KANSELA WA AUSTRIA AONDOLEWA MADARAKANI
- Wabunge wamepiga kura ya kutokuwa na imani na Serikali ya Kansela ambaye ni Mkuu wa Baraza la Mawaziri, Sebastian Kurz
- Hatua hiyo inakuja baada ya kuibuka kashfa ya rushwa iliyosababisha Naibu Kansela kujiuzulu
Zaidi, soma https://jamii.app/KanselaAustriaAondolewaMadarakani
- Wabunge wamepiga kura ya kutokuwa na imani na Serikali ya Kansela ambaye ni Mkuu wa Baraza la Mawaziri, Sebastian Kurz
- Hatua hiyo inakuja baada ya kuibuka kashfa ya rushwa iliyosababisha Naibu Kansela kujiuzulu
Zaidi, soma https://jamii.app/KanselaAustriaAondolewaMadarakani
AFYA: FANYA YAFUATAYO KUJITIBU KUTOKWA NA DAMU KWENYE FIZI
> Tumia mswaki laini, badili mswaki kila baada ya miezi mitatu, usichokonoe meno mara kwa mara na epuka uvutaji wa sigara na tumbaku
> Kula mboga za majani, matunda na vyakula vyenye vitamini C na K kwa wingi
Kwa elimu zaidi, soma => https://jamii.app/DamuFizi
> Tumia mswaki laini, badili mswaki kila baada ya miezi mitatu, usichokonoe meno mara kwa mara na epuka uvutaji wa sigara na tumbaku
> Kula mboga za majani, matunda na vyakula vyenye vitamini C na K kwa wingi
Kwa elimu zaidi, soma => https://jamii.app/DamuFizi
MOROGORO: AJIUA BAADA YA KUMUUA MKEWE, MAMA MKWE NA JIRANI
- Inadaiwa mume alimtuhumu mkewe kuwa na mwanaume mwingine huku akituhumu hao wengine kufahamu
- Alitumia panga kumuua Mama mkwe, wengine aliwanywesha sumu na yeye kujiua kwa sumu
Zaidi, soma https://jamii.app/MumeAjiuaAua3-Dumila
- Inadaiwa mume alimtuhumu mkewe kuwa na mwanaume mwingine huku akituhumu hao wengine kufahamu
- Alitumia panga kumuua Mama mkwe, wengine aliwanywesha sumu na yeye kujiua kwa sumu
Zaidi, soma https://jamii.app/MumeAjiuaAua3-Dumila
BRAZIL: IDADI YA WAFUNGWA WALIOFARIKI GEREZANI YAFIKIA 57
> Wafungwa 15 walifariki siku ya Jumapili na wengine 42 siku ya Jumatatu, vifo hivi vimechochewa na ukosefu wa hewa kutokana na msongamano
> Mamlaka zaanza kufanya uchunguzi
Zaidi, soma => https://jamii.app/VifoGerezaniBrazil
> Wafungwa 15 walifariki siku ya Jumapili na wengine 42 siku ya Jumatatu, vifo hivi vimechochewa na ukosefu wa hewa kutokana na msongamano
> Mamlaka zaanza kufanya uchunguzi
Zaidi, soma => https://jamii.app/VifoGerezaniBrazil
IRINGA: RC ALLY HAPI, ASITISHA LIKIZO ZA MA-DC NA WAKURUGENZI
- Amewataka pia kutosafiri nje ya Mkoa baada ya kufanya vibaya katika ugawaji wa vitambulisho vya Wafanyabiashara wadogo
- Ametoa wiki 3 Wafanyabiashara wote wapatiwe vitambulisho
Zaidi, soma https://jamii.app/RCIringaLikizoDC
- Amewataka pia kutosafiri nje ya Mkoa baada ya kufanya vibaya katika ugawaji wa vitambulisho vya Wafanyabiashara wadogo
- Ametoa wiki 3 Wafanyabiashara wote wapatiwe vitambulisho
Zaidi, soma https://jamii.app/RCIringaLikizoDC
AFARIKI NDANI YA NDEGE KUTOKANA NA KUJAZA COCAINE TUMBONI
- Raia wa Japan, Udo N amefariki akiwa anasafiri kwenye ndege iliyokuwa inatoka Mjini Mexico kuelekea Japan, baada ya kumeza paketi 246 za #DawaZaKulevya aina ya Cocaine
Zaidi, soma https://jamii.app/Paketi246CocaineZamuua-MXC
- Raia wa Japan, Udo N amefariki akiwa anasafiri kwenye ndege iliyokuwa inatoka Mjini Mexico kuelekea Japan, baada ya kumeza paketi 246 za #DawaZaKulevya aina ya Cocaine
Zaidi, soma https://jamii.app/Paketi246CocaineZamuua-MXC
MICHEZO: Mchezaji wa Aston Villa iliyopanda daraja baada ya kuifunga Derby goli 2-1, Jack Grealish aeleza sababu za kuvaa viatu vilivyochakaa kwenye mchezo huo
- Amesema "Baada ya kupata majeraha kwa muda na kurejea uwanjani nilivitumia vikiwa vipya kabisa, wakati huo nilipata kufunga magoli kadhaa na kutoa pasi kadhaa za magoli."
Zaidi, soma https://jamii.app/GrealishViatuChakavu
- Amesema "Baada ya kupata majeraha kwa muda na kurejea uwanjani nilivitumia vikiwa vipya kabisa, wakati huo nilipata kufunga magoli kadhaa na kutoa pasi kadhaa za magoli."
Zaidi, soma https://jamii.app/GrealishViatuChakavu
LAZARO NYALANDU NA WENZAKE WAACHIWA KWA DHAMANA
- Wenzake wamedhaminiwa na Wadhamini 2 huku yeye akidhaminiwa na Wadhamini 3, kila mmoja akiweka bondi ya Tsh. Milioni 5
- Aidha, wote wanatakiwa kuripoti Kituo cha Polisi kilichopo Singida Mjini kesho saa 3 asubuhi
Zaidi, soma https://jamii.app/NyalanduAachiwaDhamana-SGD
- Wenzake wamedhaminiwa na Wadhamini 2 huku yeye akidhaminiwa na Wadhamini 3, kila mmoja akiweka bondi ya Tsh. Milioni 5
- Aidha, wote wanatakiwa kuripoti Kituo cha Polisi kilichopo Singida Mjini kesho saa 3 asubuhi
Zaidi, soma https://jamii.app/NyalanduAachiwaDhamana-SGD
DAR: DEREVA TAKSI KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KUMTEKA MO DEWJI
> Mousa Twaleb(46), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka 3 likiwemo la kumteka Mfanyabiashara Mohammed Dewji
Zaidi, soma => https://jamii.app/DerevaTaxiUtekajiMo
> Mousa Twaleb(46), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka 3 likiwemo la kumteka Mfanyabiashara Mohammed Dewji
Zaidi, soma => https://jamii.app/DerevaTaxiUtekajiMo
SERIKALI: AJIRA MPYA ZA SERIKALI HAZITAZINGATIA UZOEFU
- Ajira mpya hazitazingatia uzoefu kwa Waajiriwa ikiwa ni utekelezaji wa sera ya Utumishi ya mwaka 2004
- Pia, imeanza kuwaunganisha Wahitimu wa vyuo na taasisi mbalimbali kupata uzoefu
Zaidi, soma https://jamii.app/AjiraSerikaliUzoefu
- Ajira mpya hazitazingatia uzoefu kwa Waajiriwa ikiwa ni utekelezaji wa sera ya Utumishi ya mwaka 2004
- Pia, imeanza kuwaunganisha Wahitimu wa vyuo na taasisi mbalimbali kupata uzoefu
Zaidi, soma https://jamii.app/AjiraSerikaliUzoefu
TEKNOLOJIA: JE WAJUA MAANA YA 'MEGAPIXEL'?
> Megapixel ni mkusanyiko wa pixel (viboksi vidogo) milioni moja ambavyo hutumika kujenga picha inayochukuliwa na Kamera husika
> Mfano: Kamera yenye Megapixel 14 itakuwa na viboksi vidogo vidogo milioni 14
Soma > https://jamii.app/MegaPixel
> Megapixel ni mkusanyiko wa pixel (viboksi vidogo) milioni moja ambavyo hutumika kujenga picha inayochukuliwa na Kamera husika
> Mfano: Kamera yenye Megapixel 14 itakuwa na viboksi vidogo vidogo milioni 14
Soma > https://jamii.app/MegaPixel
TP MAZEMBE YASITISHA NIA YA KUTAKA KUMSAJILI IBRAHIM AJIBU
- TP Mazembe inadaiwa kushindwa kufikia makubaliano binafsi na mshambuliaji huyo wa Yanga
- Ugumu unakuwepo kutokana na taarifa kwamba Ajibu alishaingia makubaliano ya awali na Simba
Zaidi, soma https://jamii.app/AjibuMazembeYashindikana
- TP Mazembe inadaiwa kushindwa kufikia makubaliano binafsi na mshambuliaji huyo wa Yanga
- Ugumu unakuwepo kutokana na taarifa kwamba Ajibu alishaingia makubaliano ya awali na Simba
Zaidi, soma https://jamii.app/AjibuMazembeYashindikana
MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA BUTIAMA ATENGULIWA
- Rais Magufuli ametegua uteuzi wa Alphonce Magori kutokana na utendaji wake usioridhisha na nafasi yake itajazwa baadaye
- Akitoa taarifa hiyo, Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amewataka Wakurugenzi kufikia malengo ya Serikali
Zaidi, soma https://jamii.app/MkurugenziButiamaAtenguliwa
- Rais Magufuli ametegua uteuzi wa Alphonce Magori kutokana na utendaji wake usioridhisha na nafasi yake itajazwa baadaye
- Akitoa taarifa hiyo, Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amewataka Wakurugenzi kufikia malengo ya Serikali
Zaidi, soma https://jamii.app/MkurugenziButiamaAtenguliwa
WATUMISHI WATANO WA TUME YA UMWAGILIAJI WASIMAMISHWA KAZI
- Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga amewasimamisha ili kupisha uchunguzi dhidi yao
- Ni kufuatia uchunguzi wa awali uliofanywa na ofisi ya Waziri Mkuu kubaini udhaifu wa kiutendaji
Zaidi, soma https://jamii.app/WatumishiWasimamaKaziUmwagiliaji
- Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga amewasimamisha ili kupisha uchunguzi dhidi yao
- Ni kufuatia uchunguzi wa awali uliofanywa na ofisi ya Waziri Mkuu kubaini udhaifu wa kiutendaji
Zaidi, soma https://jamii.app/WatumishiWasimamaKaziUmwagiliaji
KENYA: GAVANA ATOA SIKU 30 MAJENGO YA NAIROBI YAKARABATIWE NA KUPAKWA RANGI
> Gavana Mike Sonko amesema uongozi wake utawachukulia hatua watu wote watakaokiuka agizo hilo
> Amesema Nairobi ni Jiji la biashara hivyo ni lazima liwe safi
Zaidi, soma => https://jamii.app/SonkoNairobiBuildings
> Gavana Mike Sonko amesema uongozi wake utawachukulia hatua watu wote watakaokiuka agizo hilo
> Amesema Nairobi ni Jiji la biashara hivyo ni lazima liwe safi
Zaidi, soma => https://jamii.app/SonkoNairobiBuildings
BENKI YA DUNIA: MAZINGIRA YA BIASHARA TANZANIA YAMEZIDI KUWA MABAYA
> Afisa wa WB, Yutaka Yoshino amesema mazingira ya biashara yameshuka kwa nafasi 12 ndani ya miaka 2 iliyopita
> 89% ya bidhaa za viwandani na 97% ya ajira nazo zinatokana na sekta binafsi
Soma > https://jamii.app/WBVsTanzaniaEconomy
> Afisa wa WB, Yutaka Yoshino amesema mazingira ya biashara yameshuka kwa nafasi 12 ndani ya miaka 2 iliyopita
> 89% ya bidhaa za viwandani na 97% ya ajira nazo zinatokana na sekta binafsi
Soma > https://jamii.app/WBVsTanzaniaEconomy
MICHEZO: Klabu ya Kagera Sugar pamoja na Klabu ya African Lyon zashuka daraja baada ya kuvurunda katika michezo ya ligi
> Watanzania watazikosa timu hizo kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania bara
#JFSports
> Watanzania watazikosa timu hizo kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania bara
#JFSports
NAMANGA MPAKANI: ZAIDI YA MAGARI YA MIZIGO 100 YAKWAMA TRA, YABEBESHWA LAWAMA
> Inadaiwa TRA na Mawakala wa Forodha wameshindwa kukubaliana juu ya tafsiri ya sheria katika utozwaji kodi
> TRA ilikubali kutumia utaratibu wa zamani wakati ufumbuzi ukitafutwa
Soma > https://jamii.app/TRAVsForodhaNamanga
> Inadaiwa TRA na Mawakala wa Forodha wameshindwa kukubaliana juu ya tafsiri ya sheria katika utozwaji kodi
> TRA ilikubali kutumia utaratibu wa zamani wakati ufumbuzi ukitafutwa
Soma > https://jamii.app/TRAVsForodhaNamanga
JAPAN: WAWILI WAFARIKI NA 17 KUJERUHIWA KATIKA SHAMBULIO LA KISU
- Waliofariki ni mwanafunzi wa Kike mwenye miaka 11 na Mzazi mwenye miaka 39
- Mshambuliaji huyo mwenye miaka 50, aliwalenga wanafunzi wa shule waliokuwa wakisubiri basi
Zaidi, soma https://jamii.app/ShambulioKisuJapan-Mei2019
- Waliofariki ni mwanafunzi wa Kike mwenye miaka 11 na Mzazi mwenye miaka 39
- Mshambuliaji huyo mwenye miaka 50, aliwalenga wanafunzi wa shule waliokuwa wakisubiri basi
Zaidi, soma https://jamii.app/ShambulioKisuJapan-Mei2019