JamiiForums
52.7K subscribers
34.4K photos
2.45K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
CANADA: PADRI ASHAMBULIWA AKIWA ANAONGOZA IBADA

> Claude Grou(77) aliyekuwa anaongoza ibada ndani ya Kanisa Katoliki, alivamiwa na mwanaume aliyekuwa amevaa kofia

> Sababu za kuvamiwa bado hazijafahamika, mtuhumiwa anashikiliwa na polisi

Zaidi, soma https://jamii.app/PadreCanadaAshambuliwa
DAR: WAISLAM WAUNGANA KWENYE DUA KUOMBA MVUA

> Dua hiyo kwa ajili ya kuombea mvua inyeshe na ili kuondokana na ukame imefanyika viwanja vya Mnazi Mmoja leo, Machi 24

> Mufti Abubakar amewataka Maimamu nchini kwenye swala ya Ijumaa kuomba Dua ya Kunuti

Zaidi, soma https://jamii.app/WaislamDuaMvua
MICHEZO: Tanzania imefuzu kushiriki Michuano ya Mataifa ya Africa (AFCON) baada ya kuinyuka Uganda goli 3-0

- Matokeo ya Lesotho na Cape Verde ni 0-0 na timu hizo zimeondolewa kwenye mashindano hayo

#afcon2019
TETEMEKO LATIKISA MAENEO YA KENYA, KILIMANJARO & ARUSHA

> Tetemeko la Ardhi lenye ukubwa wa 4.8 kwa kipimo cha Richa limeyakumba maeneo kadhaa ya Kenya & Kilimanjaro na Arusha kwa Tanzania

> Athari za tetemeko hilo hazijajulikana

Soma jamii.app/TetemekoKenya
#earthquake #JFLeo
WALIMU WAANDAMANA NCHINI MOROCCO

- Wameandamana hapo jana katika mitaa ya Rabat wakitaka kuboreshwa kwa mazingira ya kazi

- Wengi ni vijana wanaotaka ajira ya kudumu kwa kuwa wakistaafu hawapati haki sawa na wenye mikataba ya kudumu

Zaidi, soma https://jamii.app/MoroccoTeachersProtest1
RAIS MAGUFULI KUKUTANA NA TAIFA STARS NA BONDIA MWAKINYO

- Rais atakutana na Wanamichezo hao leo Ikulu jijini Dar ili kuwapongeza na kula nao chakula cha mchana

- Pia katika msafara huo atakutana na Viongozi wa TFF na Kamati ya uhamasishaji

Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliWanamichezoIkulu-Machi2019
MWALIMU KUTOKA KENYA ASHINDA TUZO YA MWALIMU BORA DUNIANI

- Mwalimu wa hesabu na fizikia, Peter Tabishi kutoka shule moja ya Sekondari ameshinda tuzo hiyo kwa mwaka 2019

- Amewashinda Walimu wengine 9 kutoka sehemu mbalimbali Ulimwenguni

Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuBoraDuniani-2019
ARUSHA: TANI 8 ZA NYAMA YA NG'OMBE NA NGURUWE ZATEKETEZWA

- Serikali imeteketeza nyama hizo zenye viambata vya sumu na zilizokwisha muda wa matumizi

- Zimekamatwa zikiuzwa katika maduka makubwa licha ya kutofaa kwa matumizi ya binadamu

Zaidi, soma https://jamii.app/NyamaZateketezwaArusha
TAKUKURU YAWASHIKILIA VIONGOZI WA CCM KWA TUHUMA ZA RUSHWA

- Ni Katibu CCM tawi la Amana, Jenipher Mushi; Katibu Kata CCM Ilala, Devota Bantulaki na Katibu Hamasa CCM-Dar, Frank Mang'ati

- Waliomba rushwa ya Tsh. Milioni 5 na kupokea Tsh. Milioni 3

Zaidi, soma https://jamii.app/ViongoziCCMIlalaMbaroni
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA WACHEZAJI WA TAIFA STARS NA BONDIA MWAKINYO

> Amekutana na Wachezaji wa Taifa Stars, viongozi wa TFF, Kamati ya Uhamasishaji na Bondia Hassan Mwakinyo

> Rais atawapongeza na kula nao chakula cha mchana

Zaidi, soma => https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
RAIS MAGUFULI AWAPATIA VIWANJA WACHEZAJI WA TAIFA STARS

- Wachezaji hao na Bondia Hassan Mwanyiko na Mwalimu wake watapatiwa viwanja mkoani Dodoma

- Rais amesema hiyo ni zawadi ya Serikali kwa niaba ya Watanzania kama shukrani

Zaidi, soma https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
RAIS MAGUFULI AMPA MCHEZAJI WA ZAMANI TSH. MILIONI 5

- Aliyepewa ni Peter Tino mchezaji aliyekuwepo kwenye kikosi cha mwaka 1979 kilichofuzu AFCON

- Amempatia wakati alipokutana na Wachezaji wa Taifa Stars na Bondia Mwakinyo

Zaidi, soma https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
SERIKALI YATOA BILIONI 1 KWA MAANDALIZI YA U-17 AFRICA CUP OF NATIONS

- Rais Magufuli ametoa ahadi hiyo ili kusaidia maandalizi ya michuano hiyo ya chini ya miaka 17 itakayofanyika nchini

- Itafanyika Aprili 14 hadi Aprili 28 mwaka huu ambapo Tanzania inashiriki kwa mara ya pili

Zaidi, soma https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
KIMBUNGA IDAI: IDADI YA WATU WALIOFARIKI NI ZAIDI YA 750

- Msumbiji idadi ya Watu waliofariki imefikia 446, Zimbabwe imefikia 259 huku Malawi ikiwa ni 56

- Mamlaka inasema kuna uwezekano mkubwa kutokea kwa magonjwa ya Mlipuko

Zaidi, soma https://jamii.app/KimbungaChauaZimbabwe
SERENGETI, MARA: AFUNGWA MIAKA 30 KWA HATIA YA KUMBAKA MAMA YAKE MZAZI

> Mahakama imemkuta na hatia hiyo Choral Samson(28) aliyembaka Bi. Robhi Nyang'ombe(65)

> Kijana huyo ameiomba Mahakama impunguzie adhabu kwani ni kosa lake la kwanza

Soma => https://jamii.app/Miaka30jelaKumbakaMama
MOSHI, KILIMANJARO: VIBAKA WAVAMIA HOSPITALI NA KUIBA

> Vibaka hao wanaoelezwa kuwa walikuwa wawili walivamia Wodi namba 1 katika Hospitali ya Kilimanjaro CRCT

> Katika Wodi hiyo walipora simu, fedha na mikoba ya akina Mama waliolazwa

Soma > https://jamii.app/VibakaHospitali

#JFLeo
KISUTU: MAHAKAMA YAKATAA MDHAMINI WA TUNDU LISSU KUJITOA KWENYE KESI

- Mdhamini Robert Katula katika kesi ya uchochezi aliomba kujitoa akidai kukosa ushirikiano wa Mshtakiwa

- Hakimu amesema Mdhamini hawezi kujitoa mshtakiwa asipokuwepo

Zaidi, soma https://jamii.app/MdhaminiLissuKujitoaKesi
KAMPALA, UGANDA: MAJAJI WA MAHAKAMA KUU WAGOMA, WADAI MASLAHI BORA

> Waamua kusitisha huduma kwenye vituo vya kimahakama 20 kwa maelezo kuwa serikali inapuuza madai yao

> Wanadai ongezeko la marupurupu, fedha za uendeshaji na watumishi

Zaidi, soma https://jamii.app/MajajiWagomaUG
SERIKALI YA NIGERIA YASHINDWA KUTHIBITISHA MADAI DHIDI YA JAJI MKUU

- Jaji Onnoghen alisimamishwa kazi na Rais Buhari akishutumiwa kushindwa kuweka wazi mali alizokuwa nazo kabla ya kuwa Jaji Mkuu

- Serikali yafunga kesi iliyokuwa inamkabili

Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliNGRvJajiMkuu