VIWANGO VYA FURAHA: TANZANIA YASHIKA NAFASI YA 153 KATI YA 156
> Hii ni ripoti ya 7 tangu ripoti hizi zianze kuchapishwa
> Teknolojia ya mawasiliano, utawala na maisha ya jamii yamechangia kwa kiwango kikubwa katika kuandaa ripoto hii
Soma => https://jamii.app/HappinessIndex
#JFLeo
> Hii ni ripoti ya 7 tangu ripoti hizi zianze kuchapishwa
> Teknolojia ya mawasiliano, utawala na maisha ya jamii yamechangia kwa kiwango kikubwa katika kuandaa ripoto hii
Soma => https://jamii.app/HappinessIndex
#JFLeo
KENYA: POLISI WAKAMATA SANDUKU LENYE NOTI BANDIA BARCLAYS
> Jeshi la Polisi jijini Nairobi linawashikilia watu 6 kwa tuhuma za kumiliki pesa bandia zenye thamani ya Dola milioni 20 (zaidi ya Tsh bilioni 46) zilizopatikana ndani ya chumba cha kuhifadhia fedha cha tawi la Benki ya Barclays
> Kati yao wapo Maafisa wawili wa Benki hiyo
Soma - https://jamii.app/NotiBandiaBarclaysKE
#JFInternational
> Jeshi la Polisi jijini Nairobi linawashikilia watu 6 kwa tuhuma za kumiliki pesa bandia zenye thamani ya Dola milioni 20 (zaidi ya Tsh bilioni 46) zilizopatikana ndani ya chumba cha kuhifadhia fedha cha tawi la Benki ya Barclays
> Kati yao wapo Maafisa wawili wa Benki hiyo
Soma - https://jamii.app/NotiBandiaBarclaysKE
#JFInternational
MFANYABIASHARA ALIYEBAMBIKIWA KESI ABAINIKA KUWA MKORA
> Mussa Adam alishawahi kufungwa miaka 20 jela kwa kosa la kubaka, alishaiba mahali na kukimbia na pingu na tukio la mwisho lililomfanya atiwe mbaroni na kubambikwa kesi ya mauaji, ni la wizi wa simu kwenye kituo cha mabasi ambako alipigwa hadi kuvuliwa shati
Soma - https://jamii.app/AliyeachiwaAbainikaMkora
#JFLeo
> Mussa Adam alishawahi kufungwa miaka 20 jela kwa kosa la kubaka, alishaiba mahali na kukimbia na pingu na tukio la mwisho lililomfanya atiwe mbaroni na kubambikwa kesi ya mauaji, ni la wizi wa simu kwenye kituo cha mabasi ambako alipigwa hadi kuvuliwa shati
Soma - https://jamii.app/AliyeachiwaAbainikaMkora
#JFLeo
WANAOTAKA KUNUNUA ARDHI WANASHAURIWA KUFANYA HAYA
> Mjue mtu anayekuuzia na hakikisha unapata taarifa kuhusu umiliki wake, alipataje eneo hilo, ikiwa kuna mgogoro wowote
> Muombe kivuli cha hati (kopi) ili uipeleke ardhi kujiridhisha kuhusu hayo uliyomuuliza hapo juu
> Jiridhishe juu ya uhalisi wa hati miliki (genuineness of certificate of title)
> Baada ya kuafikiana masharti ya mauziano, mnatakiwa kuandika mikataba kwa mujibu wa kifungu cha 64(1) Sheria ya Ardhi, kusainishana, na Wakili kugonga mihuri
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/TaratibuUnunuziArdhi
#JFSheria
> Mjue mtu anayekuuzia na hakikisha unapata taarifa kuhusu umiliki wake, alipataje eneo hilo, ikiwa kuna mgogoro wowote
> Muombe kivuli cha hati (kopi) ili uipeleke ardhi kujiridhisha kuhusu hayo uliyomuuliza hapo juu
> Jiridhishe juu ya uhalisi wa hati miliki (genuineness of certificate of title)
> Baada ya kuafikiana masharti ya mauziano, mnatakiwa kuandika mikataba kwa mujibu wa kifungu cha 64(1) Sheria ya Ardhi, kusainishana, na Wakili kugonga mihuri
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/TaratibuUnunuziArdhi
#JFSheria
ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA: SIMBA SC YAPANGWA KUCHEZA NA TP MAZEMBE
> Simba SC ilifuzu hatua hiyo baada ya kujinyakulia alama 9 katika michezo 6 ya kundi lake
> Simba SC ndio timu pekee kutoka ukanda wa Afrika Mashariki inayoshiriki michuano hii
> Timu nyingine zimepangwa kama ifuatavyo; Constantine Vs Esperance, Mamelodi Sundowns Vs Al Ahly na Horoya Vs Wydad Casablanca
#CAFCLDraw
> Simba SC ilifuzu hatua hiyo baada ya kujinyakulia alama 9 katika michezo 6 ya kundi lake
> Simba SC ndio timu pekee kutoka ukanda wa Afrika Mashariki inayoshiriki michuano hii
> Timu nyingine zimepangwa kama ifuatavyo; Constantine Vs Esperance, Mamelodi Sundowns Vs Al Ahly na Horoya Vs Wydad Casablanca
#CAFCLDraw
MAHAKAMA KUU YAZUIA UCHAGUZI WA MARUDIO ARUMERU MASHARIKI
> Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma imetoa zuio hilo hadi kesi ya msingi ya kuomba uamuzi wa Spika wa Bunge wa kumfutia Ubunge, Joshua Nassari itakaposikilizwa na kuamuliwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/MahakamaKuuVsNassari
#JFLeo
> Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma imetoa zuio hilo hadi kesi ya msingi ya kuomba uamuzi wa Spika wa Bunge wa kumfutia Ubunge, Joshua Nassari itakaposikilizwa na kuamuliwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/MahakamaKuuVsNassari
#JFLeo
MWANZA: POLISI YAWAKAMATA WAHALIFU 45 WA MAKOSA MBALIMBALI
> Kamanda wa Polisi mkoa huo, amesema wamewakamata wahamiaji haramu 19, waganga wa kienyeji wanaodaiwa kupiga ‘ramli chonganishi’ 15 na watuhumiwa wa #DawaZaKulevya 11
Zaidi, soma > https://jamii.app/WahalifuMWZ
#JFLeo
> Kamanda wa Polisi mkoa huo, amesema wamewakamata wahamiaji haramu 19, waganga wa kienyeji wanaodaiwa kupiga ‘ramli chonganishi’ 15 na watuhumiwa wa #DawaZaKulevya 11
Zaidi, soma > https://jamii.app/WahalifuMWZ
#JFLeo
MACHAKOS, KENYA: KITUO CHA WATOTO WENYE UHITAJI CHAFUNGWA KWA TUHUMA ZA UNAJISI
> Mahakama imetoa amri hiyo baada ya tuhuma za Wavulana 9 kati ya 39 wanaolelewa katika kituo kilicho chini ya Kanisa Katoliki kunajisiwa na mpishi
Zaidi, soma => https://jamii.app/MachakosKituoChafungwaUnajisi
#JFLeo
> Mahakama imetoa amri hiyo baada ya tuhuma za Wavulana 9 kati ya 39 wanaolelewa katika kituo kilicho chini ya Kanisa Katoliki kunajisiwa na mpishi
Zaidi, soma => https://jamii.app/MachakosKituoChafungwaUnajisi
#JFLeo
BASI LA SHULE LATEKWA NA KUCHOMWA MOTO LIKIWA NA WANAFUNZI
> Wanafunzi 51 nchini Italia waliokuwa kwenye gari la shule wamenusurika kifo baada ya gari lao kutekwa na kisha kuteketezwa kwa moto wakiwa ndani ya basi hilo
> Dereva wa gari hilo anadaiwa kuwaelekezea kisu abiria wake na kutoa maneno ya vitisho yanayoilenga Serikali
Soma - https://jamii.app/51StudentsAbducted
#JFInternational
> Wanafunzi 51 nchini Italia waliokuwa kwenye gari la shule wamenusurika kifo baada ya gari lao kutekwa na kisha kuteketezwa kwa moto wakiwa ndani ya basi hilo
> Dereva wa gari hilo anadaiwa kuwaelekezea kisu abiria wake na kutoa maneno ya vitisho yanayoilenga Serikali
Soma - https://jamii.app/51StudentsAbducted
#JFInternational
ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUJIDUNGA SINDANO YA MATUNDA
> Mwanamke mmoja (51) nchini China amenusurika kifo baada ya kujidunga yeye mwenyewe sindano iliyosheheni mchanganyiko wa matunda 20 yaliyotengenezwa kwa ajili ya kuimarisha afya
> Alijisababishia madhara kwenye ini, figo, moyo na kuharibu mapafu
Soma - https://jamii.app/KifoSindanoMatunda
#JFInternational
> Mwanamke mmoja (51) nchini China amenusurika kifo baada ya kujidunga yeye mwenyewe sindano iliyosheheni mchanganyiko wa matunda 20 yaliyotengenezwa kwa ajili ya kuimarisha afya
> Alijisababishia madhara kwenye ini, figo, moyo na kuharibu mapafu
Soma - https://jamii.app/KifoSindanoMatunda
#JFInternational
MWANAFUNZI AJINYONGA BAADA YA KAKA KUSHINDWA KUMUHUDUMIA
> Ephria Valeli (15) wa darasa la 7, Shule ya Msingi Ifukutwa Kata ya Mpanda Ndogo Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi amejinyonga kwa kutumia tisheti kwa kile kinachodaiwa kuchoshwa na manyanyaso ya walezi wake walioshindwa kumuhudumia mahitaji yake ya msingi
Soma - https://jamii.app/MwanafunziAjinyongaHuduma
#JFLeo
> Ephria Valeli (15) wa darasa la 7, Shule ya Msingi Ifukutwa Kata ya Mpanda Ndogo Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi amejinyonga kwa kutumia tisheti kwa kile kinachodaiwa kuchoshwa na manyanyaso ya walezi wake walioshindwa kumuhudumia mahitaji yake ya msingi
Soma - https://jamii.app/MwanafunziAjinyongaHuduma
#JFLeo
CHRISTCHURCH, NEW ZEALAND: SILAHA ZA KIVITA ZAPIGWA MARUFUKU KUUZWA KWA RAIA
> Hii ni baada ya kutokea kwa mashambulio katika misikiti miwili na kuua watu 50
> Mtu aliyehusika katika mashambulizi hayo alinunua silaha yake kwa njia halali
Soma => https://jamii.app/NewZealandShooting
#JFLeo
> Hii ni baada ya kutokea kwa mashambulio katika misikiti miwili na kuua watu 50
> Mtu aliyehusika katika mashambulizi hayo alinunua silaha yake kwa njia halali
Soma => https://jamii.app/NewZealandShooting
#JFLeo
TAHARUKI: TETEMEKO LA ARDHI LAITIKISA MBEYA
> Taarifa kutoka Jiji la Mbeya zinaeleza kuwa tetemeko la ardhi limepita na kuzua taharuki kwa watu. Yaelezwa kuwa limechukua sekunde 5-10
> Lina ukubwa wa kipimo cha 5.1. Athari zake bado hazijafahamika
Zaidi, soma > https://jamii.app/TetemekoMbeya
#JFLeo
> Taarifa kutoka Jiji la Mbeya zinaeleza kuwa tetemeko la ardhi limepita na kuzua taharuki kwa watu. Yaelezwa kuwa limechukua sekunde 5-10
> Lina ukubwa wa kipimo cha 5.1. Athari zake bado hazijafahamika
Zaidi, soma > https://jamii.app/TetemekoMbeya
#JFLeo
DAR: RAIS MAGUFULI AKUTANA NA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA QATAR
> Rais Magufuli ameiomba Qatar ishirikiane na Tanzania katika kutekeleza miradi ya maendeleo kwenye sekta ya nishati umeme, ujenzi wa reli, barabara na madaraja
Zaidi, soma > https://jamii.app/TanzaniaVsQatar
#JFLeo
> Rais Magufuli ameiomba Qatar ishirikiane na Tanzania katika kutekeleza miradi ya maendeleo kwenye sekta ya nishati umeme, ujenzi wa reli, barabara na madaraja
Zaidi, soma > https://jamii.app/TanzaniaVsQatar
#JFLeo
ASKARI AHUKUMIWA MIAKA MIWILI JELA KWA MAKOSA YA RUSHWA
> Tufike Tumaini aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka 13 ya rushwa, amehukumiwa adhabu ya miaka 2 jela, baada ya kutiwa hatiani na Mahakama ya Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa ya Tsh. 600,000
Soma - https://jamii.app/AskariJelaRushwa
#JFLeo
> Tufike Tumaini aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka 13 ya rushwa, amehukumiwa adhabu ya miaka 2 jela, baada ya kutiwa hatiani na Mahakama ya Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa ya Tsh. 600,000
Soma - https://jamii.app/AskariJelaRushwa
#JFLeo
HISTORIA YA KABILA LA WABENA
> Wabena ni kabila la kibantu linalopatikana katika eneo la Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania Wilaya ya Njombe Mkoa wa Iringa
> Maeneo makuu ya Wabena yamegawanyika katika sehemu tano ndani ya Wilaya ya Njombe ambayo ni Ivanging’ombe, Usovi, Ikilavugi, Nyikolwe na Mfirika
> Kibena ni lugha pana yenye utajiri wa maneno na lahaja kuu tano ila lugha yao ni moja tu ila tofauti ni ndogondogo, zinazotokana na matamshi
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/HistoriaKabilaWabena
#JFHistoria
> Wabena ni kabila la kibantu linalopatikana katika eneo la Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania Wilaya ya Njombe Mkoa wa Iringa
> Maeneo makuu ya Wabena yamegawanyika katika sehemu tano ndani ya Wilaya ya Njombe ambayo ni Ivanging’ombe, Usovi, Ikilavugi, Nyikolwe na Mfirika
> Kibena ni lugha pana yenye utajiri wa maneno na lahaja kuu tano ila lugha yao ni moja tu ila tofauti ni ndogondogo, zinazotokana na matamshi
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/HistoriaKabilaWabena
#JFHistoria
ATHARI ZA TETEMEKO NYANDA ZA JUU KUSINI: MTU MMOJA AFARIKI, NYUMBA NNE ZABOMOKA
> Mkazi Mmoja wa Kijiji cha Iyula(Songwe) amefariki baada ya kuangukiwa na ukuta
> Rukwa: Nyumba 4 na nyingine nyingi zapata nyufa
Soma > https://jamii.app/TetemekoMbeya
#MbeyaEarthQuake #RukwaEarthquake
> Mkazi Mmoja wa Kijiji cha Iyula(Songwe) amefariki baada ya kuangukiwa na ukuta
> Rukwa: Nyumba 4 na nyingine nyingi zapata nyufa
Soma > https://jamii.app/TetemekoMbeya
#MbeyaEarthQuake #RukwaEarthquake