This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Aliyekuwa Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima akizungumza kwa njia ya Mtandao, leo Agosti 25, 2025 amesema mwisho wenye afya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unaweza kupatikana tu pale ambapo haki itatawala, na kuongeza kuwa ni vyema chama hicho kikawakumbatia zaidi Watu wanaoweza kusema ukweli.
Soma Zaidi: https://jamii.app/HotubaYaGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #Demokrasia Siasa
Soma Zaidi: https://jamii.app/HotubaYaGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #Demokrasia Siasa
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki akizungumza bungeni Juni 13, 2017 kwenye kikao cha Bajeti ya Serikali 2017/2018 alimtaja Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kuwa ndiye aliyesaini leseni ya uchimbaji wa madini kwenye mgodi wa Bulyanhulu mwaka 1994 wakati akiwa Waziri wa Maji, Nishati na Madini.
Soma Zaidi https://jamii.app/LissuMadini
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFKumbukizi
Soma Zaidi https://jamii.app/LissuMadini
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFKumbukizi
❤1