MSUMBIJI: MADHARA YA KIMBUNGA IDAI
> Taarifa zinaeleza kuwa Takribani Watoto 900,000 wameachwa yatima, wametenganishwa na familia zao, wamekosa makazi
> Serikali ya Msumbiji imefanya jitihada za kuwahifadhi kwenye makambi
Zaidi, soma => https://jamii.app/WatotoYatimaIdai
> Taarifa zinaeleza kuwa Takribani Watoto 900,000 wameachwa yatima, wametenganishwa na familia zao, wamekosa makazi
> Serikali ya Msumbiji imefanya jitihada za kuwahifadhi kwenye makambi
Zaidi, soma => https://jamii.app/WatotoYatimaIdai
SHERIA ZA MIRATHI: Je, unazifahamu aina ya sheria za Mirathi zilizopo Tanzania?
> Tanzania ina Sheria 3 za Mirathi; Sheria ya Mirathi ya Kimila, Sheria ya Mirathi ya Kiislamu na Sheria ya Serikali ya Mirathi.
Kufahamu matumizi ya Sheria, fungua > https://jamii.app/SheriaMirathi
> Tanzania ina Sheria 3 za Mirathi; Sheria ya Mirathi ya Kimila, Sheria ya Mirathi ya Kiislamu na Sheria ya Serikali ya Mirathi.
Kufahamu matumizi ya Sheria, fungua > https://jamii.app/SheriaMirathi
UTEUZI: RAIS MAGUFULI ATEUA MWENYEKITI WA BODI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI
> Aliyeteuliwa ni Dkt. Simbaiga na uteuzi wake ulianza rasmi tarehe 23 Machi 2019
> Kabla ya uteuzi alikuwa Mhadhiri Mwandamizi wa Idara ya Sosholojia(UDSM)
Soma > https://jamii.app/UteuziSimbaiga
> Aliyeteuliwa ni Dkt. Simbaiga na uteuzi wake ulianza rasmi tarehe 23 Machi 2019
> Kabla ya uteuzi alikuwa Mhadhiri Mwandamizi wa Idara ya Sosholojia(UDSM)
Soma > https://jamii.app/UteuziSimbaiga
NAMTUMBO: VIONGOZI 11 WA CHAMA CHA USHIRIKA WAKAMATWA KWA KUWAIBIA WAKULIMA
> Ni viongozi wa chama cha Ushirika cha Mjimwema
> Wanatuhumiwa kuchezea mizani na kuwaibia Wakulima tani 10 za Korosho zenye thamani ya Tsh. Milioni 33
Soma > https://jamii.app/ViongoziKoroshoNamtumbo
> Ni viongozi wa chama cha Ushirika cha Mjimwema
> Wanatuhumiwa kuchezea mizani na kuwaibia Wakulima tani 10 za Korosho zenye thamani ya Tsh. Milioni 33
Soma > https://jamii.app/ViongoziKoroshoNamtumbo
MICHEZO: KLABU YA BAYERN MUNICH YAMSAJILI BEKI LUCAS HERNANDEZ KWA ADA YA EURO MILIONI 80
> Mfaransa huyo amesaini mkataba wa miaka 5 na atajiunga na Bayern Julai 1, 2019
> Lucas Hernandez anaichezea Atletico Madrid kwa sasa
Soma > https://jamii.app/HernandezBayern
#JFSports
> Mfaransa huyo amesaini mkataba wa miaka 5 na atajiunga na Bayern Julai 1, 2019
> Lucas Hernandez anaichezea Atletico Madrid kwa sasa
Soma > https://jamii.app/HernandezBayern
#JFSports
KENYA: MAJAJI WAPENDEKEZA KUPUNGUZWA KWA UMRI WA KUJIHUSISHA NA NGONO
- Wamependekeza umri huo ushushwe kutoka miaka 18 hadi 16
- Wanapingana na adhabu kali wanazopewa Wanaume kwa kushiriki ngono na Wasichana walio/wanaoelekea kubalehe
Zaidi, soma https://jamii.app/UmriNgonoKenya
- Wamependekeza umri huo ushushwe kutoka miaka 18 hadi 16
- Wanapingana na adhabu kali wanazopewa Wanaume kwa kushiriki ngono na Wasichana walio/wanaoelekea kubalehe
Zaidi, soma https://jamii.app/UmriNgonoKenya
MALTA: PASIPOTI YA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UBORA NA USALAMA
> Nchi zilizotangazwa kushinda ni Tanzania kupitia Pasipoti yake mpya ya Kielektroniki, Kitambulisho cha utaifa cha nchi ya Estonia na Viza mpya ya Umoja wa Ulaya
Zaidi, soma => https://jamii.app/PasipotiTZTuzoUbora
> Nchi zilizotangazwa kushinda ni Tanzania kupitia Pasipoti yake mpya ya Kielektroniki, Kitambulisho cha utaifa cha nchi ya Estonia na Viza mpya ya Umoja wa Ulaya
Zaidi, soma => https://jamii.app/PasipotiTZTuzoUbora
EU YASITISHA KWA MUDA OPERESHENI YA KUKABILIANA NA WAHAMIAJI HARAMU
- Imesitisha operesheni Sophia ya kukabiliana na wahamiaji haramu katika bahari ya Mediterania
- Ni baada ya Mataifa wanachama kushindwa kuafikiana kuhusu operesheni hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/OperesheniSophiaYasitishwa
- Imesitisha operesheni Sophia ya kukabiliana na wahamiaji haramu katika bahari ya Mediterania
- Ni baada ya Mataifa wanachama kushindwa kuafikiana kuhusu operesheni hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/OperesheniSophiaYasitishwa
MAHAKAMA YA AFRIKA MASHARIKI KUAMUA KUHUSU KESI YA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI
> Sheria inayolalamikiwa ilipitishwa na Bunge, Februari 2, 2016 na kusainiwa na Rais Magufuli Februari 13
> Kifungu cha 18 kinaelezwa kinakiuka Mkataba wa EAC
Soma > https://jamii.app/KesiAfrikaMashariki
> Sheria inayolalamikiwa ilipitishwa na Bunge, Februari 2, 2016 na kusainiwa na Rais Magufuli Februari 13
> Kifungu cha 18 kinaelezwa kinakiuka Mkataba wa EAC
Soma > https://jamii.app/KesiAfrikaMashariki
MAHOJIANO YA MAALIM SEIF YAFUTWA
> Mahojiano yalipangwa kufanyika katika kipindi cha asubuhi cha Clouds 36O
> Imeelezwa kuwa mahojiano hayo hayatakuwepo kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao(Clouds Tv)
Soma > https://jamii.app/MaalimuClouds360
> Mahojiano yalipangwa kufanyika katika kipindi cha asubuhi cha Clouds 36O
> Imeelezwa kuwa mahojiano hayo hayatakuwepo kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao(Clouds Tv)
Soma > https://jamii.app/MaalimuClouds360
IKULU, DAR: BALOZI WA TANZANIA NCHINI CUBA AAPISHWA
- Rais Magufuli amemuapisha Kamishna Valentino Mlowola kuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba
- Aidha, Balozi Mlowola amekula kiapo cha uadilifu mbele ya Jaji
Soma https://jamii.app/KuapishwaBaloziRipotiTAKUKURU
- Rais Magufuli amemuapisha Kamishna Valentino Mlowola kuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba
- Aidha, Balozi Mlowola amekula kiapo cha uadilifu mbele ya Jaji
Soma https://jamii.app/KuapishwaBaloziRipotiTAKUKURU
TANZANIA YATAKIWA KUHAKIKISHA VIFUNGU VYA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI VINAENDANA NA MKATABA WA EAC
> Hii ni baada ya Mahakama kukubaliana na waleta maombi kwamba vifungu vya Sheria ya Huduma za Habari, 2016 vinakiuka Mkataba wa EAC
Zaidi, soma > https://jamii.app/TanzaniaVsEACJ
> Hii ni baada ya Mahakama kukubaliana na waleta maombi kwamba vifungu vya Sheria ya Huduma za Habari, 2016 vinakiuka Mkataba wa EAC
Zaidi, soma > https://jamii.app/TanzaniaVsEACJ
IKULU, DAR: Baadhi ya nukuu za alichokisema Rais Magufuli wakati akimuapisha Balozi mteule, Valentino Mlowola anayekwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Cuba