SPIKA NDUGAI AMTAKA LEMA KUFIKA KWENYE KAMATI YA MAADILI LEO
- Amemtaka afike saa 8:00 mchana kujibu tuhuma zinazomkabili za kulidharau Bunge
- Pia, amesema huenda Lema ana msongo wa Mawazo kwani ana deni la Milioni 644 tangu aingie Bungeni
Soma https://jamii.app/LemaDeni-SpikaNdugai
- Amemtaka afike saa 8:00 mchana kujibu tuhuma zinazomkabili za kulidharau Bunge
- Pia, amesema huenda Lema ana msongo wa Mawazo kwani ana deni la Milioni 644 tangu aingie Bungeni
Soma https://jamii.app/LemaDeni-SpikaNdugai
JELA MIAKA 30 KWA KUBAKA NA KUMPA UJAUZITO MWANAFUNZI
> Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya, imemhukumu adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela na kuchapwa viboko 12 Anthony Mandawa (58), baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka mwanafunzi wa kidato cha kwanza na kumsababishia ujauzito
> Mandawa alitenda kosa hilo Februari 2018
Soma - https://jamii.app/Jela30VibokoKubaka
> Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya, imemhukumu adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela na kuchapwa viboko 12 Anthony Mandawa (58), baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka mwanafunzi wa kidato cha kwanza na kumsababishia ujauzito
> Mandawa alitenda kosa hilo Februari 2018
Soma - https://jamii.app/Jela30VibokoKubaka
MKURUGENZI MKUU MPYA VODACOM-TANZANIA APANDISHWA KIZIMBANI
- Hisham Abdel Hendi na wenzake 8 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka 10
- Yapo mashtaka ya kuongoza mtandao wa kihalifu na kuisababishia Serikali hasara ya Tsh. Bilioni 5.8
Soma https://jamii.app/VodaCEO255Corruption
- Hisham Abdel Hendi na wenzake 8 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka 10
- Yapo mashtaka ya kuongoza mtandao wa kihalifu na kuisababishia Serikali hasara ya Tsh. Bilioni 5.8
Soma https://jamii.app/VodaCEO255Corruption
MBEYA: DEREVA WA BODABODA AUAWA
> Jeshi la Polisi Mbeya, linawasaka watu 2 kwa tuhuma za mauaji ya Aidan Paul Chongola, Mkazi wa Hayanga
> Marehemu alichomwa kwa kitu chenye ncha kali upande wa kulia tumboni, kisha kuibiwa pikipiki yake
Zaidi, soma https://jamii.app/MauajiDerevaPikipiki
> Jeshi la Polisi Mbeya, linawasaka watu 2 kwa tuhuma za mauaji ya Aidan Paul Chongola, Mkazi wa Hayanga
> Marehemu alichomwa kwa kitu chenye ncha kali upande wa kulia tumboni, kisha kuibiwa pikipiki yake
Zaidi, soma https://jamii.app/MauajiDerevaPikipiki
VIWANJA VYA AZAM COMPLEX, UWANJA WA TAIFA NA VIWANJA VYA SABASABA VYADAIWA USHURU
- Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imetangaza dhamira ya kuvifungia viwanja hivyo kwa kuwa wamiliki hawajawahi kulipa kodi ya ushuru wa huduma
Zaidi, soma https://jamii.app/ViwanjaUshuruKufungwa
- Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imetangaza dhamira ya kuvifungia viwanja hivyo kwa kuwa wamiliki hawajawahi kulipa kodi ya ushuru wa huduma
Zaidi, soma https://jamii.app/ViwanjaUshuruKufungwa
ASKARI MAGEREZA AKAMATWA NA PEMBE ZA NDOVU
> Cosmas Ndasi (51) anashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kutengenezewa mtego na akanasa
> Amekutwa na vipande 6, vyenye uzito wa kilogramu 13, sawa na tembo watatu na thamani ya Tsh. Milioni 103.5
Zaidi, soma https://jamii.app/MagerezaMbaroniNdovu
> Cosmas Ndasi (51) anashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kutengenezewa mtego na akanasa
> Amekutwa na vipande 6, vyenye uzito wa kilogramu 13, sawa na tembo watatu na thamani ya Tsh. Milioni 103.5
Zaidi, soma https://jamii.app/MagerezaMbaroniNdovu
SRI LANKA: WATU 47 WAOMBA KAZI YA KUNYONGA WAFUNGWA
> Nchi hiyo imeanza usahili wa nafasi mbili za kazi ya kunyonga watu baada ya kusitisha adhabu hiyo tangu mwaka 1976
> Adhabu hiyo ni mahususi katika vita dhidi ya #DawaZaKulevya na waajiriwa wapya watapelekwa nje ya nchi kupata mafunzo ya unyongaji
Zaidi, soma https://jamii.app/AjiraKunyongaWahalifu
> Nchi hiyo imeanza usahili wa nafasi mbili za kazi ya kunyonga watu baada ya kusitisha adhabu hiyo tangu mwaka 1976
> Adhabu hiyo ni mahususi katika vita dhidi ya #DawaZaKulevya na waajiriwa wapya watapelekwa nje ya nchi kupata mafunzo ya unyongaji
Zaidi, soma https://jamii.app/AjiraKunyongaWahalifu
SERIKALI: HAKUNA TATIZO LA MZUNGUKO MDOGO WA FEDHA KATIKA SOKO
- Naibu Waziri wa Fedha, Dkt. Ashatu Kijaji ameeleza hayo akiwa Bungeni leo
- Amesema katika kutatua changamoto hiyo Serikali ilichukua hatua za kuongeza ukwasi kwenye uchumi
Zaidi, soma https://jamii.app/MzungukoMdogoFedha
- Naibu Waziri wa Fedha, Dkt. Ashatu Kijaji ameeleza hayo akiwa Bungeni leo
- Amesema katika kutatua changamoto hiyo Serikali ilichukua hatua za kuongeza ukwasi kwenye uchumi
Zaidi, soma https://jamii.app/MzungukoMdogoFedha
UGANDA: ASOMEA SHERIA ILI KURUDISHA ARDHI YA BABA YAKE ILIYOCHUKULIWA
- Jordan Kinyera alikuwa na umri wa miaka 6 wakati Baba yake akipoteza ardhi yao katika kesi
- Ameikomboa ardhi hiyo miaka 23 baadaye baada ya kusoma sheria na kuwa Wakili
Zaidi, soma https://jamii.app/WakiliJordanKinyera
- Jordan Kinyera alikuwa na umri wa miaka 6 wakati Baba yake akipoteza ardhi yao katika kesi
- Ameikomboa ardhi hiyo miaka 23 baadaye baada ya kusoma sheria na kuwa Wakili
Zaidi, soma https://jamii.app/WakiliJordanKinyera
BUNGENI: HATMA YA LEMA BAADA YA KUHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI KUJULIKANA LEO
- Kamati hiyo ilitumia takribani dakika 132 kumuhoji Lema hapo jana
- Alihojiwa kutokana na kumnukuu Mbunge wa Kawe(CHADEMA), Halima Mdee kuwa "Bunge ni dhaifu"
Zaidi, soma https://jamii.app/HatmaLemaBungeniAprl04-19
- Kamati hiyo ilitumia takribani dakika 132 kumuhoji Lema hapo jana
- Alihojiwa kutokana na kumnukuu Mbunge wa Kawe(CHADEMA), Halima Mdee kuwa "Bunge ni dhaifu"
Zaidi, soma https://jamii.app/HatmaLemaBungeniAprl04-19
KENYA: AMUUA MWENZAKE KWA MADAI KUWA NI MPENZI WA MKE WAKE WA ZAMANI
- Simon Gitari(40) anadaiwa kumuua kwa kumchoma kisu Simon Muriithi(45) katika Kaunti ya Kirinyaga
- Gitari anatafutwa na Polisi kwani anadaiwa kukimbia baada ya tukio
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaMpenziMkeKE
- Simon Gitari(40) anadaiwa kumuua kwa kumchoma kisu Simon Muriithi(45) katika Kaunti ya Kirinyaga
- Gitari anatafutwa na Polisi kwani anadaiwa kukimbia baada ya tukio
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaMpenziMkeKE
RAIA WA MALAWI WAISHIO AFRIKA KUSINI WAOMBA KURUDI NYUMBANI
> Ni aada ya kushambuliwa na raia wa Afrika Kusini na kusababisha Wamalawi wapatao 300 kuyakimbia makaazi yao
> Mpaka sasa watu watatu tayari wameshapoteza maisha
Zaidi, soma https://jamii.app/DurbanCrisis
> Ni aada ya kushambuliwa na raia wa Afrika Kusini na kusababisha Wamalawi wapatao 300 kuyakimbia makaazi yao
> Mpaka sasa watu watatu tayari wameshapoteza maisha
Zaidi, soma https://jamii.app/DurbanCrisis
LEMA KUFUNGIWA MIKUTANO 3. WABUNGE WA UPINZANI WASUSIA KIKAO
- Kamati ya Maadili imeazimia kumpa Mbunge huyo wa Arusha Mjini adhabu hiyo kuanzia leo kwa kuliita Bunge ‘dhaifu’
- Baada ya ripoti kusomwa, Wabunge wa upinzani wametoka nje ya Kikao
Zaidi,soma https://jamii.app/HatmaLemaBungeniAprl04-19
- Kamati ya Maadili imeazimia kumpa Mbunge huyo wa Arusha Mjini adhabu hiyo kuanzia leo kwa kuliita Bunge ‘dhaifu’
- Baada ya ripoti kusomwa, Wabunge wa upinzani wametoka nje ya Kikao
Zaidi,soma https://jamii.app/HatmaLemaBungeniAprl04-19
RAIS MAGUFULI AZINDUA KITUO CHA AFYA MBONDE
- Akiwa anaendelea na ziara yake mkoani Mtwara leo yupo Wilayani Masasi alipozindua Kituo hicho
- Kituo hicho kinawakilisha uzinduzi wa vituo vyote 352 vilivyojengwa hapa nchini
#JFLeo
- Akiwa anaendelea na ziara yake mkoani Mtwara leo yupo Wilayani Masasi alipozindua Kituo hicho
- Kituo hicho kinawakilisha uzinduzi wa vituo vyote 352 vilivyojengwa hapa nchini
#JFLeo
KENYA: MUUZA MAZIWA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA KWA ULAWITI
> Hezbon Mogare (25) amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mvulana wa miaka 8 mwaka 2017
> Mtuhumiwa anadaiwa kuwa alimfungia mvulana huyo kwenye nyumba yake kwa siku tatu
Zaidi, soma https://jamii.app/JelaMaishaUlawiti
> Hezbon Mogare (25) amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mvulana wa miaka 8 mwaka 2017
> Mtuhumiwa anadaiwa kuwa alimfungia mvulana huyo kwenye nyumba yake kwa siku tatu
Zaidi, soma https://jamii.app/JelaMaishaUlawiti
SHINYANGA: POLISI AJIUA AKIDAI SABABU NI KUKOSA MTOTO
> Gideon Clement(30) wa Kituo Kikuu cha Polisi Mjini Kahama, amejiua kwa kujipiga risasi leo asubuhi akiwa lindoni
> Ameacha ujumbe akieleza sababu ya kujiua ni kutokana na kukosa mtoto
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariKifoMtoto
> Gideon Clement(30) wa Kituo Kikuu cha Polisi Mjini Kahama, amejiua kwa kujipiga risasi leo asubuhi akiwa lindoni
> Ameacha ujumbe akieleza sababu ya kujiua ni kutokana na kukosa mtoto
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariKifoMtoto
BRUNEI: WAPENZI WA JINSIA MOJA KUPIGWA MAWE HADI KUFA
> Nchi hiyo imeanzisha sheria mpya kali zinazoyafanya mapenzi ya jinsia moja kuwa kosa na zimeanza kutekelezwa jana Aprili 03, 2019
> Pia, zinajumuisha uhalifu mwingine ikiwemo kuadhibiwa kwa kukatwa mikono kwa kosa la wizi
Zaidi, soma https://jamii.app/AntGayismLaw
> Nchi hiyo imeanzisha sheria mpya kali zinazoyafanya mapenzi ya jinsia moja kuwa kosa na zimeanza kutekelezwa jana Aprili 03, 2019
> Pia, zinajumuisha uhalifu mwingine ikiwemo kuadhibiwa kwa kukatwa mikono kwa kosa la wizi
Zaidi, soma https://jamii.app/AntGayismLaw