KIFO CHA MSANII NIPSEY HUSSLE: LAPD YADAI KUMUONA MSHTAKIWA NA INAMTAFUTA
- Aliyempiga risasi anahusishwa na makundi ya kihuni(gang)
- Nipsey alikuwa anaandaa makala inayomuhusu Dr. Sebi, wengine wanaamini inaweza kuwa sababu ya kifo chake
Zaidi, soma https://jamii.app/NipseyDeath
- Aliyempiga risasi anahusishwa na makundi ya kihuni(gang)
- Nipsey alikuwa anaandaa makala inayomuhusu Dr. Sebi, wengine wanaamini inaweza kuwa sababu ya kifo chake
Zaidi, soma https://jamii.app/NipseyDeath
REA YAPEWA SIKU 28 KUFIKISHA NA KUWASHA UMEME KYELA
> Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ametoa siku 28 kwa Wakala wa Usambazaji Umeme Vijijini(REA) kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kukamilisha ujenzi wa njia ya umeme(Km 20) na kuwashwa kwenye Kata za Nkokwa na Ipande
Zaidi, soma https://jamii.app/REAUmemeKyela
> Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ametoa siku 28 kwa Wakala wa Usambazaji Umeme Vijijini(REA) kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kukamilisha ujenzi wa njia ya umeme(Km 20) na kuwashwa kwenye Kata za Nkokwa na Ipande
Zaidi, soma https://jamii.app/REAUmemeKyela
RAIS MAGUFULI KUWASILI MKOANI MTWARA KATIKA ZIARA YA SIKU 2
- Anatarajiwa kuwasili mkoani humo leo Aprili 02 majira ya asubuhi kwa ziara ya kikazi
- Ataweka jiwe la msingi la upanuzi wa Uwanja wa ndege na kuzungumza na Wananchi
Zaidi, soma https://jamii.app/ZiaraMagufuliMtwara
- Anatarajiwa kuwasili mkoani humo leo Aprili 02 majira ya asubuhi kwa ziara ya kikazi
- Ataweka jiwe la msingi la upanuzi wa Uwanja wa ndege na kuzungumza na Wananchi
Zaidi, soma https://jamii.app/ZiaraMagufuliMtwara
KAMATI YA BUNGE YA MAADILI IMEMTIA HATIANI CAG
- Mwenyekiti wa Kamati, Emmanuel Mwakasaka amesema Prof. Mussa Assad ametiwa hatiani kuhusu kauli yake ya 'udhaifu wa Bunge'
- Alitoa kauli hiyo wakati akihojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya UN
Zaidi, soma https://jamii.app/CAGAtiwaHatiani
- Mwenyekiti wa Kamati, Emmanuel Mwakasaka amesema Prof. Mussa Assad ametiwa hatiani kuhusu kauli yake ya 'udhaifu wa Bunge'
- Alitoa kauli hiyo wakati akihojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya UN
Zaidi, soma https://jamii.app/CAGAtiwaHatiani
GARI LA MAFUNDI WA UMEME LAPATA AJALI
> Takribani watu 3 wanasadikiwa kupoteza maisha na wengine 30 kujeruhiwa ktk ajali ya gari la mafundi wa mradi wa kuzalisha umeme Mto Kagera eneo la Rusumo Wilayani Ngara
> Umeme huo ni kwa ajili ya Tanzania, Rwanda na Burundi
> Takribani watu 3 wanasadikiwa kupoteza maisha na wengine 30 kujeruhiwa ktk ajali ya gari la mafundi wa mradi wa kuzalisha umeme Mto Kagera eneo la Rusumo Wilayani Ngara
> Umeme huo ni kwa ajili ya Tanzania, Rwanda na Burundi
MAREKANI YASITISHA MISAADA AMERIKA YA KUSINI
> Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kusitisha misaada kwa mataifa matatu katika bara la Amerika Kusini ambayo ni Guatemala, Honduras na Salvador
> Mataifa hayo yalishindwa kuwazuia raia wao kuingia nchini Marekani kinyume cha sheria
Soma - https://jamii.app/USCutsAidsCA
#JFInternational
> Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kusitisha misaada kwa mataifa matatu katika bara la Amerika Kusini ambayo ni Guatemala, Honduras na Salvador
> Mataifa hayo yalishindwa kuwazuia raia wao kuingia nchini Marekani kinyume cha sheria
Soma - https://jamii.app/USCutsAidsCA
#JFInternational
KATIBU WA CCM WILAYA YA MOMBA AFARIKI KWENYE SHUGHULI ZA MWENGE
> Fatuma Ngairo aliwahi kuwa Katibu wa UVCCM Arumeru na amefariki kwa ajali alfajiri ya kuamkia leo alipokuwa akifanya mazoezi tayari kwa kuwasha Mwenge katika mji wa Mlowo
> Aidha, vijana wengine zaidi ya 20 wamelazwa katika Hospitali ya Vwawa baada ya kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari (IT) lililotokea Dar likielekea nchi jirani ya Zambia
Zaidi, soma https://jamii.app/TanziaAjaliMwengeMomba
> Fatuma Ngairo aliwahi kuwa Katibu wa UVCCM Arumeru na amefariki kwa ajali alfajiri ya kuamkia leo alipokuwa akifanya mazoezi tayari kwa kuwasha Mwenge katika mji wa Mlowo
> Aidha, vijana wengine zaidi ya 20 wamelazwa katika Hospitali ya Vwawa baada ya kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari (IT) lililotokea Dar likielekea nchi jirani ya Zambia
Zaidi, soma https://jamii.app/TanziaAjaliMwengeMomba
AU YAOMBA MKUTANO WA UPATANISHI KWA AJILI YA LIBYA
> Mwenyekiti wa kamati ya Umoja wa Afrika, Moussa Mahamat amependekeza kufanyika kwa mkutano wa kimataifa wa upatanishi wa Libya ili kusuluhisha msukosuko wa kisiasa nchini humo
> Amekataa hatua za uingiliaji kutoka nje zitakazoufanya msukosuko wa Libya uwe na utatanishi zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/AUUpatanishiLibya
> Mwenyekiti wa kamati ya Umoja wa Afrika, Moussa Mahamat amependekeza kufanyika kwa mkutano wa kimataifa wa upatanishi wa Libya ili kusuluhisha msukosuko wa kisiasa nchini humo
> Amekataa hatua za uingiliaji kutoka nje zitakazoufanya msukosuko wa Libya uwe na utatanishi zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/AUUpatanishiLibya