MARA: BOMU LAGUNDULIKA MIONGONI MWA VYUMA CHAKAVU
- Ni katika gari la Mfanyabiashara aliyekuwa akisafirisha vyuma hivyo kutoka Serengeti kwenda Mwanza
- Amesema wakati anapakia mzigo aliona chuma kisicho cha kawaida na kutoa taarifa Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/BomuLagundulika-Mara
- Ni katika gari la Mfanyabiashara aliyekuwa akisafirisha vyuma hivyo kutoka Serengeti kwenda Mwanza
- Amesema wakati anapakia mzigo aliona chuma kisicho cha kawaida na kutoa taarifa Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/BomuLagundulika-Mara
DAR: AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA KUMBAKA MTOTO WAKE WA MIAKA 13
> Said Rashid(36), anatuhumiwa kutenda kosa hilo mnamo mwaka 2016 na Aprili 2019 huko nyumbani kwake eneo la Mbezi Juu
> Aamekana kosa hilo na kurudishwa rumande
Soma > https://jamii.app/BabaKizimbaniUbakaji
> Said Rashid(36), anatuhumiwa kutenda kosa hilo mnamo mwaka 2016 na Aprili 2019 huko nyumbani kwake eneo la Mbezi Juu
> Aamekana kosa hilo na kurudishwa rumande
Soma > https://jamii.app/BabaKizimbaniUbakaji
IRINGA: WAANDISHI WA HABARI WAMTAKA RC ALLY HAPI AWAOMBE RADHI
- Wamempa siku 7 kufanya hivyo baada ya kuwataka kuwa na vitambulisho vya Wafanyabiashara wadogo
- Wamesema kuwachukulia kama vibarua wasio rasmi kunadhalilisha taaluma ya habari
Zaidi, soma https://jamii.app/WanaHabariVsHapi-IRN
- Wamempa siku 7 kufanya hivyo baada ya kuwataka kuwa na vitambulisho vya Wafanyabiashara wadogo
- Wamesema kuwachukulia kama vibarua wasio rasmi kunadhalilisha taaluma ya habari
Zaidi, soma https://jamii.app/WanaHabariVsHapi-IRN
SHERIA: MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOJITETEA MAHAKAMANI
> Watu wengi hupata shida ya kutoa maelezo au kujitetea pindi waitwapo Mahakamani
> Wapo waliokutwa na makosa au kushindwa kesi na kupoteza haki zao kwa makosa waliyofanya wakati wa kujitetea
Kwa elimu, soma => https://jamii.app/KujielezaMahakama
> Watu wengi hupata shida ya kutoa maelezo au kujitetea pindi waitwapo Mahakamani
> Wapo waliokutwa na makosa au kushindwa kesi na kupoteza haki zao kwa makosa waliyofanya wakati wa kujitetea
Kwa elimu, soma => https://jamii.app/KujielezaMahakama
ALIYEKUWA MKUU WA UPELELEZI KINONDONI AKATA RUFAA KUEPUKA KUNYONGWA
> Christopher Bageni, alihukumiwa kunyongwa kwa kuwaua Wafanyabiashara wa madini kutoka Mahenge, Morogoro
> Kesi hiyo pia ilikuwa ikimhusu aliyekuwa RCO wa Dar, Abdallah Zombe
Soma > https://jamii.app/RufaaKunyongwa
> Christopher Bageni, alihukumiwa kunyongwa kwa kuwaua Wafanyabiashara wa madini kutoka Mahenge, Morogoro
> Kesi hiyo pia ilikuwa ikimhusu aliyekuwa RCO wa Dar, Abdallah Zombe
Soma > https://jamii.app/RufaaKunyongwa
BODI YA LIGI YAIPA KAGERA SUGAR NAFASI YA KUJITETEA ISISHUKE DARAJA
> Kiongizi wa bodi Boniface Wambura amesema kuna makosa ya takwimu hivyo wameirudisha Kagera Sugar
> Kagera Sugar sasa itacheza michezo 2 ili kutafuta nafasi ya kushiriki Ligi Kuu
Soma > https://jamii.app/KageraSugarPlayoff
#JFSports
> Kiongizi wa bodi Boniface Wambura amesema kuna makosa ya takwimu hivyo wameirudisha Kagera Sugar
> Kagera Sugar sasa itacheza michezo 2 ili kutafuta nafasi ya kushiriki Ligi Kuu
Soma > https://jamii.app/KageraSugarPlayoff
#JFSports
ARUSHA: JAMBAZI SUGU NA KADA MAARUFU WA CCM AKAMATWA
- Polisi inamshikilia Jumanne Mjuzi, mkazi wa Ngarenaro kwa kosa la kuvunja na kuiba vitu mbalimbali
- Ni kada aliyelishiriki kwenye chaguzi mbalimbali kama kiongozi wa kikosi cha ulinzi
Zaidi, soma https://jamii.app/JambaziKadaCCMAkamatwa
- Polisi inamshikilia Jumanne Mjuzi, mkazi wa Ngarenaro kwa kosa la kuvunja na kuiba vitu mbalimbali
- Ni kada aliyelishiriki kwenye chaguzi mbalimbali kama kiongozi wa kikosi cha ulinzi
Zaidi, soma https://jamii.app/JambaziKadaCCMAkamatwa
DR CONGO: MATEKA 22 WAACHIWA HURU
- Kundi la Dola ya Kiislamu liliwateka wiki iliyopita katika Mji wa Samboko-Tchani Tchani
- Kiongozi mmoja katika Mji wa Beni amedai Watekaji walikuwa wakizungumza Kiswahili vizuri kama wanatoka Afrika Mashariki(Tanzania)
Zaidi, soma https://jamii.app/Mateka22Waachiwa-DRC
- Kundi la Dola ya Kiislamu liliwateka wiki iliyopita katika Mji wa Samboko-Tchani Tchani
- Kiongozi mmoja katika Mji wa Beni amedai Watekaji walikuwa wakizungumza Kiswahili vizuri kama wanatoka Afrika Mashariki(Tanzania)
Zaidi, soma https://jamii.app/Mateka22Waachiwa-DRC
DAR: KIPINDUPINDU CHAUA MTU 1, 32 WALAZWA
- Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hayo wakati akiangali hali ya Kipindupindu na Dengue jijini humo
- Aidha, ametaka wanaotiririsha maji machafu walipe faini ya Tsh. 200,000 badala ya Tsh. 30,000
Zaidi, soma https://jamii.app/KipindupinduChaua-Dar
- Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hayo wakati akiangali hali ya Kipindupindu na Dengue jijini humo
- Aidha, ametaka wanaotiririsha maji machafu walipe faini ya Tsh. 200,000 badala ya Tsh. 30,000
Zaidi, soma https://jamii.app/KipindupinduChaua-Dar
WAZIRI KALEMANI: TANESCO INADAIWA BILIONI 957, ITAMALIZA KULIPA 2026
> Waziri huyo wa Nishati amesema shirika hilo 2017 lilipata hasara ya TSh. bilioni 349
> 2018 TANESCO ilipata hasara ya Tsh. bilioni 122 huku 2019 ikipata faida ya Tsh. bilioni 9
Soma > https://jamii.app/DeniTanesco
> Waziri huyo wa Nishati amesema shirika hilo 2017 lilipata hasara ya TSh. bilioni 349
> 2018 TANESCO ilipata hasara ya Tsh. bilioni 122 huku 2019 ikipata faida ya Tsh. bilioni 9
Soma > https://jamii.app/DeniTanesco
RAIS MAGUFULI AUOMBA UMOJA WA ULAYA NA MAREKANI KUIONDOLEA VIKWAZO ZIMBABWE
> Rais Magufuli amesisitiza kwamba Zimbabwe ipo kwenye njia sahihi ya kuufufua uchumi wake chini ya Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/MagufuliVikwazoZimb
> Rais Magufuli amesisitiza kwamba Zimbabwe ipo kwenye njia sahihi ya kuufufua uchumi wake chini ya Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/MagufuliVikwazoZimb
WAZIRI MBARAWA: MIRADI 88 IMEJENGWA CHINI YA KIWANGO
- Waziri huyo wa Maji, amekiri kuwepo kwa miradi hiyo ya maji iliyojengwa kati ya mwaka 2010 na 2015
- Amesema Serikali imekuwa ikikarabati vyanzo vya maji na pia imetenga Tsh. Milioni 135
Zaidi, soma https://jamii.app/Miradi88MajiChiniKiwango
- Waziri huyo wa Maji, amekiri kuwepo kwa miradi hiyo ya maji iliyojengwa kati ya mwaka 2010 na 2015
- Amesema Serikali imekuwa ikikarabati vyanzo vya maji na pia imetenga Tsh. Milioni 135
Zaidi, soma https://jamii.app/Miradi88MajiChiniKiwango
TABORA: ADAIWA KUMUUA MUMEWE KISA WIVU WA MAPENZI
- Sada Abdallah anatuhumiwa kumuua mumewe kwa kumpiga na kisha kumsukuma na kusababisha aangukie kisogo
- Alikuwa akimtuhumu mumewe huyo kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Mwanamke mwingine
Zaidi, soma https://jamii.app/AmuuaMumeweMapenzi-TBR
- Sada Abdallah anatuhumiwa kumuua mumewe kwa kumpiga na kisha kumsukuma na kusababisha aangukie kisogo
- Alikuwa akimtuhumu mumewe huyo kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Mwanamke mwingine
Zaidi, soma https://jamii.app/AmuuaMumeweMapenzi-TBR
JE, WAIJUA HISTORIA YA NENO KILIMANJARO?
> Asili ya neno hili ni makosa ya kisarufi yaliyofanywa na wageni kutoka Ulaya
> Wazawa waliuita Kilimakyaro (Kilimakirefu) lakini makosa ya kimatamshi ya Wageni yalipelekea kuzaliwa neno Kilimanjaro
Soma > https://jamii.app/HistiriaKilimanjaro
#JFHistoria
> Asili ya neno hili ni makosa ya kisarufi yaliyofanywa na wageni kutoka Ulaya
> Wazawa waliuita Kilimakyaro (Kilimakirefu) lakini makosa ya kimatamshi ya Wageni yalipelekea kuzaliwa neno Kilimanjaro
Soma > https://jamii.app/HistiriaKilimanjaro
#JFHistoria
SERIKALI: NGUVU YA SOKO CHANZO KUTOSHUKA BEI YA TAULO ZA KIKE
- Imesema bei haijashuka licha ya kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani katika taulo hizo
- Imeeleza bei inatokana na sababu mbalimbali zikiwemo gharama za malighafi na uwekezaji
Zaidi, soma https://jamii.app/BeiTauloKikeKutoshuka
- Imesema bei haijashuka licha ya kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani katika taulo hizo
- Imeeleza bei inatokana na sababu mbalimbali zikiwemo gharama za malighafi na uwekezaji
Zaidi, soma https://jamii.app/BeiTauloKikeKutoshuka
BAKWATA: BARAZA LA EID EL FITR KUFANYIKA TANGA
> Taarifa rasmi ya BAKWATA imeeleza kuwa sikukuu hiyo itafanyika Juni 5/6 kulingana na mwandamo wa mwenzi
> Baraza la Eid litafanyika mkoani Tanga na Waziri Mkuu, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi
Soma > https://jamii.app/EidalFitrTz
> Taarifa rasmi ya BAKWATA imeeleza kuwa sikukuu hiyo itafanyika Juni 5/6 kulingana na mwandamo wa mwenzi
> Baraza la Eid litafanyika mkoani Tanga na Waziri Mkuu, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi
Soma > https://jamii.app/EidalFitrTz
RUKWA: MWALIMU MBARONI KWA KUMPIGA MWANAFUNZI HADI KUMSABABISHIA UPOFU
- Mwalimu Peter Silamba wa Sekondari ya Kate, Wilayani Nkasi anatuhumiwa kumpiga machoni kwa fimbo, Nicholaus Kwimba(17) wa kidato cha 3 wakati akimuadhibu kwa uchelewaji
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuUpofuMwanafunzi-RKW
- Mwalimu Peter Silamba wa Sekondari ya Kate, Wilayani Nkasi anatuhumiwa kumpiga machoni kwa fimbo, Nicholaus Kwimba(17) wa kidato cha 3 wakati akimuadhibu kwa uchelewaji
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuUpofuMwanafunzi-RKW
ARUSHA: WATAKAO KAMATWA NA MIFUKO YA PLASTIKI KUFUNGIWA UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID
> Jeshi la Polisi limesema litalazimika kufanya hivyo endapo mahabusu zitakuwa zimejaa
> Watuhumiwa watahifadhiwa uwanjani hapo hadi watakapofikishwa Mahakamani
Soma > https://jamii.app/MifukoPlastikiArusha
> Jeshi la Polisi limesema litalazimika kufanya hivyo endapo mahabusu zitakuwa zimejaa
> Watuhumiwa watahifadhiwa uwanjani hapo hadi watakapofikishwa Mahakamani
Soma > https://jamii.app/MifukoPlastikiArusha