JamiiForums
52.9K subscribers
34.3K photos
2.43K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
MKATABA WA BIASHARA HURIA AFRIKA WAANZA KUFANYA KAZI

- Umoja wa Afrika unasema mkataba huo utawezesha kufanyika biashara zitakazofika thamani ya USD Trillioni 2.5

- Unaanza kufanya kazi baada ya nchi 22(idadi iliyokuwa inahitajika) kuridhia

Zaidi, soma https://jamii.app/BiasharaHuriaAfrikaKuanza
SHINYANGA: MWANAFUNZI WA DARASA LA 4 AKATISHA MASOMO KWA UJAUZITO

> Ni Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Welezo mwenye umri wa miaka 11 amekatisha masomo baada ya kukutwa na ujauzito wa miezi 7

> Alipewa ujauzito mwaka 2018 na mwanaume ambaye hajafahamika

Soma > https://jamii.app/UjauzitoMiaka11
ASHIKILIWA NA TAKUKURU KWA KUMPA RUSHWA MWANASHERIA WA CCM

ILALA, DAR: TAKUKURU inawashikilia watu 3 akiwemo mmiliki wa Kampuni ya Motrax, Chandulal Ladwa ambaye anatuhumiwa kutoa rushwa ya laki 2 ili apendelewe kwenye miradi ya chama hicho

Soma => https://jamii.app/RushwaCCM

#JFLeo
UFILIPINO YAZIRUDISHA KONTENA 69 ZA TAKA ZA PLASTIKI NCHINI CANADA

> Takataka hizo ziliingizwa kati ya mwaka 2013 hadi 2014 kwa kile kilichoelezwa kuwa ni malighafi kwa ajili ya kuchakatwa na kutengenezea bidhaa mpya

Zaidi, soma => https://jamii.app/TrashPhilippinesCanada
ZANZIBAR: AOLEWA NA ALIYEMBAKA KUFICHA AIBU YA FAMILIA

> Mwanaume alikiri kosa la kubaka na kuomba mambo yamalizwe kwani anania ya kumuoa binti huyo

> Hata hivyo binti alitelekezwa huku Mtoto aliyejifungua akiwa na tatizo la kuvuja mkojo kwenye kibofu

Kwa kisa hiki, soma > https://jamii.app/UbakajiNdoaZNZ
DHAHABU NA FEDHA ZILIZOTAIFISHWA ZAKABIDHIWA KWA SERIKALI

> DPP Biswalo Mganga amekabidhi kilo 325 za dhahabu na shilingi milioni 305

> Utaifishwaji huo ulifanywa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza baada ya Washtakiwa kukiri makosa

Zaidi, soma => https://jamii.app/DhahabuDPPGvt
AMCHOMA MTOTO MOTO NA KUMKATA NA WEMBE AKIDAI KAKOMBA MBOGA

- Magreth Digugulo mkazi wa Mjini Geita anadaiwa kumchoma moto na kumkatakata kwa wembe mjukuu wake kwenye mkono wa kulia kwa madai ya kujipakulia na kukomba mboga aina ya kisamvu

Soma https://jamii.app/AmchomaMotoMjukuu-GIT
DHAHABU NA FEDHA ZILIZOTAIFISHWA ZAKABIDHIWA KWA SERIKALI

> DPP Biswalo Mganga amekabidhi kilo 325 za dhahabu na shilingi milioni 305

> Utaifishwaji huo ulifanywa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza baada ya Washtakiwa kukiri makosa

Zaidi, soma => https://jamii.app/DhahabuDPPGvt

#JFLeo
ALIYEWAHI KUWA MLINZI WA RAIS PAUL KAGAME AUAWA AFRIKA KUSINI

> Camir Nkurunziza hivi karibuni aliibuka kuwa mkosoaji wa Rais Paul Kagame ameuawa kwa kupigwa risasi akiwa Afrika Kusini

> Alianzisha kampeni ya kupinga Rais Kagame kuongezewa muhula wa 3

Soma > https://jamii.app/MauajiNkuruziza

#JFLeo
NKASI, RUKWA: MJAMZITO ADAIWA KUJIPASUA NA KUMTOA MTOTO

- Joyce Kalinda anadaiwa kujipasua tumbo kwa kitu chenye ncha kali na kumtoa mtoto

- Awali alienda hospitali ila baada ya kuambiwa subiri kidogo alitoweka na kurudishwa akiwa amejipasua

Zaidi, soma https://jamii.app/AjipasuaKutoaMtoto
MWILI WA ETIENNE TSHISEKEDI WAWASILI DR CONGO

- Mwili wa kiongozi huyo wa zamani wa upinzani umewasili kutoka Ubelgiji alikofarikia miaka 2 iliyopita

- Mwili ulibaki huko kutokana na wasiwasi wa kisiasa wakati wa utawala wa Rais Joseph Kabila

Zaidi, soma https://jamii.app/TshisekediKuzikwaCongo
WAZIRI KABUDI: HATUWEZI KUPIGA MAGOTI KUOMBA MISAADA

- Waziri huyo wa Mambo ya Nje, amesema Tanzania haikupiga magoti kipindi cha utawala wa awamu ya 2 ilipokuwa na hali ngumu, hivyo haiwezi kufanya hivyo wakati huu ikiwa na hali nzuri zaidi

Zaidi, soma https://jamii.app/TZHaitapigaMagotiMisaada
KOREA KASKAZINI YADAIWA KUMUUA MJUMBE WAKE WA MKUTANO WA HANOI

- Vyombo vya habari vya Korea Kusini vimeripoti kuwa Korea Kaskazini imemuua mjumbe wake maalumu, Kim Hyok Chol kufuatia kushindwa kwa mkutano wa pili kati ya Kim Jong Un na Rais Donald Trump

Zaidi, soma https://jamii.app/MjumbeHanoiAuawa-NK
SUDAN: KAMBI YA WAANDAMANAJI YADAIWA KUWA HATARI. AL JAZEERA YATAKIWA KUFUNGA OFISI

- Kiongozi wa Kijeshi amesema Kambi hiyo iliyopo Khartoum imekuwa tishio kwa usalama wa nchi

- Pia, bila kutoa sababu ameagiza ofisi ya Al Jazeera kufungwa

Zaidi, soma https://jamii.app/AljazeeraSudanKufungwa
BURUNDI YATISHIA KUSITISHA USHIRIKIANO NA MJUMBE WA UN NCHINI HUMO

- Imeeleza kutoridhishwa na namna Mjumbe huyo wa Umoja wa Mataifa (United Nations -UN), Michel Kafando ambavyo amekuwa akiingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo

Zaidi, soma https://jamii.app/MjumbeUNvsBurundi
SERIKALI: TAMKO LA ALLY HAPI KUHUSU VITAMBULISHO SI LA SERIKALI

- Ni la makundi yanayotakiwa kupewa vitambulisho vya Wafanyabiashara wadogo alilotoa RC huyo wa Iringa

- Imetoa wito kwa Wakuu wote wa Mikoa kuzingatia maelekezo ya Serikali

Zaidi, soma https://jamii.app/SerikalivsHapi-Vitambulisho
R. KELLY AKABILIWA NA MASHTAKA MAPYA 11 YA UNYANYASAJI WA KINGONO

- Anadaiwa kufanya vitendo hivyo dhidi ya Watoto wa umri kati ya miaka 13 na 16

- Ikithibitika atakabiliwa na adhabu kali kuliko anazoweza kupata kutokana na mashtaka 10 ya awali

Zaidi, soma https://jamii.app/RKellyMashtakaMapya11
TEKNOLOJIA: BLACKBERRY MESSENGER YAFUNGWA RASMI

> BBM ilioanzishwa 2005 kabla ya mitandao ya WhatsApp, Facebook, Instagram na mingineyo kuundwa

> Aidha, Kampuni ya Emtek imeunda mfumo mbadala na kuupa jina la BBMe ambao utakuwa bora zaidi

Soma https://jamii.app/EndOfBBM
KENYA: WAKAZI WENGI WA NAIROBI HUTEMBEA KWA MIGUU KWENDA KAZINI

> Takwimu zinaonesha kuwa kwa kila Wakenya 10 basi 5 kati yao hutembea kwa miguu wanapokwenda kazini

> Usafiri mbovu na gharama kuwa kubwa vyatajwa kuwa sababu

Zaidi, soma => https://jamii.app/WafanyakaziNairobi
WALIOMALIZA KIDATO CHA 4 2018 WAPANGIWA SHULE NA VYUO VYA UFUNDI

- Waliopangiwa ni Wanafunzi 108,644 sawa na asilimia 98.31 kati ya wote wenye sifa

- Waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 pekee ni 69,356 sawa na asilimia 62.76 ya wenye sifa

Zaidi, soma https://jamii.app/Kidato4WapangiwaShule