ASKARI MAGEREZA AKAMATWA NA PEMBE ZA NDOVU
> Cosmas Ndasi (51) anashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kutengenezewa mtego na akanasa
> Amekutwa na vipande 6, vyenye uzito wa kilogramu 13, sawa na tembo watatu na thamani ya Tsh. Milioni 103.5
Zaidi, soma https://jamii.app/MagerezaMbaroniNdovu
> Cosmas Ndasi (51) anashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kutengenezewa mtego na akanasa
> Amekutwa na vipande 6, vyenye uzito wa kilogramu 13, sawa na tembo watatu na thamani ya Tsh. Milioni 103.5
Zaidi, soma https://jamii.app/MagerezaMbaroniNdovu
SRI LANKA: WATU 47 WAOMBA KAZI YA KUNYONGA WAFUNGWA
> Nchi hiyo imeanza usahili wa nafasi mbili za kazi ya kunyonga watu baada ya kusitisha adhabu hiyo tangu mwaka 1976
> Adhabu hiyo ni mahususi katika vita dhidi ya #DawaZaKulevya na waajiriwa wapya watapelekwa nje ya nchi kupata mafunzo ya unyongaji
Zaidi, soma https://jamii.app/AjiraKunyongaWahalifu
> Nchi hiyo imeanza usahili wa nafasi mbili za kazi ya kunyonga watu baada ya kusitisha adhabu hiyo tangu mwaka 1976
> Adhabu hiyo ni mahususi katika vita dhidi ya #DawaZaKulevya na waajiriwa wapya watapelekwa nje ya nchi kupata mafunzo ya unyongaji
Zaidi, soma https://jamii.app/AjiraKunyongaWahalifu
SERIKALI: HAKUNA TATIZO LA MZUNGUKO MDOGO WA FEDHA KATIKA SOKO
- Naibu Waziri wa Fedha, Dkt. Ashatu Kijaji ameeleza hayo akiwa Bungeni leo
- Amesema katika kutatua changamoto hiyo Serikali ilichukua hatua za kuongeza ukwasi kwenye uchumi
Zaidi, soma https://jamii.app/MzungukoMdogoFedha
- Naibu Waziri wa Fedha, Dkt. Ashatu Kijaji ameeleza hayo akiwa Bungeni leo
- Amesema katika kutatua changamoto hiyo Serikali ilichukua hatua za kuongeza ukwasi kwenye uchumi
Zaidi, soma https://jamii.app/MzungukoMdogoFedha
UGANDA: ASOMEA SHERIA ILI KURUDISHA ARDHI YA BABA YAKE ILIYOCHUKULIWA
- Jordan Kinyera alikuwa na umri wa miaka 6 wakati Baba yake akipoteza ardhi yao katika kesi
- Ameikomboa ardhi hiyo miaka 23 baadaye baada ya kusoma sheria na kuwa Wakili
Zaidi, soma https://jamii.app/WakiliJordanKinyera
- Jordan Kinyera alikuwa na umri wa miaka 6 wakati Baba yake akipoteza ardhi yao katika kesi
- Ameikomboa ardhi hiyo miaka 23 baadaye baada ya kusoma sheria na kuwa Wakili
Zaidi, soma https://jamii.app/WakiliJordanKinyera
BUNGENI: HATMA YA LEMA BAADA YA KUHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI KUJULIKANA LEO
- Kamati hiyo ilitumia takribani dakika 132 kumuhoji Lema hapo jana
- Alihojiwa kutokana na kumnukuu Mbunge wa Kawe(CHADEMA), Halima Mdee kuwa "Bunge ni dhaifu"
Zaidi, soma https://jamii.app/HatmaLemaBungeniAprl04-19
- Kamati hiyo ilitumia takribani dakika 132 kumuhoji Lema hapo jana
- Alihojiwa kutokana na kumnukuu Mbunge wa Kawe(CHADEMA), Halima Mdee kuwa "Bunge ni dhaifu"
Zaidi, soma https://jamii.app/HatmaLemaBungeniAprl04-19
KENYA: AMUUA MWENZAKE KWA MADAI KUWA NI MPENZI WA MKE WAKE WA ZAMANI
- Simon Gitari(40) anadaiwa kumuua kwa kumchoma kisu Simon Muriithi(45) katika Kaunti ya Kirinyaga
- Gitari anatafutwa na Polisi kwani anadaiwa kukimbia baada ya tukio
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaMpenziMkeKE
- Simon Gitari(40) anadaiwa kumuua kwa kumchoma kisu Simon Muriithi(45) katika Kaunti ya Kirinyaga
- Gitari anatafutwa na Polisi kwani anadaiwa kukimbia baada ya tukio
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaMpenziMkeKE
RAIA WA MALAWI WAISHIO AFRIKA KUSINI WAOMBA KURUDI NYUMBANI
> Ni aada ya kushambuliwa na raia wa Afrika Kusini na kusababisha Wamalawi wapatao 300 kuyakimbia makaazi yao
> Mpaka sasa watu watatu tayari wameshapoteza maisha
Zaidi, soma https://jamii.app/DurbanCrisis
> Ni aada ya kushambuliwa na raia wa Afrika Kusini na kusababisha Wamalawi wapatao 300 kuyakimbia makaazi yao
> Mpaka sasa watu watatu tayari wameshapoteza maisha
Zaidi, soma https://jamii.app/DurbanCrisis
LEMA KUFUNGIWA MIKUTANO 3. WABUNGE WA UPINZANI WASUSIA KIKAO
- Kamati ya Maadili imeazimia kumpa Mbunge huyo wa Arusha Mjini adhabu hiyo kuanzia leo kwa kuliita Bunge ‘dhaifu’
- Baada ya ripoti kusomwa, Wabunge wa upinzani wametoka nje ya Kikao
Zaidi,soma https://jamii.app/HatmaLemaBungeniAprl04-19
- Kamati ya Maadili imeazimia kumpa Mbunge huyo wa Arusha Mjini adhabu hiyo kuanzia leo kwa kuliita Bunge ‘dhaifu’
- Baada ya ripoti kusomwa, Wabunge wa upinzani wametoka nje ya Kikao
Zaidi,soma https://jamii.app/HatmaLemaBungeniAprl04-19
RAIS MAGUFULI AZINDUA KITUO CHA AFYA MBONDE
- Akiwa anaendelea na ziara yake mkoani Mtwara leo yupo Wilayani Masasi alipozindua Kituo hicho
- Kituo hicho kinawakilisha uzinduzi wa vituo vyote 352 vilivyojengwa hapa nchini
#JFLeo
- Akiwa anaendelea na ziara yake mkoani Mtwara leo yupo Wilayani Masasi alipozindua Kituo hicho
- Kituo hicho kinawakilisha uzinduzi wa vituo vyote 352 vilivyojengwa hapa nchini
#JFLeo
KENYA: MUUZA MAZIWA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA KWA ULAWITI
> Hezbon Mogare (25) amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mvulana wa miaka 8 mwaka 2017
> Mtuhumiwa anadaiwa kuwa alimfungia mvulana huyo kwenye nyumba yake kwa siku tatu
Zaidi, soma https://jamii.app/JelaMaishaUlawiti
> Hezbon Mogare (25) amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mvulana wa miaka 8 mwaka 2017
> Mtuhumiwa anadaiwa kuwa alimfungia mvulana huyo kwenye nyumba yake kwa siku tatu
Zaidi, soma https://jamii.app/JelaMaishaUlawiti
SHINYANGA: POLISI AJIUA AKIDAI SABABU NI KUKOSA MTOTO
> Gideon Clement(30) wa Kituo Kikuu cha Polisi Mjini Kahama, amejiua kwa kujipiga risasi leo asubuhi akiwa lindoni
> Ameacha ujumbe akieleza sababu ya kujiua ni kutokana na kukosa mtoto
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariKifoMtoto
> Gideon Clement(30) wa Kituo Kikuu cha Polisi Mjini Kahama, amejiua kwa kujipiga risasi leo asubuhi akiwa lindoni
> Ameacha ujumbe akieleza sababu ya kujiua ni kutokana na kukosa mtoto
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariKifoMtoto
BRUNEI: WAPENZI WA JINSIA MOJA KUPIGWA MAWE HADI KUFA
> Nchi hiyo imeanzisha sheria mpya kali zinazoyafanya mapenzi ya jinsia moja kuwa kosa na zimeanza kutekelezwa jana Aprili 03, 2019
> Pia, zinajumuisha uhalifu mwingine ikiwemo kuadhibiwa kwa kukatwa mikono kwa kosa la wizi
Zaidi, soma https://jamii.app/AntGayismLaw
> Nchi hiyo imeanzisha sheria mpya kali zinazoyafanya mapenzi ya jinsia moja kuwa kosa na zimeanza kutekelezwa jana Aprili 03, 2019
> Pia, zinajumuisha uhalifu mwingine ikiwemo kuadhibiwa kwa kukatwa mikono kwa kosa la wizi
Zaidi, soma https://jamii.app/AntGayismLaw
NDUGAI: BUNGE LIMEKATAA KUFANYA KAZI NA PROF. ASSAD SIO OFISI YA CAG
- Amesema hakuna wakati Bunge limekataa kufanya kazi na Taasisi ambayo ni ofisi ya CAG
- Azimio hili la Bunge limekuja baada ya Prof. Assad kusema maneno “huo ni udhaifu wa Bunge” alipokuwa anahojiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/Ufafanuzi-Bunge-Assad
- Amesema hakuna wakati Bunge limekataa kufanya kazi na Taasisi ambayo ni ofisi ya CAG
- Azimio hili la Bunge limekuja baada ya Prof. Assad kusema maneno “huo ni udhaifu wa Bunge” alipokuwa anahojiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/Ufafanuzi-Bunge-Assad
KIONGOZI WA MWENGE AGOMA KUZINDUA MRADI WA ZAHANATI
> Mkonge Ally amegoma kuzindua mradi wa kwanza wa ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Igunda kutokana na mgongano wa taarifa
> Taarifa iliyosomwa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe haikuonesha kama kuna pesa za Mwenge ambazo zimegharamia miradi ya Mkoa
Zaidi, soma https://jamii.app/MwengeUzinduziZahanati
> Mkonge Ally amegoma kuzindua mradi wa kwanza wa ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Igunda kutokana na mgongano wa taarifa
> Taarifa iliyosomwa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe haikuonesha kama kuna pesa za Mwenge ambazo zimegharamia miradi ya Mkoa
Zaidi, soma https://jamii.app/MwengeUzinduziZahanati
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA: WAGOMBEA WATAKIWA KUWA NA VIPATO VYAO
> Uchaguzi wa Serikali za mitaa unatarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2019 na moja ya vigezo kwa wagombea ni lazima wawe na shughuli halali inayoingiza kipato badala ya kutegemea posho zinazotolewa na Halmashauri
> Posho za Wenyeviti wa mitaa hulipwa kulingana na makusanyo ya mapato ya ndani ya Halmashauri husika
Soma - https://jamii.app/UchaguziSerikaliMitaa
> Uchaguzi wa Serikali za mitaa unatarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2019 na moja ya vigezo kwa wagombea ni lazima wawe na shughuli halali inayoingiza kipato badala ya kutegemea posho zinazotolewa na Halmashauri
> Posho za Wenyeviti wa mitaa hulipwa kulingana na makusanyo ya mapato ya ndani ya Halmashauri husika
Soma - https://jamii.app/UchaguziSerikaliMitaa
NDEGE YA ETHIOPIA ILITAKA KUANGUKA MARA KADHAA KABLA YA AJALI
- Waziri wa Uchukuzi wa Ethiopia, amesema Marubani walifuata maagizo ya Boeing lakini hawakuweza kuidhibiti
- Alikuwa akizungumzia matokeo ya uchunguzi wa awali wa ajali hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/MarubaniNdegeEthiopia
- Waziri wa Uchukuzi wa Ethiopia, amesema Marubani walifuata maagizo ya Boeing lakini hawakuweza kuidhibiti
- Alikuwa akizungumzia matokeo ya uchunguzi wa awali wa ajali hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/MarubaniNdegeEthiopia
TAIFA STARS YAPANDA NAFASI 6 KATIKA VIWANGO VYA TIMU BORA ZA FIFA
- Tanzania imeshika nafasi ya 131 katika orodha mpya iliyotolewa leo na FIFA
- Uganda(79) ni ya kwanza kwa Afrika Mashariki ikifuatiwa na Kenya(108), Tanzania(131), Burundi(136) kisha Rwanda(138)
#JFLeo
- Tanzania imeshika nafasi ya 131 katika orodha mpya iliyotolewa leo na FIFA
- Uganda(79) ni ya kwanza kwa Afrika Mashariki ikifuatiwa na Kenya(108), Tanzania(131), Burundi(136) kisha Rwanda(138)
#JFLeo
HISTORIA: DARAJA LA SALENDA JIJINI DAR
- Selander Bridge(Daraja la Salenda) lililopo barabara ya Ali Hassan Mwinyi lilijengwa mwaka 1929
- Jina lake linamuenzi Mkurugenzi wa kwanza wa Jamii na Kazi wa Tanganyika, John Einar Selander
Zaidi, soma https://jamii.app/DarajaSalendaDar
- Selander Bridge(Daraja la Salenda) lililopo barabara ya Ali Hassan Mwinyi lilijengwa mwaka 1929
- Jina lake linamuenzi Mkurugenzi wa kwanza wa Jamii na Kazi wa Tanganyika, John Einar Selander
Zaidi, soma https://jamii.app/DarajaSalendaDar