KENYATTA AWATAKA MATAJIRI KUELEZA VYANZO VYA MALI ZAO
> Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema matajiri wote wakaguliwe mali zao na wataje vyanzo vya utajiri wao na namna wanavyolipa kodi nchini humo kwa kuwa idadi yao ni kubwa lakini haiendani na kiwango cha kodi wanacholipa
Zaidi, soma https://jamii.app/TaarifaMatajiriKE
> Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema matajiri wote wakaguliwe mali zao na wataje vyanzo vya utajiri wao na namna wanavyolipa kodi nchini humo kwa kuwa idadi yao ni kubwa lakini haiendani na kiwango cha kodi wanacholipa
Zaidi, soma https://jamii.app/TaarifaMatajiriKE
ASKARI WA ZIMAMOTO AFUKUZWA KAZI KWA KUJIHUSISHA NA RUSHWA
- Joseph Chale mwenye namba US/ZM 2946FC, amefukuzwa kazi kutokana na kuhusika katika vitendo vya rushwa na unyanyasaji kwa wachimbaji wadogo wa madini Wilayani Chunya, mkoani Songwe
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariZimamotoRushwa
- Joseph Chale mwenye namba US/ZM 2946FC, amefukuzwa kazi kutokana na kuhusika katika vitendo vya rushwa na unyanyasaji kwa wachimbaji wadogo wa madini Wilayani Chunya, mkoani Songwe
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariZimamotoRushwa
BRAZIL: WATU 25 WAVAMIA BENKI 2, 11 WAUAWA
> Taarifa iliyotolewa na Polisi inasema watu 25 waliokuwa na silaha walivamia Benki 2 katika Mji wa Sao Paulo kwa malengo ya kuiba na katika makabiliano baina ya Polisi na wezi hao watuhumiwa 11 waliuawa papohapo na wengine 3 wanashikiliwa na Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/25UvamiziBenki
> Taarifa iliyotolewa na Polisi inasema watu 25 waliokuwa na silaha walivamia Benki 2 katika Mji wa Sao Paulo kwa malengo ya kuiba na katika makabiliano baina ya Polisi na wezi hao watuhumiwa 11 waliuawa papohapo na wengine 3 wanashikiliwa na Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/25UvamiziBenki
WAZIRI KIVULI WA MAMBO YA NJE WA UINGEREZA AKOSOA SHERIA YA VYAMA VYA SIASA TANZANIA
- Liz Mclnnes ambaye pia ni Mbunge kutoka chama cha Upinzani cha Labour, amesema amesikitishwa na kupitishwa kwa sheria hiyo aliyodai inaminya upinzani
- Amesema sheria hiyo inazuia vikali shughuli za kisiasa kwa kumpa Msajili wa vyama vya siasa mamlaka ya kuvifutia usajili vyama
Zaidi, soma https://jamii.app/SheriaSiasaTZYakosolewa
- Liz Mclnnes ambaye pia ni Mbunge kutoka chama cha Upinzani cha Labour, amesema amesikitishwa na kupitishwa kwa sheria hiyo aliyodai inaminya upinzani
- Amesema sheria hiyo inazuia vikali shughuli za kisiasa kwa kumpa Msajili wa vyama vya siasa mamlaka ya kuvifutia usajili vyama
Zaidi, soma https://jamii.app/SheriaSiasaTZYakosolewa
HALMASHAURI ZATAKIWA KUTOBOMOA NYUMBA ZILIZOPO KWENYE MAKAZI HOLELA
- Halmashauri zote nchini zimetakiwa badala ya kubomoa nyumba za Wananchi zilizopo kwenye makazi holela yasiyopimwa, ziweke utaratibu wa kuwapatia hati miliki wenye nyumba
Zaidi, soma https://jamii.app/MakaziHolelaYasivunjwe
- Halmashauri zote nchini zimetakiwa badala ya kubomoa nyumba za Wananchi zilizopo kwenye makazi holela yasiyopimwa, ziweke utaratibu wa kuwapatia hati miliki wenye nyumba
Zaidi, soma https://jamii.app/MakaziHolelaYasivunjwe
UTAMADUNI WA KUSHANGAZA: WATOTO(MIAKA 9 & 6) WANAODAIWA KUZALIWA NA MENO, WAOANA
- Baada ya ndoa, Watoto hao walipatiwa nyumba ya kitamaduni kuishi
- Tukio hilo limetoka katika Kijiji cha Nakapyata, Wilayani Buyende nchini Uganda
Zaidi, soma https://jamii.app/WatotoWaonaUG
- Baada ya ndoa, Watoto hao walipatiwa nyumba ya kitamaduni kuishi
- Tukio hilo limetoka katika Kijiji cha Nakapyata, Wilayani Buyende nchini Uganda
Zaidi, soma https://jamii.app/WatotoWaonaUG
MAREKANI: BUNGE LAPIGA KURA KUHUSU MISAADA YA KIVITA YEMEN
> Bunge limepiga kura ya kusimamisha ushiriki wa nchi hiyo kwenye vita vya Yemen
> Wabunge 247 walipiga kura kuunga mkono na Wabunge 175 walipinga kusimamisha msaada wa kijeshi
Soma - https://jamii.app/USAidsYemen
> Bunge limepiga kura ya kusimamisha ushiriki wa nchi hiyo kwenye vita vya Yemen
> Wabunge 247 walipiga kura kuunga mkono na Wabunge 175 walipinga kusimamisha msaada wa kijeshi
Soma - https://jamii.app/USAidsYemen
RAIS WA UFARANSA AAMURU UCHUNGUZI JUU YA MAUAJI YA KIMBARI
> Rais Emmanuel Macron ameteua tume itakayofanya uchunguzi ili kubaini iwapo Ufaransa ilihusika katika mauaji ya Kimbari yaliyotokea nchini Rwanda kati ya mwaka 1990 na 1994
> Ni kutokana na tuhuma za Serikali ya Rwanda kwamba Ufaransa kwa sehemu fulani ilihusika na mauaji hayo
Soma - https://jamii.app/FranceKimbariGenocides
> Rais Emmanuel Macron ameteua tume itakayofanya uchunguzi ili kubaini iwapo Ufaransa ilihusika katika mauaji ya Kimbari yaliyotokea nchini Rwanda kati ya mwaka 1990 na 1994
> Ni kutokana na tuhuma za Serikali ya Rwanda kwamba Ufaransa kwa sehemu fulani ilihusika na mauaji hayo
Soma - https://jamii.app/FranceKimbariGenocides
JOHN PALLANGYO KUIWAKILISHA CCM ARUMERU MASHARIKI
- Mwenyekiti huyo wa Umoja wa Wazazi(CCM) mkoani Arusha, ameshinda kura za maoni ndani ya CCM kwa kura 470 kati ya 690
- Uchaguzi wa Ubunge katika jimbo hilo unatarajiwa kufanyika Mei 19, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/PallangyoArumeruCCM
- Mwenyekiti huyo wa Umoja wa Wazazi(CCM) mkoani Arusha, ameshinda kura za maoni ndani ya CCM kwa kura 470 kati ya 690
- Uchaguzi wa Ubunge katika jimbo hilo unatarajiwa kufanyika Mei 19, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/PallangyoArumeruCCM
WANACHAMA WA 'TANGANYIKA LAW SOCIETY' WAPIGA KURA KUMCHAGUA RAIS
- Wanapiga kura kumchagua Rais Mpya wa chama atakayechukua nafasi ya Mwanasheria Fatma Karume anayemaliza muda wake
- Uchaguzi huo unafanyika leo Aprili 06, jijini Arusha
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziTLS-2019
- Wanapiga kura kumchagua Rais Mpya wa chama atakayechukua nafasi ya Mwanasheria Fatma Karume anayemaliza muda wake
- Uchaguzi huo unafanyika leo Aprili 06, jijini Arusha
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziTLS-2019
MEYA WA ARUSHA(CHADEMA) AMUOMBA RAIS MAGUFULI AFIKE KUPOKEA SHUKRANI ZA WANA-ARUSHA
- Kalisti Lazaro amemuomba RC wa Arusha amualike Rais Magufuli jijini humo ili akapokee Shukrani na pongezi badala ya malalamiko kama aliyopata huko Mtwara
Zaidi, soma https://jamii.app/MeyaAR-AmwalikaRais
- Kalisti Lazaro amemuomba RC wa Arusha amualike Rais Magufuli jijini humo ili akapokee Shukrani na pongezi badala ya malalamiko kama aliyopata huko Mtwara
Zaidi, soma https://jamii.app/MeyaAR-AmwalikaRais
BASHE: KODI KUKUSANYWA NA WASIO NA UJUZI MOJA YA SABABU SOKO LA KARIAKOO KUFA
- Mbunge wa Nzega(CCM), Hussein Bashe amesema kumeanzishwa 'taskforce' ya kukusanya kodi yenye Polisi na TAKUKURU
- Amesema watu hao hawana ujuzi wa kukusanya kodi
Zaidi, soma https://jamii.app/BasheKodiKariakoo
- Mbunge wa Nzega(CCM), Hussein Bashe amesema kumeanzishwa 'taskforce' ya kukusanya kodi yenye Polisi na TAKUKURU
- Amesema watu hao hawana ujuzi wa kukusanya kodi
Zaidi, soma https://jamii.app/BasheKodiKariakoo
KLABU BINGWA AFRIKA: SIMBA YALAZIMISHWA SARE NA TP MAZEMBE
- Klabu ya Simba ikiwa nyumbani katika dimba la Taifa jijini Dar imetoka suluhu ya 0-0 dhidi ya klabu ya TP Mazembe
- Mchezo wa marudiano wa hatua hii ya robo fainali utachezwa DR Congo mnamo Aprili 13, 2019
#JFLeo
- Klabu ya Simba ikiwa nyumbani katika dimba la Taifa jijini Dar imetoka suluhu ya 0-0 dhidi ya klabu ya TP Mazembe
- Mchezo wa marudiano wa hatua hii ya robo fainali utachezwa DR Congo mnamo Aprili 13, 2019
#JFLeo
KLABU BINGWA AFRIKA: AL AHLY YAPIGWA 5 NA MAMELODI SUNDOWS
- Klabu ya Al Ahly kutoka Misri ikiwa ugenini nchini Afrika Kusini imekumbana na kipigo cha goli 5-0 kutoka kwa klabu ya Mamelodi Sundowns
- Mchezo wa marudiano katika hatua hii ya robo fainali utachezwa Misri mnamo Aprili 13, 2019
#JFLeo
- Klabu ya Al Ahly kutoka Misri ikiwa ugenini nchini Afrika Kusini imekumbana na kipigo cha goli 5-0 kutoka kwa klabu ya Mamelodi Sundowns
- Mchezo wa marudiano katika hatua hii ya robo fainali utachezwa Misri mnamo Aprili 13, 2019
#JFLeo
DKT. NSHALA AWA RAIS WA CHAMA CHA WANASHERIA WA TANGANYIKA
- Aliyekuwa Makamu wa TLS wakati wa uongozi wa Fatma Karume, Dkt. Rugemeleza Nshala amechaguliwa kuwa Rais kwa mwaka 2019/20
- Amewashinda wenzake wanne kwa kupata kura 629 kati ya 1162
Zaidi, soma https://jamii.app/NshalaTLS-2018-19
- Aliyekuwa Makamu wa TLS wakati wa uongozi wa Fatma Karume, Dkt. Rugemeleza Nshala amechaguliwa kuwa Rais kwa mwaka 2019/20
- Amewashinda wenzake wanne kwa kupata kura 629 kati ya 1162
Zaidi, soma https://jamii.app/NshalaTLS-2018-19
CAG: NASHUTUMIWA BILA MAKOSA, NAICHUKULIA HATUA YA BUNGE KWA UTULIVU
- Prof. Mussa Assad amesema hajui sababu zilizosababisha Bunge lifikie uamuzi wa kutoshirikiana naye
- Asema matumizi ya neno ‘udhaifu’ katika lugha ya ukaguzi ni kawaida
Zaidi, soma https://jamii.app/AssadKuhusuBungeKazi
- Prof. Mussa Assad amesema hajui sababu zilizosababisha Bunge lifikie uamuzi wa kutoshirikiana naye
- Asema matumizi ya neno ‘udhaifu’ katika lugha ya ukaguzi ni kawaida
Zaidi, soma https://jamii.app/AssadKuhusuBungeKazi
> Mchezaji Lionel Messi wa Barcelona, amekuwa mchezaji anayeongoza kushinda mechi nyingi kwenye Ligi Kuu ya Uhispania baada ya jana Barca kumfunga A. Madrid 2-0
> Ameshinda mechi 335 na kuvunja rekodi ya Iker Casillas aliyeshida mechi 334 akiwa R. Madrid
#JFLeo #JFMichezo
> Ameshinda mechi 335 na kuvunja rekodi ya Iker Casillas aliyeshida mechi 334 akiwa R. Madrid
#JFLeo #JFMichezo
MAELFU WAANDAMANA WAKITAKA RAIS JUAN ORLANDO HERNANDEZ AJIUZULU
- Ni ktk mitaa ya Mji Mkuu wa Honduras wakitaka ajiuzulu na yeye na familia yake wachunguzwe
- Adaiwa kuwa na uhusiano na watuhumiwa wa rushwa na usafirishaji wa #DawaZaKulevya
Zaidi, soma https://jamii.app/OppProtestsHNDR
- Ni ktk mitaa ya Mji Mkuu wa Honduras wakitaka ajiuzulu na yeye na familia yake wachunguzwe
- Adaiwa kuwa na uhusiano na watuhumiwa wa rushwa na usafirishaji wa #DawaZaKulevya
Zaidi, soma https://jamii.app/OppProtestsHNDR