KENYA YAPIGA MARUFUKU UBADILISHAJI WA MITUNGI YA GESI
> Serikali ya Kenya imepiga marufuku vituo vya gesi kujaza mitungi ya kampuni zingine na wananchi kubadilisha mitungi ya gesi ya kampuni tofauti na ile waliyokuwa nayo
> Hatua hiyo itasaidia kupambana na mitungi feki ya gesi na pia kuwahakikishia Wananchi wanaotumia gesi usalama wao
Soma - https://jamii.app/BanGasExchange
> Serikali ya Kenya imepiga marufuku vituo vya gesi kujaza mitungi ya kampuni zingine na wananchi kubadilisha mitungi ya gesi ya kampuni tofauti na ile waliyokuwa nayo
> Hatua hiyo itasaidia kupambana na mitungi feki ya gesi na pia kuwahakikishia Wananchi wanaotumia gesi usalama wao
Soma - https://jamii.app/BanGasExchange
RAIS MAGUFULI KUWA MWENYEKITI WA MKUTANO WA 39 WA SADC
> Rais John Magufuli atakuwa Mwenyekiti wa mkutano wa 39 wa Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika utakaoanza Agosti 17, 2019 jijini Dar es Salaam
> Utahudhuriwa na marais zaidi ya 15 na utakuwa na vikao vya Makatibu wakuu, Mawaziri wa nchi na maonesho ya viwanda
Soma - https://jamii.app/Mkutano39SADCTZ
> Rais John Magufuli atakuwa Mwenyekiti wa mkutano wa 39 wa Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika utakaoanza Agosti 17, 2019 jijini Dar es Salaam
> Utahudhuriwa na marais zaidi ya 15 na utakuwa na vikao vya Makatibu wakuu, Mawaziri wa nchi na maonesho ya viwanda
Soma - https://jamii.app/Mkutano39SADCTZ
SERIKALI YATAIFISHA MALI ZA TSH. BILIONI 93
> Serikali imetaifisha mali za wahalifu zenye thamani ya Tsh bilioni 93.16 kuanzia mwaka 2013 hadi Mei mwaka huu zilizokamatwa kwenye sekta za Madini, Maliasili na Sekta ya fedha (Upatu) ikiwa ni sehemu ya kudhibiti uhalifu kwenye maeneo mbalimbali nchini
Soma - https://jamii.app/TaifishoMaliUhalifu
> Serikali imetaifisha mali za wahalifu zenye thamani ya Tsh bilioni 93.16 kuanzia mwaka 2013 hadi Mei mwaka huu zilizokamatwa kwenye sekta za Madini, Maliasili na Sekta ya fedha (Upatu) ikiwa ni sehemu ya kudhibiti uhalifu kwenye maeneo mbalimbali nchini
Soma - https://jamii.app/TaifishoMaliUhalifu
KENYA: MTANZANIA AFUNGWA MIAKA 30 KWA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA
> Hussein Idd amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na kulipa faini ya Ksh milioni 90 (zaidi ya bilioni 2 za Tanzania) kwa kukutwa na hatia ya kusafirisha kilo 10 za Heroine Machi 2018 kwenye hoteli ya Regency, Mombasa
Soma - https://jamii.app/TZnJailedHeroine
> Hussein Idd amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na kulipa faini ya Ksh milioni 90 (zaidi ya bilioni 2 za Tanzania) kwa kukutwa na hatia ya kusafirisha kilo 10 za Heroine Machi 2018 kwenye hoteli ya Regency, Mombasa
Soma - https://jamii.app/TZnJailedHeroine
BAJETI KUU YA SERIKALI KUSOMWA LEO BUNGENI
> Serikali inatarajia kuwasilisha bungeni bajeti kuu ya shilingi trilioni 33.1 kwa mwaka wa fedha 2019/20 huku mapato ya ndani yakijumuisha yatokanayo na Halmashauri nchini yakitarajiwa kuwa Tsh trilioni 23
> Utegemezi wa misaada na mikopo nafuu kutoka kwa washirika wa maendeleo unatarajiwa kuongezeka
Soma - https://jamii.app/BajetiKuu2019
> Serikali inatarajia kuwasilisha bungeni bajeti kuu ya shilingi trilioni 33.1 kwa mwaka wa fedha 2019/20 huku mapato ya ndani yakijumuisha yatokanayo na Halmashauri nchini yakitarajiwa kuwa Tsh trilioni 23
> Utegemezi wa misaada na mikopo nafuu kutoka kwa washirika wa maendeleo unatarajiwa kuongezeka
Soma - https://jamii.app/BajetiKuu2019
MGOGORO SUDAN: MAUAJI, UBAKAJI, NA WATU KUTOWEKA VYASHAMIRI
> Taarifa kutoka nchini humo zinaeleza kuwa zaidi ya 129 wameuawa wakati jeshi likidhibiti maandamano dhidi ya Serikali
> Watu 700 wamejeruhiwa huku 70 wakiripotiwa kubakwa
Zaidi, soma > https://jamii.app/MgogoroSudan
> Taarifa kutoka nchini humo zinaeleza kuwa zaidi ya 129 wameuawa wakati jeshi likidhibiti maandamano dhidi ya Serikali
> Watu 700 wamejeruhiwa huku 70 wakiripotiwa kubakwa
Zaidi, soma > https://jamii.app/MgogoroSudan
RAIS WA DRC KUFIKA NCHINI LEO KWA AJILI YA ZIARA
> Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi anatarajiwa kuwasili nchini leo, Juni 13 kwa ajili ya ziara ya siku mbili
> Siku chache zilizopita aliandika barua kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki akiwasilisha ombi la nchi yake kuwa mwanachama wa jumuiya hiyo
Soma - https://jamii.app/TshisikediVisitsTz
> Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi anatarajiwa kuwasili nchini leo, Juni 13 kwa ajili ya ziara ya siku mbili
> Siku chache zilizopita aliandika barua kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki akiwasilisha ombi la nchi yake kuwa mwanachama wa jumuiya hiyo
Soma - https://jamii.app/TshisikediVisitsTz
RAIS MAGUFULI: NILIMTEUA MTU WA DARASA LA 7 KUWA MENEJA WA MKOA
> Amesema alipokuwa Waziri wa Ujenzi alimteua Mtu menye elimu ya Darasa la Saba kuwa Meneja wa TAMESA wa Mkoa wa Kagera
> Alimteua baada ya kuona utendaji wake kuwa zaidi ya wasomi
Soma > https://jamii.app/RaisMenejaSTD7
> Amesema alipokuwa Waziri wa Ujenzi alimteua Mtu menye elimu ya Darasa la Saba kuwa Meneja wa TAMESA wa Mkoa wa Kagera
> Alimteua baada ya kuona utendaji wake kuwa zaidi ya wasomi
Soma > https://jamii.app/RaisMenejaSTD7
MISUNGWI: AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA KWA KUZAA NA BINTI YAKE
> Jacob Shabani(30) alianza kufanya mapenzi na mwanaye baada ya kutengana na mama yake
> Alimpa ujauzito mara 3; mimba 1 iliharibika baada ya kumpiga sana na sasa ana mtoto wa mwaka 1
Soma https://jamii.app/BabaMimbaMtoto
> Jacob Shabani(30) alianza kufanya mapenzi na mwanaye baada ya kutengana na mama yake
> Alimpa ujauzito mara 3; mimba 1 iliharibika baada ya kumpiga sana na sasa ana mtoto wa mwaka 1
Soma https://jamii.app/BabaMimbaMtoto
RATIBA YA LIGI KUU SOKA UINGEREZA 2019/20 YATOKA
> Agosti 9, 2019 Liverpool v Norwich City
> 10 Agosti, 2019 West Ham v Manchester City, Tottenham v Aston Villa
> Agosti 11, 2019 Newcastle United v Arsenal, Man Utd v Chelsea
Zaidi, soma => https://jamii.app/RatibaEPL
#JFSports
> Agosti 9, 2019 Liverpool v Norwich City
> 10 Agosti, 2019 West Ham v Manchester City, Tottenham v Aston Villa
> Agosti 11, 2019 Newcastle United v Arsenal, Man Utd v Chelsea
Zaidi, soma => https://jamii.app/RatibaEPL
#JFSports
SERIKALI: PATO LA WASTANI LA KILA MTANZANIA LIMEONGEZEKA
> Pato lilifikia Tsh. Milioni 2.4 mwishoni mwa mwaka 2018 kutoka Tsh. Milioni 2.3 mwaka 2017
> Ongezeko hilo ni sawa na wastani wa asilimia 5.6 ambao ni sawa na Tsh. 100,000 kwa kila Mtanzania
Soma - https://jamii.app/OngezekoPatoRaia
> Pato lilifikia Tsh. Milioni 2.4 mwishoni mwa mwaka 2018 kutoka Tsh. Milioni 2.3 mwaka 2017
> Ongezeko hilo ni sawa na wastani wa asilimia 5.6 ambao ni sawa na Tsh. 100,000 kwa kila Mtanzania
Soma - https://jamii.app/OngezekoPatoRaia
KATIBU MWENEZI CHADEMA, MALINYI MOROGORO AUAWA KWA RISASI
> Inaelezwa kuwa Lucas Lihambalimu amevamiwa akiwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana majira ya saa 8 usiku wa kuamkia leo
> Jeshi la Polisi limesema kuwa linafanya uchunguzi wa tukio hilo
Soma > https://jamii.app/RIPLihambalimu
#JFLeo
> Inaelezwa kuwa Lucas Lihambalimu amevamiwa akiwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana majira ya saa 8 usiku wa kuamkia leo
> Jeshi la Polisi limesema kuwa linafanya uchunguzi wa tukio hilo
Soma > https://jamii.app/RIPLihambalimu
#JFLeo
VIFUNGASHIO VYA KARANGA NA UBUYU VYAPIGWA MARUFUKU
> Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira(NEMC), limepiga marufuku vifungashio vya kienyeji (plastiki) vinavyotumika kufungashia karanga, ice cream, miwa na ubuyu na atakayekutwa navyo atalipa faini kati ya Tsh 30,000 na Tsh 200,000 au kuwekwa mahabusu siku 7
Soma - https://jamii.app/ZuioVifungashioPlastiki
> Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira(NEMC), limepiga marufuku vifungashio vya kienyeji (plastiki) vinavyotumika kufungashia karanga, ice cream, miwa na ubuyu na atakayekutwa navyo atalipa faini kati ya Tsh 30,000 na Tsh 200,000 au kuwekwa mahabusu siku 7
Soma - https://jamii.app/ZuioVifungashioPlastiki
SERIKALI YAPENDEKEZA TOZO NA MUDA WA LESENI YA UDEREVA KUONGEZEKA
> Serikali imependekeza kuongezwa kwa muda wa leseni za udereva kutoka miaka mitatu ya sasa hadi miaka mitano na kuongezwa kwa tozo ya leseni ya udereva kutoka Tsh. 40,000 kwenda Tsh. 70,000
Soma https://jamii.app/OngezekoTozoLeseni
#JFLeo
> Serikali imependekeza kuongezwa kwa muda wa leseni za udereva kutoka miaka mitatu ya sasa hadi miaka mitano na kuongezwa kwa tozo ya leseni ya udereva kutoka Tsh. 40,000 kwenda Tsh. 70,000
Soma https://jamii.app/OngezekoTozoLeseni
#JFLeo
SERIKALI YAPENDEKEZA NYWELE BANDIA KUTOZWA USHURU
> Waziri wa Fedha ametoa pendekezo la kutoza ushuru wa bidhaa wa asilimia 10 kwenye nywele za bandia zinazotengenezwa nchini na asilimia 25 kwenye nywele bandia zinazoagizwa kutoka nje ya nchi ili kuongeza mapato ya Serikali
Soma - https://jamii.app/OngezekoTozoLeseni
#JFLeo
> Waziri wa Fedha ametoa pendekezo la kutoza ushuru wa bidhaa wa asilimia 10 kwenye nywele za bandia zinazotengenezwa nchini na asilimia 25 kwenye nywele bandia zinazoagizwa kutoka nje ya nchi ili kuongeza mapato ya Serikali
Soma - https://jamii.app/OngezekoTozoLeseni
#JFLeo
UGANDA: MAMA AMLISHA MTOTO DAMU YA HEDHI
> Annet Namata amempa binti yake wa kambo chakula alichokichanganya na damu yake ya hedhi kwa madai kuwa mume wake anampenda sana mtoto huyo na kumnunulia zawadi nyingi kuliko yeye
> Alishauriwa na marafiki zake kwa lengo la kumfanya mtoto awe mwendawazimu
Soma - https://jamii.app/MotherChildAbuse
> Annet Namata amempa binti yake wa kambo chakula alichokichanganya na damu yake ya hedhi kwa madai kuwa mume wake anampenda sana mtoto huyo na kumnunulia zawadi nyingi kuliko yeye
> Alishauriwa na marafiki zake kwa lengo la kumfanya mtoto awe mwendawazimu
Soma - https://jamii.app/MotherChildAbuse
UCHAGUZI WAZIRI MKUU UINGEREZA: BORIS JOHNSON ASHINDA DURU YA KWANZA
> Mchakato umeanza ndani ya chama cha Conservative baada ya Waziri Mkuu, Theresa May kujiuzulu
> Boris Johnson ameshinda duru ya kwanza kwa kupata kura 114
Soma > https://jamii.app/BorisJohnson
> Mchakato umeanza ndani ya chama cha Conservative baada ya Waziri Mkuu, Theresa May kujiuzulu
> Boris Johnson ameshinda duru ya kwanza kwa kupata kura 114
Soma > https://jamii.app/BorisJohnson
DAR KINARA WA MSONGAMANO WA WATU MWAKA 2018
> Dar ilikuwa na msongamano wa watu 3,695 kwa kila kilomita moja ya mraba ikifuatiwa na Mwanza iliyokuwa na watu 373.1, Kagera watu 119.6 na Kilimanjaro watu 104
> Lindi imetajwa kuwa na idadi ndogo zaidi ya watu kwa kilomita moja ya mraba ikiwa na wastani wa watu 14.9
Soma - https://jamii.app/OngezekoPatoRaia
> Dar ilikuwa na msongamano wa watu 3,695 kwa kila kilomita moja ya mraba ikifuatiwa na Mwanza iliyokuwa na watu 373.1, Kagera watu 119.6 na Kilimanjaro watu 104
> Lindi imetajwa kuwa na idadi ndogo zaidi ya watu kwa kilomita moja ya mraba ikiwa na wastani wa watu 14.9
Soma - https://jamii.app/OngezekoPatoRaia
KENYA: MBUNGE AKAMATWA KWA KUMPIGA MBUNGE MWENZAKE
> Rashid Kassim anatuhumiwa kwa kumchapa kibao Fatuma Gedi akimtuhumu kutopeleka fedha kwenye jimbo lake
> Fatuma Gedi ni mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti
Zaidi, soma => https://jamii.app/MbungeApigaKE
> Rashid Kassim anatuhumiwa kwa kumchapa kibao Fatuma Gedi akimtuhumu kutopeleka fedha kwenye jimbo lake
> Fatuma Gedi ni mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti
Zaidi, soma => https://jamii.app/MbungeApigaKE
IKULU: Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Felix Antoine Tshisekedi amewasili nchini kwa Ziara ya Kitaifa ya siku 2 kwa mwaliko wa Rais John Pombe Magufuli na amehudhuria Dhifa ya Kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima yake
> Tshisekedi amesema baada ya kumaliza changamoto za usalama nchini kwao anatarajia kushirikiana na Tanzania katika fursa mbalimbali zilizopo kwenye madini, nishati na miundombinu ikiwemo ya ujenzi wa reli itakayounganisha Tanzania na DRC
Soma - https://jamii.app/ZiaraDRCPresdnt
> Tshisekedi amesema baada ya kumaliza changamoto za usalama nchini kwao anatarajia kushirikiana na Tanzania katika fursa mbalimbali zilizopo kwenye madini, nishati na miundombinu ikiwemo ya ujenzi wa reli itakayounganisha Tanzania na DRC
Soma - https://jamii.app/ZiaraDRCPresdnt