MRADI WA REA KUTOLIPA WANANCHI FIDIA YA MAKAZI
> Serikali imesema hakuna malipo ya fidia kwenye maeneo ya wananchi yanayopitiwa na mradi wa usambazaji umeme vijijini kwa kuwa Serikali imempunguzia mwananchi mzigo wa gharama za kuunganishiwa nishati ya umeme kwa kugharamia kwa asilimia 100 fedha za ujenzi wa miundombinu pamoja na huduma za kuunganishiwa umeme
Soma - https://jamii.app/FidiaMakaziREA
> Serikali imesema hakuna malipo ya fidia kwenye maeneo ya wananchi yanayopitiwa na mradi wa usambazaji umeme vijijini kwa kuwa Serikali imempunguzia mwananchi mzigo wa gharama za kuunganishiwa nishati ya umeme kwa kugharamia kwa asilimia 100 fedha za ujenzi wa miundombinu pamoja na huduma za kuunganishiwa umeme
Soma - https://jamii.app/FidiaMakaziREA
UINGEREZA: CHAMA CHA 'CONSERVATIVE' CHAFUNGUA MCHAKATO WA KUMTAFUTA MRITHI WA THERESA MAY
> Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Boris Johnson na Waziri wa sasa wa Mazingira, Michael Give wanapigiwa chapuo kushinda kinyang'anyiro hicho
Soma => https://jamii.app/UchaguziConservativeUK
> Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Boris Johnson na Waziri wa sasa wa Mazingira, Michael Give wanapigiwa chapuo kushinda kinyang'anyiro hicho
Soma => https://jamii.app/UchaguziConservativeUK
WATUHUMIWA WA AJALI YA WANAFUNZI WA LUCKY VINCENT WAHUKUMIWA FAINI/KIFUNGO
> Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imemuhukumu Mkurugenzi wa Shule ya Lucky Vincent, Innocent Mushi kulipa faini ya milioni 1.5 au kifungo cha miaka 4 na miezi 6
Soma => https://jamii.app/HukumuStVincent
> Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imemuhukumu Mkurugenzi wa Shule ya Lucky Vincent, Innocent Mushi kulipa faini ya milioni 1.5 au kifungo cha miaka 4 na miezi 6
Soma => https://jamii.app/HukumuStVincent
WABUNGE, MADIWANI NA MA-RC KUCHUNGUZWA NA SEKRETARIETI YA MAADILI
> Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma nchini inaanza kufanya shughuli ya uhakiki wa mgongano wa maslahi ya viongozi katika mikoa 12
> Mikoa hiyo ni; Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Geita, Kagera, Mara, Mwanza, Dodoma, Tabora, Singida, Dar es Salaam na Shinyanga
Soma - https://jamii.app/UhakikiViongoziMikoa
> Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma nchini inaanza kufanya shughuli ya uhakiki wa mgongano wa maslahi ya viongozi katika mikoa 12
> Mikoa hiyo ni; Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Geita, Kagera, Mara, Mwanza, Dodoma, Tabora, Singida, Dar es Salaam na Shinyanga
Soma - https://jamii.app/UhakikiViongoziMikoa
MOMBASA, KENYA: KIONGOZI WA KUNDI LA WAHALIFU ALIYEKUWA AKISAKWA AUAWA KWA RISASI
> Dula, kiongozi wa kundi la 'Wakali Wao' alikuwa akisakwa kwa udi na uvumba kwa mwezi 1
> Kundi lake linahusishwa na mauaji ya watu wengi nchini humo
Zaidi, soma => https://jamii.app/DulaAuawaMombasa
> Dula, kiongozi wa kundi la 'Wakali Wao' alikuwa akisakwa kwa udi na uvumba kwa mwezi 1
> Kundi lake linahusishwa na mauaji ya watu wengi nchini humo
Zaidi, soma => https://jamii.app/DulaAuawaMombasa
SAUDI ARABIA: UWANJA WA NDEGE WASHAMBULIWA NA WAASI
> Kundi la Ansarullah nchini Yemen limetangaza kuushambulia uwanja wa ndege wa Jazan Kusini Magharibi mwa Saudi Arabia kwa kutumia ndege zisizo na rubani
> Wamesema hilo ni jibu la jinai na mauaji yanayoendelea kufanywa na Saudia dhidi ya raia wa Yemen
Soma - https://jamii.app/SaudiaAirportAttack
> Kundi la Ansarullah nchini Yemen limetangaza kuushambulia uwanja wa ndege wa Jazan Kusini Magharibi mwa Saudi Arabia kwa kutumia ndege zisizo na rubani
> Wamesema hilo ni jibu la jinai na mauaji yanayoendelea kufanywa na Saudia dhidi ya raia wa Yemen
Soma - https://jamii.app/SaudiaAirportAttack
FAO: WATOTO MILIONI 108 DUNIANI WANATUMIKISHWA
> Shirika la chakula na kilimo duniani limesema kuwa, duniani kote watoto milioni 108 wa kike na wa kiume wanatumikishwa ambapo asilimia 70 wanafanya kazi kwenye sekta za kilimo, ufugaji, misitu, uvuvi na ufugaji wa samaki
> Idadi hiyo imeongezeka kwa watoto milioni 10 tangu mwaka 2012
Soma - https://jamii.app/ChildLabourReport
> Shirika la chakula na kilimo duniani limesema kuwa, duniani kote watoto milioni 108 wa kike na wa kiume wanatumikishwa ambapo asilimia 70 wanafanya kazi kwenye sekta za kilimo, ufugaji, misitu, uvuvi na ufugaji wa samaki
> Idadi hiyo imeongezeka kwa watoto milioni 10 tangu mwaka 2012
Soma - https://jamii.app/ChildLabourReport
HOJA: NANI AMERUHUSU MATANGAZO YA MICHEZO YA KUBAHATISHA KWENYE RUNINGA NA REDIO?
> Mdau wa JamiiForums anasema Bodi ya Michezo ya Kubahatisha ilitangaza kuzuia urushaji wa matangazo ya michezo hiyo kupitia redio na televisheni lakini hakuna taarifa ya kuruhusu
Zaidi, soma => https://jamii.app/MatangazoMichezoBahati
#JFHoja
> Mdau wa JamiiForums anasema Bodi ya Michezo ya Kubahatisha ilitangaza kuzuia urushaji wa matangazo ya michezo hiyo kupitia redio na televisheni lakini hakuna taarifa ya kuruhusu
Zaidi, soma => https://jamii.app/MatangazoMichezoBahati
#JFHoja
BABA MATATANI KWA KUMBAKA NA KUMLAWITI BINTI YAKE
> Mahakama ya Wilaya ya Temeke imemsomea maelezo ya awali mshtakiwa Haruna Abdu(54) mkazi wa Mbagala kwa tuhuma za kumbaka na kumlawiti binti yake wa kumzaa(12)
> Anadaiwa kutenda hayo Januari 2017 hadi Februari 2019
Soma - https://jamii.app/BabaUlawitiBinti
> Mahakama ya Wilaya ya Temeke imemsomea maelezo ya awali mshtakiwa Haruna Abdu(54) mkazi wa Mbagala kwa tuhuma za kumbaka na kumlawiti binti yake wa kumzaa(12)
> Anadaiwa kutenda hayo Januari 2017 hadi Februari 2019
Soma - https://jamii.app/BabaUlawitiBinti
WATOTO WENYE UGONJWA WA SELIMUNDU KUANZA KUTIBIWA BURE
> Serikali imesema imeandaa mpango wa kutoa matibabu ya bure kwa watoto wenye ugonjwa wa Selimundu (Sickle cell)
> Familia zisizojiweza zitahakikiwa na kupewa kibali cha huduma bila malipo kwa kuwa Serikali inaanzisha mpango wa Taifa kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza
Soma - https://jamii.app/TibaSelimunduBure
> Serikali imesema imeandaa mpango wa kutoa matibabu ya bure kwa watoto wenye ugonjwa wa Selimundu (Sickle cell)
> Familia zisizojiweza zitahakikiwa na kupewa kibali cha huduma bila malipo kwa kuwa Serikali inaanzisha mpango wa Taifa kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza
Soma - https://jamii.app/TibaSelimunduBure
NEW YORK, MAREKANI: HELIKOPTA YAPOTEZA UELEKEO NA KUTUA KWENYE PAA LA JENGO LA GHOROFA
> Tukio hilo lililosababisha rubani kufariki dunia limetokea katikati ya eneo la Manhattan, ambapo baada ya ndege hiyo kutua ililipuka
Zaidi, soma => https://jamii.app/HelicopterCrashNY
> Tukio hilo lililosababisha rubani kufariki dunia limetokea katikati ya eneo la Manhattan, ambapo baada ya ndege hiyo kutua ililipuka
Zaidi, soma => https://jamii.app/HelicopterCrashNY
TEKNOLOJIA: WANAFUNZI WATENGENEZA KOTI LINALOZUIA UVAMIZI
> Wanafunzi 4 raia wa Taifa la Mexico wamesema kuwa koti hilo linaweza kuzuia mtu kuvamiwa
> Mikono ya koti hilo ina mfumo wa kutoa mshtuko wa umeme utakaomfanya mtu yeyote aliyeligusa kunasa
Soma > https://jamii.app/KotiUlinziMexico
> Wanafunzi 4 raia wa Taifa la Mexico wamesema kuwa koti hilo linaweza kuzuia mtu kuvamiwa
> Mikono ya koti hilo ina mfumo wa kutoa mshtuko wa umeme utakaomfanya mtu yeyote aliyeligusa kunasa
Soma > https://jamii.app/KotiUlinziMexico
KENYA: WAFANYAKAZI WA SAFARICOM WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA WIZI WA TAARIFA ZA WATEJA
> Simon Billy Kinuthia na Brian Njoroge Wamatu wameshtakiwa kwa kukopi na kutuma taarifa za watumiaji wa mtandao kwenda kwa Mtu binafsi
Zaidi, soma => https://jamii.app/SafaricomData
> Simon Billy Kinuthia na Brian Njoroge Wamatu wameshtakiwa kwa kukopi na kutuma taarifa za watumiaji wa mtandao kwenda kwa Mtu binafsi
Zaidi, soma => https://jamii.app/SafaricomData
MALI: WATU 100 WAPOTEZA MAISHA KWENYE MAUAJI YA KIKABILA
> Karibu watu 100 wameuawa katika shambulizi la usiku katika kijiji kimoja huku watu wengine 19 wakiwa hawajulikani walipo
> Hakuna taarifa yoyote ya anayedai kuhusika lakini mauaji hayo ya watu wa jamii ya Dogon, yalikuwa na dalili za mashambulizi ya kikabila kulipiza kisasi
Soma - https://jamii.app/MaliMassKilling
> Karibu watu 100 wameuawa katika shambulizi la usiku katika kijiji kimoja huku watu wengine 19 wakiwa hawajulikani walipo
> Hakuna taarifa yoyote ya anayedai kuhusika lakini mauaji hayo ya watu wa jamii ya Dogon, yalikuwa na dalili za mashambulizi ya kikabila kulipiza kisasi
Soma - https://jamii.app/MaliMassKilling
WEMA SEPETU KUKAMATWA KWA KUKIUKA DHAMANA
> Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa hati ya kumkamata msanii huyo wa filamu nchini kwa kosa la kuruka dhamana baada ya upande wa mashtaka kudai kwamba mshtakiwa hayuko Mahakamani na hakuna taarifa yoyote kuhusu kutokufika kwake
Soma - https://jamii.app/WemaArrestBail
> Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa hati ya kumkamata msanii huyo wa filamu nchini kwa kosa la kuruka dhamana baada ya upande wa mashtaka kudai kwamba mshtakiwa hayuko Mahakamani na hakuna taarifa yoyote kuhusu kutokufika kwake
Soma - https://jamii.app/WemaArrestBail
BOT YAZUIA UBADILISHAJI WA FEDHA ZA KENYA
> Benki kuu ya Tanzania imesitisha ubadilishaji wa fedha za Kenya kwa shilingi ya Tanzania, ili kukabiliana na uingizwaji wa fedha haramu nchini
> Ni baada ya Benki ya Kenya kuwataka wenye sarafu za Kenya kwenda kuzibadili nchini humo ili kupata noti mpya
Soma - https://jamii.app/BanKshExchangeTsh
> Benki kuu ya Tanzania imesitisha ubadilishaji wa fedha za Kenya kwa shilingi ya Tanzania, ili kukabiliana na uingizwaji wa fedha haramu nchini
> Ni baada ya Benki ya Kenya kuwataka wenye sarafu za Kenya kwenda kuzibadili nchini humo ili kupata noti mpya
Soma - https://jamii.app/BanKshExchangeTsh
SERIKALI KUWABANA BODABODA ILI WAWE NA BIMA YA AFYA
> Wizara ya Afya inakusudia kupeleka muswada Bungeni utakaowabana madereva wa bodaboda kuwa na bima ya afya kabla ya kupewa leseni ya kutoa huduma kutokana na ongezeko la ajali
> Taasisi ya Mifupa (MOI) kwa mwezi imekuwa ikipokea majeruhi 700 hadi 900 wa ajali za barabarani, idadi ambayo imekuwa ikiongezeka kila siku
Soma - https://jamii.app/BodabodaBimaAfya
> Wizara ya Afya inakusudia kupeleka muswada Bungeni utakaowabana madereva wa bodaboda kuwa na bima ya afya kabla ya kupewa leseni ya kutoa huduma kutokana na ongezeko la ajali
> Taasisi ya Mifupa (MOI) kwa mwezi imekuwa ikipokea majeruhi 700 hadi 900 wa ajali za barabarani, idadi ambayo imekuwa ikiongezeka kila siku
Soma - https://jamii.app/BodabodaBimaAfya
MWANAFUNZI AUA MWENZAKE KWA KUMPIGA NA JIWE KISOGONI
> Rashid Said (17) amefariki baada ya kudaiwa kupigwa jiwe na mwenzake ambaye ni mwanafunzi wa shule ya Sekondari Nyumbu iliyopo Kibaha mkoani Pwani
> Marehemu alijeruhiwa Juni 7 na siku iliyofuata alifariki wakati akitibiwa hospitali ya Tumbi
Soma - https://jamii.app/MwanafunziKifoJiwe
> Rashid Said (17) amefariki baada ya kudaiwa kupigwa jiwe na mwenzake ambaye ni mwanafunzi wa shule ya Sekondari Nyumbu iliyopo Kibaha mkoani Pwani
> Marehemu alijeruhiwa Juni 7 na siku iliyofuata alifariki wakati akitibiwa hospitali ya Tumbi
Soma - https://jamii.app/MwanafunziKifoJiwe
MAHAKAMA YAOMBWA KUTENGUA HUKUMU YA SHEIKH PONDA
> Serikali imeiomba Mahakama ya Rufani kutengua hukumu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu iliyomhukumu kifungo cha nje katibu wa Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda
> Mei 9, 2013 Mahakama ya Kisutu ilimpa adhabu ya kifungo cha nje cha mwaka 1 Sheikh Ponda kwa kosa la kuingia kijinai katika eneo la ardhi ya kampuni ya Agritanza Ltd, eneo la Chang’ombe Malkazi
Soma - https://jamii.app/UtenguziHukumuPonda
> Serikali imeiomba Mahakama ya Rufani kutengua hukumu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu iliyomhukumu kifungo cha nje katibu wa Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda
> Mei 9, 2013 Mahakama ya Kisutu ilimpa adhabu ya kifungo cha nje cha mwaka 1 Sheikh Ponda kwa kosa la kuingia kijinai katika eneo la ardhi ya kampuni ya Agritanza Ltd, eneo la Chang’ombe Malkazi
Soma - https://jamii.app/UtenguziHukumuPonda
BOTSWANA: MAHAKAMA YAHALALISHA MAPENZI YA JINSIA MOJA
> Mahakama imesema kifungu cha sheria kilichokuwa kikitoa hukumu ya kifungo cha hadi miaka 7 jela kwa watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia kuwa kinakiuka katiba ya nchi hiyo
Zaidi, soma => https://jamii.app/BotswanaVsLGBTQ
> Mahakama imesema kifungu cha sheria kilichokuwa kikitoa hukumu ya kifungo cha hadi miaka 7 jela kwa watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia kuwa kinakiuka katiba ya nchi hiyo
Zaidi, soma => https://jamii.app/BotswanaVsLGBTQ