NAIROBI, KENYA: MATATU ZAGOMA, ABIRIA WATEMBEA KWA MIGUU
- Abiria wa Nairobi hususani maeneo ya Kayole, Eastleigh na Dandora imewalazimu kutembea kwa miguu
- Moja ya sababu ya madereva kugoma ni kuchoshwa na udhalilishaji kutoka kwa Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/NairobiMatatuStrike
- Abiria wa Nairobi hususani maeneo ya Kayole, Eastleigh na Dandora imewalazimu kutembea kwa miguu
- Moja ya sababu ya madereva kugoma ni kuchoshwa na udhalilishaji kutoka kwa Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/NairobiMatatuStrike
KARATU, ARUSHA: WATOTO 49 WALIOKUWA WAKITUMIKISHWA MASHAMBANI WAREJEA KATIKA FAMILIA ZAO
> Watoto hao wenye umri wa kati ya miaka 10-17 walikutwa wakitumikishwa katika mashamba ya vitunguu wakati ambao walitakiwa kuwa kwenye masomo
Zaidi, soma => https://jamii.app/WatotoMashambaKaratu
> Watoto hao wenye umri wa kati ya miaka 10-17 walikutwa wakitumikishwa katika mashamba ya vitunguu wakati ambao walitakiwa kuwa kwenye masomo
Zaidi, soma => https://jamii.app/WatotoMashambaKaratu
👍1
MASWA, SIMIYU: KIJANA AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA KWA KUMBAKA NA KUMPA UJAUZITO MWANAFUNZI
> Domician Faustine(20) amehukumiwa kifungo hicho na Mahakama kwa hatia ya kumbaka na kumpa ujauzito Mwanafunzi wa Kidato cha 1 wa Shule ya Sekondari Binza
Soma > https://jamii.app/KifungoKubakaMaswa
> Domician Faustine(20) amehukumiwa kifungo hicho na Mahakama kwa hatia ya kumbaka na kumpa ujauzito Mwanafunzi wa Kidato cha 1 wa Shule ya Sekondari Binza
Soma > https://jamii.app/KifungoKubakaMaswa
UNHCR: WATU MILIONI 70.8 WANAISHI KAMA WAKIMBIZI DUNIANI
- Watu hao wameyakimbia makazi yao duniani kote kuepuka ghasia na unyanyasaji
- Kundi kubwa la Wakimbizi takribani milioni 13 linatoka Syria, waliokimbia vita vilivyodumu kwa miaka 8
Zaidi, soma https://jamii.app/IdadiWakimbiziDuniani
- Watu hao wameyakimbia makazi yao duniani kote kuepuka ghasia na unyanyasaji
- Kundi kubwa la Wakimbizi takribani milioni 13 linatoka Syria, waliokimbia vita vilivyodumu kwa miaka 8
Zaidi, soma https://jamii.app/IdadiWakimbiziDuniani
KENYA: MWANAUME ASHIKILIWA GEREZA LA KIKE
- Alikamatwa katika Hospitali ya Rufaa ya Moi akifanya kazi kama Muuguzi Mwanafunzi wa kike bila kusajiliwa
- Aligundulika ni mwanaume wakati wa ukaguzi katika gereza la Eldoret alikokuwa akishikiliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MwanaumeGerezaWanawake
- Alikamatwa katika Hospitali ya Rufaa ya Moi akifanya kazi kama Muuguzi Mwanafunzi wa kike bila kusajiliwa
- Aligundulika ni mwanaume wakati wa ukaguzi katika gereza la Eldoret alikokuwa akishikiliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MwanaumeGerezaWanawake
MOROGORO: MWANAJESHI WA JWTZ AUAWA NA KUPORWA PIKIPIKI
> Leonard Lihumba(52) Askari wa Jeshi la Wananchi(JWTZ), aliuawa tarehe 30 mwezo Mei, 2019 katika mashamba ya mkonge Tungi
> Katika tukio hilo aliporwa Pikipiki aliyokuwa akitembelea
Zaidi, soma => https://jamii.app/MwanajeshiAuawaMoro
> Leonard Lihumba(52) Askari wa Jeshi la Wananchi(JWTZ), aliuawa tarehe 30 mwezo Mei, 2019 katika mashamba ya mkonge Tungi
> Katika tukio hilo aliporwa Pikipiki aliyokuwa akitembelea
Zaidi, soma => https://jamii.app/MwanajeshiAuawaMoro
WADAIWA SUGU WA MADENI YA CIS NA FACF WATAKIWA KULIPA
- Ni wadaiwa sugu wa madeni ya Commodity Import Suport(CIS) na Food Aid Counterpart Fund(FACF)
- Miongoni mwa wadaiwa kupitia Kampuni zao ni Yusuph Manji, Mohamed Dewji na Stephen Wassira
Zaidi, soma https://jamii.app/WadaiwaCIS-FACFKikaangoni
- Ni wadaiwa sugu wa madeni ya Commodity Import Suport(CIS) na Food Aid Counterpart Fund(FACF)
- Miongoni mwa wadaiwa kupitia Kampuni zao ni Yusuph Manji, Mohamed Dewji na Stephen Wassira
Zaidi, soma https://jamii.app/WadaiwaCIS-FACFKikaangoni
ALIYEHUSIKA NA MAUAJI YA MWANAFUNZI WA KIU AKAMATWA, AKIRI MAKOSA
> Ernest Joseph(19) amekamatwa na Polisi usiku wa kuamkia leo akiwa Madale, Dar
> Akiri kumjeruhi kwa kisu Anifa Mgaya na kumpora pochi iliyokuwa na simu, Tsh. 8,000 na vitambulisho
Soma > https://jamii.app/MtuhumiwaMauajiKIU
> Ernest Joseph(19) amekamatwa na Polisi usiku wa kuamkia leo akiwa Madale, Dar
> Akiri kumjeruhi kwa kisu Anifa Mgaya na kumpora pochi iliyokuwa na simu, Tsh. 8,000 na vitambulisho
Soma > https://jamii.app/MtuhumiwaMauajiKIU
MBUNGE MSTAAFU WA KILOMBERO, ABDUL MTEKETA AFARIKI DUNIA
> Amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu
> Abdul Mteketa alikuwa Mbunge wa Kilombero kuanzia mwaka 2010-2015, alianguka kwenye kura za maoni 2015
Zaidi, soma => https://jamii.app/RIPAbdulMteketa
> Amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu
> Abdul Mteketa alikuwa Mbunge wa Kilombero kuanzia mwaka 2010-2015, alianguka kwenye kura za maoni 2015
Zaidi, soma => https://jamii.app/RIPAbdulMteketa
NEC KUTOTUMIA WAKURUGENZI KATIKA UCHAGUZI
- Imesema vifungu vya sheria ya uchaguzi vilivyotenguliwa na Mahakama havitatumika
- Ni Vifungu vya 7(1) na 7(3) vinavyowapa Wakurugenzi wa Jiji na Manispaa uwezo wa kuteuliwa kusimamia Uchaguzi
Zaidi, soma https://jamii.app/DEDKutosimamiaUchaguzi
- Imesema vifungu vya sheria ya uchaguzi vilivyotenguliwa na Mahakama havitatumika
- Ni Vifungu vya 7(1) na 7(3) vinavyowapa Wakurugenzi wa Jiji na Manispaa uwezo wa kuteuliwa kusimamia Uchaguzi
Zaidi, soma https://jamii.app/DEDKutosimamiaUchaguzi
MBEYA: MHANDISI AJINYONGA KWA KUTUMIA SURUALI YAKE
> Aswile Msika (37) Mhandisi wa Halmashauri ya Chunya ajiua kwa kujinyonga katika eneo la Nyatura Kata ya Mbugani
> Alikuwa akituhumiwa kwa kuomba na kupokea rushwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/MhandisiAjinyongaChunya
> Aswile Msika (37) Mhandisi wa Halmashauri ya Chunya ajiua kwa kujinyonga katika eneo la Nyatura Kata ya Mbugani
> Alikuwa akituhumiwa kwa kuomba na kupokea rushwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/MhandisiAjinyongaChunya
LUIS ENRIQUE AJIUZULU KUENDELEA KUINOA UHISPANIA
- Inadaiwa ni kutokana na sababu binafsi na sasa nafasi yake inachukuliwa na Kocha Msaidizi, Robert Moreno
- Hatua hii inakuja akiwa hajamaliza hata mwaka mmoja tangu asaini mkataba wa miaka 2
Zaidi, soma https://jamii.app/EnriqueQuitsSpain
- Inadaiwa ni kutokana na sababu binafsi na sasa nafasi yake inachukuliwa na Kocha Msaidizi, Robert Moreno
- Hatua hii inakuja akiwa hajamaliza hata mwaka mmoja tangu asaini mkataba wa miaka 2
Zaidi, soma https://jamii.app/EnriqueQuitsSpain
UFARANSA: RAIS MSTAAFU, NICOLAS SARKOZY KUSHTAKIWA KWA RUSHWA
> Nicolas Sarkozy anatarajiwa kufikishwa Mahakamani mwezi ujao baada ya rufaa yake ya utetezi kukwama
> Anatuhumiwa kwa rushwa na kufanya biashara ya mali za wizi
Zaidi, soma => https://jamii.app/SarkozyRushwa
> Nicolas Sarkozy anatarajiwa kufikishwa Mahakamani mwezi ujao baada ya rufaa yake ya utetezi kukwama
> Anatuhumiwa kwa rushwa na kufanya biashara ya mali za wizi
Zaidi, soma => https://jamii.app/SarkozyRushwa
TAHADHARI: UBALOZI WA MAREKANI WAONYA UWEZEKANO WA KUTOKEA SHAMBULIO, TANZANIA
- Ubalozi wa Marekani umeonya kuwa kuna tetesi za kutokea shambulio katika maeneo ya Masaki jijini Dar hususani katika migahawa na hoteli ya Slipway Shopping Center ya Msasani
- Watu wanashauriwa kuwa makini na mazingira, kuepuka mikusanyiko, kufuatilia vyombo vya habari ili kupata mwendelezo wa habari na kuwa waangalifu katika maeneo yanayotembelewa sana na Watalii
- Ubalozi wa Marekani umeonya kuwa kuna tetesi za kutokea shambulio katika maeneo ya Masaki jijini Dar hususani katika migahawa na hoteli ya Slipway Shopping Center ya Msasani
- Watu wanashauriwa kuwa makini na mazingira, kuepuka mikusanyiko, kufuatilia vyombo vya habari ili kupata mwendelezo wa habari na kuwa waangalifu katika maeneo yanayotembelewa sana na Watalii
RAIS MAGUFULI KUONGOZA KONGAMANO LA KOROSHO, MTWARA
- Anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo litakalofanyikia Julai 12 na 13 mwaka huu
- Lengo la kongamano ni kuwavutia Wawekezaji waanzishe miradi na viwanda vya kusindika korosho
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliKongamanoKorosho
- Anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo litakalofanyikia Julai 12 na 13 mwaka huu
- Lengo la kongamano ni kuwavutia Wawekezaji waanzishe miradi na viwanda vya kusindika korosho
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliKongamanoKorosho
JESHI LA POLISI: TAARIFA ZA TISHIO LA SHAMBULIO DAR, TUNAZIFANYIA KAZI
> Jeshi la Polisi limesema kuwa taarifa hizo wanazo na wanaendelea kuzifanyia kazi
> Mussa Taibu, RPC Kinondoni amewataka Wananchi kutoa taarifa za viashiria vya hatari
Zaidi, soma => https://jamii.app/PolisiOnyoShambulioDar
> Jeshi la Polisi limesema kuwa taarifa hizo wanazo na wanaendelea kuzifanyia kazi
> Mussa Taibu, RPC Kinondoni amewataka Wananchi kutoa taarifa za viashiria vya hatari
Zaidi, soma => https://jamii.app/PolisiOnyoShambulioDar
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
MAKONDA: DAR NI SHWARI, WANANCHI MSIWE NA HOFU
- Baada ya Tahadhari ya Usalama katika Jiji la Dar iliyotolewa na Ubalozini wa Marekani, RC wa Dar, Paul Makonda amewahakikishia Wananchi kuwa hali ni shwari
- Aidha, ameomba watoa taarifa kuzigatia sheria, Kanuni na Katiba ya nchi kwani kuna vyombo maalumu vilivyopewa mamlaka ya kutangaza hali ya hatari
- Baada ya Tahadhari ya Usalama katika Jiji la Dar iliyotolewa na Ubalozini wa Marekani, RC wa Dar, Paul Makonda amewahakikishia Wananchi kuwa hali ni shwari
- Aidha, ameomba watoa taarifa kuzigatia sheria, Kanuni na Katiba ya nchi kwani kuna vyombo maalumu vilivyopewa mamlaka ya kutangaza hali ya hatari
KENYA: MTANZANIA AKUTWA NA HATIA KATIKA MAKOSA YA UGAIDI
- Rashid Mberesero mwenyeji wa Kilimanjaro na Wakenya wawili wamekutwa na hatia ya kutekeleza shambulio la kigaidi mwaka 2015 katika Chuo Kikuu cha Garissa, Kenya na kuua Wanafunzi 148
Zaidi, soma https://jamii.app/MtanzaniaHatianiUgaidi-KE
- Rashid Mberesero mwenyeji wa Kilimanjaro na Wakenya wawili wamekutwa na hatia ya kutekeleza shambulio la kigaidi mwaka 2015 katika Chuo Kikuu cha Garissa, Kenya na kuua Wanafunzi 148
Zaidi, soma https://jamii.app/MtanzaniaHatianiUgaidi-KE
MWANZA: AJITEKETEZA KWA MOTO BAADA YA KUMUUA MPENZI WAKE
> Fungi Mayala adaiwa kujichoma kwa moto baada ya kumuua mpenzi wake kwa kumkata kwa panga
> Inaelezwa kuwa alikuwa katika ugomvi na mpenzi wake ambaye alimshitaki na kesi iko Mahakamani
Soma > https://jamii.app/AjichomaMotoMwanza
> Fungi Mayala adaiwa kujichoma kwa moto baada ya kumuua mpenzi wake kwa kumkata kwa panga
> Inaelezwa kuwa alikuwa katika ugomvi na mpenzi wake ambaye alimshitaki na kesi iko Mahakamani
Soma > https://jamii.app/AjichomaMotoMwanza
KENYA: WAPENZI WA JINSIA MOJA WALIOTOROKA KAMBI YA WAKIMBIZI KAKUMA WARUDISHWA
> Walitoroka katika kambi hiyo ya Kakuma kwa madai kuwa walikuwa walengwa wa matukio ya ubaguzi dhidi yao, wamekamatwa Nairobi na wamerudishwa katika kambi hiyo
Soma => https://jamii.app/LGBTQKakuma
> Walitoroka katika kambi hiyo ya Kakuma kwa madai kuwa walikuwa walengwa wa matukio ya ubaguzi dhidi yao, wamekamatwa Nairobi na wamerudishwa katika kambi hiyo
Soma => https://jamii.app/LGBTQKakuma