JamiiForums
52.6K subscribers
34.4K photos
2.46K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (#CCM) Taifa, imemteua Tauhida Gallos kuwa Mbunge wa Viti Maalum katika Mkoa wa Mjini Magharibi.

Tauhida aliingia bungeni akiwa Ubunge wa Viti Maalum Mwaka 2020 akiwakilisha Mkoa wa Mjini Magharibi Visiwani Zanzibar.

Zaidi Soma https://jamii.app/MigiroKatibuCCM

#JamiiForums #JamiiAfrica #Uteuzi #Siasa
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
JFKUMBUKIZI: Nape Nnauye alipokuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wakati akizungumza na Wananchi Julai, 2024 katika Soko la Kashai Mjini Bukoba alisema aliyekuwa Mbunge Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao, akibainisha matokeo ya kura si lazima yatokane na yaliyomo kwenye maboksi ya kura bali yanategemea anayehesabu na kutangaza.

Nape kwa sasa ni Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama ambapo atawania nafasi hiyo kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa 2025

Soma https://jamii.app/NapeUchaguzi

#JamiiAfrica #JamiiForums #JFKumbukizi #Democracy #JFDemocracy #Demokrasia