TABORA: ADAIWA KUMUUA MUMEWE KISA WIVU WA MAPENZI
- Sada Abdallah anatuhumiwa kumuua mumewe kwa kumpiga na kisha kumsukuma na kusababisha aangukie kisogo
- Alikuwa akimtuhumu mumewe huyo kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Mwanamke mwingine
Zaidi, soma https://jamii.app/AmuuaMumeweMapenzi-TBR
- Sada Abdallah anatuhumiwa kumuua mumewe kwa kumpiga na kisha kumsukuma na kusababisha aangukie kisogo
- Alikuwa akimtuhumu mumewe huyo kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Mwanamke mwingine
Zaidi, soma https://jamii.app/AmuuaMumeweMapenzi-TBR
JE, WAIJUA HISTORIA YA NENO KILIMANJARO?
> Asili ya neno hili ni makosa ya kisarufi yaliyofanywa na wageni kutoka Ulaya
> Wazawa waliuita Kilimakyaro (Kilimakirefu) lakini makosa ya kimatamshi ya Wageni yalipelekea kuzaliwa neno Kilimanjaro
Soma > https://jamii.app/HistiriaKilimanjaro
#JFHistoria
> Asili ya neno hili ni makosa ya kisarufi yaliyofanywa na wageni kutoka Ulaya
> Wazawa waliuita Kilimakyaro (Kilimakirefu) lakini makosa ya kimatamshi ya Wageni yalipelekea kuzaliwa neno Kilimanjaro
Soma > https://jamii.app/HistiriaKilimanjaro
#JFHistoria
SERIKALI: NGUVU YA SOKO CHANZO KUTOSHUKA BEI YA TAULO ZA KIKE
- Imesema bei haijashuka licha ya kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani katika taulo hizo
- Imeeleza bei inatokana na sababu mbalimbali zikiwemo gharama za malighafi na uwekezaji
Zaidi, soma https://jamii.app/BeiTauloKikeKutoshuka
- Imesema bei haijashuka licha ya kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani katika taulo hizo
- Imeeleza bei inatokana na sababu mbalimbali zikiwemo gharama za malighafi na uwekezaji
Zaidi, soma https://jamii.app/BeiTauloKikeKutoshuka
BAKWATA: BARAZA LA EID EL FITR KUFANYIKA TANGA
> Taarifa rasmi ya BAKWATA imeeleza kuwa sikukuu hiyo itafanyika Juni 5/6 kulingana na mwandamo wa mwenzi
> Baraza la Eid litafanyika mkoani Tanga na Waziri Mkuu, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi
Soma > https://jamii.app/EidalFitrTz
> Taarifa rasmi ya BAKWATA imeeleza kuwa sikukuu hiyo itafanyika Juni 5/6 kulingana na mwandamo wa mwenzi
> Baraza la Eid litafanyika mkoani Tanga na Waziri Mkuu, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi
Soma > https://jamii.app/EidalFitrTz
RUKWA: MWALIMU MBARONI KWA KUMPIGA MWANAFUNZI HADI KUMSABABISHIA UPOFU
- Mwalimu Peter Silamba wa Sekondari ya Kate, Wilayani Nkasi anatuhumiwa kumpiga machoni kwa fimbo, Nicholaus Kwimba(17) wa kidato cha 3 wakati akimuadhibu kwa uchelewaji
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuUpofuMwanafunzi-RKW
- Mwalimu Peter Silamba wa Sekondari ya Kate, Wilayani Nkasi anatuhumiwa kumpiga machoni kwa fimbo, Nicholaus Kwimba(17) wa kidato cha 3 wakati akimuadhibu kwa uchelewaji
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuUpofuMwanafunzi-RKW
ARUSHA: WATAKAO KAMATWA NA MIFUKO YA PLASTIKI KUFUNGIWA UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID
> Jeshi la Polisi limesema litalazimika kufanya hivyo endapo mahabusu zitakuwa zimejaa
> Watuhumiwa watahifadhiwa uwanjani hapo hadi watakapofikishwa Mahakamani
Soma > https://jamii.app/MifukoPlastikiArusha
> Jeshi la Polisi limesema litalazimika kufanya hivyo endapo mahabusu zitakuwa zimejaa
> Watuhumiwa watahifadhiwa uwanjani hapo hadi watakapofikishwa Mahakamani
Soma > https://jamii.app/MifukoPlastikiArusha
ISRAEL: WAZIRI MKUU ASHINDWA KUUNDA SERIKALI. BUNGE KUVUNJWA
- Israel itafanya uchaguzi mpya Septemba 2019 baada ya Wabunge kupitisha hoja ya kulivunja Bunge kufuatia Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu kushindwa kuunda Serikali ya muungano
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziMpyaIsrael
- Israel itafanya uchaguzi mpya Septemba 2019 baada ya Wabunge kupitisha hoja ya kulivunja Bunge kufuatia Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu kushindwa kuunda Serikali ya muungano
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziMpyaIsrael
KIEV: BUNGE LA UKRAINE LAKATAA WAZIRI MKUU KUJIUZULU
> Wabunge kwa kupiga kura wamekataa ombi la Waziri Mkuu, Volodymyr Groyman kujiuzulu
> Wasema endapo Waziri Mkuu atajiuzulu hatua hiyo inaweza kuzua machafuko na ghasia nchini humo
Soma > https://jamii.app/BungeVsUkrainePM
> Wabunge kwa kupiga kura wamekataa ombi la Waziri Mkuu, Volodymyr Groyman kujiuzulu
> Wasema endapo Waziri Mkuu atajiuzulu hatua hiyo inaweza kuzua machafuko na ghasia nchini humo
Soma > https://jamii.app/BungeVsUkrainePM
SERIKALI: SI LAZIMA WATUMISHI WOTE WA UMMA KUWA NA LAINI ZA TTCL
- Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amebainisha kuwa Viongozi wanaohudumiwa stahili ya simu watapewa vocha za TTCL lakini hakuna agizo la ulazima kwa Watumishi wengine
Zaidi, soma https://jamii.app/LainiTTCLWatumishi
- Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amebainisha kuwa Viongozi wanaohudumiwa stahili ya simu watapewa vocha za TTCL lakini hakuna agizo la ulazima kwa Watumishi wengine
Zaidi, soma https://jamii.app/LainiTTCLWatumishi
MBOZI: MILIONI 15.2 ZA MAUZO YA VITAMBULISHO VYA ‘WAMACHINGA’ HAZIONEKANI
- Fedha hizo ni za Wafanyabiashara wadogo 760 waliopewa vitambulisho katika Halmashauri ya Mbozi
- Baadhi ya Watendaji wameshindwa kuwasilisha fedha ama vitambulisho
Zaidi, soma https://jamii.app/FedhaVitambulisho-Mbozi
- Fedha hizo ni za Wafanyabiashara wadogo 760 waliopewa vitambulisho katika Halmashauri ya Mbozi
- Baadhi ya Watendaji wameshindwa kuwasilisha fedha ama vitambulisho
Zaidi, soma https://jamii.app/FedhaVitambulisho-Mbozi
MKATABA WA BIASHARA HURIA AFRIKA WAANZA KUFANYA KAZI
- Umoja wa Afrika unasema mkataba huo utawezesha kufanyika biashara zitakazofika thamani ya USD Trillioni 2.5
- Unaanza kufanya kazi baada ya nchi 22(idadi iliyokuwa inahitajika) kuridhia
Zaidi, soma https://jamii.app/BiasharaHuriaAfrikaKuanza
- Umoja wa Afrika unasema mkataba huo utawezesha kufanyika biashara zitakazofika thamani ya USD Trillioni 2.5
- Unaanza kufanya kazi baada ya nchi 22(idadi iliyokuwa inahitajika) kuridhia
Zaidi, soma https://jamii.app/BiasharaHuriaAfrikaKuanza
SHINYANGA: MWANAFUNZI WA DARASA LA 4 AKATISHA MASOMO KWA UJAUZITO
> Ni Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Welezo mwenye umri wa miaka 11 amekatisha masomo baada ya kukutwa na ujauzito wa miezi 7
> Alipewa ujauzito mwaka 2018 na mwanaume ambaye hajafahamika
Soma > https://jamii.app/UjauzitoMiaka11
> Ni Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Welezo mwenye umri wa miaka 11 amekatisha masomo baada ya kukutwa na ujauzito wa miezi 7
> Alipewa ujauzito mwaka 2018 na mwanaume ambaye hajafahamika
Soma > https://jamii.app/UjauzitoMiaka11
ASHIKILIWA NA TAKUKURU KWA KUMPA RUSHWA MWANASHERIA WA CCM
ILALA, DAR: TAKUKURU inawashikilia watu 3 akiwemo mmiliki wa Kampuni ya Motrax, Chandulal Ladwa ambaye anatuhumiwa kutoa rushwa ya laki 2 ili apendelewe kwenye miradi ya chama hicho
Soma => https://jamii.app/RushwaCCM
#JFLeo
ILALA, DAR: TAKUKURU inawashikilia watu 3 akiwemo mmiliki wa Kampuni ya Motrax, Chandulal Ladwa ambaye anatuhumiwa kutoa rushwa ya laki 2 ili apendelewe kwenye miradi ya chama hicho
Soma => https://jamii.app/RushwaCCM
#JFLeo
UFILIPINO YAZIRUDISHA KONTENA 69 ZA TAKA ZA PLASTIKI NCHINI CANADA
> Takataka hizo ziliingizwa kati ya mwaka 2013 hadi 2014 kwa kile kilichoelezwa kuwa ni malighafi kwa ajili ya kuchakatwa na kutengenezea bidhaa mpya
Zaidi, soma => https://jamii.app/TrashPhilippinesCanada
> Takataka hizo ziliingizwa kati ya mwaka 2013 hadi 2014 kwa kile kilichoelezwa kuwa ni malighafi kwa ajili ya kuchakatwa na kutengenezea bidhaa mpya
Zaidi, soma => https://jamii.app/TrashPhilippinesCanada
ZANZIBAR: AOLEWA NA ALIYEMBAKA KUFICHA AIBU YA FAMILIA
> Mwanaume alikiri kosa la kubaka na kuomba mambo yamalizwe kwani anania ya kumuoa binti huyo
> Hata hivyo binti alitelekezwa huku Mtoto aliyejifungua akiwa na tatizo la kuvuja mkojo kwenye kibofu
Kwa kisa hiki, soma > https://jamii.app/UbakajiNdoaZNZ
> Mwanaume alikiri kosa la kubaka na kuomba mambo yamalizwe kwani anania ya kumuoa binti huyo
> Hata hivyo binti alitelekezwa huku Mtoto aliyejifungua akiwa na tatizo la kuvuja mkojo kwenye kibofu
Kwa kisa hiki, soma > https://jamii.app/UbakajiNdoaZNZ
DHAHABU NA FEDHA ZILIZOTAIFISHWA ZAKABIDHIWA KWA SERIKALI
> DPP Biswalo Mganga amekabidhi kilo 325 za dhahabu na shilingi milioni 305
> Utaifishwaji huo ulifanywa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza baada ya Washtakiwa kukiri makosa
Zaidi, soma => https://jamii.app/DhahabuDPPGvt
> DPP Biswalo Mganga amekabidhi kilo 325 za dhahabu na shilingi milioni 305
> Utaifishwaji huo ulifanywa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza baada ya Washtakiwa kukiri makosa
Zaidi, soma => https://jamii.app/DhahabuDPPGvt
AMCHOMA MTOTO MOTO NA KUMKATA NA WEMBE AKIDAI KAKOMBA MBOGA
- Magreth Digugulo mkazi wa Mjini Geita anadaiwa kumchoma moto na kumkatakata kwa wembe mjukuu wake kwenye mkono wa kulia kwa madai ya kujipakulia na kukomba mboga aina ya kisamvu
Soma https://jamii.app/AmchomaMotoMjukuu-GIT
- Magreth Digugulo mkazi wa Mjini Geita anadaiwa kumchoma moto na kumkatakata kwa wembe mjukuu wake kwenye mkono wa kulia kwa madai ya kujipakulia na kukomba mboga aina ya kisamvu
Soma https://jamii.app/AmchomaMotoMjukuu-GIT
DHAHABU NA FEDHA ZILIZOTAIFISHWA ZAKABIDHIWA KWA SERIKALI
> DPP Biswalo Mganga amekabidhi kilo 325 za dhahabu na shilingi milioni 305
> Utaifishwaji huo ulifanywa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza baada ya Washtakiwa kukiri makosa
Zaidi, soma => https://jamii.app/DhahabuDPPGvt
#JFLeo
> DPP Biswalo Mganga amekabidhi kilo 325 za dhahabu na shilingi milioni 305
> Utaifishwaji huo ulifanywa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza baada ya Washtakiwa kukiri makosa
Zaidi, soma => https://jamii.app/DhahabuDPPGvt
#JFLeo