MFANYABIASHARA ALIYETUHUMIWA KUTAKA KUWAUA WANAODAIWA KUWA WANAUSALAMA APEWA DHAMANA
> MARA: Ndugu, Peter Zakaria alikamatwa na kushikiliwa tangu Julai 5, 2018 kwa tuhuma za kujaribu kuwaua kwa kuwapiga risasi Ahmed Segule na Isaac Bwire
Soma > https://jamii.app/PeterZakariaDhamana
> MARA: Ndugu, Peter Zakaria alikamatwa na kushikiliwa tangu Julai 5, 2018 kwa tuhuma za kujaribu kuwaua kwa kuwapiga risasi Ahmed Segule na Isaac Bwire
Soma > https://jamii.app/PeterZakariaDhamana
ALGERIA: MKUU WA MAJESHI ATAKA RAIS WA NCHI ATANGAZWE KUPOTEZA SIFA YA KUONGOZA
- Ahmed Salah ametaka hivyo kufuatia maandamano kadhaa dhidi Rais Abdelaziz Bouteflika
- Anataka kuanzisha mchakato wa Kikatiba utakaomtangaza Rais kupoteza sifa
Zaidi, soma https://jamii.app/ArmyChief-BouteflikaALG
- Ahmed Salah ametaka hivyo kufuatia maandamano kadhaa dhidi Rais Abdelaziz Bouteflika
- Anataka kuanzisha mchakato wa Kikatiba utakaomtangaza Rais kupoteza sifa
Zaidi, soma https://jamii.app/ArmyChief-BouteflikaALG
TANZANIA MBIONI KUISHIWA DAWA ZA KUTULIZA MAUMIVU MAKALI
> Taarifa hii ni kwa mujibu wa tovuti ya 'The East African' imeelezwa kuwa taasisi ya Wagonjwa wa Saratani ya Ocean Road ilitoa taarifa za tishio la kuisha kwa dawa hizo tangu 2018
Soma => https://jamii.app/DawaMaumivu
> Taarifa hii ni kwa mujibu wa tovuti ya 'The East African' imeelezwa kuwa taasisi ya Wagonjwa wa Saratani ya Ocean Road ilitoa taarifa za tishio la kuisha kwa dawa hizo tangu 2018
Soma => https://jamii.app/DawaMaumivu
MPENZI WANGU ANAUZA MAJENEZA, HAMU IMENIISHA
> Mdau wa JamiiForums anaeleza kuwa amekuwa kwenye mahusiano na huyo Mwanamke kwa muda wa miezi 6 sasa
> Anasema walikutana Kariakoo kwenye duka la simu la Mwanamke huyo lakini hakujua kama anamiliki duka la majeneza
Zaidi, soma => https://jamii.app/MpenziMajeneza
> Mdau wa JamiiForums anaeleza kuwa amekuwa kwenye mahusiano na huyo Mwanamke kwa muda wa miezi 6 sasa
> Anasema walikutana Kariakoo kwenye duka la simu la Mwanamke huyo lakini hakujua kama anamiliki duka la majeneza
Zaidi, soma => https://jamii.app/MpenziMajeneza
DPP KENYA ASEMA UFISADI UNAIMALIZA NCHI HIYO
- Noordi Haji amesema nchini hiyo kiuchumi inaelekea kufa kutokana na kukithiri kwa ufisadi usioelezeka
- Kutokana na Ufisadi, tangu Aprili 2018 hadi Januari 2019 Kenya imepoteza Ksh. Bilioni 16.8
Soma https://jamii.app/UfisadiWakithiriKenya
- Noordi Haji amesema nchini hiyo kiuchumi inaelekea kufa kutokana na kukithiri kwa ufisadi usioelezeka
- Kutokana na Ufisadi, tangu Aprili 2018 hadi Januari 2019 Kenya imepoteza Ksh. Bilioni 16.8
Soma https://jamii.app/UfisadiWakithiriKenya
MAREKANI: SENETA APENDEKEZA WATU KUOA NA KUZAA ILI KUDHIBITI MABADILIKO YA HALI YA HEWA
> Seneta wa Utah, Mike Lee amesema tatizo hilo litatatuliwa na ongezeko la watu watakaoleta ubunifu na soko la bidhaa za utunzaji wa mazingira litakuwepo
Soma > https://jamii.app/SenetaMikeLee
> Seneta wa Utah, Mike Lee amesema tatizo hilo litatatuliwa na ongezeko la watu watakaoleta ubunifu na soko la bidhaa za utunzaji wa mazingira litakuwepo
Soma > https://jamii.app/SenetaMikeLee
MTUHUMIWA ATOROKA, TAKUKURU KUTAIFISHA MALI ZAKE
- TAKUKURU inamtafuta Magreth Kobelo Gonzaga anayetuhumiwa kutakatisha fedha na kujipatia mali visivyo halali
- Imeeleza kuwa wakati uchunguzi ukiendelea mtuhumiwa huyo alitoroka nchini
Zadi, soma https://jamii.app/TakukuruYamsakaKobelo
- TAKUKURU inamtafuta Magreth Kobelo Gonzaga anayetuhumiwa kutakatisha fedha na kujipatia mali visivyo halali
- Imeeleza kuwa wakati uchunguzi ukiendelea mtuhumiwa huyo alitoroka nchini
Zadi, soma https://jamii.app/TakukuruYamsakaKobelo
MACHAKOS, KENYA: WATU 15 WAFARIKI NA WENGINE KUJERUHIWA KATIKA AJALI
- Imetoka leo alfajiri huko Matuu baada ya basi la abiria kugonga lori lililokuwa limesimama barabarani
- Inadaiwa chanzo ni kutokuwepo kwa alama kuonesha lori limesimama
Zaidi, soma https://jamii.app/AccidentMatuu15Dead
- Imetoka leo alfajiri huko Matuu baada ya basi la abiria kugonga lori lililokuwa limesimama barabarani
- Inadaiwa chanzo ni kutokuwepo kwa alama kuonesha lori limesimama
Zaidi, soma https://jamii.app/AccidentMatuu15Dead
DAR: JESHI LA POLISI LIMEUZUIA MKUTANO WA NDANI WA ACT WAZALENDO
> Askari wa Jeshi la Polisi wamefika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa PR Stadium uliopo karibu na Uwanja wa Taifa na kuwataka Watu waliokuwepo eneo hilo watawanyike
Zaidi, soma => https://jamii.app/PolisiVsMkutanoACT
> Askari wa Jeshi la Polisi wamefika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa PR Stadium uliopo karibu na Uwanja wa Taifa na kuwataka Watu waliokuwepo eneo hilo watawanyike
Zaidi, soma => https://jamii.app/PolisiVsMkutanoACT
BIASHARA 5 UNAZOWEZA KUZIANZISHA WAKATI WOWOTE NA ZIKAFANIKIWA
> Biashara ya kuuza mazao ya chakula, kupika na kuuza chakula, huduma za mavazi, ufugaji wa Kuku na Samaki, pamoja na biashara ya kilimo cha mbogamboga na matunda
Zaidi, soma > https://jamii.app/Biashara5
#JFBiashara
> Biashara ya kuuza mazao ya chakula, kupika na kuuza chakula, huduma za mavazi, ufugaji wa Kuku na Samaki, pamoja na biashara ya kilimo cha mbogamboga na matunda
Zaidi, soma > https://jamii.app/Biashara5
#JFBiashara
KENYA: BAADHI YA WABUNGE WATAKA KUMNG'OA MAKAMU WA RAIS
- Wakiongozwa na Seneta wa Siya, James Orengo wanawaza kumng’oa William Ruto
- Moja ya sababu ni Ruto kudai pesa iliyopotea katika mradi wa mbwawa ni Ksh. Bilioni 7 na si Ksh. Bilioni 21
Zaidi, soma https://jamii.app/RutoImpeachmentMovement
- Wakiongozwa na Seneta wa Siya, James Orengo wanawaza kumng’oa William Ruto
- Moja ya sababu ni Ruto kudai pesa iliyopotea katika mradi wa mbwawa ni Ksh. Bilioni 7 na si Ksh. Bilioni 21
Zaidi, soma https://jamii.app/RutoImpeachmentMovement
MATANGAZO YA UZAZI WA MPANGO YARUHUSIWA KUTANGAZWA
- Wizara ya Afya imeruhusu matangazo hayo katika redio na runinga baada ya kurekebisha mwongozo wa Vigezo
- Moja ya kigezo kwa sasa ni tangazo kupitiwa na Kamati ya Wizara kabla ya kutangazwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MatangazoUzaziMpangoYaruhusiwa
- Wizara ya Afya imeruhusu matangazo hayo katika redio na runinga baada ya kurekebisha mwongozo wa Vigezo
- Moja ya kigezo kwa sasa ni tangazo kupitiwa na Kamati ya Wizara kabla ya kutangazwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MatangazoUzaziMpangoYaruhusiwa
NAMANGA: VURUGU ZAIBUKA MPAKANI MWA TANZANIA NA KENYA
- Wakenya wamechoma matairi barabarani kuzuia Watanzania kuingia nchini mwao
- Wanadai Polisi wa Tanzania jana usiku walivuka mpaka na kumchukua kinguvu Mfanyabiasha wa Kenya akiwa dukani
Zaidi, soma https://jamii.app/VuruguMpakaniNamangaKE-TZ
- Wakenya wamechoma matairi barabarani kuzuia Watanzania kuingia nchini mwao
- Wanadai Polisi wa Tanzania jana usiku walivuka mpaka na kumchukua kinguvu Mfanyabiasha wa Kenya akiwa dukani
Zaidi, soma https://jamii.app/VuruguMpakaniNamangaKE-TZ
MAKOSA YA MTANDAO: BOB CHACHA WANGWE ASHINDA KESI DHIDI YA JAMHURI
- Mahakama Kuu imeona hukumu ya kesi ya Jamhuri dhidi ya Wangwe ya kutotii Sheria ya Mtandao haikuwa na mashiko
- Wangwe alilipa faini ya Tsh. Milioni 5 katika kesi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/WangweAibwagaJamhuri
- Mahakama Kuu imeona hukumu ya kesi ya Jamhuri dhidi ya Wangwe ya kutotii Sheria ya Mtandao haikuwa na mashiko
- Wangwe alilipa faini ya Tsh. Milioni 5 katika kesi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/WangweAibwagaJamhuri
DAR: POLISI YAZUIA MKUTANO WA ACT-WAZALENDO NA WANAHABARI
- Imezuia mkutano wa Viongozi wa ACT na Wanahabari katika ofisi za chama hicho zilizopo Kijitonyama
- Viongozi walitaka kuongea baada ya mapema leo kuzuiliwa kufanya mkutano wa ndani
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiVsMkutanoACT
- Imezuia mkutano wa Viongozi wa ACT na Wanahabari katika ofisi za chama hicho zilizopo Kijitonyama
- Viongozi walitaka kuongea baada ya mapema leo kuzuiliwa kufanya mkutano wa ndani
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiVsMkutanoACT
WALIOTOROSHA MAKONTENA 329 BANDARINI WAFUNGWA MIAKA 3
- Hukumu hiyo imetolewa katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi
- Watuhumiwa hao watatu wametiwa hatiani katika mashtaka 107 kati ya 110 yaliyokuwa yakiwakabili
Zaidi, soma https://jamii.app/WaliotoroshaMakontenaWafungwa
- Hukumu hiyo imetolewa katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi
- Watuhumiwa hao watatu wametiwa hatiani katika mashtaka 107 kati ya 110 yaliyokuwa yakiwakabili
Zaidi, soma https://jamii.app/WaliotoroshaMakontenaWafungwa
MEYA WA MANISPAA YA MTWARA MIKINDANI AJIUNGA CCM AKITOKEA CUF
- Meya huyo ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Tandika, Geoffrey Isack Mwachisye ametangaza uamuzi huo leo
- Amesema ameamua kufanya hivyo ili kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli
Zaidi, soma https://jamii.app/MeyaMtwaraAjiungaCCM
- Meya huyo ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Tandika, Geoffrey Isack Mwachisye ametangaza uamuzi huo leo
- Amesema ameamua kufanya hivyo ili kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli
Zaidi, soma https://jamii.app/MeyaMtwaraAjiungaCCM
MWANZA: WATUHUMIWA WA KESI YA KUTOROSHA MADINI WAKIRI MAKOSA YAO
> Askari wa Polisi wanaotuhumiwa kuomba rushwa na kuwasindikiza wafanyabiashara hao wao wamekana mashtaka dhidi yao
> Serikali imewasilisha ushahidi wake kwenye kesi hiyo
Soma > https://jamii.app/KesiMadiniMwanza
#JFLeo
> Askari wa Polisi wanaotuhumiwa kuomba rushwa na kuwasindikiza wafanyabiashara hao wao wamekana mashtaka dhidi yao
> Serikali imewasilisha ushahidi wake kwenye kesi hiyo
Soma > https://jamii.app/KesiMadiniMwanza
#JFLeo
BURUNDI: WATOTO WALIOKAMATWA KWA KUCHORA VIBAYA PICHA YA RAIS WAACHIWA
- Wameachiwa kwa muda ikiwa ni siku chache tangu baadhi ya watumiaji wa Twitter kuanzisha kampeni ili waachiwe
- Walichora vibaya picha ya Rais Nkurunziza ktk vitabu vyao
Soma https://jamii.app/WatotoPichaRaisWaachiwa
- Wameachiwa kwa muda ikiwa ni siku chache tangu baadhi ya watumiaji wa Twitter kuanzisha kampeni ili waachiwe
- Walichora vibaya picha ya Rais Nkurunziza ktk vitabu vyao
Soma https://jamii.app/WatotoPichaRaisWaachiwa
KILIMANJARO: VIJANA WATUMIA SUMU YA PANYA KAMA MBADALA WA DAWA ZA KULEVYA
> Ni baada ya #DawaZaKulevya kuadimika nchini kwa kiasi kikubwa
> Imeelezwa kuwa ni ngumu kudhibiti matumizi ya kemikali hizo kwasababu hutumika kwa mahitaji mengine
Soma > https://jamii.app/KemikaliDawaKulevya
> Ni baada ya #DawaZaKulevya kuadimika nchini kwa kiasi kikubwa
> Imeelezwa kuwa ni ngumu kudhibiti matumizi ya kemikali hizo kwasababu hutumika kwa mahitaji mengine
Soma > https://jamii.app/KemikaliDawaKulevya