ULEVI NA UZEMBE WACHANGIA ASILIMIA 76 YA AJALI ZA BARABARANI
> Imeelezwa kuwa moja ya chanzo kikuu cha ajali za barabarani ni makosa ya kibinadamu ikiwa ni pamoja na ulevi na uzembe ambao huchangia kwa asilimia 76
> Ubovu wa Magari huchangia asilimia 16 na mazingira ya Barabara asilimia 8
Soma - https://jamii.app/UleviUzembeAjali
> Imeelezwa kuwa moja ya chanzo kikuu cha ajali za barabarani ni makosa ya kibinadamu ikiwa ni pamoja na ulevi na uzembe ambao huchangia kwa asilimia 76
> Ubovu wa Magari huchangia asilimia 16 na mazingira ya Barabara asilimia 8
Soma - https://jamii.app/UleviUzembeAjali
❤1
OFISI YA CHADEMA MKOANI LINDI YATEKETEZWA KWA MOTO
> Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo na limetekelezwa na watu ambao hadi sasa hawajafahamika
> Taarifa hizi zimethibitishwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kusini, Cecil Mwambe
Soma => https://jamii.app/OfisiCDMLindi
> Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo na limetekelezwa na watu ambao hadi sasa hawajafahamika
> Taarifa hizi zimethibitishwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kusini, Cecil Mwambe
Soma => https://jamii.app/OfisiCDMLindi
WANANCHI KUTOA MIZIGO BANDARINI BILA KUTUMIA WAKALA WA FORODHA
> Waziri wa Fedha amesema kutakuwa na utaratibu mpya wa kuondoa mizigo bandarini ambapo wananchi wa kawaida wataruhusiwa kutoa mizigo yao bila ya kuwa na ulazima wa kutumia Wakala wa Forodha (Clearing and Forwarding Agents)
> Utaratibu huu hautahusisha mizigo inayopitishwa nchini kwenda nje ya nchi (Transit Cargo)
Soma - https://jamii.app/UtoajiMizigoBandari
> Waziri wa Fedha amesema kutakuwa na utaratibu mpya wa kuondoa mizigo bandarini ambapo wananchi wa kawaida wataruhusiwa kutoa mizigo yao bila ya kuwa na ulazima wa kutumia Wakala wa Forodha (Clearing and Forwarding Agents)
> Utaratibu huu hautahusisha mizigo inayopitishwa nchini kwenda nje ya nchi (Transit Cargo)
Soma - https://jamii.app/UtoajiMizigoBandari
KODI KUANZA KULIPWA BAADA YA MIEZI 6 TANGU KUPATA TIN
> Serikali imesema mfanyabiashara ama mwekezaji atakapopatiwa Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) atatakiwa kuanza kulipa kodi baada ya miezi 6
> Imeiagiza TRA kuanzisha dawati la kushughulikia mapingamizi ya makadirio ya kodi ambapo mapingamizi ya uthaminishaji na utambuzi yatashughulikiwa ndani ya saa 24
Soma - https://jamii.app/MudaKodiTIN
> Serikali imesema mfanyabiashara ama mwekezaji atakapopatiwa Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) atatakiwa kuanza kulipa kodi baada ya miezi 6
> Imeiagiza TRA kuanzisha dawati la kushughulikia mapingamizi ya makadirio ya kodi ambapo mapingamizi ya uthaminishaji na utambuzi yatashughulikiwa ndani ya saa 24
Soma - https://jamii.app/MudaKodiTIN
IRAN YASHUTUMIWA KUHUSIKA NA SHAMBULIZI LA MELI ZA MAFUTA
> Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo ameilaumu nchi ya Iran kuhusika na shambulizi la mwezi Mei dhidi ya meli za mafuta kwenye pwani ya nchi za Ghuba
> Mlipuko ulitokea katika meli moja ya Japan na nyingine ya Norway
Soma - https://jamii.app/IranShipOil
> Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo ameilaumu nchi ya Iran kuhusika na shambulizi la mwezi Mei dhidi ya meli za mafuta kwenye pwani ya nchi za Ghuba
> Mlipuko ulitokea katika meli moja ya Japan na nyingine ya Norway
Soma - https://jamii.app/IranShipOil
MAHITAJI NA HATUA ZA UPISHI WA MAKANGE YA KUKU
> Mahitaji kwa ajili ya upishi wa chakula hiki ni Kuku, mafuta ya kupikia, tangawizi, kitunguu saumu na maji, karoti, hoho, ndimu, chumvi
> Mahitaji mengine: chicken masala, Nyanya ya pakti na kawaida pamoja na Pilipili
Kwa maelezo ya idadi ya mahitaji na jinsi ya kupika, soma => https://jamii.app/MakangeKuku
> Mahitaji kwa ajili ya upishi wa chakula hiki ni Kuku, mafuta ya kupikia, tangawizi, kitunguu saumu na maji, karoti, hoho, ndimu, chumvi
> Mahitaji mengine: chicken masala, Nyanya ya pakti na kawaida pamoja na Pilipili
Kwa maelezo ya idadi ya mahitaji na jinsi ya kupika, soma => https://jamii.app/MakangeKuku
KENYA: RAIA WA CHINA WAFUKUZWA KUFANYA BIASHARA
> Waziri wa Mambo ya Ndani, Fred Matiang'i amewatimua nchini humo wafanyabiashara saba waliopatikana na hatia ya kufanya biashara zao kinyume cha sheria katika soko la mitumba la Gikomba
Soma - https://jamii.app/BiasharaChinaKE
> Waziri wa Mambo ya Ndani, Fred Matiang'i amewatimua nchini humo wafanyabiashara saba waliopatikana na hatia ya kufanya biashara zao kinyume cha sheria katika soko la mitumba la Gikomba
Soma - https://jamii.app/BiasharaChinaKE
UMOJA WA ULAYA(EU): MITANDAO YA KIJAMII IFANYE JITIHADA ZA KUPAMBANA NA UPOTOSHAJI
> EU imetoa rai kwa Mitandao ya Kijamii na majukwaa ya mitandaoni baada ya tuhuma za Urusi kujaribu kuingilia uchaguzi wa Bunge la Jumuiya hiyo
Soma > https://jamii.app/UrusiVsEU
> EU imetoa rai kwa Mitandao ya Kijamii na majukwaa ya mitandaoni baada ya tuhuma za Urusi kujaribu kuingilia uchaguzi wa Bunge la Jumuiya hiyo
Soma > https://jamii.app/UrusiVsEU
FAMILIA YAMUUA BABA ALIYEUA WATOTO WAKE WATATU
> Familia kwa kushirikiana na majirani imemuua Daudi Kipkoir Kamaril mkazi wa Kapker, katika kaunti ya Elgeyo-Marakwet ambaye aliwaua kwa risasi watoto wake 3 na kuwajeruhi wengine 3
> Kwa mujibu wa Polisi, wananchi hao walitumia bunduki ileile aliyoitumia kuwaua wanawe
Soma - https://jamii.app/MauajiBabaWatoto
> Familia kwa kushirikiana na majirani imemuua Daudi Kipkoir Kamaril mkazi wa Kapker, katika kaunti ya Elgeyo-Marakwet ambaye aliwaua kwa risasi watoto wake 3 na kuwajeruhi wengine 3
> Kwa mujibu wa Polisi, wananchi hao walitumia bunduki ileile aliyoitumia kuwaua wanawe
Soma - https://jamii.app/MauajiBabaWatoto
AFRIKA MASHARIKI: KENYA KINARA BAJETI KUBWA KWA MWAKA 2019/2020
> Nchi ya Kenya imetenga kiasi cha Ksh trilioni 3.02 sawa na Tsh trilioni 60 na Rwanda imepanga kutumia Rwf trilioni 2.8 sawa na Tsh trilioni 6
> Uganda inakadiria kutumia dola bilioni 10.9, ambayo ni Tsh trilioni 25 na Tanzania imetenga bajeti ya Tsh trilioni 33.1
#JFLeo
> Nchi ya Kenya imetenga kiasi cha Ksh trilioni 3.02 sawa na Tsh trilioni 60 na Rwanda imepanga kutumia Rwf trilioni 2.8 sawa na Tsh trilioni 6
> Uganda inakadiria kutumia dola bilioni 10.9, ambayo ni Tsh trilioni 25 na Tanzania imetenga bajeti ya Tsh trilioni 33.1
#JFLeo
MEXICO KUPIGA MNADA NDEGE YA RAIS ILI KUDHIBITI UHAMIAJI HARAMU
> Rais Andres Manuel Lopez ametangaza kupiga mnada ndege ya Rais na fedha zitakazopatikana zitatumika kusaidia jitihada za kudhibiti uhamiaji haramu
> Ndege hiyo aina ya Boeing 787 Dreamliner ilinunuliwa mwaka 2016 kwa dola milioni 218 lakini sasa inaweza kuuzwa kwa kiasi kisichopungua dola milioni 150
Soma https://jamii.app/MnadaNdegeRais
> Rais Andres Manuel Lopez ametangaza kupiga mnada ndege ya Rais na fedha zitakazopatikana zitatumika kusaidia jitihada za kudhibiti uhamiaji haramu
> Ndege hiyo aina ya Boeing 787 Dreamliner ilinunuliwa mwaka 2016 kwa dola milioni 218 lakini sasa inaweza kuuzwa kwa kiasi kisichopungua dola milioni 150
Soma https://jamii.app/MnadaNdegeRais
BRAZIL: CHUKI DHIDI YA WAPENZI WA JINSIA MOJA YAWA KOSA LA JINAI
> Majaji wa Mahakama ya Juu nchini humo wamepiga kura iliyotoa uamuzi huo
> Kura 8 kati ya 11 zimepitisha chuki dhidi ya watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja kuwa jinai
Soma > https://jamii.app/HomophobiaBrazil
> Majaji wa Mahakama ya Juu nchini humo wamepiga kura iliyotoa uamuzi huo
> Kura 8 kati ya 11 zimepitisha chuki dhidi ya watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja kuwa jinai
Soma > https://jamii.app/HomophobiaBrazil
TUME YA SHERIA YAPENDEKEZA UWEPO WA SHERIA MOJA YA UFILISI
> Tume ya Kurekebisha Sheria imependekeza kutungwa kwa sheria moja baada ya kubaini baadhi ya zilizopo kupitwa na wakati na baadhi zinatoa adhabu au faini ndogo kwa wale wanaokiuka taratibu za ufilisi kama vile Tsh. 200 au Tsh. 1,000
Soma - https://jamii.app/UtafitiSheriaUfilisi
> Tume ya Kurekebisha Sheria imependekeza kutungwa kwa sheria moja baada ya kubaini baadhi ya zilizopo kupitwa na wakati na baadhi zinatoa adhabu au faini ndogo kwa wale wanaokiuka taratibu za ufilisi kama vile Tsh. 200 au Tsh. 1,000
Soma - https://jamii.app/UtafitiSheriaUfilisi
WABUNGE 83 KUSAFIRI HADI MISRI KWENDA KUISHANGILIA TAIFA STARS
> Idadi hiyo ya Wabunge itakwenda nchini Misri kuiunga mkono timu ya Taifa katika mashindano ya AFCON 2019.
> Msafara huo utaongozwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai
Zaidi, soma => https://jamii.app/WabungeMisri
> Idadi hiyo ya Wabunge itakwenda nchini Misri kuiunga mkono timu ya Taifa katika mashindano ya AFCON 2019.
> Msafara huo utaongozwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai
Zaidi, soma => https://jamii.app/WabungeMisri
TUME YA SHERIA YAPENDEKEZA UWEPO WA SHERIA MOJA YA UFILISI
> Tume ya Kurekebisha Sheria imependekeza kutungwa kwa sheria moja baada ya kubaini baadhi ya zilizopo kupitwa na wakati na baadhi zinatoa adhabu au faini ndogo kwa wale wanaokiuka taratibu za ufilisi kama vile Tsh. 200 au Tsh. 1,000
Soma - https://jamii.app/UtafitiSheriaUfilisi
> Tume ya Kurekebisha Sheria imependekeza kutungwa kwa sheria moja baada ya kubaini baadhi ya zilizopo kupitwa na wakati na baadhi zinatoa adhabu au faini ndogo kwa wale wanaokiuka taratibu za ufilisi kama vile Tsh. 200 au Tsh. 1,000
Soma - https://jamii.app/UtafitiSheriaUfilisi
SUDAN KUSINI KUFUNGA BAADHI YA BALOZI ZAKE ILI KUBANA MATUMIZI
> Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje amesema kwamba Sudan Kusini imechukua hatua ya kuzifunga balozi zake katika nchi za Ufaransa, Norway, Ghana, Kuwait na Italia kutokana na kuzorota kwa uchumi na ukosefu wa utulivu wa kisiasa
Soma - https://jamii.app/FinancialCrisisSudan
#JFInternational
> Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje amesema kwamba Sudan Kusini imechukua hatua ya kuzifunga balozi zake katika nchi za Ufaransa, Norway, Ghana, Kuwait na Italia kutokana na kuzorota kwa uchumi na ukosefu wa utulivu wa kisiasa
Soma - https://jamii.app/FinancialCrisisSudan
#JFInternational
KYELA, MBEYA: POLISI ALIYEMPA UJAUZITO MWANAFUNZI ATOWEKA
> Konstebo Mlanda ametoroka baada ya kutuhumiwa kumbaka na kumpa ujauzito Mwanafunzi wa kidato cha kwanza mwenye miaka 14
> Mwanafunzi adai alibakwa kwa shinikizo la Mama yake mlezi
Soma > https://jamii.app/AskariAbakaKyela
> Konstebo Mlanda ametoroka baada ya kutuhumiwa kumbaka na kumpa ujauzito Mwanafunzi wa kidato cha kwanza mwenye miaka 14
> Mwanafunzi adai alibakwa kwa shinikizo la Mama yake mlezi
Soma > https://jamii.app/AskariAbakaKyela
MOROGORO: POLISI WAWAZUIA CHADEMA KUFANYA MKUTANO
-
Mkutano wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo uliokuwa ufanyike tarehe Juni 16, 2019 umefutwa na Jeshi la Polisi kwa sababu za kiusalama
-
Hata hivyo, inadaiwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wao wamepata kibali cha kufanya mkutano wao leo Mkoani humo
-
Mkutano wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo uliokuwa ufanyike tarehe Juni 16, 2019 umefutwa na Jeshi la Polisi kwa sababu za kiusalama
-
Hata hivyo, inadaiwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wao wamepata kibali cha kufanya mkutano wao leo Mkoani humo