KATIBU WA CCM WILAYA YA MOMBA AFARIKI KWENYE SHUGHULI ZA MWENGE
> Fatuma Ngairo aliwahi kuwa Katibu wa UVCCM Arumeru na amefariki kwa ajali alfajiri ya kuamkia leo alipokuwa akifanya mazoezi tayari kwa kuwasha Mwenge katika mji wa Mlowo
> Aidha, vijana wengine zaidi ya 20 wamelazwa katika Hospitali ya Vwawa baada ya kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari (IT) lililotokea Dar likielekea nchi jirani ya Zambia
Zaidi, soma https://jamii.app/TanziaAjaliMwengeMomba
> Fatuma Ngairo aliwahi kuwa Katibu wa UVCCM Arumeru na amefariki kwa ajali alfajiri ya kuamkia leo alipokuwa akifanya mazoezi tayari kwa kuwasha Mwenge katika mji wa Mlowo
> Aidha, vijana wengine zaidi ya 20 wamelazwa katika Hospitali ya Vwawa baada ya kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari (IT) lililotokea Dar likielekea nchi jirani ya Zambia
Zaidi, soma https://jamii.app/TanziaAjaliMwengeMomba
AU YAOMBA MKUTANO WA UPATANISHI KWA AJILI YA LIBYA
> Mwenyekiti wa kamati ya Umoja wa Afrika, Moussa Mahamat amependekeza kufanyika kwa mkutano wa kimataifa wa upatanishi wa Libya ili kusuluhisha msukosuko wa kisiasa nchini humo
> Amekataa hatua za uingiliaji kutoka nje zitakazoufanya msukosuko wa Libya uwe na utatanishi zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/AUUpatanishiLibya
> Mwenyekiti wa kamati ya Umoja wa Afrika, Moussa Mahamat amependekeza kufanyika kwa mkutano wa kimataifa wa upatanishi wa Libya ili kusuluhisha msukosuko wa kisiasa nchini humo
> Amekataa hatua za uingiliaji kutoka nje zitakazoufanya msukosuko wa Libya uwe na utatanishi zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/AUUpatanishiLibya
PWANI: BABA AUA MTOTO KWA KUNYONGA AKIDAI 'AMEBAMBIKIZIWA'
- Polisi inamshikilia Robison Ernest(33) kwa tuhuma za kumuua Modesta Robison(Miezi 6), akidai si mwanae
- Alifanya kitendo hicho Aprili 01, 2019 wakati mama wa mtoto akiwa sokoni
Zaidi, soma https://jamii.app/BabaAuaMtoto-PWN
- Polisi inamshikilia Robison Ernest(33) kwa tuhuma za kumuua Modesta Robison(Miezi 6), akidai si mwanae
- Alifanya kitendo hicho Aprili 01, 2019 wakati mama wa mtoto akiwa sokoni
Zaidi, soma https://jamii.app/BabaAuaMtoto-PWN
ICC YAIOMBA MAREKANI KUJIUNGA NA MAHAKAMA HIYO
> Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Kiuhalifu (ICC) ameitolea wito Marekani kujiunga na kusaidia kazi ya Mahakama hiyo
> Chile Eboe-Osuji amesema wahanga wa zamani, wa sasa na wa baadae wa uhalifu dhidi ya binadamu na kivita wanahitaji Marekani kuungana na washirika wake na marafiki
Zaidi, soma https://jamii.app/USOmbiKujiungaICC
> Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Kiuhalifu (ICC) ameitolea wito Marekani kujiunga na kusaidia kazi ya Mahakama hiyo
> Chile Eboe-Osuji amesema wahanga wa zamani, wa sasa na wa baadae wa uhalifu dhidi ya binadamu na kivita wanahitaji Marekani kuungana na washirika wake na marafiki
Zaidi, soma https://jamii.app/USOmbiKujiungaICC
SPIKA NDUGAI AMTAKA LEMA KURIPOTI KWENYE KAMATI YA MAADILI YA BUNGE
- Amemtaka Mbunge huyo wa Arusha Mjini, kuripoti kwenye Kamati hiyo kufuatia kauli yake kuwa "Bunge ni dhaifu"
- Lema ametoa kauli hiyo leo Aprili 2, kwenye mkutano wa Bunge
Zaidi, soma https://jamii.app/LemaKamatiMaadili
- Amemtaka Mbunge huyo wa Arusha Mjini, kuripoti kwenye Kamati hiyo kufuatia kauli yake kuwa "Bunge ni dhaifu"
- Lema ametoa kauli hiyo leo Aprili 2, kwenye mkutano wa Bunge
Zaidi, soma https://jamii.app/LemaKamatiMaadili
UCHAGUZI WA KLABU YA YANGA KUFANYIKA MEI 05, 2019
- Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Ally Mchungahela amebainisha hayo
- Ulikuwa ufanyike Aprili 28, 2019 ila siku hiyo kuna fainali za AFCON kwa vijana zitakazofanyika nchini
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziYangaMei
- Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Ally Mchungahela amebainisha hayo
- Ulikuwa ufanyike Aprili 28, 2019 ila siku hiyo kuna fainali za AFCON kwa vijana zitakazofanyika nchini
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziYangaMei
MOROGORO: ASKARI FEKI WA JWTZ AKAMATWA
- Polisi inamshikilia Fadhil Yahaya(29) aliyekutwa na sare zinazofanana na za JWTZ kwenye kituo cha mabasi, Msamvu
- Polisi waliokuwa doria walimkamata kutokana na taarifa ya Wasamaria wema
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariFekiMbaroniMoro
- Polisi inamshikilia Fadhil Yahaya(29) aliyekutwa na sare zinazofanana na za JWTZ kwenye kituo cha mabasi, Msamvu
- Polisi waliokuwa doria walimkamata kutokana na taarifa ya Wasamaria wema
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariFekiMbaroniMoro
SONGWE: MBIO ZA MWENGE WA UHURU KWA MWAKA 2019 ZAZINDULIWA
- Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amezindua mbio hizo katika uwanja wa Mlowo
- Amewataka wakimbizaji kuhakikisha miradi inayozinduliwa wakati wa mbio inakuwa na ubora unaotakiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MbioMwenge2019
- Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amezindua mbio hizo katika uwanja wa Mlowo
- Amewataka wakimbizaji kuhakikisha miradi inayozinduliwa wakati wa mbio inakuwa na ubora unaotakiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MbioMwenge2019
RAIS WA ALGERIA ATANGAZA KUJIUZULU IFIKAPO APRILI 28
> Rais Abdelaziz Bouteflika ataachia wadhifa wake huo Aprili 28, kabla ya kumalizika kwa muhula wake wa nne baada ya washirika wake wa karibu kujitenga naye
> Kumekuwa na maandamano makubwa ya raia nchini humo ya kumshinikiza kiongozi huyo kung’atuka
Zaidi, soma https://jamii.app/BouteflikaResignsApr28
> Rais Abdelaziz Bouteflika ataachia wadhifa wake huo Aprili 28, kabla ya kumalizika kwa muhula wake wa nne baada ya washirika wake wa karibu kujitenga naye
> Kumekuwa na maandamano makubwa ya raia nchini humo ya kumshinikiza kiongozi huyo kung’atuka
Zaidi, soma https://jamii.app/BouteflikaResignsApr28
KENYA: GAVANA WA SAMBURU APATA DHAMANA, KUACHIWA AKIKAMILISHA MASHARTI
- Gavana Moses Lenolkulal ataachiwa kwa dhamani iwapo atakamilisha masharti ya dhamani hiyo
- Anatakiwa kulipa pesa taslim Ksh. Milioni 100 au bondi ya Ksh. Milioni 150
Zaidi, soma https://jamii.app/SamburuGovernorArrestedKE
- Gavana Moses Lenolkulal ataachiwa kwa dhamani iwapo atakamilisha masharti ya dhamani hiyo
- Anatakiwa kulipa pesa taslim Ksh. Milioni 100 au bondi ya Ksh. Milioni 150
Zaidi, soma https://jamii.app/SamburuGovernorArrestedKE
WATU MILIONI 113 WAANDAMWA NA BAA LA NJAA DUNIANI
> Ni kwa mujibu wa ripoti ya pamoja iliyotolewa na Umoja wa Ulaya na mashirika ya Umoja wa Mataifa kwa mwaka 2018
> Hali mbaya kabisa ilishuhudiwa nchini Yemen, Jamhuri ya Kidemokasia ya Kongo, Afghanistan, Ethiopia, Syria, Sudan, Sudan Kusini na Kaskazini mwa Nigeria
Soma - https://jamii.app/TakwimuNjaa2018
> Ni kwa mujibu wa ripoti ya pamoja iliyotolewa na Umoja wa Ulaya na mashirika ya Umoja wa Mataifa kwa mwaka 2018
> Hali mbaya kabisa ilishuhudiwa nchini Yemen, Jamhuri ya Kidemokasia ya Kongo, Afghanistan, Ethiopia, Syria, Sudan, Sudan Kusini na Kaskazini mwa Nigeria
Soma - https://jamii.app/TakwimuNjaa2018
CAG ASEMA UAMUZI WA BUNGE DHIDI YAKE UNAHITAJI TATHMINI
> Profesa Mussa Assad amesema, Bunge kufikia uamuzi wa kutofanya naye kazi ni jambo zito ambalo linahitaji tathmini na kutazamwa athari zake
> Ametoa rai kuwa mahojiano yake pamoja na Kamati ya Bunge ya Maadili yangewekwa wazi ili kila Mtanzania ajue nini kilichozungumzwa
Soma - https://jamii.app/CAGVsUamuziBunge
> Profesa Mussa Assad amesema, Bunge kufikia uamuzi wa kutofanya naye kazi ni jambo zito ambalo linahitaji tathmini na kutazamwa athari zake
> Ametoa rai kuwa mahojiano yake pamoja na Kamati ya Bunge ya Maadili yangewekwa wazi ili kila Mtanzania ajue nini kilichozungumzwa
Soma - https://jamii.app/CAGVsUamuziBunge
RAIS AITAKA TANESCO KUREJESHA MIL 27 ZA MWEKEZAJI MTWARA
> Rais John Magufuli amelitaka shirika la Umeme nchini (TANESCO) kumlipa Tsh milioni 27 mwekezaji wa kiwanda cha kubangua korosho kilichopo Mtwara vijijini mara baada ya kumtaka ajinunulie Transfoma
> Amewataka watendaji wote kuondoa vikwazo kwa ajili ya wawekezaji
Soma - https://jamii.app/RaisTanescoMil27
> Rais John Magufuli amelitaka shirika la Umeme nchini (TANESCO) kumlipa Tsh milioni 27 mwekezaji wa kiwanda cha kubangua korosho kilichopo Mtwara vijijini mara baada ya kumtaka ajinunulie Transfoma
> Amewataka watendaji wote kuondoa vikwazo kwa ajili ya wawekezaji
Soma - https://jamii.app/RaisTanescoMil27
UEFA YAZIPIGA FAINI KLABU ZA CHELSEA NA MALMO
> Shirikisho la soka Ulaya (UEFA) kimetangaza kuipiga faini ya zaidi ya milioni 33 klabu ya Chelsea kufuatia tukio la mashabiki wao kuingia uwanjani wakati wa mchezo wa UEFA Europa dhidi ya Malmo
> Malmo imepigwa faini ya zaidi ya Tsh milioni 148 kwa makosa ya mashabiki wao kurusha miale ya moto uwanjani wakati mchezo ukiendelea
Soma - https://jamii.app/FainiChelseaMalmo
#JFMichezo
> Shirikisho la soka Ulaya (UEFA) kimetangaza kuipiga faini ya zaidi ya milioni 33 klabu ya Chelsea kufuatia tukio la mashabiki wao kuingia uwanjani wakati wa mchezo wa UEFA Europa dhidi ya Malmo
> Malmo imepigwa faini ya zaidi ya Tsh milioni 148 kwa makosa ya mashabiki wao kurusha miale ya moto uwanjani wakati mchezo ukiendelea
Soma - https://jamii.app/FainiChelseaMalmo
#JFMichezo
SPIKA NDUGAI AMTOA BUNGENI MBUNGE ESTHER MATIKO
- Amemfukuza ndani ya Ukumbi wa Bunge baada ya Mbunge huyo kupiga kelele kumpinga Spika kutaja deni la Lema
- Spika leo Bungeni amesema Lema ana deni la Milioni 644 tangu aingie Bungeni
Soma https://jamii.app/LemaDeni-SpikaNdugai
- Amemfukuza ndani ya Ukumbi wa Bunge baada ya Mbunge huyo kupiga kelele kumpinga Spika kutaja deni la Lema
- Spika leo Bungeni amesema Lema ana deni la Milioni 644 tangu aingie Bungeni
Soma https://jamii.app/LemaDeni-SpikaNdugai