RUVUMA: MWANAFUNZI APORWA BAISKELI NA KISHA KUUAWA
- Tariq Mohamed(16) wa darasa la 6 ameporwa baiskeli kisha kunyongwa hadi kufa katika tukio lililotokea Wilayani Tunduru
- Alifanyiwa unyama huo akitokea shambani alikotumwa kuchukua karanga
Zaidi, soma https://jamii.app/MwanafunziAnyongwaAfarikiRVM
- Tariq Mohamed(16) wa darasa la 6 ameporwa baiskeli kisha kunyongwa hadi kufa katika tukio lililotokea Wilayani Tunduru
- Alifanyiwa unyama huo akitokea shambani alikotumwa kuchukua karanga
Zaidi, soma https://jamii.app/MwanafunziAnyongwaAfarikiRVM
IKULU, DAR: RAIS MAGUFULI AWATUNUKU KAMISHENI MAAFISA WANAFUNZI WA JWTZ
- Amewatunuku Maafisa Wanafunzi 146 kuwa na cheo cha Luteni Usu, Wanaume wakiwa 140 na Wanawake 6
- Walipata mafunzo katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi mkoani Arusha
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAtunukuKamisheni-Machi2019
- Amewatunuku Maafisa Wanafunzi 146 kuwa na cheo cha Luteni Usu, Wanaume wakiwa 140 na Wanawake 6
- Walipata mafunzo katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi mkoani Arusha
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAtunukuKamisheni-Machi2019
IRINGA: WANAOKOPESHA FEDHA MITAANI WATAKIWA KUJISALIMISHA TRA
- RC Ally Hapi ameagiza wanaofanya biashara hizo mitaabi bila leseni kujisalimisha TRA ili wakadiriwe kodi
- Asema amebaini kuwa kuna watu wanafanya biashara hiyo kwa riba kubwa
Zaidi, soma https://jamii.app/WakopeshajiWatakiwaTRA-IRNG
- RC Ally Hapi ameagiza wanaofanya biashara hizo mitaabi bila leseni kujisalimisha TRA ili wakadiriwe kodi
- Asema amebaini kuwa kuna watu wanafanya biashara hiyo kwa riba kubwa
Zaidi, soma https://jamii.app/WakopeshajiWatakiwaTRA-IRNG
MOSHI: MIUNDOMBINU YAHARIBIKA KUTOKANA NA MVUA KUBWA ILIYONYESHA
- Miti imeanguka katika barabara za Shanty Town, International School na Shule ya Sekondari Mawenzi
- Sehemu nyingine nguzo za umeme zimeanguka na kuharibu miundombinu ya umeme
Zaidi, soma https://jamii.app/MvuaMiundombinuMSH
- Miti imeanguka katika barabara za Shanty Town, International School na Shule ya Sekondari Mawenzi
- Sehemu nyingine nguzo za umeme zimeanguka na kuharibu miundombinu ya umeme
Zaidi, soma https://jamii.app/MvuaMiundombinuMSH
SHINYANGA: WAGANGA WA JADI 19 MBARONI KWA KUPIGA RAMLI CHONGANISHI
- Ramli hizo zinadaiwa kusababisha mauaji ya Wananchi kutokana na imani potofu za kishirikina
- Pia wamekamatwa na nyara za Serikali ikiwemo mikia ya nyumbu na ngozi ya kenge
Zaidi, soma https://jamii.app/WagangaMbaroniJadiSHY
- Ramli hizo zinadaiwa kusababisha mauaji ya Wananchi kutokana na imani potofu za kishirikina
- Pia wamekamatwa na nyara za Serikali ikiwemo mikia ya nyumbu na ngozi ya kenge
Zaidi, soma https://jamii.app/WagangaMbaroniJadiSHY
MICHEZO: Mchezo mmoja wa Ligi Kuu nchini England umemalizika ambapo Manchester City imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Fulham
- City inayofikisha alama 77 magoli yake yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 5 na Sergio Aguero dakika ya 21
- Michezo inayofuata katika Ligi hiyo kwa siku ya leo ni kama inayoonekana pichani
#JFLeo
- City inayofikisha alama 77 magoli yake yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 5 na Sergio Aguero dakika ya 21
- Michezo inayofuata katika Ligi hiyo kwa siku ya leo ni kama inayoonekana pichani
#JFLeo
GAZA: TAKRIBANI WAPALESTINA 33 WAMEJERUHIWA NA JESHI LA ISRAEL
- Wapalestina hao waliokuwa miongoni mwa Waandamanaji wamejeruhiwa katika vurugu zilizozuka kati yao na Jeshi la Israel
- Inaelezwa baadhi walijeruhiwa kwa risasi za moto na baadhi kwa makopo ya gesi ya kutoa machozi
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandamaniMwaka1Gaza
- Wapalestina hao waliokuwa miongoni mwa Waandamanaji wamejeruhiwa katika vurugu zilizozuka kati yao na Jeshi la Israel
- Inaelezwa baadhi walijeruhiwa kwa risasi za moto na baadhi kwa makopo ya gesi ya kutoa machozi
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandamaniMwaka1Gaza
MATOKEO-EPL: HUDDERSFIELD YASHUKA DARAJA, MANCHESTER UNITED YASHINDA
- Imekuwa timu ya pili kushuka daraja kabla ya mwezi Machi kuisha kwenye historia ya Ligi baada ya kufungwa na Crystal Palace goli 2-0
- Man. Utd imefanikiwa kupata ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Watford na kuendelea kuweka hai ndoto zake za kumaliza ndani ya nne bora
#JFLeo
- Imekuwa timu ya pili kushuka daraja kabla ya mwezi Machi kuisha kwenye historia ya Ligi baada ya kufungwa na Crystal Palace goli 2-0
- Man. Utd imefanikiwa kupata ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Watford na kuendelea kuweka hai ndoto zake za kumaliza ndani ya nne bora
#JFLeo
KAGERA: POLISI WAKAMATA MALI ZILIVYOPORWA NA MAJAMBAZI
- Mali hizo ni simu za mkononi 9, kompyuta mpakato na chaja yake, begi lenye nguo na pia polisi wamekamata bangi na kisu
- Jeshi la polisi bado linaendelea kuwatafuta majambazi hao
Soma https://jamii.app/PolisiWakamataVituKagera
#JFLeo
- Mali hizo ni simu za mkononi 9, kompyuta mpakato na chaja yake, begi lenye nguo na pia polisi wamekamata bangi na kisu
- Jeshi la polisi bado linaendelea kuwatafuta majambazi hao
Soma https://jamii.app/PolisiWakamataVituKagera
#JFLeo
RAIS MAGUFULI AMTEUA BW. ADOLF MOHONDELA NDUNGURU KUWA NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO(SERA)
- Rais amefanya uteuzi huu kwa kuwa nafasi hiyo ilikuwa wazi
- Aidha, amemteua Bw. Msafiri Lameck Mbibo kuwa Naibu Kamishna wa TRA
Soma https://jamii.app/MagufuliAmteuaNduguru
#JFLeo
- Rais amefanya uteuzi huu kwa kuwa nafasi hiyo ilikuwa wazi
- Aidha, amemteua Bw. Msafiri Lameck Mbibo kuwa Naibu Kamishna wa TRA
Soma https://jamii.app/MagufuliAmteuaNduguru
#JFLeo
UCHAGUZI ARUMERU MASHARIKI MEI 19, 2019
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) yatangaza tarehe ya uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki
> Jimbo hilo liko wazi baada ya Joshua Nassari(CHADEMA) kuvuliwa Ubunge kwa utoro
Soma jamii.app/UchaguziArumer…
#JFLeo
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) yatangaza tarehe ya uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki
> Jimbo hilo liko wazi baada ya Joshua Nassari(CHADEMA) kuvuliwa Ubunge kwa utoro
Soma jamii.app/UchaguziArumer…
#JFLeo
DC KISARAWE ANENA BAADA YA HARAMBEE YA “TOKOMEZA ZERO”
> Ni ya kuchangia ujenzi wa shule ya mabweni ya wasichana iliyofanyika Machi 30, 2019 Jijini Dar
> Amshukuru Pierre “Mzee wa Liquid” kwa kushiriki kikamilifu na kumuomba msamaha kwa kukwazwa na RC Makonda
Soma https://jamii.app/JokateThanksPierre
#JFLeo
> Ni ya kuchangia ujenzi wa shule ya mabweni ya wasichana iliyofanyika Machi 30, 2019 Jijini Dar
> Amshukuru Pierre “Mzee wa Liquid” kwa kushiriki kikamilifu na kumuomba msamaha kwa kukwazwa na RC Makonda
Soma https://jamii.app/JokateThanksPierre
#JFLeo
UKRAINE: MCHEKESHAJI ATAJWA KUONGOZA KURA ZA URAIS
> Zelenskiy(41) anaongoza kwa wingi wa kura zinazoendelea kuhesabiwa ktk duru ya kwanza ya Uchaguzi
> Kura za maoni zatabiri atashinda dhidi ya Rais na Waziri Mkuu waliomaliza muda wao
Soma https://jamii.app/ComedianPresUKRN
#JFLeo
> Zelenskiy(41) anaongoza kwa wingi wa kura zinazoendelea kuhesabiwa ktk duru ya kwanza ya Uchaguzi
> Kura za maoni zatabiri atashinda dhidi ya Rais na Waziri Mkuu waliomaliza muda wao
Soma https://jamii.app/ComedianPresUKRN
#JFLeo
CAG AKABIDHI RIPOTI 17 ZA UKAGUZI KWA RAIS
> Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali amekabidhi ripoti hizo za mwaka wa fedha ulioisha Juni 30, 2018
> Ipo ripoti ya Ukaguzi wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa na Miradi ya Maendeleo
Zaidi, soma - https://jamii.app/CAGRipotiRais
> Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali amekabidhi ripoti hizo za mwaka wa fedha ulioisha Juni 30, 2018
> Ipo ripoti ya Ukaguzi wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa na Miradi ya Maendeleo
Zaidi, soma - https://jamii.app/CAGRipotiRais
MONDULI: MTU MMOJA AFARIKI NA SITA KUJERUHIWA KATIKA MAPIGANO YA ARDHI
- Aliyefariki ni Simeli Oltialulu mkazi wa kijiji cha Lendikinya
- Mgogoro huo umekuwapo kwa muda mrefu ukihusisha vijiji vitatu vya Lendikinya, Emairete na Arkalia
Zaidi, soma https://jamii.app/MapiganoMonduli2
- Aliyefariki ni Simeli Oltialulu mkazi wa kijiji cha Lendikinya
- Mgogoro huo umekuwapo kwa muda mrefu ukihusisha vijiji vitatu vya Lendikinya, Emairete na Arkalia
Zaidi, soma https://jamii.app/MapiganoMonduli2
RAIS KUANZA ZIARA YA SIKU MBILI MKOANI MTWARA KESHO
> Rais Magufuli anatarajia kufanya ziara ya kikazi mkoani Mtwara kuanzia Aprili 2 hadi April 4
> Atazindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mtwara na ujenzi wa barabara ya Mtwara-Mnivata (Km 50)
Soma https://jamii.app/RaisZiaraMTR
> Rais Magufuli anatarajia kufanya ziara ya kikazi mkoani Mtwara kuanzia Aprili 2 hadi April 4
> Atazindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mtwara na ujenzi wa barabara ya Mtwara-Mnivata (Km 50)
Soma https://jamii.app/RaisZiaraMTR
TANZANIA NA MISRI ZARIDHIA UJENZI WA KIWANDA CHA KUCHAKATA NYAMA NCHINI
- Zimesaini hati ya makubaliano ya ujenzi wa kiwanda hicho katika Ranchi ya Ruvu
- Kinatarajiwa kuajiri watu 5000 na kuchinja ng'ombe 1,500 na mbuzi 4,500 kwa siku
Zaidi, soma https://jamii.app/KiwandaNyamaTZ-EGY
- Zimesaini hati ya makubaliano ya ujenzi wa kiwanda hicho katika Ranchi ya Ruvu
- Kinatarajiwa kuajiri watu 5000 na kuchinja ng'ombe 1,500 na mbuzi 4,500 kwa siku
Zaidi, soma https://jamii.app/KiwandaNyamaTZ-EGY
ALIYEUA MPENZIWE HOSTELI ZA MABIBO AHUKUMIWA KUNYONGWA
> Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemhukumu kunyongwa hadi kufa Masamba Musiba (39) kwa hatia ya kumuua mpenzi wake, Betha Mwarabu Juni 2009
> Mshitakiwa pamoja na Betha walikuwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)
Zaidi, soma - https://jamii.app/HukumuKunyongwaMauaji
> Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemhukumu kunyongwa hadi kufa Masamba Musiba (39) kwa hatia ya kumuua mpenzi wake, Betha Mwarabu Juni 2009
> Mshitakiwa pamoja na Betha walikuwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)
Zaidi, soma - https://jamii.app/HukumuKunyongwaMauaji
KUKATIKA UMEME VENEZUELA: SAA ZA KAZI KUPUNGUZWA
- Serikali imetangaza kufunga shule na kupunguza saa za kazi hadi saa 8 mchana kwa ofisi za Umma na binafsi
- Aidha, Rais Nicolas Maduro ametangaza mpango wa siku 30 wa kurejesha nishati hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/SaaKaziKupunguaVENZ
- Serikali imetangaza kufunga shule na kupunguza saa za kazi hadi saa 8 mchana kwa ofisi za Umma na binafsi
- Aidha, Rais Nicolas Maduro ametangaza mpango wa siku 30 wa kurejesha nishati hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/SaaKaziKupunguaVENZ
MBEYA: MSIMAMIZI KIWANDA CHA KUCHENJUA DHAHABU KUKAMATWA
- Waziri wa Madini, Dotto Biteko ameagiza kukamatwa kwa msimamizi wa Ntolah Gold Elusion baada ya kubaini utoroshaji wa dhahabu
- Pia, ameamuru Polisi kufunga na kulinda kiwanda hicho
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziNtolahKukamatwa
- Waziri wa Madini, Dotto Biteko ameagiza kukamatwa kwa msimamizi wa Ntolah Gold Elusion baada ya kubaini utoroshaji wa dhahabu
- Pia, ameamuru Polisi kufunga na kulinda kiwanda hicho
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziNtolahKukamatwa