CHAD: MAHAKAMA YAENDELEA KUBARIKI KUFUNGIWA MITANDAO
> Mahakama imetupilia mbali ombi la Wanasheria la kuitaka kuamuru Serikali kuruhusu matumizi ya mitandao ya kijamii iliyofungiwa tangu Machi, 2018
> Mitandao hiyo yadaiwa kuhatarisha usalama wa nchi
Zaidi, soma https://jamii.app/InternetBanChad
> Mahakama imetupilia mbali ombi la Wanasheria la kuitaka kuamuru Serikali kuruhusu matumizi ya mitandao ya kijamii iliyofungiwa tangu Machi, 2018
> Mitandao hiyo yadaiwa kuhatarisha usalama wa nchi
Zaidi, soma https://jamii.app/InternetBanChad
ARUSHA: AFISA USALAMA AUNGANISHWA KWENYE KESI YA MKURUGENZI WA OBC
- Afisa huyo wa Wilaya ya Ngorongoro, Issa Selfu Ng’itu ameunganishwa kwenye kesi ya uhujumu uchumi ya Mkurugenzi wa OBC, Isaya Mollel(59) na kusomewa jumla ya mashtaka 15
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaUsalamaKesiOBC
- Afisa huyo wa Wilaya ya Ngorongoro, Issa Selfu Ng’itu ameunganishwa kwenye kesi ya uhujumu uchumi ya Mkurugenzi wa OBC, Isaya Mollel(59) na kusomewa jumla ya mashtaka 15
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaUsalamaKesiOBC
MAREKANI: WIZARA YA ULINZI YAIDHINISHA UJENZI WA UKUTA
- ‘The Pentagon' imeidhinisha kuhamishiwa kwa Dola Bilioni 1 kwenda akaunti ya Wahandisi wa Jeshi kwa ajili ya ujenzi wa ukuta wa mpaka baina ya nchini hiyo na Mexico
Zaidi, soma https://jamii.app/UjenziWaidhinishwaKujengwaUSA
- ‘The Pentagon' imeidhinisha kuhamishiwa kwa Dola Bilioni 1 kwenda akaunti ya Wahandisi wa Jeshi kwa ajili ya ujenzi wa ukuta wa mpaka baina ya nchini hiyo na Mexico
Zaidi, soma https://jamii.app/UjenziWaidhinishwaKujengwaUSA
VATICAN: SHERIA MPYA KUHUSU UNYANYASAJI WA KINGONO YATANGAZWA
- Wafanyakazi wote katika Makao Makuu ya Kanisa Katoliki na Wanadiplomasia wanaomwakilisha Papa duniani kote wanatakiwa kutoa taarifa haraka juu ya madai ya unyanyasaji wa kingono
Zaidi, soma https://jamii.app/KatolikiSheriaNgono
- Wafanyakazi wote katika Makao Makuu ya Kanisa Katoliki na Wanadiplomasia wanaomwakilisha Papa duniani kote wanatakiwa kutoa taarifa haraka juu ya madai ya unyanyasaji wa kingono
Zaidi, soma https://jamii.app/KatolikiSheriaNgono
RUKWA: RADI YAANGUSHA UKUTA WA NYUMBA NA KUUA MMOJA
- Mtu mmoja mkazi wa Kata ya Mkoe, Wilayani Kalambo, Girubat Lungwa(34) amefariki baada ya radi kubomoa ukuta wa nyumba yake kisha kuingia ndani na kusabisha kifo chake papo hapo
Zaidi, soma https://jamii.app/RadiYauaRukwa
- Mtu mmoja mkazi wa Kata ya Mkoe, Wilayani Kalambo, Girubat Lungwa(34) amefariki baada ya radi kubomoa ukuta wa nyumba yake kisha kuingia ndani na kusabisha kifo chake papo hapo
Zaidi, soma https://jamii.app/RadiYauaRukwa
RUVUMA: MWANAFUNZI APORWA BAISKELI NA KISHA KUUAWA
- Tariq Mohamed(16) wa darasa la 6 ameporwa baiskeli kisha kunyongwa hadi kufa katika tukio lililotokea Wilayani Tunduru
- Alifanyiwa unyama huo akitokea shambani alikotumwa kuchukua karanga
Zaidi, soma https://jamii.app/MwanafunziAnyongwaAfarikiRVM
- Tariq Mohamed(16) wa darasa la 6 ameporwa baiskeli kisha kunyongwa hadi kufa katika tukio lililotokea Wilayani Tunduru
- Alifanyiwa unyama huo akitokea shambani alikotumwa kuchukua karanga
Zaidi, soma https://jamii.app/MwanafunziAnyongwaAfarikiRVM
IKULU, DAR: RAIS MAGUFULI AWATUNUKU KAMISHENI MAAFISA WANAFUNZI WA JWTZ
- Amewatunuku Maafisa Wanafunzi 146 kuwa na cheo cha Luteni Usu, Wanaume wakiwa 140 na Wanawake 6
- Walipata mafunzo katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi mkoani Arusha
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAtunukuKamisheni-Machi2019
- Amewatunuku Maafisa Wanafunzi 146 kuwa na cheo cha Luteni Usu, Wanaume wakiwa 140 na Wanawake 6
- Walipata mafunzo katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi mkoani Arusha
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAtunukuKamisheni-Machi2019
IRINGA: WANAOKOPESHA FEDHA MITAANI WATAKIWA KUJISALIMISHA TRA
- RC Ally Hapi ameagiza wanaofanya biashara hizo mitaabi bila leseni kujisalimisha TRA ili wakadiriwe kodi
- Asema amebaini kuwa kuna watu wanafanya biashara hiyo kwa riba kubwa
Zaidi, soma https://jamii.app/WakopeshajiWatakiwaTRA-IRNG
- RC Ally Hapi ameagiza wanaofanya biashara hizo mitaabi bila leseni kujisalimisha TRA ili wakadiriwe kodi
- Asema amebaini kuwa kuna watu wanafanya biashara hiyo kwa riba kubwa
Zaidi, soma https://jamii.app/WakopeshajiWatakiwaTRA-IRNG
MOSHI: MIUNDOMBINU YAHARIBIKA KUTOKANA NA MVUA KUBWA ILIYONYESHA
- Miti imeanguka katika barabara za Shanty Town, International School na Shule ya Sekondari Mawenzi
- Sehemu nyingine nguzo za umeme zimeanguka na kuharibu miundombinu ya umeme
Zaidi, soma https://jamii.app/MvuaMiundombinuMSH
- Miti imeanguka katika barabara za Shanty Town, International School na Shule ya Sekondari Mawenzi
- Sehemu nyingine nguzo za umeme zimeanguka na kuharibu miundombinu ya umeme
Zaidi, soma https://jamii.app/MvuaMiundombinuMSH
SHINYANGA: WAGANGA WA JADI 19 MBARONI KWA KUPIGA RAMLI CHONGANISHI
- Ramli hizo zinadaiwa kusababisha mauaji ya Wananchi kutokana na imani potofu za kishirikina
- Pia wamekamatwa na nyara za Serikali ikiwemo mikia ya nyumbu na ngozi ya kenge
Zaidi, soma https://jamii.app/WagangaMbaroniJadiSHY
- Ramli hizo zinadaiwa kusababisha mauaji ya Wananchi kutokana na imani potofu za kishirikina
- Pia wamekamatwa na nyara za Serikali ikiwemo mikia ya nyumbu na ngozi ya kenge
Zaidi, soma https://jamii.app/WagangaMbaroniJadiSHY
MICHEZO: Mchezo mmoja wa Ligi Kuu nchini England umemalizika ambapo Manchester City imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Fulham
- City inayofikisha alama 77 magoli yake yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 5 na Sergio Aguero dakika ya 21
- Michezo inayofuata katika Ligi hiyo kwa siku ya leo ni kama inayoonekana pichani
#JFLeo
- City inayofikisha alama 77 magoli yake yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 5 na Sergio Aguero dakika ya 21
- Michezo inayofuata katika Ligi hiyo kwa siku ya leo ni kama inayoonekana pichani
#JFLeo
GAZA: TAKRIBANI WAPALESTINA 33 WAMEJERUHIWA NA JESHI LA ISRAEL
- Wapalestina hao waliokuwa miongoni mwa Waandamanaji wamejeruhiwa katika vurugu zilizozuka kati yao na Jeshi la Israel
- Inaelezwa baadhi walijeruhiwa kwa risasi za moto na baadhi kwa makopo ya gesi ya kutoa machozi
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandamaniMwaka1Gaza
- Wapalestina hao waliokuwa miongoni mwa Waandamanaji wamejeruhiwa katika vurugu zilizozuka kati yao na Jeshi la Israel
- Inaelezwa baadhi walijeruhiwa kwa risasi za moto na baadhi kwa makopo ya gesi ya kutoa machozi
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandamaniMwaka1Gaza
MATOKEO-EPL: HUDDERSFIELD YASHUKA DARAJA, MANCHESTER UNITED YASHINDA
- Imekuwa timu ya pili kushuka daraja kabla ya mwezi Machi kuisha kwenye historia ya Ligi baada ya kufungwa na Crystal Palace goli 2-0
- Man. Utd imefanikiwa kupata ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Watford na kuendelea kuweka hai ndoto zake za kumaliza ndani ya nne bora
#JFLeo
- Imekuwa timu ya pili kushuka daraja kabla ya mwezi Machi kuisha kwenye historia ya Ligi baada ya kufungwa na Crystal Palace goli 2-0
- Man. Utd imefanikiwa kupata ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Watford na kuendelea kuweka hai ndoto zake za kumaliza ndani ya nne bora
#JFLeo
KAGERA: POLISI WAKAMATA MALI ZILIVYOPORWA NA MAJAMBAZI
- Mali hizo ni simu za mkononi 9, kompyuta mpakato na chaja yake, begi lenye nguo na pia polisi wamekamata bangi na kisu
- Jeshi la polisi bado linaendelea kuwatafuta majambazi hao
Soma https://jamii.app/PolisiWakamataVituKagera
#JFLeo
- Mali hizo ni simu za mkononi 9, kompyuta mpakato na chaja yake, begi lenye nguo na pia polisi wamekamata bangi na kisu
- Jeshi la polisi bado linaendelea kuwatafuta majambazi hao
Soma https://jamii.app/PolisiWakamataVituKagera
#JFLeo
RAIS MAGUFULI AMTEUA BW. ADOLF MOHONDELA NDUNGURU KUWA NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO(SERA)
- Rais amefanya uteuzi huu kwa kuwa nafasi hiyo ilikuwa wazi
- Aidha, amemteua Bw. Msafiri Lameck Mbibo kuwa Naibu Kamishna wa TRA
Soma https://jamii.app/MagufuliAmteuaNduguru
#JFLeo
- Rais amefanya uteuzi huu kwa kuwa nafasi hiyo ilikuwa wazi
- Aidha, amemteua Bw. Msafiri Lameck Mbibo kuwa Naibu Kamishna wa TRA
Soma https://jamii.app/MagufuliAmteuaNduguru
#JFLeo
UCHAGUZI ARUMERU MASHARIKI MEI 19, 2019
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) yatangaza tarehe ya uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki
> Jimbo hilo liko wazi baada ya Joshua Nassari(CHADEMA) kuvuliwa Ubunge kwa utoro
Soma jamii.app/UchaguziArumer…
#JFLeo
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) yatangaza tarehe ya uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki
> Jimbo hilo liko wazi baada ya Joshua Nassari(CHADEMA) kuvuliwa Ubunge kwa utoro
Soma jamii.app/UchaguziArumer…
#JFLeo
DC KISARAWE ANENA BAADA YA HARAMBEE YA “TOKOMEZA ZERO”
> Ni ya kuchangia ujenzi wa shule ya mabweni ya wasichana iliyofanyika Machi 30, 2019 Jijini Dar
> Amshukuru Pierre “Mzee wa Liquid” kwa kushiriki kikamilifu na kumuomba msamaha kwa kukwazwa na RC Makonda
Soma https://jamii.app/JokateThanksPierre
#JFLeo
> Ni ya kuchangia ujenzi wa shule ya mabweni ya wasichana iliyofanyika Machi 30, 2019 Jijini Dar
> Amshukuru Pierre “Mzee wa Liquid” kwa kushiriki kikamilifu na kumuomba msamaha kwa kukwazwa na RC Makonda
Soma https://jamii.app/JokateThanksPierre
#JFLeo
UKRAINE: MCHEKESHAJI ATAJWA KUONGOZA KURA ZA URAIS
> Zelenskiy(41) anaongoza kwa wingi wa kura zinazoendelea kuhesabiwa ktk duru ya kwanza ya Uchaguzi
> Kura za maoni zatabiri atashinda dhidi ya Rais na Waziri Mkuu waliomaliza muda wao
Soma https://jamii.app/ComedianPresUKRN
#JFLeo
> Zelenskiy(41) anaongoza kwa wingi wa kura zinazoendelea kuhesabiwa ktk duru ya kwanza ya Uchaguzi
> Kura za maoni zatabiri atashinda dhidi ya Rais na Waziri Mkuu waliomaliza muda wao
Soma https://jamii.app/ComedianPresUKRN
#JFLeo
CAG AKABIDHI RIPOTI 17 ZA UKAGUZI KWA RAIS
> Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali amekabidhi ripoti hizo za mwaka wa fedha ulioisha Juni 30, 2018
> Ipo ripoti ya Ukaguzi wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa na Miradi ya Maendeleo
Zaidi, soma - https://jamii.app/CAGRipotiRais
> Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali amekabidhi ripoti hizo za mwaka wa fedha ulioisha Juni 30, 2018
> Ipo ripoti ya Ukaguzi wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa na Miradi ya Maendeleo
Zaidi, soma - https://jamii.app/CAGRipotiRais
MONDULI: MTU MMOJA AFARIKI NA SITA KUJERUHIWA KATIKA MAPIGANO YA ARDHI
- Aliyefariki ni Simeli Oltialulu mkazi wa kijiji cha Lendikinya
- Mgogoro huo umekuwapo kwa muda mrefu ukihusisha vijiji vitatu vya Lendikinya, Emairete na Arkalia
Zaidi, soma https://jamii.app/MapiganoMonduli2
- Aliyefariki ni Simeli Oltialulu mkazi wa kijiji cha Lendikinya
- Mgogoro huo umekuwapo kwa muda mrefu ukihusisha vijiji vitatu vya Lendikinya, Emairete na Arkalia
Zaidi, soma https://jamii.app/MapiganoMonduli2