KAMANDA MWANDAMIZI WA AL-SHABAB AKAMATWA SOMALIA
> Vikosi vya usalama vya Somalia vimemkamata kamanda mwandamizi wa kundi la Al-Shabab kwenye operesheni ya mtego iliyotekelezwa jana jioni katika eneo la Kusini mwa nchi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/Al-shababCommanderArrested
> Vikosi vya usalama vya Somalia vimemkamata kamanda mwandamizi wa kundi la Al-Shabab kwenye operesheni ya mtego iliyotekelezwa jana jioni katika eneo la Kusini mwa nchi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/Al-shababCommanderArrested
RAIS MAGUFULI AANZA ZIARA YA SIKU 6 MKOANI RUVUMA
- Miradi 9 yenye thamani ya Tsh. Bilioni 519.7 itazinduliwa, kuwekewa mawe ya msingi na kukaguliwa
- Atatembelea Wilaya za Tunduru, Namtumbo, Songea, Mbinga na Nyasa
Fuatilia https://jamii.app/ZiaraMagufuliRuvuma
- Miradi 9 yenye thamani ya Tsh. Bilioni 519.7 itazinduliwa, kuwekewa mawe ya msingi na kukaguliwa
- Atatembelea Wilaya za Tunduru, Namtumbo, Songea, Mbinga na Nyasa
Fuatilia https://jamii.app/ZiaraMagufuliRuvuma
MAREKANI IMEMFUTIA VIZA YA KUINGIA NCHINI HUMO MWENDESHA MASHTAKA WA ICC
- Ni Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu(ICC), Fatou Bensouda aliyetaka Majeshi ya Marekani nchini Afghanistan yachunguzwe juu ya uhalifu wa kivita
Soma https://jamii.app/USRevokesBensoudaViza
- Ni Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu(ICC), Fatou Bensouda aliyetaka Majeshi ya Marekani nchini Afghanistan yachunguzwe juu ya uhalifu wa kivita
Soma https://jamii.app/USRevokesBensoudaViza
UCHUMI WA AFRIKA MASHARIKI KUKUA KWA 5.9% MWAKA 2019
> Ripoti iliyotolewa na benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imesema, ukuaji wa uchumi katika eneo hilo unatarajiwa kukua kwa asilimia 5.9 mwaka huu na asilimia 6.1 kwa mwaka ujao
> Hata hivyo, kuna ukuaji wa kiwango cha madeni kwa nchi ambazo awali zilifaidika kwa kusamehewa madeni yao
Soma - https://jamii.app/OngezekoUchumiEA
> Ripoti iliyotolewa na benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imesema, ukuaji wa uchumi katika eneo hilo unatarajiwa kukua kwa asilimia 5.9 mwaka huu na asilimia 6.1 kwa mwaka ujao
> Hata hivyo, kuna ukuaji wa kiwango cha madeni kwa nchi ambazo awali zilifaidika kwa kusamehewa madeni yao
Soma - https://jamii.app/OngezekoUchumiEA
MBUNGE ATAKA WABUNGE WAKATWE POSHO KUICHANGIA YANGA. WABUNGE WAGOMA
- Mbunge wa Nkasi Kaskazini(CCM), Ally Keissy ndiye aliyetoa ombi
- Aliomba Wabunge wakatwe Tsh. 100,000 kwenye posho za leo kuichangia klabu ya Yanga iliyokubwa na ukata
Zaidi, soma https://jamii.app/MbungeYangaKuchangia
- Mbunge wa Nkasi Kaskazini(CCM), Ally Keissy ndiye aliyetoa ombi
- Aliomba Wabunge wakatwe Tsh. 100,000 kwenye posho za leo kuichangia klabu ya Yanga iliyokubwa na ukata
Zaidi, soma https://jamii.app/MbungeYangaKuchangia
MTU 1 KATI YA 4 DUNIANI HUFA KWA KUKOSA MLO KAMILI
> Wataalamu wamesema kwamba kifo kimoja kati ya vinne kinatokana na mlo usiotimiza viwango vya lishe bora, na ulaji wa kupindukia wa sukari, chumvi na nyama unasababisha vifo vya mamilioni ya watu kila mwaka
> Takribani watu bilioni moja duniani kote hawapati chakula cha kutosha, huku karibu watu bilioni mbili wanakula kwa kiwango cha kupindukia
Zaidi, soma https://jamii.app/VifoMloHafifu
> Wataalamu wamesema kwamba kifo kimoja kati ya vinne kinatokana na mlo usiotimiza viwango vya lishe bora, na ulaji wa kupindukia wa sukari, chumvi na nyama unasababisha vifo vya mamilioni ya watu kila mwaka
> Takribani watu bilioni moja duniani kote hawapati chakula cha kutosha, huku karibu watu bilioni mbili wanakula kwa kiwango cha kupindukia
Zaidi, soma https://jamii.app/VifoMloHafifu
KENYATTA AWATAKA MATAJIRI KUELEZA VYANZO VYA MALI ZAO
> Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema matajiri wote wakaguliwe mali zao na wataje vyanzo vya utajiri wao na namna wanavyolipa kodi nchini humo kwa kuwa idadi yao ni kubwa lakini haiendani na kiwango cha kodi wanacholipa
Zaidi, soma https://jamii.app/TaarifaMatajiriKE
> Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema matajiri wote wakaguliwe mali zao na wataje vyanzo vya utajiri wao na namna wanavyolipa kodi nchini humo kwa kuwa idadi yao ni kubwa lakini haiendani na kiwango cha kodi wanacholipa
Zaidi, soma https://jamii.app/TaarifaMatajiriKE
ASKARI WA ZIMAMOTO AFUKUZWA KAZI KWA KUJIHUSISHA NA RUSHWA
- Joseph Chale mwenye namba US/ZM 2946FC, amefukuzwa kazi kutokana na kuhusika katika vitendo vya rushwa na unyanyasaji kwa wachimbaji wadogo wa madini Wilayani Chunya, mkoani Songwe
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariZimamotoRushwa
- Joseph Chale mwenye namba US/ZM 2946FC, amefukuzwa kazi kutokana na kuhusika katika vitendo vya rushwa na unyanyasaji kwa wachimbaji wadogo wa madini Wilayani Chunya, mkoani Songwe
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariZimamotoRushwa
BRAZIL: WATU 25 WAVAMIA BENKI 2, 11 WAUAWA
> Taarifa iliyotolewa na Polisi inasema watu 25 waliokuwa na silaha walivamia Benki 2 katika Mji wa Sao Paulo kwa malengo ya kuiba na katika makabiliano baina ya Polisi na wezi hao watuhumiwa 11 waliuawa papohapo na wengine 3 wanashikiliwa na Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/25UvamiziBenki
> Taarifa iliyotolewa na Polisi inasema watu 25 waliokuwa na silaha walivamia Benki 2 katika Mji wa Sao Paulo kwa malengo ya kuiba na katika makabiliano baina ya Polisi na wezi hao watuhumiwa 11 waliuawa papohapo na wengine 3 wanashikiliwa na Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/25UvamiziBenki
WAZIRI KIVULI WA MAMBO YA NJE WA UINGEREZA AKOSOA SHERIA YA VYAMA VYA SIASA TANZANIA
- Liz Mclnnes ambaye pia ni Mbunge kutoka chama cha Upinzani cha Labour, amesema amesikitishwa na kupitishwa kwa sheria hiyo aliyodai inaminya upinzani
- Amesema sheria hiyo inazuia vikali shughuli za kisiasa kwa kumpa Msajili wa vyama vya siasa mamlaka ya kuvifutia usajili vyama
Zaidi, soma https://jamii.app/SheriaSiasaTZYakosolewa
- Liz Mclnnes ambaye pia ni Mbunge kutoka chama cha Upinzani cha Labour, amesema amesikitishwa na kupitishwa kwa sheria hiyo aliyodai inaminya upinzani
- Amesema sheria hiyo inazuia vikali shughuli za kisiasa kwa kumpa Msajili wa vyama vya siasa mamlaka ya kuvifutia usajili vyama
Zaidi, soma https://jamii.app/SheriaSiasaTZYakosolewa
HALMASHAURI ZATAKIWA KUTOBOMOA NYUMBA ZILIZOPO KWENYE MAKAZI HOLELA
- Halmashauri zote nchini zimetakiwa badala ya kubomoa nyumba za Wananchi zilizopo kwenye makazi holela yasiyopimwa, ziweke utaratibu wa kuwapatia hati miliki wenye nyumba
Zaidi, soma https://jamii.app/MakaziHolelaYasivunjwe
- Halmashauri zote nchini zimetakiwa badala ya kubomoa nyumba za Wananchi zilizopo kwenye makazi holela yasiyopimwa, ziweke utaratibu wa kuwapatia hati miliki wenye nyumba
Zaidi, soma https://jamii.app/MakaziHolelaYasivunjwe
UTAMADUNI WA KUSHANGAZA: WATOTO(MIAKA 9 & 6) WANAODAIWA KUZALIWA NA MENO, WAOANA
- Baada ya ndoa, Watoto hao walipatiwa nyumba ya kitamaduni kuishi
- Tukio hilo limetoka katika Kijiji cha Nakapyata, Wilayani Buyende nchini Uganda
Zaidi, soma https://jamii.app/WatotoWaonaUG
- Baada ya ndoa, Watoto hao walipatiwa nyumba ya kitamaduni kuishi
- Tukio hilo limetoka katika Kijiji cha Nakapyata, Wilayani Buyende nchini Uganda
Zaidi, soma https://jamii.app/WatotoWaonaUG
MAREKANI: BUNGE LAPIGA KURA KUHUSU MISAADA YA KIVITA YEMEN
> Bunge limepiga kura ya kusimamisha ushiriki wa nchi hiyo kwenye vita vya Yemen
> Wabunge 247 walipiga kura kuunga mkono na Wabunge 175 walipinga kusimamisha msaada wa kijeshi
Soma - https://jamii.app/USAidsYemen
> Bunge limepiga kura ya kusimamisha ushiriki wa nchi hiyo kwenye vita vya Yemen
> Wabunge 247 walipiga kura kuunga mkono na Wabunge 175 walipinga kusimamisha msaada wa kijeshi
Soma - https://jamii.app/USAidsYemen
RAIS WA UFARANSA AAMURU UCHUNGUZI JUU YA MAUAJI YA KIMBARI
> Rais Emmanuel Macron ameteua tume itakayofanya uchunguzi ili kubaini iwapo Ufaransa ilihusika katika mauaji ya Kimbari yaliyotokea nchini Rwanda kati ya mwaka 1990 na 1994
> Ni kutokana na tuhuma za Serikali ya Rwanda kwamba Ufaransa kwa sehemu fulani ilihusika na mauaji hayo
Soma - https://jamii.app/FranceKimbariGenocides
> Rais Emmanuel Macron ameteua tume itakayofanya uchunguzi ili kubaini iwapo Ufaransa ilihusika katika mauaji ya Kimbari yaliyotokea nchini Rwanda kati ya mwaka 1990 na 1994
> Ni kutokana na tuhuma za Serikali ya Rwanda kwamba Ufaransa kwa sehemu fulani ilihusika na mauaji hayo
Soma - https://jamii.app/FranceKimbariGenocides
JOHN PALLANGYO KUIWAKILISHA CCM ARUMERU MASHARIKI
- Mwenyekiti huyo wa Umoja wa Wazazi(CCM) mkoani Arusha, ameshinda kura za maoni ndani ya CCM kwa kura 470 kati ya 690
- Uchaguzi wa Ubunge katika jimbo hilo unatarajiwa kufanyika Mei 19, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/PallangyoArumeruCCM
- Mwenyekiti huyo wa Umoja wa Wazazi(CCM) mkoani Arusha, ameshinda kura za maoni ndani ya CCM kwa kura 470 kati ya 690
- Uchaguzi wa Ubunge katika jimbo hilo unatarajiwa kufanyika Mei 19, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/PallangyoArumeruCCM
WANACHAMA WA 'TANGANYIKA LAW SOCIETY' WAPIGA KURA KUMCHAGUA RAIS
- Wanapiga kura kumchagua Rais Mpya wa chama atakayechukua nafasi ya Mwanasheria Fatma Karume anayemaliza muda wake
- Uchaguzi huo unafanyika leo Aprili 06, jijini Arusha
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziTLS-2019
- Wanapiga kura kumchagua Rais Mpya wa chama atakayechukua nafasi ya Mwanasheria Fatma Karume anayemaliza muda wake
- Uchaguzi huo unafanyika leo Aprili 06, jijini Arusha
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziTLS-2019