KENYA: JAJI MWENYE UMRI WA MIAKA 69 APINGA KUSTAAFU
> Jaji wa Mahakama ya Rufani, Erastus Githinji afungua shauri la kupinga muda wake wa kustaafu
> Asema alizaliwa Desemba 30, 1949 hivyo atastaafu Desemba 29, 2019 na si Julai 1, 2019
Soma > https://jamii.app/JajiKenyaKustaafu
> Jaji wa Mahakama ya Rufani, Erastus Githinji afungua shauri la kupinga muda wake wa kustaafu
> Asema alizaliwa Desemba 30, 1949 hivyo atastaafu Desemba 29, 2019 na si Julai 1, 2019
Soma > https://jamii.app/JajiKenyaKustaafu
DAR: MTOTO WA MIAKA 7 AFARIKI DUNIA BAADA YA KUKANYAGWA UWANJA WA TAIFA
> Mtoto Ibrahim Hassan amefariki dunia baada ya kukanyagwa na kuangukiwa na watu jana
> Inaelezwa kuwa zilitokea ghasia katika geti la kuingilia uwanjani hapo
Zaidi, soma => https://jamii.app/MtotoAfarikiGetiUwanjaTaifa
> Mtoto Ibrahim Hassan amefariki dunia baada ya kukanyagwa na kuangukiwa na watu jana
> Inaelezwa kuwa zilitokea ghasia katika geti la kuingilia uwanjani hapo
Zaidi, soma => https://jamii.app/MtotoAfarikiGetiUwanjaTaifa
CHUO CHA URUBANI KUJENGWA NCHINI KWA UFADHILI WA CHINA
- Kitajengwa katika eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro(KIA)
- Kinajengwa huko kwa ajili ya urahisi wa mazoezi kwani ni karibu na viwanja vya ndege Moshi, Tanga na Arusha
Zaidi, soma https://jamii.app/ChuoUrubaniTanzaniaKujengwa
- Kitajengwa katika eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro(KIA)
- Kinajengwa huko kwa ajili ya urahisi wa mazoezi kwani ni karibu na viwanja vya ndege Moshi, Tanga na Arusha
Zaidi, soma https://jamii.app/ChuoUrubaniTanzaniaKujengwa
KENYA: MWANAMKE AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUMNYONYESHA MTOTO HUKU AKIJUA AMEATHIRIKA KWA VVU
> Amefikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumnyonyesha Mtoto wa muajiri wake mwenye miezi 11
> Alikamatwa baada ya kuonekana kwenye Camera za CCTV
Soma > https://jamii.app/VVUAnyonyeshaKE
> Amefikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumnyonyesha Mtoto wa muajiri wake mwenye miezi 11
> Alikamatwa baada ya kuonekana kwenye Camera za CCTV
Soma > https://jamii.app/VVUAnyonyeshaKE
KAMPENI YAANZISHWA KUSHINIKIZA KUACHIWA KWA WATOTO WALIOKAMATWA KISA PICHA YA RAIS
- Baadhi ya Watumiaji wa mtandao wa Twitter wanasambaza picha za Rais Nkurunzinza wa Burundi zilizochorwa vibaya
- Zinaambatanishwa na hashtag ya FreeOurGirls
Zaidi, soma https://jamii.app/KampeniKuachiwaWatotoBRND
- Baadhi ya Watumiaji wa mtandao wa Twitter wanasambaza picha za Rais Nkurunzinza wa Burundi zilizochorwa vibaya
- Zinaambatanishwa na hashtag ya FreeOurGirls
Zaidi, soma https://jamii.app/KampeniKuachiwaWatotoBRND
ACT-WAZALENDO YAPEWA SIKU 14 KUJIELEZA KWANINI ISIFUTIWE USAJILI
- Msajili wa Vyama vya Siasa ameeleza kuwa Chama hicho kimevunja sheria kadhaa za vyama vya Siasa
- Ikiwemo viongozi wa chama kutokemea vitendo vya kuchomwa kwa bendera za CUF
Zaidi, soma https://jamii.app/ACTSiku14Kujieleza
- Msajili wa Vyama vya Siasa ameeleza kuwa Chama hicho kimevunja sheria kadhaa za vyama vya Siasa
- Ikiwemo viongozi wa chama kutokemea vitendo vya kuchomwa kwa bendera za CUF
Zaidi, soma https://jamii.app/ACTSiku14Kujieleza
TEKNOLOJIA: MAMBO UNAYOWEZA KUFANYA KWA KAMERA YA SIMU
> Kamera ya simu inaweza kufanya kazi nyingi za faida zaidi ya kutumika katika kupiga picha. Baadhi ya kazi hizo ni ku-Scan nyaraka, ukalimani na ku-scan barcodes
Zaidi, soma => https://jamii.app/CameraZaSimu
#JFTeknolojia
> Kamera ya simu inaweza kufanya kazi nyingi za faida zaidi ya kutumika katika kupiga picha. Baadhi ya kazi hizo ni ku-Scan nyaraka, ukalimani na ku-scan barcodes
Zaidi, soma => https://jamii.app/CameraZaSimu
#JFTeknolojia
MKOA WA DAR KINARA KWA BIASHARA HARAMU YA KUSAFIRISHA BINADAMU
- Waziri Lugola amebainisha hayo na kuwaonya wanaojihusisha na biashara hiyo kuacha
- Aidha, kuanzia Januari-Disemba 2018 Watanzania 147 wahanga wa biashara hiyo wameokolewa
Zaidi, soma https://jamii.app/HumanTraffickingDar
- Waziri Lugola amebainisha hayo na kuwaonya wanaojihusisha na biashara hiyo kuacha
- Aidha, kuanzia Januari-Disemba 2018 Watanzania 147 wahanga wa biashara hiyo wameokolewa
Zaidi, soma https://jamii.app/HumanTraffickingDar
TAHADHARI YA JOTO KALI NA UKAME YATOLEWA AFRIKA MASHARIKI
- Ni kwa mujibu wa Kituo cha Utabiri wa Hali ya Hewa cha Mamlaka ya Maendeleo Kenya(IGAD)
- Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA) imesema mwaka huu kutakuwa na kipindi kifupi cha mvua
Zaidi, soma https://jamii.app/TahadhariUkameJoto-2019
- Ni kwa mujibu wa Kituo cha Utabiri wa Hali ya Hewa cha Mamlaka ya Maendeleo Kenya(IGAD)
- Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA) imesema mwaka huu kutakuwa na kipindi kifupi cha mvua
Zaidi, soma https://jamii.app/TahadhariUkameJoto-2019
WATU WATANO WANAODAIWA KUWA MAJAMBAZI WAUAWA KIGOMA
- Polisi imewaua Watu hao wakati wakijiandaa kuteka magari katika pori la Rusohoko barabara ya Kibondo-Kasulu
- Katika tukio hilo, Askari 2 wameheruhiwa na Majambazi wengine kadhaa kukimbia
Zaidi, soma https://jamii.app/MajambaziWauawaKGM
- Polisi imewaua Watu hao wakati wakijiandaa kuteka magari katika pori la Rusohoko barabara ya Kibondo-Kasulu
- Katika tukio hilo, Askari 2 wameheruhiwa na Majambazi wengine kadhaa kukimbia
Zaidi, soma https://jamii.app/MajambaziWauawaKGM
MKURUGENZI MKUU MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE NCHINI(TAA) ATENGULIWA
- Rais Magufuli ametengua uteuzi wa aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo Richard Mayongela
- Meneja wa TANROADS-Dar, Mhandisi Julius Ndyamukama ameteuliwa kushika nafasi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/UteuziMkurugenziTAA-Machi2019
- Rais Magufuli ametengua uteuzi wa aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo Richard Mayongela
- Meneja wa TANROADS-Dar, Mhandisi Julius Ndyamukama ameteuliwa kushika nafasi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/UteuziMkurugenziTAA-Machi2019
JUMA DUNI HAJI ATEULIWA KUWA NAIBU KIONGOZI ACT-WAZALENDO
- Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe amesema Kamati ya Uongozi imeridhia pendekezo lake la kuteua Naibu Kiongozi
- Uteuzi wa Duni aliyejiunga ACT akitokea CUF utaanza rasmi kesho Machi 27
Zaidi, soma https://jamii.app/DuniNaibuKiongoziACT
- Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe amesema Kamati ya Uongozi imeridhia pendekezo lake la kuteua Naibu Kiongozi
- Uteuzi wa Duni aliyejiunga ACT akitokea CUF utaanza rasmi kesho Machi 27
Zaidi, soma https://jamii.app/DuniNaibuKiongoziACT
TAKUKURU YAINGIZA BILIONI 14.9 KWA KUTAIFISHA MALI ZA MAFISADI
> Kisasi hicho kimepatikana baada ya kutaifisha nyumba 7 magari manne kutoka kwa watu wanaoelezwa kuwa ni mafisadi
> Fedha hizo zimepatika kuanzia mwaka 2016 hadi 2019
Soma > https://jamii.app/TAKUKURUBilioni14
> Kisasi hicho kimepatikana baada ya kutaifisha nyumba 7 magari manne kutoka kwa watu wanaoelezwa kuwa ni mafisadi
> Fedha hizo zimepatika kuanzia mwaka 2016 hadi 2019
Soma > https://jamii.app/TAKUKURUBilioni14
AFYA: MADHARA YA KUTUMIA DAWA BILA YA USHAURI WA DAKTARI
> Matumizi holela ya dawa yanaweza kusababisha kifo, kuharibu baadhi ya seli za mwili na kuzifanya kugeuka kuwa seli za saratani, usugu wa maradhi na tatizo la mzio(Allegy)
Zaidi, soma => https://jamii.app/MadharaYaDawa
> Matumizi holela ya dawa yanaweza kusababisha kifo, kuharibu baadhi ya seli za mwili na kuzifanya kugeuka kuwa seli za saratani, usugu wa maradhi na tatizo la mzio(Allegy)
Zaidi, soma => https://jamii.app/MadharaYaDawa
WALIOCHOMA BENDERA ZA CUF KUFIKISHWA MAHAKAMANI
- CUF imefungua kesi dhidi ya watu walioshiriki kuchoma bendera na kubadilisha rangi za ofisi za chama hicho
- Kesi imefunguliwa jana katika Mahakama ya Vuga iliyopo Mjini Unguja, Zanzibar
Zaidi, soma https://jamii.app/WaliochomaBenderaCUF
- CUF imefungua kesi dhidi ya watu walioshiriki kuchoma bendera na kubadilisha rangi za ofisi za chama hicho
- Kesi imefunguliwa jana katika Mahakama ya Vuga iliyopo Mjini Unguja, Zanzibar
Zaidi, soma https://jamii.app/WaliochomaBenderaCUF
JE, NIFANYAJE IWAPO POLISI HATAKI KUNISAIDA AU ANAVUNJA HAKI ZANGU?
> Iwapo Askari Polisi hana msaada au amevunja haki yako, unaweza kulalamika kwa afisa wa Polisi wa ngazi ya juu kwa kupeleka malalamiko kwa barua
Kwa elimu zaidi, fungua https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
> Iwapo Askari Polisi hana msaada au amevunja haki yako, unaweza kulalamika kwa afisa wa Polisi wa ngazi ya juu kwa kupeleka malalamiko kwa barua
Kwa elimu zaidi, fungua https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
ACT-WAZALENDO YAZUNGUMZIA BARUA YA MSAJILI KUTAKA KUKIFUTA CHAMA HICHO
- Yasema madai ya kutowasilisha hesabu za mwaka 2013/14 si ukweli
- Kuhusu kuchomwa bendera za CUF, imesema msajili anaonesha hana uhakika waliofanya hivyo ni akina nani
Zaidi, soma https://jamii.app/ACTWazalendo-MsajiliVyama
- Yasema madai ya kutowasilisha hesabu za mwaka 2013/14 si ukweli
- Kuhusu kuchomwa bendera za CUF, imesema msajili anaonesha hana uhakika waliofanya hivyo ni akina nani
Zaidi, soma https://jamii.app/ACTWazalendo-MsajiliVyama
SAMATTA AITAKA TFF IMKUMBUKE SHOMARI KAPOMBE KATIKA ZAWADI
- Kapombe hakuweza kuendelea kuwa katika Kikosi cha Taifa Stars baada ya kupata majeraha ktk maandalizi ya mchezo wa kuwania kufuzu AFCON kati ya Taifa Stars dhidi ya Lesotho
Soma > https://jamii.app/SamattaShomariTFF
- Kapombe hakuweza kuendelea kuwa katika Kikosi cha Taifa Stars baada ya kupata majeraha ktk maandalizi ya mchezo wa kuwania kufuzu AFCON kati ya Taifa Stars dhidi ya Lesotho
Soma > https://jamii.app/SamattaShomariTFF
BRAZIL: RAIS WA ZAMANI AACHIWA BAADA YA KUKAMATWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA
- Michel Temer aliachiwa huru jana baada ya kuwa kizuizini tangu Alhamisi wiki iliyopita
- Mahakama imesema Wapelelezi hawajaeleza umuhimu wa kumuweka kizuizini Rais huyo
Soma https://jamii.app/ExPresidentArrested
- Michel Temer aliachiwa huru jana baada ya kuwa kizuizini tangu Alhamisi wiki iliyopita
- Mahakama imesema Wapelelezi hawajaeleza umuhimu wa kumuweka kizuizini Rais huyo
Soma https://jamii.app/ExPresidentArrested
KIGOMA: NYUMBA YA TEMBE ILIYOUNGANISHIWA UMEME YAZINDULIWA NA WAZIRI
> Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ameizindua nyumba ya Rose Kagoma iliyounganishiwa umeme wa REA katika Kijiji cha Ruganga Wilayani Kibondo
Zaidi, soma => https://jamii.app/NyumbeTembeUmeme
#JFLeo
> Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ameizindua nyumba ya Rose Kagoma iliyounganishiwa umeme wa REA katika Kijiji cha Ruganga Wilayani Kibondo
Zaidi, soma => https://jamii.app/NyumbeTembeUmeme
#JFLeo