MKURUGENZI WA VODACOM AKIRI MAKOSA
> Hisham Hendi na wenzake 8 wamekiri mashtaka 10 yaliyokuwa yakiwakabili likiwemo la kuongoza genge la uhalifu
> Katika kesi yao wanatuhumiwa kwa kuisababishia Serikali hasara ya shilingi bilioni 5.89
Soma > https://jamii.app/KesiHishamVoda
> Hisham Hendi na wenzake 8 wamekiri mashtaka 10 yaliyokuwa yakiwakabili likiwemo la kuongoza genge la uhalifu
> Katika kesi yao wanatuhumiwa kwa kuisababishia Serikali hasara ya shilingi bilioni 5.89
Soma > https://jamii.app/KesiHishamVoda
RWANDA KUSHTAKIWA KWA KUFUNGA MPAKA WAKE NA UGANDA
> Mfanyabiashara wa Uganda amefikisha ombi la kuishtaki Rwanda katika Mahakama ya haki ya Afrika Mashariki kwa tuhuma za kuvunja mkataba wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na tayari ombi hilo limewasilishwa rasmi kwa Mkuu wa Sheria wa Rwanda
> Anataka fasiri ya uhalali wa hatua ya Rwanda kuzuia bidhaa na wafanyabiashara wa Uganda tangu Februari 27, 2019
Soma - https://jamii.app/RwandaUgandaMahakamani
> Mfanyabiashara wa Uganda amefikisha ombi la kuishtaki Rwanda katika Mahakama ya haki ya Afrika Mashariki kwa tuhuma za kuvunja mkataba wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na tayari ombi hilo limewasilishwa rasmi kwa Mkuu wa Sheria wa Rwanda
> Anataka fasiri ya uhalali wa hatua ya Rwanda kuzuia bidhaa na wafanyabiashara wa Uganda tangu Februari 27, 2019
Soma - https://jamii.app/RwandaUgandaMahakamani
MKURUGENZI WA VODACOM AACHIWA HURU
- Hisham Hendi na wenzake 8, wamelipa faini ya Tsh. Bilioni 6.01 baada ya kukiri mashtaka
- Walishtakiwa kwa kuingiza, kutumia, kusimika vifaa vya mawasiliano na kugawa namba za simu bila leseni ya TCRA
Soma https://jamii.app/KesiHishamVoda
- Hisham Hendi na wenzake 8, wamelipa faini ya Tsh. Bilioni 6.01 baada ya kukiri mashtaka
- Walishtakiwa kwa kuingiza, kutumia, kusimika vifaa vya mawasiliano na kugawa namba za simu bila leseni ya TCRA
Soma https://jamii.app/KesiHishamVoda
KENYA: SHIRIKA LA NDEGE LASITISHA SAFARI ZAKE SUDAN
> Shirika la ndege la nchini Kenya limesimamisha usafiri wa ndege zake kutoka na kwenda nchini Sudan kufuatia kuondolewa madarakani kwa Rais Omar al-Bashir
> Tangazo hilo limetolewa jana usiku kufuatia maandamano ya kisiasa yaliyoleta kuanguka kwa utawala wa Rais Bashir
Soma - https://jamii.app/KenyaAirwaysSudan
> Shirika la ndege la nchini Kenya limesimamisha usafiri wa ndege zake kutoka na kwenda nchini Sudan kufuatia kuondolewa madarakani kwa Rais Omar al-Bashir
> Tangazo hilo limetolewa jana usiku kufuatia maandamano ya kisiasa yaliyoleta kuanguka kwa utawala wa Rais Bashir
Soma - https://jamii.app/KenyaAirwaysSudan
SUGU ADAI WASTAAFU WA MAGEREZA NA POLISI BADO WANAISHI KOTA, HAWANA NAULI ZA KURUDI KWAO
> Mbunge huyo wa Mbeya Mjini amedai tangu Rais Magufuli aingie madarakani ni takribani miaka 4 na hajawahi kuongeza mishahara hata kidogo
Zaidi, soma => https://jamii.app/SuguVsMagufuliWatumishi
#JFLeo
> Mbunge huyo wa Mbeya Mjini amedai tangu Rais Magufuli aingie madarakani ni takribani miaka 4 na hajawahi kuongeza mishahara hata kidogo
Zaidi, soma => https://jamii.app/SuguVsMagufuliWatumishi
#JFLeo
KENYA: MAJINA KWENYE CHETI YASABABISHA BABA KUUA MTOTO WAKE
> Polisi mjini Murang'a wamemkamata Paul Njuguna Njogore (25) anayedaiwa kumuua Collins Waweru (5) baada ya mama kukataa kuweka majina ya baba huyo kwenye cheti cha kuzaliwa cha mtoto
> Paul alimuua Collins akiwa usingizini kwa kumkata na panga
Soma - https://jamii.app/BabaAuaMtotoCheti
#JFInternational
> Polisi mjini Murang'a wamemkamata Paul Njuguna Njogore (25) anayedaiwa kumuua Collins Waweru (5) baada ya mama kukataa kuweka majina ya baba huyo kwenye cheti cha kuzaliwa cha mtoto
> Paul alimuua Collins akiwa usingizini kwa kumkata na panga
Soma - https://jamii.app/BabaAuaMtotoCheti
#JFInternational
SUDAN: WAZIRI WA ULINZI AWA RAIS WA MPITO, MKUU WA MAJESHI MAKAMU WAKE
> Waziri wa Ulinzi wa Sudan Awadh Ibn Auf ameapishwa kuwa Rais wa Baraza la Mpito la kijeshi kwa kipindi cha miaka miwili na Mkuu wa Majeshi Kamal Andel-Marouf ameapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Baraza hilo
Soma - https://jamii.app/SudanInterimPresd
#JFInternational
> Waziri wa Ulinzi wa Sudan Awadh Ibn Auf ameapishwa kuwa Rais wa Baraza la Mpito la kijeshi kwa kipindi cha miaka miwili na Mkuu wa Majeshi Kamal Andel-Marouf ameapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Baraza hilo
Soma - https://jamii.app/SudanInterimPresd
#JFInternational
PAKISTAN: WATU 14 WAUAWA KWENYE MLIPUKO WA BOMU
> Mlipuko huo umetokea Kusini Magharibi mwa nchi hiyo katika Soko la Quetta lililopo katika Mji wa Baluchistan
> Baluchistan ni Mkoa wa Pakistan unaokabiliwa na mdororo wa usalama
Zaidi, soma > https://jamii.app/MlipukoPakistan
> Mlipuko huo umetokea Kusini Magharibi mwa nchi hiyo katika Soko la Quetta lililopo katika Mji wa Baluchistan
> Baluchistan ni Mkoa wa Pakistan unaokabiliwa na mdororo wa usalama
Zaidi, soma > https://jamii.app/MlipukoPakistan
KENYA: MADAKTARI WAWILI KUTOKA CUBA WATEKWA
> Walitumwa kufanya kazi kwenye Kaunti ya Mandera na wametekwa nyara na washukiwa wa Al-Shabaab mjini hapo
> Mmoja kati ya walinzi wa madaktari hao ameuawa huku mwingine akifanikiwa kutoroka
Soma - https://jamii.app/CubaDoctorsAbductedKE
> Walitumwa kufanya kazi kwenye Kaunti ya Mandera na wametekwa nyara na washukiwa wa Al-Shabaab mjini hapo
> Mmoja kati ya walinzi wa madaktari hao ameuawa huku mwingine akifanikiwa kutoroka
Soma - https://jamii.app/CubaDoctorsAbductedKE
MWILI WA ALIYEKUWA AFISA WA WIZARA WAFUKULIWA NA KUVULIWA NGUO
> Mary Maramo alizikwa jana huko Pugu. Mwili wake umefukuliwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo
> Uchunguzi unaendelea ili kujua endapo mwili huo umeingiliwa kimwili
Soma > https://jamii.app/MwiliWafukuliwaPugu
> Mary Maramo alizikwa jana huko Pugu. Mwili wake umefukuliwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo
> Uchunguzi unaendelea ili kujua endapo mwili huo umeingiliwa kimwili
Soma > https://jamii.app/MwiliWafukuliwaPugu
WABUNGE WATAKA MADIWANI WAONGEZEWE POSHO
> Imeelezwa kuwa Halmashauri nyingi nchini hazijawalipa posho madiwani kwa zaidi ya miezi sita, badala yake zimekopa fedha zao
> Mbunge wa Chemba, Juma Nkamia (CCM) amesema Halmashauri ya Chemba inekopa posho za madiwani tangu Oktoba, 2018
Soma - https://jamii.app/MadiwaniMitaaPosho
> Imeelezwa kuwa Halmashauri nyingi nchini hazijawalipa posho madiwani kwa zaidi ya miezi sita, badala yake zimekopa fedha zao
> Mbunge wa Chemba, Juma Nkamia (CCM) amesema Halmashauri ya Chemba inekopa posho za madiwani tangu Oktoba, 2018
Soma - https://jamii.app/MadiwaniMitaaPosho
UFARANSA: POLISI WAPIGA MARUFUKU RAIA KUANDAMANA
> Jeshi la Polisi mjini Paris limetangaza marufuku ya maandamano ktk jengo la Bunge na Ikulu
> Ni desturi yao kuandamana kila mwisho wa wiki kupinga kupanda kwa bei za bidhaa na Serikali ya Rais Macron
#JFInternational
> Jeshi la Polisi mjini Paris limetangaza marufuku ya maandamano ktk jengo la Bunge na Ikulu
> Ni desturi yao kuandamana kila mwisho wa wiki kupinga kupanda kwa bei za bidhaa na Serikali ya Rais Macron
#JFInternational
MAHAKAMA YAIPA USHINDI CHADEMA KATA YA NDALAMBO
> Leo April 12 Mahakama kuu kanda ya Mbeya imemtangaza mgombea wa CHADEMA, Michael Kayange kuwa mshindi kwenye kesi iliyokuwa imefunguliwa kupinga matokeo ya udiwani kata ya Ndalambo
> Matokeo halali ya uchaguzi uliofanyika mwaka 2017, CHADEMA ilipata kura 1,277 na CCM kura 1,044
Soma - https://jamii.app/UshindiNdalamboCDM
> Leo April 12 Mahakama kuu kanda ya Mbeya imemtangaza mgombea wa CHADEMA, Michael Kayange kuwa mshindi kwenye kesi iliyokuwa imefunguliwa kupinga matokeo ya udiwani kata ya Ndalambo
> Matokeo halali ya uchaguzi uliofanyika mwaka 2017, CHADEMA ilipata kura 1,277 na CCM kura 1,044
Soma - https://jamii.app/UshindiNdalamboCDM
ADHABU: MTOTO APIGWA NA KUWEKEWA PILIPILI MACHONI NA SEHEMU ZA SIRI
> Hadija Abdallah (7) mkazi wa mtaa wa Mlenda, Mkoani Tabora amefanyiwa kitendo hicho cha kikatili na wazazi wake ikiwa ni sehemu ya adhabu kwa kosa la kutokujaza maji kwenye diaba
> Wazazi wamemtelekeza mtoto baada ya kukamatwa na kuachiwa kwa dhamana
Soma - https://jamii.app/AdhabuMtotoPilipili
> Hadija Abdallah (7) mkazi wa mtaa wa Mlenda, Mkoani Tabora amefanyiwa kitendo hicho cha kikatili na wazazi wake ikiwa ni sehemu ya adhabu kwa kosa la kutokujaza maji kwenye diaba
> Wazazi wamemtelekeza mtoto baada ya kukamatwa na kuachiwa kwa dhamana
Soma - https://jamii.app/AdhabuMtotoPilipili
JE, WAJUA KAMA JAMIIFORUMS KUNA JUKWAA LA BIASHARA, UCHUMI NA UJASIRIAMALI?
> Jukwaa hili linatoa fursa kwa Wachumi, wafanyabiashara na Wajasiriamali kubadilishana mawazo na uzoefu
> Aidha, kupitia Jukwaa hili zipo shuhuda na mada za kuelimisha kuhusu masuala mbalimbali ya Uchumi, Biashara na Ujasiriamali
Tafadhali, 'Share' na wengine
Tembelea na ujifunze, fungua > https://jamii.app/JFUchumiBiashara
> Jukwaa hili linatoa fursa kwa Wachumi, wafanyabiashara na Wajasiriamali kubadilishana mawazo na uzoefu
> Aidha, kupitia Jukwaa hili zipo shuhuda na mada za kuelimisha kuhusu masuala mbalimbali ya Uchumi, Biashara na Ujasiriamali
Tafadhali, 'Share' na wengine
Tembelea na ujifunze, fungua > https://jamii.app/JFUchumiBiashara
WACHEZAJI MANCHESTER UNITED KUKATWA MISHAHARA
> Klabu ya Manchester United imeamua kwamba mastaa wake watakatwa mishahara yao kwa asilimia 25 kama wakishindwa kufuzu kutinga katika michuano ya Ligi ya mabingwa wa Ulaya
> Hivi ndivyo ilivyo kwa mujibu wa mikataba yao
#JFMichezo
> Klabu ya Manchester United imeamua kwamba mastaa wake watakatwa mishahara yao kwa asilimia 25 kama wakishindwa kufuzu kutinga katika michuano ya Ligi ya mabingwa wa Ulaya
> Hivi ndivyo ilivyo kwa mujibu wa mikataba yao
#JFMichezo
CAIRO, MISRI: TANZANIA KUJUA HATMA YA KUNDI LAKE LA AFCON 2019 LEO
> Baada ya miaka 39 Tanzania pia imefuzu kushiriki michuano hiyo na leo itashuhudiwa ikipangwa kwenye moja ya makundi
> Je, unaweza kutabiri ni timu gani zinaweza kupangwa kundi moja na Tanzania?
#TotalAFCON2019
> Baada ya miaka 39 Tanzania pia imefuzu kushiriki michuano hiyo na leo itashuhudiwa ikipangwa kwenye moja ya makundi
> Je, unaweza kutabiri ni timu gani zinaweza kupangwa kundi moja na Tanzania?
#TotalAFCON2019
TETEMEKO LA ARDHI: Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 6.8 kwa kipimo cha Richa limelikumba eneo la Sulawesi huko Indonesia
> Taharuki imewakumba wakazi wa Sulawesi na wengi wameyakimbia makazi yao
> Aidha, tetemeko hili linaelezwa kuwa linaweza kusababisha Tsunami
#JFInternational
> Taharuki imewakumba wakazi wa Sulawesi na wengi wameyakimbia makazi yao
> Aidha, tetemeko hili linaelezwa kuwa linaweza kusababisha Tsunami
#JFInternational
AFCON 2019: TANZANIA YAANGUKIA KUNDI C
> Katika kundi hilo Tanzania imepangwa pamoja na Senegal, Algeria na Kenya
#AFCON2019Draw
> Katika kundi hilo Tanzania imepangwa pamoja na Senegal, Algeria na Kenya
#AFCON2019Draw