WATATU MBARONI KWA KUHUSIKA NA MAUAJI YA KATIBU WA CHADEMA
> Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linawashikilia watu 3 kwa tuhuma za kumuua Katibu mwenezi wa CHADEMA Wilaya ya Malinyi, Lucas Lihambalimu (42)
> Uchunguzi uliofanywa umebaini chanzo cha mauaji kuwa ni mgogoro wa mashamba
Soma - https://jamii.app/3MbaroniMauajiCDM
> Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linawashikilia watu 3 kwa tuhuma za kumuua Katibu mwenezi wa CHADEMA Wilaya ya Malinyi, Lucas Lihambalimu (42)
> Uchunguzi uliofanywa umebaini chanzo cha mauaji kuwa ni mgogoro wa mashamba
Soma - https://jamii.app/3MbaroniMauajiCDM
YEMEN: WATOTO WACHANGA 6 HUFARIKI KILA BAADA YA SAA MBILI
> Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto limesema tangu kuongezeka kwa mapigano, vifo wakati wa kujifunga vimeongezeka kutoka vifo 5 kwa siku mwaka 2013 na kufikia 12 kwa siku mwaka 2018
Soma - https://jamii.app/VifoVichangaWajawazito
> Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto limesema tangu kuongezeka kwa mapigano, vifo wakati wa kujifunga vimeongezeka kutoka vifo 5 kwa siku mwaka 2013 na kufikia 12 kwa siku mwaka 2018
Soma - https://jamii.app/VifoVichangaWajawazito
HONG KONG: MUSWADA WA SHERIA WASITISHWA KUFUATIA MAANDAMANO
> Serikali inayoongoza Jimbo hilo imetangaza kusitisha muswada uliolenga kuruhusu watuhumiwa wa makosa mbalimbali kushtakiwa China
> Hong Kong ni Jimbo la China lenye mamlaka yake
Soma => https://jamii.app/MuswadaHongKong
> Serikali inayoongoza Jimbo hilo imetangaza kusitisha muswada uliolenga kuruhusu watuhumiwa wa makosa mbalimbali kushtakiwa China
> Hong Kong ni Jimbo la China lenye mamlaka yake
Soma => https://jamii.app/MuswadaHongKong
KYELA, MBEYA: WATU ZAIDI YA 10 WAJERUHIWA KATIKA AJALI YA GARI
> Wamejeruhiwa katika ajali inayoelezwa kuwa imesababishwa na mwendokasi wa basi aina ya Coaster walilokuwa wakisafiria
> Ajali imetokea katika Kijiji cha Ikomelo mchana wa leo
Soma > https://jamii.app/AjaliKyela
> Wamejeruhiwa katika ajali inayoelezwa kuwa imesababishwa na mwendokasi wa basi aina ya Coaster walilokuwa wakisafiria
> Ajali imetokea katika Kijiji cha Ikomelo mchana wa leo
Soma > https://jamii.app/AjaliKyela
HAPPY FATHER’S DAY: Leo ni Siku ya kusherekea, kuenzi na kutambua nafasi ya Baba kwenye maisha ya mtoto
-
Menejimenti na Wafanyakazi wa JamiiForums wanawatakia kina Baba wote Upendo na Amani kwenye siku hii muhimu
-
Menejimenti na Wafanyakazi wa JamiiForums wanawatakia kina Baba wote Upendo na Amani kwenye siku hii muhimu
MOGADISHU: WATU 11 WAMEFARIKI NA 25 KUJERUHIWA KWENYE MILIPUKO
- Ni milipuko ya kujitoa muhanga iliyohusisha magari kwenye eneo la ukaguzi la Kasri ya Rais na eneo la ukaguzi la Uwanja wa Ndege
- Al-Shabab wamekiri kuhusika na milipuko hiyo
Soma https://jamii.app/MilipukoMogadishu
- Ni milipuko ya kujitoa muhanga iliyohusisha magari kwenye eneo la ukaguzi la Kasri ya Rais na eneo la ukaguzi la Uwanja wa Ndege
- Al-Shabab wamekiri kuhusika na milipuko hiyo
Soma https://jamii.app/MilipukoMogadishu
ISRAEL: MKE WA WAZIRI MKUU AHUKUMIWA KWA MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZA SERIKALI
- Sara Netanyahu amehukumiwa kulipa faini ya $15,000(Tsh. 34,582,500) baada ya kukutwa na hatia ya kutumia vibaya fedha za Serikali katika manunuzi ya chakula
Zaidi, soma https://jamii.app/SaraNetanyahuConvicted
- Sara Netanyahu amehukumiwa kulipa faini ya $15,000(Tsh. 34,582,500) baada ya kukutwa na hatia ya kutumia vibaya fedha za Serikali katika manunuzi ya chakula
Zaidi, soma https://jamii.app/SaraNetanyahuConvicted
INDIA YAONGEZA USHURU KWA BIDHAA ZA MAREKANI
- Imesema imeamua kuongeza ushuru kwa bidhaa 28 zinazoagizwa kutoka Marekani kuanzia jana
- Ni kutokana na Marekani kuongeza ushuru wa bidhaa za chuma na aluminium zinazoingizwa nchini humo
Zaidi, soma https://jamii.app/IndiaMarekaniUshuru
- Imesema imeamua kuongeza ushuru kwa bidhaa 28 zinazoagizwa kutoka Marekani kuanzia jana
- Ni kutokana na Marekani kuongeza ushuru wa bidhaa za chuma na aluminium zinazoingizwa nchini humo
Zaidi, soma https://jamii.app/IndiaMarekaniUshuru
MTU MWENYE DALILI KAMA ZA EBOLA AONEKANA KENYA, MAMLAKA ZA AFYA ZACHUKUA TAHADHARI
- Dalili zimeonekana kwa Mwanamke mmoja aliyetoka Mabala, mpakani mwa Kenya na Uganda
- Amelazwa katika hospitali ya rufaa ya Kaunti ya Kericho tangu jana
Zaidi, soma https://jamii.app/SuspectedEbolaCase-KE
- Dalili zimeonekana kwa Mwanamke mmoja aliyetoka Mabala, mpakani mwa Kenya na Uganda
- Amelazwa katika hospitali ya rufaa ya Kaunti ya Kericho tangu jana
Zaidi, soma https://jamii.app/SuspectedEbolaCase-KE
DR CONGO MASHARIKI: ENEO LENYE UTAJIRI WA MITI INAYOZALISHA DAWA AINA YA QUININE
> Jimbo la Kivu(Kusini na Kaskazini) linahifadhi kubwa ya miti aina ya Cinchona inayotumika kutengeneza dawa hizo
> Hata hivyo DRC ni Taifa la pili Duniani kwa vifo vya Malaria
Soma > https://jamii.app/QuinineDRC
> Jimbo la Kivu(Kusini na Kaskazini) linahifadhi kubwa ya miti aina ya Cinchona inayotumika kutengeneza dawa hizo
> Hata hivyo DRC ni Taifa la pili Duniani kwa vifo vya Malaria
Soma > https://jamii.app/QuinineDRC
MTAMBO WA MAJI WA RUVU JUU KUZIMWA
- Uzalishaji wa maji katika mtambo wa Ruvu Juu umesimamishwa kwa muda ili kuruhusu mafundi wa TANESCO na DAWASA kufanya maboresho
- Baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar na maeneo ya Mlandizi na Kibaha yatakosa maji
Zaidi, soma https://jamii.app/RuvuJuuKuzimwa-DAWASA
- Uzalishaji wa maji katika mtambo wa Ruvu Juu umesimamishwa kwa muda ili kuruhusu mafundi wa TANESCO na DAWASA kufanya maboresho
- Baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar na maeneo ya Mlandizi na Kibaha yatakosa maji
Zaidi, soma https://jamii.app/RuvuJuuKuzimwa-DAWASA
INDIA: MFANYAMAZINGAOMBWE APOTEA MTONI AKIJARIBU KUONESHA UJUZI
- Chanchal Lahiri aliyefungwa kwa minyororo na makufuli na kisha kutumbukizwa mtoni anaofiwa kufa hapo jana
- Alitakiwa kuibuka akiwa amejifungua minyororo hiyo lakini hakuibuka na hadi jana jioni alitafutwa bila mafanikio
Zaidi, soma https://jamii.app/MfanyamazingaombweAhofiwaKufa-IND
- Chanchal Lahiri aliyefungwa kwa minyororo na makufuli na kisha kutumbukizwa mtoni anaofiwa kufa hapo jana
- Alitakiwa kuibuka akiwa amejifungua minyororo hiyo lakini hakuibuka na hadi jana jioni alitafutwa bila mafanikio
Zaidi, soma https://jamii.app/MfanyamazingaombweAhofiwaKufa-IND
WEMA SEPETU KWENDA MAHABUSU KWA SIKU 7
- Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu imeamuru msanii huyo kukaa mahabusu akisubiri uamuzi wa dhamana baada ya kukiuka masharti
- Mara ya mwisho shauri hilo kusikilizwa, Mahakama iliamuru Wema akamatwe
Zaidi, soma https://jamii.app/WemaSepetuMahabusuSiku7
- Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu imeamuru msanii huyo kukaa mahabusu akisubiri uamuzi wa dhamana baada ya kukiuka masharti
- Mara ya mwisho shauri hilo kusikilizwa, Mahakama iliamuru Wema akamatwe
Zaidi, soma https://jamii.app/WemaSepetuMahabusuSiku7
HUAWEI KUPATA HASARA YA DOLA BILIONI 30 KWA MIAKA 2 IJAYO
> CEO wa Huawei, Ren Zhengfei amesema kampuni hiyo anailaumu Marekani kwa kupinga biashara yake
> Amesema mauzo ya nje ya bidhaa za kampuni hiyo yameshuka kwa asilimia 40 kwa mwaka huu
Soma > https://jamii.app/HuaweiLoss
> CEO wa Huawei, Ren Zhengfei amesema kampuni hiyo anailaumu Marekani kwa kupinga biashara yake
> Amesema mauzo ya nje ya bidhaa za kampuni hiyo yameshuka kwa asilimia 40 kwa mwaka huu
Soma > https://jamii.app/HuaweiLoss
MWANAFUNZI CHUO KIKUU KIU AFARIKI BAADA YA KUSHAMBULIWA NA VIBAKA
> Aliyefariki ni Anifa Mgaya mwanafunzi wa Stashahada ya Maabara katika Chuo Kukuu cha Kampala tawi la Tanzania
> Alivamiwa na vibaka waliomjeruhi kwa kisu
Zaidi, soma https://jamii.app/RIPAnifaMgaya
> Aliyefariki ni Anifa Mgaya mwanafunzi wa Stashahada ya Maabara katika Chuo Kukuu cha Kampala tawi la Tanzania
> Alivamiwa na vibaka waliomjeruhi kwa kisu
Zaidi, soma https://jamii.app/RIPAnifaMgaya
NIGERIA: WATU 30 WAMEFARIKI KATIKA MASHAMBULIO MATATU YA BOMU
- Watu wengine 40 wamejeruhiwa katika milipuko hiyo iliyotokea nje ya ukumbi huko Konduga, Borno
- Katika ukumbi huo Mashabiki wa mpira walikuwa wakifuatilia mechi kupitia runinga
Zaidi, soma https://jamii.app/30WauawaNigeriabomu
- Watu wengine 40 wamejeruhiwa katika milipuko hiyo iliyotokea nje ya ukumbi huko Konduga, Borno
- Katika ukumbi huo Mashabiki wa mpira walikuwa wakifuatilia mechi kupitia runinga
Zaidi, soma https://jamii.app/30WauawaNigeriabomu
KIRINYAGA, KENYA: AMCHOMA MKEWE KWA KUPIKA WALI BADALA YA KANDE
> Peter Ngugi(32) anashikiliwa na kwa kumjeruhi mkewe kwa kumwagia moto
> Alimuagiza Mkewe apike 'Githeri' (Kande) lakini Mkewe alipika wali
Zaidi, soma => https://jamii.app/AmchomaMkeweKE
> Peter Ngugi(32) anashikiliwa na kwa kumjeruhi mkewe kwa kumwagia moto
> Alimuagiza Mkewe apike 'Githeri' (Kande) lakini Mkewe alipika wali
Zaidi, soma => https://jamii.app/AmchomaMkeweKE
TAASISI ZA KIDINI NA JUMUIYA ZA KIJAMII KUFUTIWA USAJILI ZISIPO HAKIKIWA
-Serikali inafanya uhakiki wa Jumuiya na Taasisi hizo nchi nzima ambapo awamu ya 2 itafanyika Dodoma, Morogoro, Singida na Manyara kuanzia Juni 23 hadi Julai 2 mwaka huu
Zaidi, soma https://jamii.app/TaasisiZisizohakikiwaKufutwa
-Serikali inafanya uhakiki wa Jumuiya na Taasisi hizo nchi nzima ambapo awamu ya 2 itafanyika Dodoma, Morogoro, Singida na Manyara kuanzia Juni 23 hadi Julai 2 mwaka huu
Zaidi, soma https://jamii.app/TaasisiZisizohakikiwaKufutwa
RIPOTI: KIWANGO CHA SILAHA ZA NYUKLIA CHAPUNGUA DUNIANI
- Kituo cha Kimataifa cha Utafiti wa Amani kimesema kiwango kimepungua kwa silaha 800 katika nchi 9 katika kipindi cha mwaka mmoja ila Mataifa yanatengeneza silaha za kisasa zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/SilahaNyukliaZapungua
- Kituo cha Kimataifa cha Utafiti wa Amani kimesema kiwango kimepungua kwa silaha 800 katika nchi 9 katika kipindi cha mwaka mmoja ila Mataifa yanatengeneza silaha za kisasa zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/SilahaNyukliaZapungua