MEYA WA ARUSHA(CHADEMA) AMUOMBA RAIS MAGUFULI AFIKE KUPOKEA SHUKRANI ZA WANA-ARUSHA
- Kalisti Lazaro amemuomba RC wa Arusha amualike Rais Magufuli jijini humo ili akapokee Shukrani na pongezi badala ya malalamiko kama aliyopata huko Mtwara
Zaidi, soma https://jamii.app/MeyaAR-AmwalikaRais
- Kalisti Lazaro amemuomba RC wa Arusha amualike Rais Magufuli jijini humo ili akapokee Shukrani na pongezi badala ya malalamiko kama aliyopata huko Mtwara
Zaidi, soma https://jamii.app/MeyaAR-AmwalikaRais
BASHE: KODI KUKUSANYWA NA WASIO NA UJUZI MOJA YA SABABU SOKO LA KARIAKOO KUFA
- Mbunge wa Nzega(CCM), Hussein Bashe amesema kumeanzishwa 'taskforce' ya kukusanya kodi yenye Polisi na TAKUKURU
- Amesema watu hao hawana ujuzi wa kukusanya kodi
Zaidi, soma https://jamii.app/BasheKodiKariakoo
- Mbunge wa Nzega(CCM), Hussein Bashe amesema kumeanzishwa 'taskforce' ya kukusanya kodi yenye Polisi na TAKUKURU
- Amesema watu hao hawana ujuzi wa kukusanya kodi
Zaidi, soma https://jamii.app/BasheKodiKariakoo
KLABU BINGWA AFRIKA: SIMBA YALAZIMISHWA SARE NA TP MAZEMBE
- Klabu ya Simba ikiwa nyumbani katika dimba la Taifa jijini Dar imetoka suluhu ya 0-0 dhidi ya klabu ya TP Mazembe
- Mchezo wa marudiano wa hatua hii ya robo fainali utachezwa DR Congo mnamo Aprili 13, 2019
#JFLeo
- Klabu ya Simba ikiwa nyumbani katika dimba la Taifa jijini Dar imetoka suluhu ya 0-0 dhidi ya klabu ya TP Mazembe
- Mchezo wa marudiano wa hatua hii ya robo fainali utachezwa DR Congo mnamo Aprili 13, 2019
#JFLeo
KLABU BINGWA AFRIKA: AL AHLY YAPIGWA 5 NA MAMELODI SUNDOWS
- Klabu ya Al Ahly kutoka Misri ikiwa ugenini nchini Afrika Kusini imekumbana na kipigo cha goli 5-0 kutoka kwa klabu ya Mamelodi Sundowns
- Mchezo wa marudiano katika hatua hii ya robo fainali utachezwa Misri mnamo Aprili 13, 2019
#JFLeo
- Klabu ya Al Ahly kutoka Misri ikiwa ugenini nchini Afrika Kusini imekumbana na kipigo cha goli 5-0 kutoka kwa klabu ya Mamelodi Sundowns
- Mchezo wa marudiano katika hatua hii ya robo fainali utachezwa Misri mnamo Aprili 13, 2019
#JFLeo
DKT. NSHALA AWA RAIS WA CHAMA CHA WANASHERIA WA TANGANYIKA
- Aliyekuwa Makamu wa TLS wakati wa uongozi wa Fatma Karume, Dkt. Rugemeleza Nshala amechaguliwa kuwa Rais kwa mwaka 2019/20
- Amewashinda wenzake wanne kwa kupata kura 629 kati ya 1162
Zaidi, soma https://jamii.app/NshalaTLS-2018-19
- Aliyekuwa Makamu wa TLS wakati wa uongozi wa Fatma Karume, Dkt. Rugemeleza Nshala amechaguliwa kuwa Rais kwa mwaka 2019/20
- Amewashinda wenzake wanne kwa kupata kura 629 kati ya 1162
Zaidi, soma https://jamii.app/NshalaTLS-2018-19
CAG: NASHUTUMIWA BILA MAKOSA, NAICHUKULIA HATUA YA BUNGE KWA UTULIVU
- Prof. Mussa Assad amesema hajui sababu zilizosababisha Bunge lifikie uamuzi wa kutoshirikiana naye
- Asema matumizi ya neno ‘udhaifu’ katika lugha ya ukaguzi ni kawaida
Zaidi, soma https://jamii.app/AssadKuhusuBungeKazi
- Prof. Mussa Assad amesema hajui sababu zilizosababisha Bunge lifikie uamuzi wa kutoshirikiana naye
- Asema matumizi ya neno ‘udhaifu’ katika lugha ya ukaguzi ni kawaida
Zaidi, soma https://jamii.app/AssadKuhusuBungeKazi
> Mchezaji Lionel Messi wa Barcelona, amekuwa mchezaji anayeongoza kushinda mechi nyingi kwenye Ligi Kuu ya Uhispania baada ya jana Barca kumfunga A. Madrid 2-0
> Ameshinda mechi 335 na kuvunja rekodi ya Iker Casillas aliyeshida mechi 334 akiwa R. Madrid
#JFLeo #JFMichezo
> Ameshinda mechi 335 na kuvunja rekodi ya Iker Casillas aliyeshida mechi 334 akiwa R. Madrid
#JFLeo #JFMichezo
MAELFU WAANDAMANA WAKITAKA RAIS JUAN ORLANDO HERNANDEZ AJIUZULU
- Ni ktk mitaa ya Mji Mkuu wa Honduras wakitaka ajiuzulu na yeye na familia yake wachunguzwe
- Adaiwa kuwa na uhusiano na watuhumiwa wa rushwa na usafirishaji wa #DawaZaKulevya
Zaidi, soma https://jamii.app/OppProtestsHNDR
- Ni ktk mitaa ya Mji Mkuu wa Honduras wakitaka ajiuzulu na yeye na familia yake wachunguzwe
- Adaiwa kuwa na uhusiano na watuhumiwa wa rushwa na usafirishaji wa #DawaZaKulevya
Zaidi, soma https://jamii.app/OppProtestsHNDR
WAASI RWANDA: HAKUNA NJIA NYINGINE ZAIDI YA KUPIGANA NA KAGAME
- Msemaji wa NLF, Meja Sankara amesema Rais Kagame ni Muuaji na Dikteta hivyo watapigana naye ili kuikomboa Rwanda
- Waasi wanashikilia barabara ya Kigali hadi Ruzizi
Soma https://jamii.app/WaasiVsKagame
- Msemaji wa NLF, Meja Sankara amesema Rais Kagame ni Muuaji na Dikteta hivyo watapigana naye ili kuikomboa Rwanda
- Waasi wanashikilia barabara ya Kigali hadi Ruzizi
Soma https://jamii.app/WaasiVsKagame
UPINZANI KUANDAMANA KUSHINIKIZA BUNGE KUFANYA KAZI NA CAG
- Vijana wa ACT-Wazalendo, NCCR Mageuzi, CHAUMA, UPDP na Vyama vingine vitatu kuandamana Jijini Dodoma Aprili 9, 2019
- Wamwomba Spika wa Bunge au Naibu Spika ayapokee maandamano yao Bungeni
Soma https://jamii.app/MaandamanoDOMCAG
- Vijana wa ACT-Wazalendo, NCCR Mageuzi, CHAUMA, UPDP na Vyama vingine vitatu kuandamana Jijini Dodoma Aprili 9, 2019
- Wamwomba Spika wa Bunge au Naibu Spika ayapokee maandamano yao Bungeni
Soma https://jamii.app/MaandamanoDOMCAG
SPIKA NDUGAI: LISSU AMESHALIPWA MADAI YAKE YOTE
- Spika amesema, Lissu ameshalipwa madai yake yote na kama kuna madai mengine awasiliane na mamlaka husika na si kuandika kwenye Mitandao ya Jamii
- Amisisitiza yeye hawezi kuzuia haki ya mtu
Soma https://jamii.app/MalipoyaLissuYamekamilika
- Spika amesema, Lissu ameshalipwa madai yake yote na kama kuna madai mengine awasiliane na mamlaka husika na si kuandika kwenye Mitandao ya Jamii
- Amisisitiza yeye hawezi kuzuia haki ya mtu
Soma https://jamii.app/MalipoyaLissuYamekamilika
- Waziri wa Mambo ya ndani, Kangi Lugola amemsimamisha kazi Mkuu wa Upelelezi wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Mbogwe, Geita.
- Aidha, Waziri Lugola amemsimamisha kazi Mkaguzi wa Jeshi Wilayani humo, kwa tuhuma za kupokea rushwa
Soma https://jamii.app/MkuuUpeleleziMbogwe
- Aidha, Waziri Lugola amemsimamisha kazi Mkaguzi wa Jeshi Wilayani humo, kwa tuhuma za kupokea rushwa
Soma https://jamii.app/MkuuUpeleleziMbogwe
WAVAMIA OFISI ZA TRA NA KUIBA NYARAKA, LAPTOP NA PESA
- Wezi wavamia ofisi iliyopo Kahama, Shinyanga na kuondoka na kompyuta mpakato moja, baadhi ya nyaraka za kodi na Shilingi milioni 2
- Uchunguzi unaendelea kubaini wahusika na lengo lao
Zaidi, soma https://jamii.app/WiziTRAKahama
- Wezi wavamia ofisi iliyopo Kahama, Shinyanga na kuondoka na kompyuta mpakato moja, baadhi ya nyaraka za kodi na Shilingi milioni 2
- Uchunguzi unaendelea kubaini wahusika na lengo lao
Zaidi, soma https://jamii.app/WiziTRAKahama
MAGARI YAENDAYO KASI YATISHIA UWEPO WA DUMA
- Utafiti warekodi ongezeko la vifo vya wanyama hao katika mbuga ya Serengeti kutokana na kugongwa na magari ya watalii yaendayo kasi licha ya faini kuwa kubwa
- Watafiti wahofia kupotea kwao
Zaidi, soma https://jamii.app/VifoDumaMwendokasi
- Utafiti warekodi ongezeko la vifo vya wanyama hao katika mbuga ya Serengeti kutokana na kugongwa na magari ya watalii yaendayo kasi licha ya faini kuwa kubwa
- Watafiti wahofia kupotea kwao
Zaidi, soma https://jamii.app/VifoDumaMwendokasi
AFYA: UMUHIMU WA KUOTA JUA ASUBUHI
> Watu wengi huwa na upungufu wa vitamini D kwasababu hawapati mwanga wa Jua ambao huchochea uzalishaji wa seli katika ngozi ya mwili
> Vitamini D husaidia kuboresha afya ya mifupa na meno
Zaidi, soma => https://jamii.app/FaidaZaJua
#JFAfya
> Watu wengi huwa na upungufu wa vitamini D kwasababu hawapati mwanga wa Jua ambao huchochea uzalishaji wa seli katika ngozi ya mwili
> Vitamini D husaidia kuboresha afya ya mifupa na meno
Zaidi, soma => https://jamii.app/FaidaZaJua
#JFAfya
MUME AMUUA MKEWE BAADA YA KUMFUMANIA
> Julius Rotich amemuua mkewe katika kijiji cha Kaplelach, Kaunti ya Kericho nchini Kenya baada ya kumfumania akishiriki mapenzi na jamaa mwingine chumbani mwao usiku wa kuamkia Aprili 6
> Alimshambulia mkewe kwa panga na kisha kujisalimisha Polisi
Soma - https://jamii.app/KifoMkeFumanizi
> Julius Rotich amemuua mkewe katika kijiji cha Kaplelach, Kaunti ya Kericho nchini Kenya baada ya kumfumania akishiriki mapenzi na jamaa mwingine chumbani mwao usiku wa kuamkia Aprili 6
> Alimshambulia mkewe kwa panga na kisha kujisalimisha Polisi
Soma - https://jamii.app/KifoMkeFumanizi
SIMBA NA TEMBO WAUA MTU ANAYEDAIWA KUWA JANGILI
> Mtu aliyedhaniwa kuwa jangili wa wanyama aina ya faru amekanyagwa na Tembo na kuliwa na Simba katika Hifadhi ya Taifa ya Kruger, nchini Afrika Kusini
> Fuvu pamoja na suruali yake vilipatikana siku ya Alhamisi
Soma - https://jamii.app/KifoJangiliMbugani
> Mtu aliyedhaniwa kuwa jangili wa wanyama aina ya faru amekanyagwa na Tembo na kuliwa na Simba katika Hifadhi ya Taifa ya Kruger, nchini Afrika Kusini
> Fuvu pamoja na suruali yake vilipatikana siku ya Alhamisi
Soma - https://jamii.app/KifoJangiliMbugani
KAMBI YA UPINZANI KUPANGUA BARAZA LA MAWAZIRI VIVULI
> Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema watapangua Baraza la Mawaziri Vivuli na kuwaondoa wabunge wa CUF kutokana na baadhi yao kumuunga mkono Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba
> Ikitokea hivyo, CUF imesema wataandika barua kwa Spika Ndugai ili kuomba ziwepo kambi mbili za upinzani Bungeni
Soma - https://jamii.app/WaziriKivuliUpinzani
> Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema watapangua Baraza la Mawaziri Vivuli na kuwaondoa wabunge wa CUF kutokana na baadhi yao kumuunga mkono Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba
> Ikitokea hivyo, CUF imesema wataandika barua kwa Spika Ndugai ili kuomba ziwepo kambi mbili za upinzani Bungeni
Soma - https://jamii.app/WaziriKivuliUpinzani