MABASI 58 YA DART YAONDOLEWA BARABARANI, UHABA WAIBUKA
> Taarifa ya DART imesema uhaba huo unatokana na mabasi kupata hitilafu mbalimbali ambapo idadi ya mabasi yanayotoa huduma leo katika mfumo wao ni 85, huku 58 yakifanyiwa matengenezo makubwa na madogo
Soma - https://jamii.app/UbovuMabasiDart
#JFLeo
> Taarifa ya DART imesema uhaba huo unatokana na mabasi kupata hitilafu mbalimbali ambapo idadi ya mabasi yanayotoa huduma leo katika mfumo wao ni 85, huku 58 yakifanyiwa matengenezo makubwa na madogo
Soma - https://jamii.app/UbovuMabasiDart
#JFLeo
IMF: UCHUMI WA TANZANIA UNATARAJIWA KUKUA KWA 4% (SERIKALI ILIKADIRIA 7.3%)
> IMF yashusha makadirio yake ya ukuaji wa uchumi nchini kwa mwaka 2019 na 2020
> Uchumi unatarajiwa kukua kwa 4% 2019 na 4.2% kwa 2020. Mwaka 2018 ilikuwa 6.6%
Soma https://jamii.app/IMFVsTzEconomy
#JFUchumi
> IMF yashusha makadirio yake ya ukuaji wa uchumi nchini kwa mwaka 2019 na 2020
> Uchumi unatarajiwa kukua kwa 4% 2019 na 4.2% kwa 2020. Mwaka 2018 ilikuwa 6.6%
Soma https://jamii.app/IMFVsTzEconomy
#JFUchumi
UTEKELEZAJI WA HUKUMU YA KIFO WAPUNGUA DUNIANI
> Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika linalotetea #HakiZaBinadamu la Amnesty International, Takribani nchi 20 zilitekeleza hukumu hiyo kwa watu 690 mwaka 2018, ikiwa chini kwa 31% kutoka kiasi cha watu 993 mwaka 2017
> Upunguaji umeonekana nchini Iraq, Iran, Pakistan na Somalia
Soma - https://jamii.app/TakwimuHukumuKifo
#JFLeo
> Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika linalotetea #HakiZaBinadamu la Amnesty International, Takribani nchi 20 zilitekeleza hukumu hiyo kwa watu 690 mwaka 2018, ikiwa chini kwa 31% kutoka kiasi cha watu 993 mwaka 2017
> Upunguaji umeonekana nchini Iraq, Iran, Pakistan na Somalia
Soma - https://jamii.app/TakwimuHukumuKifo
#JFLeo
MUIGIZAJI MKONGWE AIBUKA NA BIDHAA YA BANGI INAYOTULIZA MAUMIVU WAKATI WA HEDHI
> Mtetezi wa matumizi sahihi ya bangi, Whoopi Goldberg(60) amesema amebuni bidhaa hiyo ili kuwaokoa Wanawake kwasababu maumivu ya hedhi sio ya utani
Zaidi, soma => https://jamii.app/BangiKwaHedhi
#JFLeo
> Mtetezi wa matumizi sahihi ya bangi, Whoopi Goldberg(60) amesema amebuni bidhaa hiyo ili kuwaokoa Wanawake kwasababu maumivu ya hedhi sio ya utani
Zaidi, soma => https://jamii.app/BangiKwaHedhi
#JFLeo
KENYA: YAYA ALIYETOROKA NA MTOTO WA MWAJIRI AKAMATWA
> Sharon Chepkoech (24) alikamatwa siku ya Jumatano, Aprili 10, baada ya kutoroka na mtoto wa miezi miwili na kisha kutuma ujumbe wa simu akimtaka mama wa mtoto ampatie pesa kiasi cha Ksh 10,000
> Alitishia kusafiri na mtoto huyo hadi nchini Malawi iwapo hangepewa pesa alizokuwa akizitaka
Soma - https://jamii.app/YayaToroshaMtoto
#JFInternational
> Sharon Chepkoech (24) alikamatwa siku ya Jumatano, Aprili 10, baada ya kutoroka na mtoto wa miezi miwili na kisha kutuma ujumbe wa simu akimtaka mama wa mtoto ampatie pesa kiasi cha Ksh 10,000
> Alitishia kusafiri na mtoto huyo hadi nchini Malawi iwapo hangepewa pesa alizokuwa akizitaka
Soma - https://jamii.app/YayaToroshaMtoto
#JFInternational
BREAKING: Jeshi nchini #Sudan linadaiwa kumwondoa madarakani Rais Omar a-Bashir
> Ikulu inadaiwa kuwa chini ya ulinzi mkali wa Jeshi
> Maafisa wa juu wa Serikali wanashikiliwa
> Uwanja wa Ndege wafungwa
Taarifa zaidi, soma https://jamii.app/SudanCoup
> Ikulu inadaiwa kuwa chini ya ulinzi mkali wa Jeshi
> Maafisa wa juu wa Serikali wanashikiliwa
> Uwanja wa Ndege wafungwa
Taarifa zaidi, soma https://jamii.app/SudanCoup
SERIKALI KUAJIRI WATUMISHI 44,807. WENGINE 290,625 KUPANDISHWA VYEO
> Katika mwaka wa fedha 2019/20, miongoni mwa kada zitakazoajiri watumishi wengi ni Elimu (13,526), Afya (9,467), Jeshi la Polisi (3,725)
> Pia watumishi 290,625 watapandishwa vyeo kulingana na maelekezo yatakayotolewa
> Aidha, bodi itafanya utafiti wa hali ya mishahara na maslahi katika vyombo vya ulinzi na usalama ili kushauri namna bora ya kutoa motisha
Soma - https://jamii.app/AjiraVyeoMishahara
> Katika mwaka wa fedha 2019/20, miongoni mwa kada zitakazoajiri watumishi wengi ni Elimu (13,526), Afya (9,467), Jeshi la Polisi (3,725)
> Pia watumishi 290,625 watapandishwa vyeo kulingana na maelekezo yatakayotolewa
> Aidha, bodi itafanya utafiti wa hali ya mishahara na maslahi katika vyombo vya ulinzi na usalama ili kushauri namna bora ya kutoa motisha
Soma - https://jamii.app/AjiraVyeoMishahara
TAHADHARI: KUNA MLIPUKO WA UGONJWA WA DENGUE NCHINI
> Kwa mujibu wa taarifa kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jinsia na Watoto Wagojwa 200 wa Dengue wameripotiwa
> Wananchi wametakiwa kufika katika vituo vya afya na kupima endapo wataona mabadiliko katika afya zao
Soma > https://jamii.app/DengueDar
> Kwa mujibu wa taarifa kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jinsia na Watoto Wagojwa 200 wa Dengue wameripotiwa
> Wananchi wametakiwa kufika katika vituo vya afya na kupima endapo wataona mabadiliko katika afya zao
Soma > https://jamii.app/DengueDar