RAIS KUANZA ZIARA YA SIKU MBILI MKOANI MTWARA KESHO
> Rais Magufuli anatarajia kufanya ziara ya kikazi mkoani Mtwara kuanzia Aprili 2 hadi April 4
> Atazindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mtwara na ujenzi wa barabara ya Mtwara-Mnivata (Km 50)
Soma https://jamii.app/RaisZiaraMTR
> Rais Magufuli anatarajia kufanya ziara ya kikazi mkoani Mtwara kuanzia Aprili 2 hadi April 4
> Atazindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mtwara na ujenzi wa barabara ya Mtwara-Mnivata (Km 50)
Soma https://jamii.app/RaisZiaraMTR
TANZANIA NA MISRI ZARIDHIA UJENZI WA KIWANDA CHA KUCHAKATA NYAMA NCHINI
- Zimesaini hati ya makubaliano ya ujenzi wa kiwanda hicho katika Ranchi ya Ruvu
- Kinatarajiwa kuajiri watu 5000 na kuchinja ng'ombe 1,500 na mbuzi 4,500 kwa siku
Zaidi, soma https://jamii.app/KiwandaNyamaTZ-EGY
- Zimesaini hati ya makubaliano ya ujenzi wa kiwanda hicho katika Ranchi ya Ruvu
- Kinatarajiwa kuajiri watu 5000 na kuchinja ng'ombe 1,500 na mbuzi 4,500 kwa siku
Zaidi, soma https://jamii.app/KiwandaNyamaTZ-EGY
ALIYEUA MPENZIWE HOSTELI ZA MABIBO AHUKUMIWA KUNYONGWA
> Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemhukumu kunyongwa hadi kufa Masamba Musiba (39) kwa hatia ya kumuua mpenzi wake, Betha Mwarabu Juni 2009
> Mshitakiwa pamoja na Betha walikuwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)
Zaidi, soma - https://jamii.app/HukumuKunyongwaMauaji
> Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemhukumu kunyongwa hadi kufa Masamba Musiba (39) kwa hatia ya kumuua mpenzi wake, Betha Mwarabu Juni 2009
> Mshitakiwa pamoja na Betha walikuwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)
Zaidi, soma - https://jamii.app/HukumuKunyongwaMauaji
KUKATIKA UMEME VENEZUELA: SAA ZA KAZI KUPUNGUZWA
- Serikali imetangaza kufunga shule na kupunguza saa za kazi hadi saa 8 mchana kwa ofisi za Umma na binafsi
- Aidha, Rais Nicolas Maduro ametangaza mpango wa siku 30 wa kurejesha nishati hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/SaaKaziKupunguaVENZ
- Serikali imetangaza kufunga shule na kupunguza saa za kazi hadi saa 8 mchana kwa ofisi za Umma na binafsi
- Aidha, Rais Nicolas Maduro ametangaza mpango wa siku 30 wa kurejesha nishati hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/SaaKaziKupunguaVENZ
MBEYA: MSIMAMIZI KIWANDA CHA KUCHENJUA DHAHABU KUKAMATWA
- Waziri wa Madini, Dotto Biteko ameagiza kukamatwa kwa msimamizi wa Ntolah Gold Elusion baada ya kubaini utoroshaji wa dhahabu
- Pia, ameamuru Polisi kufunga na kulinda kiwanda hicho
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziNtolahKukamatwa
- Waziri wa Madini, Dotto Biteko ameagiza kukamatwa kwa msimamizi wa Ntolah Gold Elusion baada ya kubaini utoroshaji wa dhahabu
- Pia, ameamuru Polisi kufunga na kulinda kiwanda hicho
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziNtolahKukamatwa
POLISI YAUA WATU WATATU WANAODAIWA KUWA MAJAMBAZI
> Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma katika tukio hilo limefanikiwa pia kukamata risasi 42
> Katika kurushiana risasi Askari mmoja, James Mwita(37) na raia, Sophia Dicksoni(60) walijeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Kibondo
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiKifoMajambazi
> Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma katika tukio hilo limefanikiwa pia kukamata risasi 42
> Katika kurushiana risasi Askari mmoja, James Mwita(37) na raia, Sophia Dicksoni(60) walijeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Kibondo
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiKifoMajambazi
AZAKI: TUNASHUHUDIA HAKI ZA KIDEMOKRASIA, UHURU WA KUJUMUIKA VIKIZIDI KUZOROTA
- Asasi za Kiraia 65 zimetoa Tamko leo Aprili 01, 2019 zikielezea kuguswa na mwenendo wa demokrasia, haki ya kujumuika na uhuru wa kujiunga na vyama nchini
- Pia, Asasi zimemshauri Rais Magufuli kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani nchini na kuzungumza navyo
Zaidi, soma https://jamii.app/TamkoAzaki2019
- Asasi za Kiraia 65 zimetoa Tamko leo Aprili 01, 2019 zikielezea kuguswa na mwenendo wa demokrasia, haki ya kujumuika na uhuru wa kujiunga na vyama nchini
- Pia, Asasi zimemshauri Rais Magufuli kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani nchini na kuzungumza navyo
Zaidi, soma https://jamii.app/TamkoAzaki2019
WAFANYAKAZI OFISI YA MADINI CHUNYA WASIMAMISHWA KAZI
- Waziri Biteko ameagiza wasimamishwe kwa tuhuma za kushirikiana na wachenjuaji kutorosha dhahabu
- Mapema leo aliagiza kukamatwa kwa msimamizi wa kiwanda cha kuchenjua dhahabu cha Ntolah
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziNtolahKukamatwa
- Waziri Biteko ameagiza wasimamishwe kwa tuhuma za kushirikiana na wachenjuaji kutorosha dhahabu
- Mapema leo aliagiza kukamatwa kwa msimamizi wa kiwanda cha kuchenjua dhahabu cha Ntolah
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziNtolahKukamatwa
PERU: WATU 20 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA BASI KUUNGUA
> Watu 20 wamepoteza maisha baada ya basi la abiria walilokuwa wakisafiria kushika moto karibu na mji mkuu wa Peru, Lima
> Lilikuwa likielekea katika moja ya miji ya Kaskazini mwa nchi hiyo na inasemekana halikuwa na vifaa vya kuzima moto
Zaidi, soma https://jamii.app/Vifo20BasiMoto
> Watu 20 wamepoteza maisha baada ya basi la abiria walilokuwa wakisafiria kushika moto karibu na mji mkuu wa Peru, Lima
> Lilikuwa likielekea katika moja ya miji ya Kaskazini mwa nchi hiyo na inasemekana halikuwa na vifaa vya kuzima moto
Zaidi, soma https://jamii.app/Vifo20BasiMoto
SERIKALI: KANUNI MPYA KWA AJILI YA KUBADILI FEDHA ZA KIGENI ZAANDALIWA
- Waziri wa Fedha, Dkt. Mpango amesema kanuni zitaeleza namna ya kuomba leseni za uendeshaji wa maduka ya kubadili fedha
- Zinalenga kuweka mazingira mazuri ya biashara
Zaidi, soma https://jamii.app/KanuniMadukaFedha-TZ
- Waziri wa Fedha, Dkt. Mpango amesema kanuni zitaeleza namna ya kuomba leseni za uendeshaji wa maduka ya kubadili fedha
- Zinalenga kuweka mazingira mazuri ya biashara
Zaidi, soma https://jamii.app/KanuniMadukaFedha-TZ
SERIKALI YAKABIDHI NDEGE YAKE KWA ATCL
- Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi amekabidhi ndege hiyo katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar
- Ndege hiyo ilitolewa na Rais Magufuli ili ikasaidie kubeba abira wa Shirika la ndege la ATCL
#JFLeo
- Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi amekabidhi ndege hiyo katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar
- Ndege hiyo ilitolewa na Rais Magufuli ili ikasaidie kubeba abira wa Shirika la ndege la ATCL
#JFLeo
IKULU: NAIBU KATIBU WIZARA YA FEDHA NA NAIBU KAMISHNA TRA WAAPISHWA
- Rais Magufuli leo amemuapisha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha atakayeshughulikia sera, Adolf Hyasinth Ndunguru pamoja na Naibu Kamishna Mkuu wa TRA, Msafiri Lameck Mbibo
- Amewataka viongozi hao kwenda kushughulikia dosari zilizopo katika ofisi zao
Zaidi, soma https://jamii.app/UapishajiIkuluApril2019
- Rais Magufuli leo amemuapisha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha atakayeshughulikia sera, Adolf Hyasinth Ndunguru pamoja na Naibu Kamishna Mkuu wa TRA, Msafiri Lameck Mbibo
- Amewataka viongozi hao kwenda kushughulikia dosari zilizopo katika ofisi zao
Zaidi, soma https://jamii.app/UapishajiIkuluApril2019
AFRIKA KUSINI: WAGENI WAKESHA VITUO VYA POLISI KUKWEPA KUUAWA
> Watu 3 wameuawa huku takribani wengine 50 wakitafuta hifadhi kwenye vituo vya Polisi katika mji wa Durban kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na baadhi ya raia wa Afrika Kusini, wanaopinga uwepo wa wageni nchini humo wakidai wanamaliza ajira
> Tukio hilo limetokea leo, Aprili 1
Zaidi, soma https://jamii.app/NativesVsForeignersSA
> Watu 3 wameuawa huku takribani wengine 50 wakitafuta hifadhi kwenye vituo vya Polisi katika mji wa Durban kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na baadhi ya raia wa Afrika Kusini, wanaopinga uwepo wa wageni nchini humo wakidai wanamaliza ajira
> Tukio hilo limetokea leo, Aprili 1
Zaidi, soma https://jamii.app/NativesVsForeignersSA
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
RAIS MAGUFULI AFIKA KUMPA POLE MBUNGE WA IRINGA MJINI KWA KUFIWA
- Akiwa na Mke wake, Janeth Magufuli wametoa mkono wa pole kwa familia na heshima za mwisho kwa mwili wa Tryphosa Sanga aliyekuwa dada wa Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliMsibaDadaMsigwa
- Akiwa na Mke wake, Janeth Magufuli wametoa mkono wa pole kwa familia na heshima za mwisho kwa mwili wa Tryphosa Sanga aliyekuwa dada wa Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliMsibaDadaMsigwa
FAHAMU KUHUSU MAUMIVU YA KIUNO, MGONGO NA NYONGA
> Tatizo hili huweza kumpata mtu yeyote na huweza kusababishwa na namna mbaya ya kulala/godoro, Kubeba mizigo kwa kuinama, Kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya Mto, UTI sugu na Umri-kuzeeka
> Ukipuuza maumivu haya hupelekea kushindwa kufanya tendo la ndoa, kupooza kwa baadhi ya viungo na unaweza kushindwa kutembea au kunyanyuka endapo umekaa au umelala
Tembelea - https://jamii.app/MaumivuKiunoNyonga
#JFAfya
> Tatizo hili huweza kumpata mtu yeyote na huweza kusababishwa na namna mbaya ya kulala/godoro, Kubeba mizigo kwa kuinama, Kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya Mto, UTI sugu na Umri-kuzeeka
> Ukipuuza maumivu haya hupelekea kushindwa kufanya tendo la ndoa, kupooza kwa baadhi ya viungo na unaweza kushindwa kutembea au kunyanyuka endapo umekaa au umelala
Tembelea - https://jamii.app/MaumivuKiunoNyonga
#JFAfya
MUUAJI WA KIM JONG NAM KUACHIWA MEI BAADA YA KUKAA MAHABUSU MIAKA 2
> Mwanamke mmoja (30) raia wa Vietnam anayetuhumiwa kuhusika na mauaji ya Kim Jong-Nam ambaye ni kaka wa kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un, amehukumiwa kifungo cha zaidi ya miaka 3 gerezani na ataachiwa mwezi ujao, baada ya kukaa rumande kwa zaidi ya miaka miwili
Soma - https://jamii.app/KimNamMurderTrial
#JFInternational
> Mwanamke mmoja (30) raia wa Vietnam anayetuhumiwa kuhusika na mauaji ya Kim Jong-Nam ambaye ni kaka wa kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un, amehukumiwa kifungo cha zaidi ya miaka 3 gerezani na ataachiwa mwezi ujao, baada ya kukaa rumande kwa zaidi ya miaka miwili
Soma - https://jamii.app/KimNamMurderTrial
#JFInternational
MADUKA 82 KATI YA 87 YA KUBADILI FEDHA JIJINI DAR YALIKUWA NA VIASHIRIA VYA KUTAKATISHA FEDHA
- Hayo yamebinishwa na Gavana wa BoT, Prof. Florens Luoga aliyeongeza kuwa Maduka hayo yalibainika katika uchunguzi ambao unaendelea bado nchini kote
Zaidi, soma https://jamii.app/MadukaFedha82KiukaSheria
- Hayo yamebinishwa na Gavana wa BoT, Prof. Florens Luoga aliyeongeza kuwa Maduka hayo yalibainika katika uchunguzi ambao unaendelea bado nchini kote
Zaidi, soma https://jamii.app/MadukaFedha82KiukaSheria
KENYA: GAVANA WA SAMBURU AMEKAMATWA NA TUME YA KUPAMBANA NA RUSHWA
- Gavana Moses Lenolkulal amekamatwa na Tume hiyo na kuzuiliwa katika katika Makao Makuu ya Tume
- Inaelezwa ni kwasababu ya sakata la kifisadi la mafuta lililogharimu Ksh. Milioni 84(Tsh. 1,680,000,000)
Zaidi, soma https://jamii.app/SamburuGovernorArrestedKE
- Gavana Moses Lenolkulal amekamatwa na Tume hiyo na kuzuiliwa katika katika Makao Makuu ya Tume
- Inaelezwa ni kwasababu ya sakata la kifisadi la mafuta lililogharimu Ksh. Milioni 84(Tsh. 1,680,000,000)
Zaidi, soma https://jamii.app/SamburuGovernorArrestedKE