JamiiForums
52.7K subscribers
34.4K photos
2.45K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
KENYA: JAJI MWENYE UMRI WA MIAKA 69 APINGA KUSTAAFU

> Jaji wa Mahakama ya Rufani, Erastus Githinji afungua shauri la kupinga muda wake wa kustaafu

> Asema alizaliwa Desemba 30, 1949 hivyo atastaafu Desemba 29, 2019 na si Julai 1, 2019

Soma > https://jamii.app/JajiKenyaKustaafu
DAR: MTOTO WA MIAKA 7 AFARIKI DUNIA BAADA YA KUKANYAGWA UWANJA WA TAIFA

> Mtoto Ibrahim Hassan amefariki dunia baada ya kukanyagwa na kuangukiwa na watu jana

> Inaelezwa kuwa zilitokea ghasia katika geti la kuingilia uwanjani hapo

Zaidi, soma => https://jamii.app/MtotoAfarikiGetiUwanjaTaifa
CHUO CHA URUBANI KUJENGWA NCHINI KWA UFADHILI WA CHINA

- Kitajengwa katika eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro(KIA)

- Kinajengwa huko kwa ajili ya urahisi wa mazoezi kwani ni karibu na viwanja vya ndege Moshi, Tanga na Arusha

Zaidi, soma https://jamii.app/ChuoUrubaniTanzaniaKujengwa
KENYA: MWANAMKE AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUMNYONYESHA MTOTO HUKU AKIJUA AMEATHIRIKA KWA VVU

> Amefikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumnyonyesha Mtoto wa muajiri wake mwenye miezi 11

> Alikamatwa baada ya kuonekana kwenye Camera za CCTV

Soma > https://jamii.app/VVUAnyonyeshaKE
KAMPENI YAANZISHWA KUSHINIKIZA KUACHIWA KWA WATOTO WALIOKAMATWA KISA PICHA YA RAIS

- Baadhi ya Watumiaji wa mtandao wa Twitter wanasambaza picha za Rais Nkurunzinza wa Burundi zilizochorwa vibaya

- Zinaambatanishwa na hashtag ya FreeOurGirls

Zaidi, soma https://jamii.app/KampeniKuachiwaWatotoBRND
ACT-WAZALENDO YAPEWA SIKU 14 KUJIELEZA KWANINI ISIFUTIWE USAJILI

- Msajili wa Vyama vya Siasa ameeleza kuwa Chama hicho kimevunja sheria kadhaa za vyama vya Siasa

- Ikiwemo viongozi wa chama kutokemea vitendo vya kuchomwa kwa bendera za CUF

Zaidi, soma https://jamii.app/ACTSiku14Kujieleza
TEKNOLOJIA: MAMBO UNAYOWEZA KUFANYA KWA KAMERA YA SIMU

> Kamera ya simu inaweza kufanya kazi nyingi za faida zaidi ya kutumika katika kupiga picha. Baadhi ya kazi hizo ni ku-Scan nyaraka, ukalimani na ku-scan barcodes

Zaidi, soma => https://jamii.app/CameraZaSimu

#JFTeknolojia
MKOA WA DAR KINARA KWA BIASHARA HARAMU YA KUSAFIRISHA BINADAMU

- Waziri Lugola amebainisha hayo na kuwaonya wanaojihusisha na biashara hiyo kuacha

- Aidha, kuanzia Januari-Disemba 2018 Watanzania 147 wahanga wa biashara hiyo wameokolewa

Zaidi, soma https://jamii.app/HumanTraffickingDar
TAHADHARI YA JOTO KALI NA UKAME YATOLEWA AFRIKA MASHARIKI

- Ni kwa mujibu wa Kituo cha Utabiri wa Hali ya Hewa cha Mamlaka ya Maendeleo Kenya(IGAD)

- Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA) imesema mwaka huu kutakuwa na kipindi kifupi cha mvua

Zaidi, soma https://jamii.app/TahadhariUkameJoto-2019
WATU WATANO WANAODAIWA KUWA MAJAMBAZI WAUAWA KIGOMA

- Polisi imewaua Watu hao wakati wakijiandaa kuteka magari katika pori la Rusohoko barabara ya Kibondo-Kasulu

- Katika tukio hilo, Askari 2 wameheruhiwa na Majambazi wengine kadhaa kukimbia

Zaidi, soma https://jamii.app/MajambaziWauawaKGM
MKURUGENZI MKUU MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE NCHINI(TAA) ATENGULIWA

- Rais Magufuli ametengua uteuzi wa aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo Richard Mayongela

- Meneja wa TANROADS-Dar, Mhandisi Julius Ndyamukama ameteuliwa kushika nafasi hiyo

Zaidi, soma https://jamii.app/UteuziMkurugenziTAA-Machi2019
JUMA DUNI HAJI ATEULIWA KUWA NAIBU KIONGOZI ACT-WAZALENDO

- Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe amesema Kamati ya Uongozi imeridhia pendekezo lake la kuteua Naibu Kiongozi

- Uteuzi wa Duni aliyejiunga ACT akitokea CUF utaanza rasmi kesho Machi 27

Zaidi, soma https://jamii.app/DuniNaibuKiongoziACT
TAKUKURU YAINGIZA BILIONI 14.9 KWA KUTAIFISHA MALI ZA MAFISADI

> Kisasi hicho kimepatikana baada ya kutaifisha nyumba 7 magari manne kutoka kwa watu wanaoelezwa kuwa ni mafisadi

> Fedha hizo zimepatika kuanzia mwaka 2016 hadi 2019

Soma > https://jamii.app/TAKUKURUBilioni14
AFYA: MADHARA YA KUTUMIA DAWA BILA YA USHAURI WA DAKTARI

> Matumizi holela ya dawa yanaweza kusababisha kifo, kuharibu baadhi ya seli za mwili na kuzifanya kugeuka kuwa seli za saratani, usugu wa maradhi na tatizo la mzio(Allegy)

Zaidi, soma => https://jamii.app/MadharaYaDawa
WALIOCHOMA BENDERA ZA CUF KUFIKISHWA MAHAKAMANI

- CUF imefungua kesi dhidi ya watu walioshiriki kuchoma bendera na kubadilisha rangi za ofisi za chama hicho

- Kesi imefunguliwa jana katika Mahakama ya Vuga iliyopo Mjini Unguja, Zanzibar

Zaidi, soma https://jamii.app/WaliochomaBenderaCUF
JE, NIFANYAJE IWAPO POLISI HATAKI KUNISAIDA AU ANAVUNJA HAKI ZANGU?

> Iwapo Askari Polisi hana msaada au amevunja haki yako, unaweza kulalamika kwa afisa wa Polisi wa ngazi ya juu kwa kupeleka malalamiko kwa barua

Kwa elimu zaidi, fungua https://jamii.app/Mambo101Polisi

#JFCivicSpace
ACT-WAZALENDO YAZUNGUMZIA BARUA YA MSAJILI KUTAKA KUKIFUTA CHAMA HICHO

- Yasema madai ya kutowasilisha hesabu za mwaka 2013/14 si ukweli

- Kuhusu kuchomwa bendera za CUF, imesema msajili anaonesha hana uhakika waliofanya hivyo ni akina nani

Zaidi, soma https://jamii.app/ACTWazalendo-MsajiliVyama
SAMATTA AITAKA TFF IMKUMBUKE SHOMARI KAPOMBE KATIKA ZAWADI

- Kapombe hakuweza kuendelea kuwa katika Kikosi cha Taifa Stars baada ya kupata majeraha ktk maandalizi ya mchezo wa kuwania kufuzu AFCON kati ya Taifa Stars dhidi ya Lesotho

Soma > https://jamii.app/SamattaShomariTFF
BRAZIL: RAIS WA ZAMANI AACHIWA BAADA YA KUKAMATWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA

- Michel Temer aliachiwa huru jana baada ya kuwa kizuizini tangu Alhamisi wiki iliyopita

- Mahakama imesema Wapelelezi hawajaeleza umuhimu wa kumuweka kizuizini Rais huyo

Soma https://jamii.app/ExPresidentArrested
KIGOMA: NYUMBA YA TEMBE ILIYOUNGANISHIWA UMEME YAZINDULIWA NA WAZIRI

> Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ameizindua nyumba ya Rose Kagoma iliyounganishiwa umeme wa REA katika Kijiji cha Ruganga Wilayani Kibondo

Zaidi, soma => https://jamii.app/NyumbeTembeUmeme

#JFLeo