RIPOTI YA CAG YABAINISHA MATUKIO YA UDANGANYIFU WA SHILINGI MILIONI 321
> CAG amesema wakati wa ukaguzi, alibaini matukio matatu ya udanganyifu wa Shilingi 321,377,067 ambayo yanahitaji uchunguzi zaidi
Soma => https://jamii.app/RipotiCAG
#RipotiYaCAG2018
> CAG amesema wakati wa ukaguzi, alibaini matukio matatu ya udanganyifu wa Shilingi 321,377,067 ambayo yanahitaji uchunguzi zaidi
Soma => https://jamii.app/RipotiCAG
#RipotiYaCAG2018
CAG: CHADEMA WALINUNUA GARI NA KULISAJILI KWA JINA LA MWANACHAMA
> Gari hilo lilinunuliwa kwa Tsh.147 lilipaswa kusajiliwa chini ya Bodi ya Wadhamini
> NEC ilinunua mashine za BVR 8,000 kati ya hizo 5,000 hazikukidhi vigezo
Soma > https://jamii.app/RipotiCAG
#RipotiYaCAG2018
> Gari hilo lilinunuliwa kwa Tsh.147 lilipaswa kusajiliwa chini ya Bodi ya Wadhamini
> NEC ilinunua mashine za BVR 8,000 kati ya hizo 5,000 hazikukidhi vigezo
Soma > https://jamii.app/RipotiCAG
#RipotiYaCAG2018
UGANDA YAMTAKA RAIS TRUMP KUTOINGILIA MASUALA YA NCHI YAO
> Msemaji wa Serikali ya Uganda, Ofwno Opondo amesema kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump anapaswa kutatua na kurekebisha matatizo ya Taifa lake badala ya kuingilia masuala ya nchi ya Uganda
> Trump aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa watu hawataona Uganda ni sehemu salama hadi pale watekaji nyara wa raia wa Marekani Kim Sue Endicott pamoja na Jean-Paul Mirenge raia wa Congo watakapokamatwa
Soma - https://jamii.app/TrumpSafetyUG
#JFInternational
> Msemaji wa Serikali ya Uganda, Ofwno Opondo amesema kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump anapaswa kutatua na kurekebisha matatizo ya Taifa lake badala ya kuingilia masuala ya nchi ya Uganda
> Trump aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa watu hawataona Uganda ni sehemu salama hadi pale watekaji nyara wa raia wa Marekani Kim Sue Endicott pamoja na Jean-Paul Mirenge raia wa Congo watakapokamatwa
Soma - https://jamii.app/TrumpSafetyUG
#JFInternational
MABASI 58 YA DART YAONDOLEWA BARABARANI, UHABA WAIBUKA
> Taarifa ya DART imesema uhaba huo unatokana na mabasi kupata hitilafu mbalimbali ambapo idadi ya mabasi yanayotoa huduma leo katika mfumo wao ni 85, huku 58 yakifanyiwa matengenezo makubwa na madogo
Soma - https://jamii.app/UbovuMabasiDart
#JFLeo
> Taarifa ya DART imesema uhaba huo unatokana na mabasi kupata hitilafu mbalimbali ambapo idadi ya mabasi yanayotoa huduma leo katika mfumo wao ni 85, huku 58 yakifanyiwa matengenezo makubwa na madogo
Soma - https://jamii.app/UbovuMabasiDart
#JFLeo
IMF: UCHUMI WA TANZANIA UNATARAJIWA KUKUA KWA 4% (SERIKALI ILIKADIRIA 7.3%)
> IMF yashusha makadirio yake ya ukuaji wa uchumi nchini kwa mwaka 2019 na 2020
> Uchumi unatarajiwa kukua kwa 4% 2019 na 4.2% kwa 2020. Mwaka 2018 ilikuwa 6.6%
Soma https://jamii.app/IMFVsTzEconomy
#JFUchumi
> IMF yashusha makadirio yake ya ukuaji wa uchumi nchini kwa mwaka 2019 na 2020
> Uchumi unatarajiwa kukua kwa 4% 2019 na 4.2% kwa 2020. Mwaka 2018 ilikuwa 6.6%
Soma https://jamii.app/IMFVsTzEconomy
#JFUchumi
UTEKELEZAJI WA HUKUMU YA KIFO WAPUNGUA DUNIANI
> Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika linalotetea #HakiZaBinadamu la Amnesty International, Takribani nchi 20 zilitekeleza hukumu hiyo kwa watu 690 mwaka 2018, ikiwa chini kwa 31% kutoka kiasi cha watu 993 mwaka 2017
> Upunguaji umeonekana nchini Iraq, Iran, Pakistan na Somalia
Soma - https://jamii.app/TakwimuHukumuKifo
#JFLeo
> Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika linalotetea #HakiZaBinadamu la Amnesty International, Takribani nchi 20 zilitekeleza hukumu hiyo kwa watu 690 mwaka 2018, ikiwa chini kwa 31% kutoka kiasi cha watu 993 mwaka 2017
> Upunguaji umeonekana nchini Iraq, Iran, Pakistan na Somalia
Soma - https://jamii.app/TakwimuHukumuKifo
#JFLeo
MUIGIZAJI MKONGWE AIBUKA NA BIDHAA YA BANGI INAYOTULIZA MAUMIVU WAKATI WA HEDHI
> Mtetezi wa matumizi sahihi ya bangi, Whoopi Goldberg(60) amesema amebuni bidhaa hiyo ili kuwaokoa Wanawake kwasababu maumivu ya hedhi sio ya utani
Zaidi, soma => https://jamii.app/BangiKwaHedhi
#JFLeo
> Mtetezi wa matumizi sahihi ya bangi, Whoopi Goldberg(60) amesema amebuni bidhaa hiyo ili kuwaokoa Wanawake kwasababu maumivu ya hedhi sio ya utani
Zaidi, soma => https://jamii.app/BangiKwaHedhi
#JFLeo
KENYA: YAYA ALIYETOROKA NA MTOTO WA MWAJIRI AKAMATWA
> Sharon Chepkoech (24) alikamatwa siku ya Jumatano, Aprili 10, baada ya kutoroka na mtoto wa miezi miwili na kisha kutuma ujumbe wa simu akimtaka mama wa mtoto ampatie pesa kiasi cha Ksh 10,000
> Alitishia kusafiri na mtoto huyo hadi nchini Malawi iwapo hangepewa pesa alizokuwa akizitaka
Soma - https://jamii.app/YayaToroshaMtoto
#JFInternational
> Sharon Chepkoech (24) alikamatwa siku ya Jumatano, Aprili 10, baada ya kutoroka na mtoto wa miezi miwili na kisha kutuma ujumbe wa simu akimtaka mama wa mtoto ampatie pesa kiasi cha Ksh 10,000
> Alitishia kusafiri na mtoto huyo hadi nchini Malawi iwapo hangepewa pesa alizokuwa akizitaka
Soma - https://jamii.app/YayaToroshaMtoto
#JFInternational