MAREKANI YASITISHA MISAADA AMERIKA YA KUSINI
> Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kusitisha misaada kwa mataifa matatu katika bara la Amerika Kusini ambayo ni Guatemala, Honduras na Salvador
> Mataifa hayo yalishindwa kuwazuia raia wao kuingia nchini Marekani kinyume cha sheria
Soma - https://jamii.app/USCutsAidsCA
#JFInternational
> Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kusitisha misaada kwa mataifa matatu katika bara la Amerika Kusini ambayo ni Guatemala, Honduras na Salvador
> Mataifa hayo yalishindwa kuwazuia raia wao kuingia nchini Marekani kinyume cha sheria
Soma - https://jamii.app/USCutsAidsCA
#JFInternational
KATIBU WA CCM WILAYA YA MOMBA AFARIKI KWENYE SHUGHULI ZA MWENGE
> Fatuma Ngairo aliwahi kuwa Katibu wa UVCCM Arumeru na amefariki kwa ajali alfajiri ya kuamkia leo alipokuwa akifanya mazoezi tayari kwa kuwasha Mwenge katika mji wa Mlowo
> Aidha, vijana wengine zaidi ya 20 wamelazwa katika Hospitali ya Vwawa baada ya kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari (IT) lililotokea Dar likielekea nchi jirani ya Zambia
Zaidi, soma https://jamii.app/TanziaAjaliMwengeMomba
> Fatuma Ngairo aliwahi kuwa Katibu wa UVCCM Arumeru na amefariki kwa ajali alfajiri ya kuamkia leo alipokuwa akifanya mazoezi tayari kwa kuwasha Mwenge katika mji wa Mlowo
> Aidha, vijana wengine zaidi ya 20 wamelazwa katika Hospitali ya Vwawa baada ya kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari (IT) lililotokea Dar likielekea nchi jirani ya Zambia
Zaidi, soma https://jamii.app/TanziaAjaliMwengeMomba
AU YAOMBA MKUTANO WA UPATANISHI KWA AJILI YA LIBYA
> Mwenyekiti wa kamati ya Umoja wa Afrika, Moussa Mahamat amependekeza kufanyika kwa mkutano wa kimataifa wa upatanishi wa Libya ili kusuluhisha msukosuko wa kisiasa nchini humo
> Amekataa hatua za uingiliaji kutoka nje zitakazoufanya msukosuko wa Libya uwe na utatanishi zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/AUUpatanishiLibya
> Mwenyekiti wa kamati ya Umoja wa Afrika, Moussa Mahamat amependekeza kufanyika kwa mkutano wa kimataifa wa upatanishi wa Libya ili kusuluhisha msukosuko wa kisiasa nchini humo
> Amekataa hatua za uingiliaji kutoka nje zitakazoufanya msukosuko wa Libya uwe na utatanishi zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/AUUpatanishiLibya
PWANI: BABA AUA MTOTO KWA KUNYONGA AKIDAI 'AMEBAMBIKIZIWA'
- Polisi inamshikilia Robison Ernest(33) kwa tuhuma za kumuua Modesta Robison(Miezi 6), akidai si mwanae
- Alifanya kitendo hicho Aprili 01, 2019 wakati mama wa mtoto akiwa sokoni
Zaidi, soma https://jamii.app/BabaAuaMtoto-PWN
- Polisi inamshikilia Robison Ernest(33) kwa tuhuma za kumuua Modesta Robison(Miezi 6), akidai si mwanae
- Alifanya kitendo hicho Aprili 01, 2019 wakati mama wa mtoto akiwa sokoni
Zaidi, soma https://jamii.app/BabaAuaMtoto-PWN
ICC YAIOMBA MAREKANI KUJIUNGA NA MAHAKAMA HIYO
> Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Kiuhalifu (ICC) ameitolea wito Marekani kujiunga na kusaidia kazi ya Mahakama hiyo
> Chile Eboe-Osuji amesema wahanga wa zamani, wa sasa na wa baadae wa uhalifu dhidi ya binadamu na kivita wanahitaji Marekani kuungana na washirika wake na marafiki
Zaidi, soma https://jamii.app/USOmbiKujiungaICC
> Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Kiuhalifu (ICC) ameitolea wito Marekani kujiunga na kusaidia kazi ya Mahakama hiyo
> Chile Eboe-Osuji amesema wahanga wa zamani, wa sasa na wa baadae wa uhalifu dhidi ya binadamu na kivita wanahitaji Marekani kuungana na washirika wake na marafiki
Zaidi, soma https://jamii.app/USOmbiKujiungaICC
SPIKA NDUGAI AMTAKA LEMA KURIPOTI KWENYE KAMATI YA MAADILI YA BUNGE
- Amemtaka Mbunge huyo wa Arusha Mjini, kuripoti kwenye Kamati hiyo kufuatia kauli yake kuwa "Bunge ni dhaifu"
- Lema ametoa kauli hiyo leo Aprili 2, kwenye mkutano wa Bunge
Zaidi, soma https://jamii.app/LemaKamatiMaadili
- Amemtaka Mbunge huyo wa Arusha Mjini, kuripoti kwenye Kamati hiyo kufuatia kauli yake kuwa "Bunge ni dhaifu"
- Lema ametoa kauli hiyo leo Aprili 2, kwenye mkutano wa Bunge
Zaidi, soma https://jamii.app/LemaKamatiMaadili
UCHAGUZI WA KLABU YA YANGA KUFANYIKA MEI 05, 2019
- Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Ally Mchungahela amebainisha hayo
- Ulikuwa ufanyike Aprili 28, 2019 ila siku hiyo kuna fainali za AFCON kwa vijana zitakazofanyika nchini
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziYangaMei
- Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Ally Mchungahela amebainisha hayo
- Ulikuwa ufanyike Aprili 28, 2019 ila siku hiyo kuna fainali za AFCON kwa vijana zitakazofanyika nchini
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziYangaMei
MOROGORO: ASKARI FEKI WA JWTZ AKAMATWA
- Polisi inamshikilia Fadhil Yahaya(29) aliyekutwa na sare zinazofanana na za JWTZ kwenye kituo cha mabasi, Msamvu
- Polisi waliokuwa doria walimkamata kutokana na taarifa ya Wasamaria wema
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariFekiMbaroniMoro
- Polisi inamshikilia Fadhil Yahaya(29) aliyekutwa na sare zinazofanana na za JWTZ kwenye kituo cha mabasi, Msamvu
- Polisi waliokuwa doria walimkamata kutokana na taarifa ya Wasamaria wema
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariFekiMbaroniMoro