Luhaga Joelson Mpina alianza safari yake ya #Siasa Mwaka 2003 akiwa Kamanda wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hadi kushika nafasi mbalimbali katika chama hicho na sasa amechaguliwa kugombea nafasi ya Urais kupitia chama cha #ACTWazalendo.
Uamuzi wa kuhamia ACT Wazalendo unakuja mwezi huu Agosti 2025 baada ya jina lake kuondolewa kwenye orodha ya Wagombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika mchakato wa ndani ya chama uliofanyika Julai 2025.
Kufahamu zaidi bofya https://jamii.app/LuhagaMpinaWasifu
#JamiiAfrica #JamiiForums #Transparency #UchaguziMkuu2025 #PresidentialCandidates
Uamuzi wa kuhamia ACT Wazalendo unakuja mwezi huu Agosti 2025 baada ya jina lake kuondolewa kwenye orodha ya Wagombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika mchakato wa ndani ya chama uliofanyika Julai 2025.
Kufahamu zaidi bofya https://jamii.app/LuhagaMpinaWasifu
#JamiiAfrica #JamiiForums #Transparency #UchaguziMkuu2025 #PresidentialCandidates
Salum Mwalimu alianza safari yake ya #Siasa kikamilifu Mwaka 2014 ambapo aliteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa #CHADEMA upande wa Zanzibar, alishika nafasi mbalimbali katika chama hicho na sasa amechaguliwa kugombea nafasi ya Urais kupitia Chama cha #CHAUMMA.
Uamuzi wa kuhamia CHAUMMA alitangaza rasmi Mei 19, 2025 baada ya maamuzi ya Salum na Wanachama wengine wa CHADEMA kujitoa katika chama hicho kutokana na kutoridhishwa na maamuzi ya Uongozi mpya ikiwemo kutoshiriki Uchaguzi Mkuu 2025 pamoja na madai ya chama kupoteza dira.
Zaidi https://jamii.app/SalumMwalimuWasifu
#JamiiAfrica #JamiiForums #Transparency #UchaguziMkuu2025 #PresidentialCandidates #Siasa
Uamuzi wa kuhamia CHAUMMA alitangaza rasmi Mei 19, 2025 baada ya maamuzi ya Salum na Wanachama wengine wa CHADEMA kujitoa katika chama hicho kutokana na kutoridhishwa na maamuzi ya Uongozi mpya ikiwemo kutoshiriki Uchaguzi Mkuu 2025 pamoja na madai ya chama kupoteza dira.
Zaidi https://jamii.app/SalumMwalimuWasifu
#JamiiAfrica #JamiiForums #Transparency #UchaguziMkuu2025 #PresidentialCandidates #Siasa