RAIS MAGUFULI ATEMBELEA SOKO LA SAMAKI, FERRY
- Amezungumza na Wauza Samaki umuhimu wa kutumia mifuko mbadala na kuachana na mifuko ya plastiki
- Pia, amezungumza na wauza kahawa na kuagiza kuboreshwa kwa sehemu ya biashara hiyo kuanzia kesho
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAtembeleaFerry
- Amezungumza na Wauza Samaki umuhimu wa kutumia mifuko mbadala na kuachana na mifuko ya plastiki
- Pia, amezungumza na wauza kahawa na kuagiza kuboreshwa kwa sehemu ya biashara hiyo kuanzia kesho
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAtembeleaFerry
KENYA: AJIUA BAADA YA MKEWE KUMNYIMA PESA YA KUNYWEA POMBE
> James Kamau (39) mkazi wa kijiji cha Mbogo-ini kaunti ya Murang'a alikwenda bar na rafiki yake na kuanza kunywa pombe huku yeye akiwa mlipaji, lakini alipomaliza pesa alirudi nyumbani na kutaka mkewe ampatie pesa nyingine na ndipo mama huyo alipogoma kumpa pesa
Soma - https://jamii.app/MumeKifoPesaPombe
> James Kamau (39) mkazi wa kijiji cha Mbogo-ini kaunti ya Murang'a alikwenda bar na rafiki yake na kuanza kunywa pombe huku yeye akiwa mlipaji, lakini alipomaliza pesa alirudi nyumbani na kutaka mkewe ampatie pesa nyingine na ndipo mama huyo alipogoma kumpa pesa
Soma - https://jamii.app/MumeKifoPesaPombe
IKULU: RAIS MAGUFULI AWAPANDISHA VYEO MAAFISA WA JESHI LA ZIMAMOTO
-
Miongoni mwao ni Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Manyara ASF Julishaeli Mfinanga ambaye ametoka kuwa Mrakibu Msaidizi wa Zimamoto(ASF) na Kuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Zimamoto(SACF)
-
Miongoni mwao ni Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Manyara ASF Julishaeli Mfinanga ambaye ametoka kuwa Mrakibu Msaidizi wa Zimamoto(ASF) na Kuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Zimamoto(SACF)
ALGERIA: UCHAGUZI ULIOPANGWA KUFANYIKA JULAI 4 WAFUTWA
> Taarifa iliyotolewa na Baraza la Katiba imesema katika mkutano uliofanyika ili kuwatathmini wagombea wamegundua kwamba wagombea ni watu wasiofahamika lakini pia hawakuwasilisha nyaraka zinazohitajika
Soma - https://jamii.app/SitishoUchaguziRais
> Taarifa iliyotolewa na Baraza la Katiba imesema katika mkutano uliofanyika ili kuwatathmini wagombea wamegundua kwamba wagombea ni watu wasiofahamika lakini pia hawakuwasilisha nyaraka zinazohitajika
Soma - https://jamii.app/SitishoUchaguziRais
MUSEVENI: MWALIMU NYERERE KIONGOZI MUHIMU ZAIDI KUTOKEA AFRIKA
- Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amemwelezea marehemu Mwalimu Julius Nyerere kama kiongozi muhimu zaidi aliyewahi kutokea kwenye historia za medani za kisiasa kwa Afrika
Zaidi, soma https://jamii.app/MuseveniAmsifuNyerere
- Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amemwelezea marehemu Mwalimu Julius Nyerere kama kiongozi muhimu zaidi aliyewahi kutokea kwenye historia za medani za kisiasa kwa Afrika
Zaidi, soma https://jamii.app/MuseveniAmsifuNyerere
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA MKANDA WA JESHI
> Ugonjwa huu kitaalamu unaitwa shingles au herpes zoster ambapo husababishwa na virusi aina ya Varicella-zoster ambao pia husababisha ugonjwa wa tetekuwanga na huathiri ngozi kwa huambatana na vipele na michubuko kama ya kuungua yenye maumivu makali
> Baada ya mtu kupatwa na ugonjwa wa tetekuwanga, virusi vya ugonjwa huo hubaki katika hali ya kupooza/ kutokuwa na madhara katika baadhi ya neva mwilini na baada ya muda mrefu iwapo kinga za mwili zitashuka kwasababu yoyote virusi hawa hupata nguvu na kuwa imara jambo linalopelekea kutokea kwa ugonjwa wa mkanda wa jeshi
Tembelea - https://jamii.app/UgonjwaMkandaJeshi
#JFAfya
> Ugonjwa huu kitaalamu unaitwa shingles au herpes zoster ambapo husababishwa na virusi aina ya Varicella-zoster ambao pia husababisha ugonjwa wa tetekuwanga na huathiri ngozi kwa huambatana na vipele na michubuko kama ya kuungua yenye maumivu makali
> Baada ya mtu kupatwa na ugonjwa wa tetekuwanga, virusi vya ugonjwa huo hubaki katika hali ya kupooza/ kutokuwa na madhara katika baadhi ya neva mwilini na baada ya muda mrefu iwapo kinga za mwili zitashuka kwasababu yoyote virusi hawa hupata nguvu na kuwa imara jambo linalopelekea kutokea kwa ugonjwa wa mkanda wa jeshi
Tembelea - https://jamii.app/UgonjwaMkandaJeshi
#JFAfya
SUDAN: WALIOFARIKI WAKATI JESHI LIKIPAMBANA NA WAANDAMANAJI WAFIKIA 9
- Vikosi vya usalama vilitumwa Mjini Khartoum wakati waandamanaji wakifunga barabara
- Ila Jeshi limesema liliwalenga wahalifu hivyo waandamanaji na kambi yao wapo salama
Zaidi, soma https://jamii.app/GunfireProtestorsKhartoum
- Vikosi vya usalama vilitumwa Mjini Khartoum wakati waandamanaji wakifunga barabara
- Ila Jeshi limesema liliwalenga wahalifu hivyo waandamanaji na kambi yao wapo salama
Zaidi, soma https://jamii.app/GunfireProtestorsKhartoum
KENYA YAPIGA MARUFUKU SHUGHULI ZA UVUVI KWENYE MPAKA WAKE NA SOMALIA
> Afisa wa Serikali katika Kaunti ya Lamu, Joseph Kanyori, amesema wavuvi wote wamezuiwa kwenda kuvua katika maeneo ya Ras Kamboni na karibu na mji wa Kiunga unaopakana na nchi hizo mbili kwasababu za kiusalama kwa kuwa eneo hilo limeshuhudiwa kwa utekaji wa binadamu, dawa za kulevya pamoja na bidhaa zingine
Soma - https://jamii.app/ZuioUvuviKESM
> Afisa wa Serikali katika Kaunti ya Lamu, Joseph Kanyori, amesema wavuvi wote wamezuiwa kwenda kuvua katika maeneo ya Ras Kamboni na karibu na mji wa Kiunga unaopakana na nchi hizo mbili kwasababu za kiusalama kwa kuwa eneo hilo limeshuhudiwa kwa utekaji wa binadamu, dawa za kulevya pamoja na bidhaa zingine
Soma - https://jamii.app/ZuioUvuviKESM
IDADI YA WAGONJWA WA DENGUE YAZIDI KUONGEZEKA, WATATU WAFARIKI
> Wizara ya Afya imesema idadi ya wagonjwa waliothibitika kuwa na homa ya dengue imefikia 3,495 hadi kufikia Juni Mosi 2019 ikiwa ni ongezeko la ndani ya siku nne tangu idadi ya waliothibitika kufikia watu 2,971 kutoka Januari 1 hadi Mei 29, 2019
> Kati ya hao, wagonjwa 3,333 na vifo 3 ni kutoka Dar es Salaam, 135 Tanga, 19 Pwani, 6 Morogoro, Singida 1 na Kilimanjaro 1
Soma - https://jamii.app/OngezekoWagonjwaDengue
> Wizara ya Afya imesema idadi ya wagonjwa waliothibitika kuwa na homa ya dengue imefikia 3,495 hadi kufikia Juni Mosi 2019 ikiwa ni ongezeko la ndani ya siku nne tangu idadi ya waliothibitika kufikia watu 2,971 kutoka Januari 1 hadi Mei 29, 2019
> Kati ya hao, wagonjwa 3,333 na vifo 3 ni kutoka Dar es Salaam, 135 Tanga, 19 Pwani, 6 Morogoro, Singida 1 na Kilimanjaro 1
Soma - https://jamii.app/OngezekoWagonjwaDengue
KENYA: VIWANDA VYA UNGA VYAFUNGWA KUTOKANA NA UHABA WA MAHINDI
> Karibu asilimia 80 ya viwanda vimesitisha uzalishaji kwa muda huku viwanda vilivyoathiriwa zaidi vikiwa katika maeneo ya Bungoma, Busia, Kisumu, Narok, Kajiado na vingine vinne katika eneo la Kati
> Kwa sasa Kilo 2 za unga zinauzwa kwa Ksh. 130(Tsh. 2900) ikilinganishwa na Ksh. 80(Tsh. 1800) wiki chache zilizopita
Soma - https://jamii.app/MaizePriceUp
> Karibu asilimia 80 ya viwanda vimesitisha uzalishaji kwa muda huku viwanda vilivyoathiriwa zaidi vikiwa katika maeneo ya Bungoma, Busia, Kisumu, Narok, Kajiado na vingine vinne katika eneo la Kati
> Kwa sasa Kilo 2 za unga zinauzwa kwa Ksh. 130(Tsh. 2900) ikilinganishwa na Ksh. 80(Tsh. 1800) wiki chache zilizopita
Soma - https://jamii.app/MaizePriceUp
SUDAN: JESHI LATANGAZA UCHAGUZI MKUU UTAKAOFANYIKA MIEZI 9 IJAYO
> Kiongozi wa Baraza la Kijeshi amesema Baraza lake limefuta makubaliano yote ya awali waliyoafikiana na Viongozi wa waandamanaji kuhusu kuundwa kwa Serikali ya mpito, na badala yake sasa Uchaguzi Mkuu utafanyika baada ya miezi 9 chini ya uangalizi wa Jumuiya za Kikanda
Soma - https://jamii.app/MilitaryCallsElection
> Kiongozi wa Baraza la Kijeshi amesema Baraza lake limefuta makubaliano yote ya awali waliyoafikiana na Viongozi wa waandamanaji kuhusu kuundwa kwa Serikali ya mpito, na badala yake sasa Uchaguzi Mkuu utafanyika baada ya miezi 9 chini ya uangalizi wa Jumuiya za Kikanda
Soma - https://jamii.app/MilitaryCallsElection
KENYA: WADAIWA KUMUUA MTOTO WAO ILI KUNUSURU NDOA YAO
- Stephen Kariuki na Mildred Musya wanadaiwa kumuua mtoto wao wa miaka 2
- Yadaiwa ni kutokana na ugomvi baina ya mke na familia ya Mume juu ya mtoto huyo na yeye kuolewa akiwa na watoto 2
Zaidi, soma https://jamii.app/WanandoaWadaiwaKuua
- Stephen Kariuki na Mildred Musya wanadaiwa kumuua mtoto wao wa miaka 2
- Yadaiwa ni kutokana na ugomvi baina ya mke na familia ya Mume juu ya mtoto huyo na yeye kuolewa akiwa na watoto 2
Zaidi, soma https://jamii.app/WanandoaWadaiwaKuua
MAWAKILI WA HAKI ZA BINADAMU WAUSHTAKI UMOJA WA ULAYA, ICC
- Wameiomba Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu kufungua kesi dhidi ya EU kuhusiana na sera yake ya uhamiaji
- Wameorodhesha hatua kadhaa za kuzuia uhamiaji, zinazokiuka haki za binadamu
Zaidi, soma https://jamii.app/UmojaUlayaKushtakiwa
- Wameiomba Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu kufungua kesi dhidi ya EU kuhusiana na sera yake ya uhamiaji
- Wameorodhesha hatua kadhaa za kuzuia uhamiaji, zinazokiuka haki za binadamu
Zaidi, soma https://jamii.app/UmojaUlayaKushtakiwa
MWANZA: WANAFUNZI 103 WA SHULE ZA MSINGI WAPATA MIMBA NDANI YA MWAKA
> Utoro umetajwa kuwa moja ya sababu ya kuzorotesha elimu jijini Mwanza ambapo kwa mwaka 2017/18, wanafunzi 2,646 wa shule za msingi waliacha masomo kwasababu mbalimbali wakiwamo 103 waliopata mimba
> Wengine waliacha shule kwasababu ya magonjwa, utoro, vifo na utovu wa nidhamu
Soma - https://jamii.app/MimbaUtoroElimuMWZ
> Utoro umetajwa kuwa moja ya sababu ya kuzorotesha elimu jijini Mwanza ambapo kwa mwaka 2017/18, wanafunzi 2,646 wa shule za msingi waliacha masomo kwasababu mbalimbali wakiwamo 103 waliopata mimba
> Wengine waliacha shule kwasababu ya magonjwa, utoro, vifo na utovu wa nidhamu
Soma - https://jamii.app/MimbaUtoroElimuMWZ
ALIYEFUKUZWA UHISPANIA NA REAL MADRID, ATEULIWA KUINOA SEVILLA
- Julen Lopetegui(52) amesaini mkataba wa miaka 3 kuinoa Klabu ya Sevilla ya Uhispania
- Alifukuzwa kuinoa timu ya Taifa ya Uhispania siku 2 kabla ya Kombe la Dunia 2018 kuanza
Zaidi, soma https://jamii.app/LopeteguiKuinoaSevilla
- Julen Lopetegui(52) amesaini mkataba wa miaka 3 kuinoa Klabu ya Sevilla ya Uhispania
- Alifukuzwa kuinoa timu ya Taifa ya Uhispania siku 2 kabla ya Kombe la Dunia 2018 kuanza
Zaidi, soma https://jamii.app/LopeteguiKuinoaSevilla
MWALIMU MBARONI KWA KUKUTWA NA SILAHA(AK-47) DARASANI
> Mwalimu wa shule ya Msingi Naan, Solomon Letato (30) mkazi wa Kijiji cha Enguserosambu, Loliondo anashikiliwa na Polisi akihusishwa na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha baada ya kukutwa darasani na silaha ya kivita aina ya AK-47 ikiwa na risasi 5
> Pia anatuhumiwa kujihusisha na biashara haramu ya nyara za Serikali yakiwemo meno ya tembo na pembe za Faru
Soma - https://jamii.app/MwlSilahaAK47
> Mwalimu wa shule ya Msingi Naan, Solomon Letato (30) mkazi wa Kijiji cha Enguserosambu, Loliondo anashikiliwa na Polisi akihusishwa na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha baada ya kukutwa darasani na silaha ya kivita aina ya AK-47 ikiwa na risasi 5
> Pia anatuhumiwa kujihusisha na biashara haramu ya nyara za Serikali yakiwemo meno ya tembo na pembe za Faru
Soma - https://jamii.app/MwlSilahaAK47
TARIME, MARA: KIONGOZI WA MWENGE AKATAA KUZINDUA MIRADI
- Mzee Mkongea amesema mradi wa maji wa Mtaa wa Gamasara, haujakidhi vigezo kwani nondo hazijapimwa
- Mradi wa daraja katika Kijiji cha Kiterere, una ukosefu wa alama za barabarani
Zaidi, soma https://jamii.app/MwengeKutozinduaMiradi-TRM
- Mzee Mkongea amesema mradi wa maji wa Mtaa wa Gamasara, haujakidhi vigezo kwani nondo hazijapimwa
- Mradi wa daraja katika Kijiji cha Kiterere, una ukosefu wa alama za barabarani
Zaidi, soma https://jamii.app/MwengeKutozinduaMiradi-TRM
HESLB YATOA MWONGOZO WA UTOAJI MIKOPO KWA MWAKA 2019/20
- Imetangaza mwongozo huo ikiwa ni maandalizi ya kukaribisha maombi ya mikopo
- Itaanza kupokea maombi ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2019/20 kuanzia Juni 15 hadi Agosti 15, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/HeslbMikopo2019-20
- Imetangaza mwongozo huo ikiwa ni maandalizi ya kukaribisha maombi ya mikopo
- Itaanza kupokea maombi ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2019/20 kuanzia Juni 15 hadi Agosti 15, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/HeslbMikopo2019-20
JAY-Z ATANGAZWA KUWA RAPA BILIONEA WA KWANZA DUNIANI
> Jay-Z ametangazwa rasmi na Jarida la Forbes kuwa ndiye bilionea wa kwanza wa Muziki wa HipHop huku akikadiriwa kuwa na utajiri wa jumla ya dola bilioni 1
> Anamiliki hisa za dola milioni 70 kwenye kampuni ya usafiri ya Uber, dola milioni 70 kwenye masuala ya sanaa, dola milioni 50 kwenye umiliki wa majumba ya kupangisha na muziki, umiliki wa ‘Tidal’ inayouza nyimbo mtandaoni pamoja na umiliki wa Kampuni ya Roc Nation
Soma - https://jamii.app/JayZNetWorth1Bl
#JFLeo
> Jay-Z ametangazwa rasmi na Jarida la Forbes kuwa ndiye bilionea wa kwanza wa Muziki wa HipHop huku akikadiriwa kuwa na utajiri wa jumla ya dola bilioni 1
> Anamiliki hisa za dola milioni 70 kwenye kampuni ya usafiri ya Uber, dola milioni 70 kwenye masuala ya sanaa, dola milioni 50 kwenye umiliki wa majumba ya kupangisha na muziki, umiliki wa ‘Tidal’ inayouza nyimbo mtandaoni pamoja na umiliki wa Kampuni ya Roc Nation
Soma - https://jamii.app/JayZNetWorth1Bl
#JFLeo