MTANDAO WA TWITTER WAPUNGUZA IDADI YA AKAUNTI UNAZOWEZA KUZIFUATA KWA SIKU
> Idadi imepunguzwa kutoka akaunti 1,000 hadi 400
> Wamebaini kuna akaunti zinazoendeshwa na roboti na kufuata watu wengi kwa lengo la kutangaza biashara
Soma => https://jamii.app/TwitterVsBots
> Idadi imepunguzwa kutoka akaunti 1,000 hadi 400
> Wamebaini kuna akaunti zinazoendeshwa na roboti na kufuata watu wengi kwa lengo la kutangaza biashara
Soma => https://jamii.app/TwitterVsBots
WAZAZI WAJIUA BAADA YA KUUGUZA MTOTO WAO KWA MUDA MREFU
> Wanandoa, Amina Juma na Kanuno Tano wakazi wa Mkoani Tabora wamefanya uamuzi wa kujiua baada ya kumuuguza mtoto wao, Chiku Kudona (miezi tisa) ambaye amekuwa akiugua kwa muda mrefu na kichwa chake kuongezeka ukubwa
> Amina alikatisha uhai wake kwa kunywa vidonge na mumewe alijiua kwa kujinyonga
Soma - https://jamii.app/WazaziKifoMtoto
> Wanandoa, Amina Juma na Kanuno Tano wakazi wa Mkoani Tabora wamefanya uamuzi wa kujiua baada ya kumuuguza mtoto wao, Chiku Kudona (miezi tisa) ambaye amekuwa akiugua kwa muda mrefu na kichwa chake kuongezeka ukubwa
> Amina alikatisha uhai wake kwa kunywa vidonge na mumewe alijiua kwa kujinyonga
Soma - https://jamii.app/WazaziKifoMtoto
RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA MKURUGENZI MTENDAJI WA WILAYA YA NYASA, RUKWA
> Aliyetenguliwa ni Dkt. Oscar Albano Mbyuzi
> Wakati huo huo, Jimson Mhagama ameteuliwa kuchukua nafasi yake
Zaidi, soma => https://jamii.app/MkurugenziNyasa
> Aliyetenguliwa ni Dkt. Oscar Albano Mbyuzi
> Wakati huo huo, Jimson Mhagama ameteuliwa kuchukua nafasi yake
Zaidi, soma => https://jamii.app/MkurugenziNyasa
SERIKALI: HATUWEZI KUWAINGILIA POLISI, WANANCHI WAFUATE SHERIA
> Waziri wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo amesema vyombo vya dola vinaendeshwa kwa kanuni na sheria zake, hivyo Serikali haiwezi kuviingilia na kuwataka wananchi kufuata sheria ili kuepuka migogoro
> Alikuwa akijibu swali la Devotha Minja, Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), kuhusu kauli ya RPC kwa wananchi kwamba wakiandamana wanapigwa hadi wachakazwe
Soma - https://jamii.app/SerikaliVitishoPolisi
> Waziri wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo amesema vyombo vya dola vinaendeshwa kwa kanuni na sheria zake, hivyo Serikali haiwezi kuviingilia na kuwataka wananchi kufuata sheria ili kuepuka migogoro
> Alikuwa akijibu swali la Devotha Minja, Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), kuhusu kauli ya RPC kwa wananchi kwamba wakiandamana wanapigwa hadi wachakazwe
Soma - https://jamii.app/SerikaliVitishoPolisi
CANADA: MAUAJI YA RWANDA KUADHIMISHWA KIMATAIFA
> Wabunge wapitisha hoja ya kuitambua tarehe 7 Aprili kama siku ya kimataifa ya kukumbuka mauaji ya kimbari nchini Rwanda
> Mauaji hayo yalitokea Aprili 7 mpaka Julai mwaka 1994
Zaidi, soma => https://jamii.app/RwandaGenocideCA
> Wabunge wapitisha hoja ya kuitambua tarehe 7 Aprili kama siku ya kimataifa ya kukumbuka mauaji ya kimbari nchini Rwanda
> Mauaji hayo yalitokea Aprili 7 mpaka Julai mwaka 1994
Zaidi, soma => https://jamii.app/RwandaGenocideCA
NJOMBE: MKUU WA WILAYA AWAOMBEA RUHUSA WATUMISHI ILI WASHIRIKI KUMPOKEA RAIS MAGUFULI
> Barua rasmi imewataarifu watumishi wote kuwa Rais Magufuli atawasili leo mchana
> Wananchi wametakiwa kumsubiri Rais barabarani ili wamlaki
Zaidi, soma > https://jamii.app/WatumishiNjombe
> Barua rasmi imewataarifu watumishi wote kuwa Rais Magufuli atawasili leo mchana
> Wananchi wametakiwa kumsubiri Rais barabarani ili wamlaki
Zaidi, soma > https://jamii.app/WatumishiNjombe
WANASAYANSI WAGUNDUA MTI MREFU DUNIANI
> Wanasayansi nchini Uingereza na Malaysia wanasema kuwa wamegundua mti mrefu zaidi duniani wenye urefu wa zaidi ya mita 100
> Mti huo wa kitropiki aina ya meranti ulipatikana katika msitu wa Borneo katika eneo la uhifadhi la Danum Valley huko Sabah na umepewa jina Menara linalomaanisha jumba refu
Soma https://jamii.app/WorldTallestTree
> Wanasayansi nchini Uingereza na Malaysia wanasema kuwa wamegundua mti mrefu zaidi duniani wenye urefu wa zaidi ya mita 100
> Mti huo wa kitropiki aina ya meranti ulipatikana katika msitu wa Borneo katika eneo la uhifadhi la Danum Valley huko Sabah na umepewa jina Menara linalomaanisha jumba refu
Soma https://jamii.app/WorldTallestTree
WAZIRI WA MAMBO YA NJE AWAHUTUBIA WATANZANIA WAISHIO UGHAIBUNI AKIWA DODOMA
> Prof. Kabudi amewahimiza Watanzania waishio nje ya nchi kukumbuka kuja kuwekeza Tanzania
> Awasisitiza kuitakia mema nchi yao na kuizungumza kwa wema
Soma > https://jamii.app/WatanzaniaSweden
> Prof. Kabudi amewahimiza Watanzania waishio nje ya nchi kukumbuka kuja kuwekeza Tanzania
> Awasisitiza kuitakia mema nchi yao na kuizungumza kwa wema
Soma > https://jamii.app/WatanzaniaSweden
JIFUNZE JINSI YA KUFANYA MANUNUZI MTANDAONI
> Tovuti za Manunuzi mtandaoni ni masoko ambapo wauzaji(Seller) na wanunuaji(Buyer) wanakutana bila kuonana ana kwa ana
> Katika zoezi la malipo ili kulinda pesa zako unatakiwa kutumia mfumo wa manunuzi salama kama Paypal unaokuwa kama mlinzi kati ya akaunti yako na ile ya muuzaji
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/ManunuziMtandaoniEbay
#JFTeknolojia
> Tovuti za Manunuzi mtandaoni ni masoko ambapo wauzaji(Seller) na wanunuaji(Buyer) wanakutana bila kuonana ana kwa ana
> Katika zoezi la malipo ili kulinda pesa zako unatakiwa kutumia mfumo wa manunuzi salama kama Paypal unaokuwa kama mlinzi kati ya akaunti yako na ile ya muuzaji
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/ManunuziMtandaoniEbay
#JFTeknolojia
NDEGE VITA YA JAPAN YATOWEKA KWENYE RADA IKIWA PACIFIC
> Ndege hiyo imeripotiwa kutoweka kwenye rada wakati ikiwa inatumika kwenye mafunzo katika anga la bahari ya Pacific
> Mawasiliano ya redio ya ndege hiyo pia yamekatika
Soma > https://jamii.app/JapaneseJet
#JFInternational
> Ndege hiyo imeripotiwa kutoweka kwenye rada wakati ikiwa inatumika kwenye mafunzo katika anga la bahari ya Pacific
> Mawasiliano ya redio ya ndege hiyo pia yamekatika
Soma > https://jamii.app/JapaneseJet
#JFInternational
ALGERIA WACHAGUA RAIS WA MPITO. RAIA WATAKA MFUMO MPYA KISIASA
> Bunge limefanya uchaguzi wa Rais wa mpito na wabunge wote wamemchagua Spika Abdelkader Bensalah kuwa Rais wa mpito kufuatia kujiuzulu kwa Rais Abdelaziz Bouteflika(82)
Soma https://jamii.app/AlgeriaRaisMpito
#JFInternational
> Bunge limefanya uchaguzi wa Rais wa mpito na wabunge wote wamemchagua Spika Abdelkader Bensalah kuwa Rais wa mpito kufuatia kujiuzulu kwa Rais Abdelaziz Bouteflika(82)
Soma https://jamii.app/AlgeriaRaisMpito
#JFInternational
UGANDA: MJERUMANI AGEUZA KITUO CHA WATOTO YATIMA KUWA DANGURO
> Bernhard Bery Glaser amekamatwa na Jeshi la Polisi nchini Uganda kwa tuhuma za kuwatumia kingono zaidi ya watoto 30 waliokuwa wakilelewa kwenye kituo alichokianzisha cha Ssese Humanitarian Services & Bery’s place
Soma - https://jamii.app/KituoYatimaDanguro
#JFInternational
> Bernhard Bery Glaser amekamatwa na Jeshi la Polisi nchini Uganda kwa tuhuma za kuwatumia kingono zaidi ya watoto 30 waliokuwa wakilelewa kwenye kituo alichokianzisha cha Ssese Humanitarian Services & Bery’s place
Soma - https://jamii.app/KituoYatimaDanguro
#JFInternational
AFRIKA MASHARIKI NA KUSINI ZATAKIWA KUDHIBITI FEDHA HARAMU
> Kamishna Mkuu wa Udhibiti wa Fedha Haramu Tanzania, Onesmo Makombe amezitaka nchi za Kusini na Mashariki mwa Afrika kuhakikisha zinabuni mbinu mbadala kukabiliana na tatizo la fedha haramu linalozidi kushika kasi katika nchi hizo
Soma - https://jamii.app/FedhaHaramuEAC
#JFLeo
> Kamishna Mkuu wa Udhibiti wa Fedha Haramu Tanzania, Onesmo Makombe amezitaka nchi za Kusini na Mashariki mwa Afrika kuhakikisha zinabuni mbinu mbadala kukabiliana na tatizo la fedha haramu linalozidi kushika kasi katika nchi hizo
Soma - https://jamii.app/FedhaHaramuEAC
#JFLeo
WATUHUMIWA 5 WA KUWEKA PICHA ZA NGONO WHATSAPP WAFIKISHWA MAHAKAMANI
> Washtakiwa ni William Kimaro, Oscar Mariselian, Don Godfrey, Feisal Mohammed, Abdulrahman Muhidin
> Wote kwa pamoja wamekana mashtaka na kuachiwa kwa dhamana
Soma https://jamii.app/NgonoWhatsApp
#JFLeo
> Washtakiwa ni William Kimaro, Oscar Mariselian, Don Godfrey, Feisal Mohammed, Abdulrahman Muhidin
> Wote kwa pamoja wamekana mashtaka na kuachiwa kwa dhamana
Soma https://jamii.app/NgonoWhatsApp
#JFLeo
UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI KUFANYIKA MEI 19
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo wa madiwani kwenye kata za halmashauri 6 katika mikoa 6 ya Tanzania Bara
> Uchaguzi katika kata hizo, utafanyika sambamba na uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki
Soma - https://jamii.app/UchaguziMadiwani2019
#JFLeo
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo wa madiwani kwenye kata za halmashauri 6 katika mikoa 6 ya Tanzania Bara
> Uchaguzi katika kata hizo, utafanyika sambamba na uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki
Soma - https://jamii.app/UchaguziMadiwani2019
#JFLeo
RAIS MAGUFULI: BAADHI YA WATENDAJI SERIKALINI WAMEKUWA VICHWA VIGUMU KAMA KAMONGO
> Wamekuwa wakimuona mwekezaji kama adui badala ya rafiki
> Wapo waliokuja kuwekeza lakini wakapigwa mikwara hadi wakaenda nchi jirani
Soma > https://jamii.app/WatendajiKamongo
#JFLeo
> Wamekuwa wakimuona mwekezaji kama adui badala ya rafiki
> Wapo waliokuja kuwekeza lakini wakapigwa mikwara hadi wakaenda nchi jirani
Soma > https://jamii.app/WatendajiKamongo
#JFLeo
BUNGENI, DODOMA: SERIKALI KUWASILISHA RIPOTI YA CAG
> Ripoti hii inawasilishwa Bungeni huku kukiwa na vuguvugu la Bunge kutangaza azimio la kutofanya kazi na CAG, Prof. Assad
Zaidi, soma => https://jamii.app/RipotiCAGBungeni
#JFLeo
> Ripoti hii inawasilishwa Bungeni huku kukiwa na vuguvugu la Bunge kutangaza azimio la kutofanya kazi na CAG, Prof. Assad
Zaidi, soma => https://jamii.app/RipotiCAGBungeni
#JFLeo
NIGERIA: WATU 21 WAUAWA KWENYE SHAMBULIZI LA RISASI
> Shambulizi hilo limefanywa na watu wasiojulikana waliokuwa na silaha katika jimbo la Kaduna, Kaskazini mwa nchi hiyo
> Watu 3 wamejeruhiwa, nyumba 10 zimechomwa moto na Ngo'mbe 50 wameibwa
Soma - https://jamii.app/21DeadKadunaAttack
#JFInternational
> Shambulizi hilo limefanywa na watu wasiojulikana waliokuwa na silaha katika jimbo la Kaduna, Kaskazini mwa nchi hiyo
> Watu 3 wamejeruhiwa, nyumba 10 zimechomwa moto na Ngo'mbe 50 wameibwa
Soma - https://jamii.app/21DeadKadunaAttack
#JFInternational
UCHAGUZI ISRAEL: 95% YA KURA ZAHESABIWA, CHAMA CHA NETANYAHU CHAONGOZA
> Chama cha Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu cha Likud kinaongoza kwa kupata viti vingi vya Wabunge
> Chama cha 'Blue and White’ kinachoongozwa na Benny Gantz kinafuata
Soma > https://jamii.app/IsraelElection
> Chama cha Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu cha Likud kinaongoza kwa kupata viti vingi vya Wabunge
> Chama cha 'Blue and White’ kinachoongozwa na Benny Gantz kinafuata
Soma > https://jamii.app/IsraelElection
RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI 2017/18
> Ripoti hii imesheheni mambo muhimu yanayohitajika kufahamika kwa Umma, Serikali, Bunge na Menejimenti za Mamlaka za Serikali za Mitaa
Kwa nakala za ripoti, fungua > https://jamii.app/RipotiCAG
#RipotiYaCAG2018
> Ripoti hii imesheheni mambo muhimu yanayohitajika kufahamika kwa Umma, Serikali, Bunge na Menejimenti za Mamlaka za Serikali za Mitaa
Kwa nakala za ripoti, fungua > https://jamii.app/RipotiCAG
#RipotiYaCAG2018