Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
LINDI: Baadhi ya Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (#CCM) Jimbo la Nachingwea wamerudisha vifaa mbalimbali na kadi za chama huku wakionekana kutoridhishwa na jambo fulani wakati wa kikao kilichohusisha Wananchi mbalimbali.
Akielezea tukio linaloonekana katika video inayosambaa Mtandaoni ikidaiwa limetokea jana Agosti 23, 2025, Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Nachingwea, Longinus Nambole amesema “Eneo hilo kuna mgogoro wa muda mrefu wa Wakulima na Wafugaji, hivyo inawezekana Wananchi wametumia nafasi hiyo kufikisha ujumbe kuwa hawaridhishwi na maamuzi ya Viongozi.”
Ameongeza “Unajua CCM ndio chama Tawala hivyo kama chenyewe hakifanyi maamuzi sahihi basi Wananchi wanaonesha hisia zao kwa kwa kukiadhibu Chama, lakini nitafuatilia zaidi kujua kilichotokea.”
Soma zaidi https://jamii.app/Nachingwea
#JamiiAfrica #JamiiForums #Siasa #UchaguziMkuu2025 #Demokrasia
Akielezea tukio linaloonekana katika video inayosambaa Mtandaoni ikidaiwa limetokea jana Agosti 23, 2025, Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Nachingwea, Longinus Nambole amesema “Eneo hilo kuna mgogoro wa muda mrefu wa Wakulima na Wafugaji, hivyo inawezekana Wananchi wametumia nafasi hiyo kufikisha ujumbe kuwa hawaridhishwi na maamuzi ya Viongozi.”
Ameongeza “Unajua CCM ndio chama Tawala hivyo kama chenyewe hakifanyi maamuzi sahihi basi Wananchi wanaonesha hisia zao kwa kwa kukiadhibu Chama, lakini nitafuatilia zaidi kujua kilichotokea.”
Soma zaidi https://jamii.app/Nachingwea
#JamiiAfrica #JamiiForums #Siasa #UchaguziMkuu2025 #Demokrasia
❤1
Wakati Wazazi wao wakiwa ni maarufu kwa makubwa waliyoyafanya kwenye mchezo wa soka, wao wameshindwa kufikia angalau nusu ya mafanikio ya kile ambacho baba zao walikifanya walipokuwa wakicheza.
Enzo Zidane mtoto wa #ZinedineZidane ‘Zizzou’, Romeo Beckham mtoto wa #DavidBeckham na Cristian Totti kijana wa #FrancescoTotti.
Enzo alistaafu kwa sababu aliona hawezi kufika mbali kwenye soka, Romeo sababu Brentford FC haikumpa mkataba mpya kwa kutoridhishwa na kiwango chake wakati Cristian amestaafu kutokana na sababu za kuonekana haoneshi dalili za kufikia mafanikio ya baba yake.
Zaidi soma https://jamii.app/EarlyRetirement
#JFSports #JamiiAfrica #JamiiForums
Enzo Zidane mtoto wa #ZinedineZidane ‘Zizzou’, Romeo Beckham mtoto wa #DavidBeckham na Cristian Totti kijana wa #FrancescoTotti.
Enzo alistaafu kwa sababu aliona hawezi kufika mbali kwenye soka, Romeo sababu Brentford FC haikumpa mkataba mpya kwa kutoridhishwa na kiwango chake wakati Cristian amestaafu kutokana na sababu za kuonekana haoneshi dalili za kufikia mafanikio ya baba yake.
Zaidi soma https://jamii.app/EarlyRetirement
#JFSports #JamiiAfrica #JamiiForums
MICHEZO: Wikiendi inaelekea kumalizika, haya ni baadhi ya matokeo katika Ligi na Michuano mbalimbali Duniani.
Ngazi ya klabu, timu kutoka Jiji la Manchester hazijapata ushindi, moja imepigwa nyingine imepata sare, #Arsenal, #Chelsea, #BayernMunich zote zimepata ushindi mnono.
Tembelea JamiiForums.com kushiriki kwenye mijadala mbalimbali inayohusu Soka.
#JFSports #JamiiForums #JFEPL2025 #JamiiAfrica #CHAN2024 #JFBundesliga2025
Ngazi ya klabu, timu kutoka Jiji la Manchester hazijapata ushindi, moja imepigwa nyingine imepata sare, #Arsenal, #Chelsea, #BayernMunich zote zimepata ushindi mnono.
Tembelea JamiiForums.com kushiriki kwenye mijadala mbalimbali inayohusu Soka.
#JFSports #JamiiForums #JFEPL2025 #JamiiAfrica #CHAN2024 #JFBundesliga2025
Mdau wa JamiiForums.com kutoka Jukwaa la Mahusiano, Mapenzi na Urafiki anaomba ushauri kuhusu changamoto ya mahusiano anayopitia, ameeleza kuwa awali aliwahi kuwa kwenye uhusiano wa mapenzi ya dhati, baadaye alisalitiwa hadi mpenzi wake akapata ujauzito wa mwanaume mwingine.
Anasema kwa sasa ana mwenza mpya na uhusiano wao upo vizuri, lakini bado anapata ugumu kuamini masuala ya ndoa, kwani kila akikumbuka yaliyompata huko nyuma moyo wake unakuwa mgumu.
Kushiriki mjadala soma https://jamii.app/KupendaTena
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFMahusiano
Anasema kwa sasa ana mwenza mpya na uhusiano wao upo vizuri, lakini bado anapata ugumu kuamini masuala ya ndoa, kwani kila akikumbuka yaliyompata huko nyuma moyo wake unakuwa mgumu.
Kushiriki mjadala soma https://jamii.app/KupendaTena
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFMahusiano
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Akizungumza leo Agosti 24, 2025 kwa njia ya Mtandao, Mwanasiasa na Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amesema, “Mungu akituvusha, nashauri Sheria irekebishwe ili Viongozi (Rais) wawajibishwe kwa kushtakiwa kwa makosa waliyoyafanya wakiwa madarakani.”
Soma https://jamii.app/PolepoleTumeuzwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #Siasa
Soma https://jamii.app/PolepoleTumeuzwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #Siasa
👍1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Akizungumza kwa njia ya Mtandao, Agosti 24, 2025, Mwanasiasa na Kada wa CCM, Humphrey Polepole amesema Mfanyabiashara Rostam Aziz ameuziwa Asilimia 70 ya Mgodi wa Makaa ambao ni Mkubwa Afrika Mashariki na Kati kwa kiwango cha Tsh. Bilioni 5 na kwamba ameshalipa Tsh. Bilioni 2.5.
Zaidi soma https://jamii.app/PolepoleMakaa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #Siasa
Zaidi soma https://jamii.app/PolepoleMakaa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #Siasa
❤1