AFRIKA KUSINI: ADUKUA MTANDAO WA SERIKALI NA KUJIAJIRI
- Bright Chabola alidukua Mtandao wa Serikali kwenye sekta ya Afya na kujiajiri kama Msimamizi wa Mfumo
- Alijilipa shilingi 1,100,000 kuanzia Juni, 2018 na hakuwa akienda kazini
- Kwa sasa anatafutwa na polisi
Soma https://jamii.app/ZAMdukuzi
- Bright Chabola alidukua Mtandao wa Serikali kwenye sekta ya Afya na kujiajiri kama Msimamizi wa Mfumo
- Alijilipa shilingi 1,100,000 kuanzia Juni, 2018 na hakuwa akienda kazini
- Kwa sasa anatafutwa na polisi
Soma https://jamii.app/ZAMdukuzi
TABORA: MWANAMKE AUA WATOTO 6 NA KUJERUHI WENGINE WANNE
- Mkazi wa Kijiji cha Luzuko, Kata ya Mizibaziba Wilayani Nzega, Nana Maganga anadaiwa kuua watoto wake watano na mmoja wa kaka yake
- Hata hivyo, Mwanamke huyo naye alifariki katika mazingira ya kutatanisha ambapo inadaiwa aliuawa
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaWatoto6TBR
- Mkazi wa Kijiji cha Luzuko, Kata ya Mizibaziba Wilayani Nzega, Nana Maganga anadaiwa kuua watoto wake watano na mmoja wa kaka yake
- Hata hivyo, Mwanamke huyo naye alifariki katika mazingira ya kutatanisha ambapo inadaiwa aliuawa
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaWatoto6TBR
SUDAN KUMSHTAKI BASHIR ILA HAITAMPELEKA ICC
- Kamati ya Kijeshi ya Mpito inayoongoza Sudan kwa sasa imebainisha
- Bashir anakabiliwa na mashtaka 5 ya Kiuhalifu dhidi ya binadamu na mawili ya uhalifu wa kivita katika Mahakama ya ICC
Zaidi, soma https://jamii.app/BashirHapelekwiICC
- Kamati ya Kijeshi ya Mpito inayoongoza Sudan kwa sasa imebainisha
- Bashir anakabiliwa na mashtaka 5 ya Kiuhalifu dhidi ya binadamu na mawili ya uhalifu wa kivita katika Mahakama ya ICC
Zaidi, soma https://jamii.app/BashirHapelekwiICC
TIGER WOODS ASHINDA TAJI KUBWA BAADA YA MIAKA 11
- Mchezaji huyo wa golf ameibuka mshindi katika mashindano ya 'Masters' na kutwaa taji maarufu la 'Koti la Kijani'
- Mara ya mwisho alishinda taji kubwa mwaka 2008 aliposhinda taji la ‘U.S Open’
Zaidi, soma https://jamii.app/WoodsWinsMastersAftr11yrs
- Mchezaji huyo wa golf ameibuka mshindi katika mashindano ya 'Masters' na kutwaa taji maarufu la 'Koti la Kijani'
- Mara ya mwisho alishinda taji kubwa mwaka 2008 aliposhinda taji la ‘U.S Open’
Zaidi, soma https://jamii.app/WoodsWinsMastersAftr11yrs
SERIKALI KULETA MABEHEWA NA VICHWA VYA TRENI YA UMEME 1,400
- Msemaji wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amebainisha kupitia ukurasa wake wa Twitter
- Aidha, Julai mwaka huu, kichwa cha treni ya umeme kitaletwa kwa majaribio kwenye SGR
Zaidi, soma https://jamii.app/VichwaTreni1400
- Msemaji wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amebainisha kupitia ukurasa wake wa Twitter
- Aidha, Julai mwaka huu, kichwa cha treni ya umeme kitaletwa kwa majaribio kwenye SGR
Zaidi, soma https://jamii.app/VichwaTreni1400
DODOMA: BUNGE LIMEAHIRISHWA KWA DHARURA
> Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson alikuwa akiongoza kikao hicho na kutangaza kuwa Wabunge watakutana tena saa 11:00 jioni
> Zipo taarifa kuwa mchana wa leo, Wabunge wa CCM watakutana na Rais Magufuli
#JFLeo
> Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson alikuwa akiongoza kikao hicho na kutangaza kuwa Wabunge watakutana tena saa 11:00 jioni
> Zipo taarifa kuwa mchana wa leo, Wabunge wa CCM watakutana na Rais Magufuli
#JFLeo
KENYA: MWANAFUNZI WA CHUO ANUSURIKA KUUAWA NA MPENZI WA ZAMANI
- Ni Naomi Chepkemboi, Mwanafunzi wa mwaka wa 3 katika Chuo Kikuu Pwani katika Kaunti ya Kilifi
- Inaelezwa aliyemvamia ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Kenyatta, Henry Kipkoech
Zaidi, soma https://jamii.app/StudentStabbedKE
- Ni Naomi Chepkemboi, Mwanafunzi wa mwaka wa 3 katika Chuo Kikuu Pwani katika Kaunti ya Kilifi
- Inaelezwa aliyemvamia ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Kenyatta, Henry Kipkoech
Zaidi, soma https://jamii.app/StudentStabbedKE
MBEYA: MTOTO ALIYETEKWA ANYONGWA HADI KUFA
> Mtekaji alimtaka Baba wa Mtoto, Junior Bakari Siame atume Tsh. Milioni 10 ili asimdhuru mtoto
> Baba wa Mtoto alijitahidi na kumtumia Mtekaji shilingi elfu 30 lakini akaambiwa hela haitoshi atume nyingine
Soma > https://jamii.app/UtekajiMbeya
> Mtekaji alimtaka Baba wa Mtoto, Junior Bakari Siame atume Tsh. Milioni 10 ili asimdhuru mtoto
> Baba wa Mtoto alijitahidi na kumtumia Mtekaji shilingi elfu 30 lakini akaambiwa hela haitoshi atume nyingine
Soma > https://jamii.app/UtekajiMbeya
MIAKA 30 TANGU MASHABIKI 96 WA LIVERPOOL WAFARIKI UWANJANI
- Ni Aprili 15, 1989 ambapo wengine 766 walijeruhiwa baada ya jukwaa kuanguka
- Tukio lilitokea katika uwanja wa Hillsborough wakati wa mchezo kati ya Liverpool na Nottingham Forest
Zaidi, soma https://jamii.app/Remember96Liverpool
- Ni Aprili 15, 1989 ambapo wengine 766 walijeruhiwa baada ya jukwaa kuanguka
- Tukio lilitokea katika uwanja wa Hillsborough wakati wa mchezo kati ya Liverpool na Nottingham Forest
Zaidi, soma https://jamii.app/Remember96Liverpool
TIMU 4 ZA TANZANIA KUSHIRIKI MICHUANO YA CAF 2020/21
- Timu 2 zitashiriki Klabu Bingwa na 2 zitashiriki michuano ya Shirikisho
- Ni baada ya Tanzania kuwa ya 12 katika viwango vya CAF kutokana na Simba kufika robo fainali ya Klabu Bingwa
Zaidi, soma https://jamii.app/Timu4CAF-TZ
- Timu 2 zitashiriki Klabu Bingwa na 2 zitashiriki michuano ya Shirikisho
- Ni baada ya Tanzania kuwa ya 12 katika viwango vya CAF kutokana na Simba kufika robo fainali ya Klabu Bingwa
Zaidi, soma https://jamii.app/Timu4CAF-TZ
CHAD: SHAMBULIO LA BOKO HARAM LAUA WANAJESHI 7
> Katika shambulio hilo lililotokea katika Jimbo la Ziwa Chad, Askari wengine 15 wa Jeshi la nchi hiyo wamejeruhiwa
> Chambulio hili limefanyika usiku katika Kituo cha Jeshi cha Bohama
Soma => https://jamii.app/BokoShambulioChad
> Katika shambulio hilo lililotokea katika Jimbo la Ziwa Chad, Askari wengine 15 wa Jeshi la nchi hiyo wamejeruhiwa
> Chambulio hili limefanyika usiku katika Kituo cha Jeshi cha Bohama
Soma => https://jamii.app/BokoShambulioChad
VYAMA VYA UPINZANI VYATAKA SPIKA WA BUNGE KUJISHUSHA
- Vyama vya siasa vya upinzani nchini vimemtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kujishusha kufuatia sakata baina ya Bunge na CAG
- Vimedai sakata hilo limesababisha mgongano baina ya Mamlaka
Zaidi, soma https://jamii.app/UpinzaniSpikaAjiuzulu
- Vyama vya siasa vya upinzani nchini vimemtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kujishusha kufuatia sakata baina ya Bunge na CAG
- Vimedai sakata hilo limesababisha mgongano baina ya Mamlaka
Zaidi, soma https://jamii.app/UpinzaniSpikaAjiuzulu
UCHUMI: TRA YAKUSANYA TRILIONI 11.96 KWA MIEZI TISA
> Makusanyo hayo ni kuanzia Julai 2018 - Machi 2019
> Mchanganuo wa miezo 3 ya mwaka 2019. Trillioni 1.30 Januari, Trillioni 1.23 Februari na Trillioni 1.43 Machi
Soma > https://jamii.app/TRAMakusanyo
> Makusanyo hayo ni kuanzia Julai 2018 - Machi 2019
> Mchanganuo wa miezo 3 ya mwaka 2019. Trillioni 1.30 Januari, Trillioni 1.23 Februari na Trillioni 1.43 Machi
Soma > https://jamii.app/TRAMakusanyo
MAREKANI: Mbunge Ilhan Omar mwenye asili ya Somalia amemlaumu Rais Trump kwa kuchochea vitisho vya yeye kuuawa
> Muwakilishi huyo wa Jimbo la Minnesota aliilaumu Marekani kwa kuwazuia Wakimbizi kutoka mataifa ya kiarabu kuingia nchini humo
Soma > https://jamii.app/IlhamVsTrump
> Muwakilishi huyo wa Jimbo la Minnesota aliilaumu Marekani kwa kuwazuia Wakimbizi kutoka mataifa ya kiarabu kuingia nchini humo
Soma > https://jamii.app/IlhamVsTrump
BEIJING, CHINA: WATU 10 WAFARIKI BAADA KIWANDA CHA DAWA KULIPUKA
> Wamefariki baada ya kukosa hewa kutokana na moshi uliosababishwa na moto huo
> Wakati huo huo, Wafanyakazi 12 wa kikosi cha zima moto wakijeruhiwa wakati wakizima moto huo
#JFInternational
> Wamefariki baada ya kukosa hewa kutokana na moshi uliosababishwa na moto huo
> Wakati huo huo, Wafanyakazi 12 wa kikosi cha zima moto wakijeruhiwa wakati wakizima moto huo
#JFInternational
UFARANSA: KANISA LA KIHISTORIA LATEKETEA KWA MOTO
> Kanisa la Notre Dame lenye umri wa miaka 850 limewaka moto jioni ya leo
> Moto huo umesababisha sehemu ya kanisa hilo kuanguka
> Rais Macron amelazimika kuahirisha hotuba yake
Soma > https://jamii.app/NotreDame
> Kanisa la Notre Dame lenye umri wa miaka 850 limewaka moto jioni ya leo
> Moto huo umesababisha sehemu ya kanisa hilo kuanguka
> Rais Macron amelazimika kuahirisha hotuba yake
Soma > https://jamii.app/NotreDame