This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Akizungumza leo Agosti 24, 2025 kwa njia ya Mtandao, Mwanasiasa na Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amesema, “Mungu akituvusha, nashauri Sheria irekebishwe ili Viongozi (Rais) wawajibishwe kwa kushtakiwa kwa makosa waliyoyafanya wakiwa madarakani.”
Soma https://jamii.app/PolepoleTumeuzwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #Siasa
Soma https://jamii.app/PolepoleTumeuzwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #Siasa
👍1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Akizungumza kwa njia ya Mtandao, Agosti 24, 2025, Mwanasiasa na Kada wa CCM, Humphrey Polepole amesema Mfanyabiashara Rostam Aziz ameuziwa Asilimia 70 ya Mgodi wa Makaa ambao ni Mkubwa Afrika Mashariki na Kati kwa kiwango cha Tsh. Bilioni 5 na kwamba ameshalipa Tsh. Bilioni 2.5.
Zaidi soma https://jamii.app/PolepoleMakaa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #Siasa
Zaidi soma https://jamii.app/PolepoleMakaa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #Siasa
❤1