KENYA: GAVANA ATOA SIKU 30 MAJENGO YA NAIROBI YAKARABATIWE NA KUPAKWA RANGI
> Gavana Mike Sonko amesema uongozi wake utawachukulia hatua watu wote watakaokiuka agizo hilo
> Amesema Nairobi ni Jiji la biashara hivyo ni lazima liwe safi
Zaidi, soma => https://jamii.app/SonkoNairobiBuildings
> Gavana Mike Sonko amesema uongozi wake utawachukulia hatua watu wote watakaokiuka agizo hilo
> Amesema Nairobi ni Jiji la biashara hivyo ni lazima liwe safi
Zaidi, soma => https://jamii.app/SonkoNairobiBuildings
BENKI YA DUNIA: MAZINGIRA YA BIASHARA TANZANIA YAMEZIDI KUWA MABAYA
> Afisa wa WB, Yutaka Yoshino amesema mazingira ya biashara yameshuka kwa nafasi 12 ndani ya miaka 2 iliyopita
> 89% ya bidhaa za viwandani na 97% ya ajira nazo zinatokana na sekta binafsi
Soma > https://jamii.app/WBVsTanzaniaEconomy
> Afisa wa WB, Yutaka Yoshino amesema mazingira ya biashara yameshuka kwa nafasi 12 ndani ya miaka 2 iliyopita
> 89% ya bidhaa za viwandani na 97% ya ajira nazo zinatokana na sekta binafsi
Soma > https://jamii.app/WBVsTanzaniaEconomy
MICHEZO: Klabu ya Kagera Sugar pamoja na Klabu ya African Lyon zashuka daraja baada ya kuvurunda katika michezo ya ligi
> Watanzania watazikosa timu hizo kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania bara
#JFSports
> Watanzania watazikosa timu hizo kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania bara
#JFSports
NAMANGA MPAKANI: ZAIDI YA MAGARI YA MIZIGO 100 YAKWAMA TRA, YABEBESHWA LAWAMA
> Inadaiwa TRA na Mawakala wa Forodha wameshindwa kukubaliana juu ya tafsiri ya sheria katika utozwaji kodi
> TRA ilikubali kutumia utaratibu wa zamani wakati ufumbuzi ukitafutwa
Soma > https://jamii.app/TRAVsForodhaNamanga
> Inadaiwa TRA na Mawakala wa Forodha wameshindwa kukubaliana juu ya tafsiri ya sheria katika utozwaji kodi
> TRA ilikubali kutumia utaratibu wa zamani wakati ufumbuzi ukitafutwa
Soma > https://jamii.app/TRAVsForodhaNamanga
JAPAN: WAWILI WAFARIKI NA 17 KUJERUHIWA KATIKA SHAMBULIO LA KISU
- Waliofariki ni mwanafunzi wa Kike mwenye miaka 11 na Mzazi mwenye miaka 39
- Mshambuliaji huyo mwenye miaka 50, aliwalenga wanafunzi wa shule waliokuwa wakisubiri basi
Zaidi, soma https://jamii.app/ShambulioKisuJapan-Mei2019
- Waliofariki ni mwanafunzi wa Kike mwenye miaka 11 na Mzazi mwenye miaka 39
- Mshambuliaji huyo mwenye miaka 50, aliwalenga wanafunzi wa shule waliokuwa wakisubiri basi
Zaidi, soma https://jamii.app/ShambulioKisuJapan-Mei2019
MARA: BOMU LAGUNDULIKA MIONGONI MWA VYUMA CHAKAVU
- Ni katika gari la Mfanyabiashara aliyekuwa akisafirisha vyuma hivyo kutoka Serengeti kwenda Mwanza
- Amesema wakati anapakia mzigo aliona chuma kisicho cha kawaida na kutoa taarifa Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/BomuLagundulika-Mara
- Ni katika gari la Mfanyabiashara aliyekuwa akisafirisha vyuma hivyo kutoka Serengeti kwenda Mwanza
- Amesema wakati anapakia mzigo aliona chuma kisicho cha kawaida na kutoa taarifa Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/BomuLagundulika-Mara
DAR: AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA KUMBAKA MTOTO WAKE WA MIAKA 13
> Said Rashid(36), anatuhumiwa kutenda kosa hilo mnamo mwaka 2016 na Aprili 2019 huko nyumbani kwake eneo la Mbezi Juu
> Aamekana kosa hilo na kurudishwa rumande
Soma > https://jamii.app/BabaKizimbaniUbakaji
> Said Rashid(36), anatuhumiwa kutenda kosa hilo mnamo mwaka 2016 na Aprili 2019 huko nyumbani kwake eneo la Mbezi Juu
> Aamekana kosa hilo na kurudishwa rumande
Soma > https://jamii.app/BabaKizimbaniUbakaji
IRINGA: WAANDISHI WA HABARI WAMTAKA RC ALLY HAPI AWAOMBE RADHI
- Wamempa siku 7 kufanya hivyo baada ya kuwataka kuwa na vitambulisho vya Wafanyabiashara wadogo
- Wamesema kuwachukulia kama vibarua wasio rasmi kunadhalilisha taaluma ya habari
Zaidi, soma https://jamii.app/WanaHabariVsHapi-IRN
- Wamempa siku 7 kufanya hivyo baada ya kuwataka kuwa na vitambulisho vya Wafanyabiashara wadogo
- Wamesema kuwachukulia kama vibarua wasio rasmi kunadhalilisha taaluma ya habari
Zaidi, soma https://jamii.app/WanaHabariVsHapi-IRN
SHERIA: MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOJITETEA MAHAKAMANI
> Watu wengi hupata shida ya kutoa maelezo au kujitetea pindi waitwapo Mahakamani
> Wapo waliokutwa na makosa au kushindwa kesi na kupoteza haki zao kwa makosa waliyofanya wakati wa kujitetea
Kwa elimu, soma => https://jamii.app/KujielezaMahakama
> Watu wengi hupata shida ya kutoa maelezo au kujitetea pindi waitwapo Mahakamani
> Wapo waliokutwa na makosa au kushindwa kesi na kupoteza haki zao kwa makosa waliyofanya wakati wa kujitetea
Kwa elimu, soma => https://jamii.app/KujielezaMahakama
ALIYEKUWA MKUU WA UPELELEZI KINONDONI AKATA RUFAA KUEPUKA KUNYONGWA
> Christopher Bageni, alihukumiwa kunyongwa kwa kuwaua Wafanyabiashara wa madini kutoka Mahenge, Morogoro
> Kesi hiyo pia ilikuwa ikimhusu aliyekuwa RCO wa Dar, Abdallah Zombe
Soma > https://jamii.app/RufaaKunyongwa
> Christopher Bageni, alihukumiwa kunyongwa kwa kuwaua Wafanyabiashara wa madini kutoka Mahenge, Morogoro
> Kesi hiyo pia ilikuwa ikimhusu aliyekuwa RCO wa Dar, Abdallah Zombe
Soma > https://jamii.app/RufaaKunyongwa
BODI YA LIGI YAIPA KAGERA SUGAR NAFASI YA KUJITETEA ISISHUKE DARAJA
> Kiongizi wa bodi Boniface Wambura amesema kuna makosa ya takwimu hivyo wameirudisha Kagera Sugar
> Kagera Sugar sasa itacheza michezo 2 ili kutafuta nafasi ya kushiriki Ligi Kuu
Soma > https://jamii.app/KageraSugarPlayoff
#JFSports
> Kiongizi wa bodi Boniface Wambura amesema kuna makosa ya takwimu hivyo wameirudisha Kagera Sugar
> Kagera Sugar sasa itacheza michezo 2 ili kutafuta nafasi ya kushiriki Ligi Kuu
Soma > https://jamii.app/KageraSugarPlayoff
#JFSports
ARUSHA: JAMBAZI SUGU NA KADA MAARUFU WA CCM AKAMATWA
- Polisi inamshikilia Jumanne Mjuzi, mkazi wa Ngarenaro kwa kosa la kuvunja na kuiba vitu mbalimbali
- Ni kada aliyelishiriki kwenye chaguzi mbalimbali kama kiongozi wa kikosi cha ulinzi
Zaidi, soma https://jamii.app/JambaziKadaCCMAkamatwa
- Polisi inamshikilia Jumanne Mjuzi, mkazi wa Ngarenaro kwa kosa la kuvunja na kuiba vitu mbalimbali
- Ni kada aliyelishiriki kwenye chaguzi mbalimbali kama kiongozi wa kikosi cha ulinzi
Zaidi, soma https://jamii.app/JambaziKadaCCMAkamatwa
DR CONGO: MATEKA 22 WAACHIWA HURU
- Kundi la Dola ya Kiislamu liliwateka wiki iliyopita katika Mji wa Samboko-Tchani Tchani
- Kiongozi mmoja katika Mji wa Beni amedai Watekaji walikuwa wakizungumza Kiswahili vizuri kama wanatoka Afrika Mashariki(Tanzania)
Zaidi, soma https://jamii.app/Mateka22Waachiwa-DRC
- Kundi la Dola ya Kiislamu liliwateka wiki iliyopita katika Mji wa Samboko-Tchani Tchani
- Kiongozi mmoja katika Mji wa Beni amedai Watekaji walikuwa wakizungumza Kiswahili vizuri kama wanatoka Afrika Mashariki(Tanzania)
Zaidi, soma https://jamii.app/Mateka22Waachiwa-DRC
DAR: KIPINDUPINDU CHAUA MTU 1, 32 WALAZWA
- Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hayo wakati akiangali hali ya Kipindupindu na Dengue jijini humo
- Aidha, ametaka wanaotiririsha maji machafu walipe faini ya Tsh. 200,000 badala ya Tsh. 30,000
Zaidi, soma https://jamii.app/KipindupinduChaua-Dar
- Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hayo wakati akiangali hali ya Kipindupindu na Dengue jijini humo
- Aidha, ametaka wanaotiririsha maji machafu walipe faini ya Tsh. 200,000 badala ya Tsh. 30,000
Zaidi, soma https://jamii.app/KipindupinduChaua-Dar
WAZIRI KALEMANI: TANESCO INADAIWA BILIONI 957, ITAMALIZA KULIPA 2026
> Waziri huyo wa Nishati amesema shirika hilo 2017 lilipata hasara ya TSh. bilioni 349
> 2018 TANESCO ilipata hasara ya Tsh. bilioni 122 huku 2019 ikipata faida ya Tsh. bilioni 9
Soma > https://jamii.app/DeniTanesco
> Waziri huyo wa Nishati amesema shirika hilo 2017 lilipata hasara ya TSh. bilioni 349
> 2018 TANESCO ilipata hasara ya Tsh. bilioni 122 huku 2019 ikipata faida ya Tsh. bilioni 9
Soma > https://jamii.app/DeniTanesco
RAIS MAGUFULI AUOMBA UMOJA WA ULAYA NA MAREKANI KUIONDOLEA VIKWAZO ZIMBABWE
> Rais Magufuli amesisitiza kwamba Zimbabwe ipo kwenye njia sahihi ya kuufufua uchumi wake chini ya Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/MagufuliVikwazoZimb
> Rais Magufuli amesisitiza kwamba Zimbabwe ipo kwenye njia sahihi ya kuufufua uchumi wake chini ya Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/MagufuliVikwazoZimb
WAZIRI MBARAWA: MIRADI 88 IMEJENGWA CHINI YA KIWANGO
- Waziri huyo wa Maji, amekiri kuwepo kwa miradi hiyo ya maji iliyojengwa kati ya mwaka 2010 na 2015
- Amesema Serikali imekuwa ikikarabati vyanzo vya maji na pia imetenga Tsh. Milioni 135
Zaidi, soma https://jamii.app/Miradi88MajiChiniKiwango
- Waziri huyo wa Maji, amekiri kuwepo kwa miradi hiyo ya maji iliyojengwa kati ya mwaka 2010 na 2015
- Amesema Serikali imekuwa ikikarabati vyanzo vya maji na pia imetenga Tsh. Milioni 135
Zaidi, soma https://jamii.app/Miradi88MajiChiniKiwango