, Donald Trump amezindua kampeni zake kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020
> Hotuba yake imegusia utoaji mimba, familia, silaha, ujamaa na uchumi
Soma > https://jamii.app/Trump2020