MASUL, IRAQ: WATU 40 WAMEFARIKI BAADA YA KIVUKO KUZAMA
> Takribani watu 40 wamefariki baada ya kivuko kuzama katika Mto Tigris karibu na eneo la kitalii
> Waliofariki wengi ni Wanawake na Watoto
Zaidi, soma => https://jamii.app/FerrySunkIraq
#JFInternational
> Takribani watu 40 wamefariki baada ya kivuko kuzama katika Mto Tigris karibu na eneo la kitalii
> Waliofariki wengi ni Wanawake na Watoto
Zaidi, soma => https://jamii.app/FerrySunkIraq
#JFInternational
TANZANIA KUWASILISHA RIPOTI YA UTEKELEZAJI WA MALENGO YA SDG
> Tanzania itawasilisha kwa mara ya kwanza ripoti ya tathmini kuhusu utekelezaji wa malengo endelevu ya maendeleo (SDG) kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa mwaka huu ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa makubaliano ya Umoja wa Mataifa
Soma - https://jamii.app/SDGRipotiTz
#JFLeo
> Tanzania itawasilisha kwa mara ya kwanza ripoti ya tathmini kuhusu utekelezaji wa malengo endelevu ya maendeleo (SDG) kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa mwaka huu ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa makubaliano ya Umoja wa Mataifa
Soma - https://jamii.app/SDGRipotiTz
#JFLeo
TANZANIA YASHAURIWA KUTATHMINI ONGEZEKO LA WATU
> Benki ya Dunia (WB) imeishauri Tanzania kutathmini mwenendo wa ongezeko la watu, kuwekeza katika elimu kwa kuzingatia mapinduzi ya teknolojia, kuendeleza kilimo na kushirikisha sekta binafsi katika mambo mbalimbali
> Tathimini ya ongezeko la watu na kukua kwa Pato la Taifa vilikuwa ni vitu muhimu ili kufikia uchumi wa kati
Soma - https://jamii.app/WBUchumiTanzania
#JFLeo
> Benki ya Dunia (WB) imeishauri Tanzania kutathmini mwenendo wa ongezeko la watu, kuwekeza katika elimu kwa kuzingatia mapinduzi ya teknolojia, kuendeleza kilimo na kushirikisha sekta binafsi katika mambo mbalimbali
> Tathimini ya ongezeko la watu na kukua kwa Pato la Taifa vilikuwa ni vitu muhimu ili kufikia uchumi wa kati
Soma - https://jamii.app/WBUchumiTanzania
#JFLeo
HISTORIA KUHUSU VITA KUU YA KWANZA YA DUNIA
> Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia ilikuwa vita iliyopiganwa kuanzia mwaka 1914 hadi 1918 na Mataifa wapiganaji yalikuwa Ujerumani, Austria-Hungaria, Bulgaria na Uturuki kwa upande mmoja dhidi ya Ufaransa, Urusi, Uingereza, Italia, Marekani na nchi mbalimbali zilizoshirikiana nazo
> Sababu yake ilikuwa mashindano makali kati ya mataifa ya Ulaya kuhusu kushika nafasi ya kipaumbele barani Ulaya na duniani kote
Tembelea - https://jamii.app/HistoriaVita1Dunia
#JFHistoria
> Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia ilikuwa vita iliyopiganwa kuanzia mwaka 1914 hadi 1918 na Mataifa wapiganaji yalikuwa Ujerumani, Austria-Hungaria, Bulgaria na Uturuki kwa upande mmoja dhidi ya Ufaransa, Urusi, Uingereza, Italia, Marekani na nchi mbalimbali zilizoshirikiana nazo
> Sababu yake ilikuwa mashindano makali kati ya mataifa ya Ulaya kuhusu kushika nafasi ya kipaumbele barani Ulaya na duniani kote
Tembelea - https://jamii.app/HistoriaVita1Dunia
#JFHistoria
RC AKANUSHA KUKATAZA UVAAJI WA SARE ZA CCM, MWANDISHI AKAMATWA
> Mkuu wa Mkoa wa Songwe amekanusha kuwazuia wanachama wa CCM kuvaa sare za chama chao wakati wa sherehe za Mwenge
> Mwandishi wa Gazeti la Majira, Mashaka Mhando akamatwa kwa tuhuma za kuandika habari hizo ikidaiwa kuwa ni upotoshaji
Soma - https://jamii.app/MwandishiAkamatwaSare
#JFLeo
> Mkuu wa Mkoa wa Songwe amekanusha kuwazuia wanachama wa CCM kuvaa sare za chama chao wakati wa sherehe za Mwenge
> Mwandishi wa Gazeti la Majira, Mashaka Mhando akamatwa kwa tuhuma za kuandika habari hizo ikidaiwa kuwa ni upotoshaji
Soma - https://jamii.app/MwandishiAkamatwaSare
#JFLeo
CHINA: WATU 44 WAFARIKI NA 640 KUJERUHIWA BAADA YA KIWANDA CHA DAWA KULIPUKA
> Kiwanda kimoja cha dawa za kuulia wadudu kilichopo katika Jimbo la Jiangsu kimelipuka na kusababisha maafa hayo
> Majeruhi wamekimbizwa katika Hospitali 16 tofauti na kuhudumiwa na wahudumu 3,500
Soma > https://jamii.app/ChinaMlipuko
#JFLeo
> Kiwanda kimoja cha dawa za kuulia wadudu kilichopo katika Jimbo la Jiangsu kimelipuka na kusababisha maafa hayo
> Majeruhi wamekimbizwa katika Hospitali 16 tofauti na kuhudumiwa na wahudumu 3,500
Soma > https://jamii.app/ChinaMlipuko
#JFLeo
WAHAMIAJI HARAMU MIONGONI MWA WENYE MIKOPO YA ELIMU
> Idara ya Uhamiaji Mkoani Kagera itawafikisha Mahakamani watu 5 akiwemo M/Kiti wa Kijiji cha Rwagati, kwa tuhuma za kuwawezesha raia 2 wa Rwanda kupata mikopo ya elimu kinyume cha sheria
Soma - https://jamii.app/WahamiajiHaramuHESLB
#JFLeo
> Idara ya Uhamiaji Mkoani Kagera itawafikisha Mahakamani watu 5 akiwemo M/Kiti wa Kijiji cha Rwagati, kwa tuhuma za kuwawezesha raia 2 wa Rwanda kupata mikopo ya elimu kinyume cha sheria
Soma - https://jamii.app/WahamiajiHaramuHESLB
#JFLeo
SIKU YA MAJI DUNIANI: WATANZANIA 80% WAISHIO MIJINI NA 64% VIJIJINI WANAPATA MAJI SAFI
> Lengo la siku hii ni kuangalia umuhimu wa maji safi na njia madhubuti za kuhakikisha vyanzo vya maji safi vinatunzwa na kuendelezwa
Soma > https://jamii.app/SikuYaMajiDuniani
#WorldWaterDay
> Lengo la siku hii ni kuangalia umuhimu wa maji safi na njia madhubuti za kuhakikisha vyanzo vya maji safi vinatunzwa na kuendelezwa
Soma > https://jamii.app/SikuYaMajiDuniani
#WorldWaterDay
RAIS MSTAAFU WA BRAZIL MBARONI KWA TUHUMA ZA UFISADI
> Rais Mstaafu wa Brazil, Michel Temer ametiwa mbaroni jijini Sao Paulo kwa tuhuma za rushwa na ufisadi kupitia operesheni 'Car Wash' baada ya kinga aliyokuwa nayo ya kutoweza kushtakiwa kuisha
> Alikuwa Rais toka mwaka 2016 mpaka 2018
Soma - https://jamii.app/ExPresidentArrested
#JFInternational
> Rais Mstaafu wa Brazil, Michel Temer ametiwa mbaroni jijini Sao Paulo kwa tuhuma za rushwa na ufisadi kupitia operesheni 'Car Wash' baada ya kinga aliyokuwa nayo ya kutoweza kushtakiwa kuisha
> Alikuwa Rais toka mwaka 2016 mpaka 2018
Soma - https://jamii.app/ExPresidentArrested
#JFInternational
KURASA ZA MITANDAO YA KIJAMII ZA KENYATTA ZASITISHWA
> Akaunti za mitandao ya kijamii za Rais Uhuru Kenyatta leo asubuhi zimezimwa baada ya kudaiwa kudukuliwa saa chache baada ya kutolewa ujumbe wa kuwaonya mafisadi
> Akaunti zilizofungwa ni ya Twitter pamoja na Facebook
Soma - https://jamii.app/KenyattaSociaMediaSuspended
#JFInternational
> Akaunti za mitandao ya kijamii za Rais Uhuru Kenyatta leo asubuhi zimezimwa baada ya kudaiwa kudukuliwa saa chache baada ya kutolewa ujumbe wa kuwaonya mafisadi
> Akaunti zilizofungwa ni ya Twitter pamoja na Facebook
Soma - https://jamii.app/KenyattaSociaMediaSuspended
#JFInternational
WANAFUNZI MBARONI KWA KUHARIBU PICHA YA RAIS NKURUNZIZA
> Wanafunzi watatu wa kike nchini Burundi wanaweza kukabiliwa na kifungo cha miaka mitano jela kwa kuharibu picha ya Rais Pierre Nkurunziza kwa kuchora kwenye madaftari yao
> Walikamatwa wiki iliyopita na wanasubiri kufikishwa Mahakamani Jumatatu ijayo
Soma - https://jamii.app/StudentsArrestedDoodling
#JFInternational
> Wanafunzi watatu wa kike nchini Burundi wanaweza kukabiliwa na kifungo cha miaka mitano jela kwa kuharibu picha ya Rais Pierre Nkurunziza kwa kuchora kwenye madaftari yao
> Walikamatwa wiki iliyopita na wanasubiri kufikishwa Mahakamani Jumatatu ijayo
Soma - https://jamii.app/StudentsArrestedDoodling
#JFInternational
WAFUNGWA WAKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA, ASKARI KUSIMAMISHWA KAZI
> Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amemuagiza Kamishna Jenerali wa Magereza kuwasimamisha kazi askari 4 wa Gereza kuu la Luanda jijini Mbeya baada ya kuwakuta wafungwa wakiwa na #DawaZaKulevya na simu za mkononi
Soma - https://jamii.app/GerezaniDawaKulevya
#JFLeo
> Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amemuagiza Kamishna Jenerali wa Magereza kuwasimamisha kazi askari 4 wa Gereza kuu la Luanda jijini Mbeya baada ya kuwakuta wafungwa wakiwa na #DawaZaKulevya na simu za mkononi
Soma - https://jamii.app/GerezaniDawaKulevya
#JFLeo
KENYA: MAHAKAMA YATOA RUHUSA YA KUSAJILIWA KWA CHAMA CHA MASHOGA
> Majaji wa Mahakama ya Rufani wakiongozwa na Jaji Philip Waki, wamesema si sawa kuwazuia watu kuishi watakavyo
> Taasisi za kuwatetea ruska kusajiliwa nchini humo
Zaidi, soma => https://jamii.app/UshogaRuksaKenya
#JFLeo
> Majaji wa Mahakama ya Rufani wakiongozwa na Jaji Philip Waki, wamesema si sawa kuwazuia watu kuishi watakavyo
> Taasisi za kuwatetea ruska kusajiliwa nchini humo
Zaidi, soma => https://jamii.app/UshogaRuksaKenya
#JFLeo
MICHEZO: CRISTIANO RONALDO APIGWA FAINI KWA UTOVU WA NIDHAMU
> Bodi ya Maadili ya Shirikisho la Soka Barani Ulaya imemtoza faini ya zaidi shilingi za kitanzania milioni 52
> Yaelezwa kuwa ushangiliaji wake si wa kiungwana
Zaidi, soma => https://jamii.app/CristianoRonaldoFaini
#JFSports
> Bodi ya Maadili ya Shirikisho la Soka Barani Ulaya imemtoza faini ya zaidi shilingi za kitanzania milioni 52
> Yaelezwa kuwa ushangiliaji wake si wa kiungwana
Zaidi, soma => https://jamii.app/CristianoRonaldoFaini
#JFSports
CUF YATANGAZA KUJITOA UKAWA
> Katibu Mkuu mpya wa Chama Cha Wananchi CUF, Khalifa Suleiman Khalifa, amesema wao kama chama cha Wananchi wameshajitoa kwenye mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi 'UKAWA' kwa madai upo hoi na hauna msaada kwao
Soma https://jamii.app/CUFYatokaUKAWA
#JFLeo
> Katibu Mkuu mpya wa Chama Cha Wananchi CUF, Khalifa Suleiman Khalifa, amesema wao kama chama cha Wananchi wameshajitoa kwenye mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi 'UKAWA' kwa madai upo hoi na hauna msaada kwao
Soma https://jamii.app/CUFYatokaUKAWA
#JFLeo
BOMET, KENYA: MBARONI KWA KUWAUA WATOTO WAKE WATATU
> Mkazi wa Kijiji cha Mabuteek anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuwaua Watoto wake na kisha kutoroka
> Alijaribu kujinyonga lakini kamba ilikatika
Soma > https://jamii.app/MauajiBometKE
#JFLeo
> Mkazi wa Kijiji cha Mabuteek anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuwaua Watoto wake na kisha kutoroka
> Alijaribu kujinyonga lakini kamba ilikatika
Soma > https://jamii.app/MauajiBometKE
#JFLeo
AHUKUMIWA MIAKA 30 KWA KUBAKA NA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI
> Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, imemhukumu Sunzu Mpangala (27) kifungo cha miaka 30 kwa kumbaka na kumpa mimba mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Maswa
> Mtuhumiwa alitenda kosa hilo Juni 12, 2018 wakati akimfundisha mwanafunzi huyo kipindi cha likizo
Soma - https://jamii.app/KifungoUbakajiMimba
#JFLeo
> Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, imemhukumu Sunzu Mpangala (27) kifungo cha miaka 30 kwa kumbaka na kumpa mimba mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Maswa
> Mtuhumiwa alitenda kosa hilo Juni 12, 2018 wakati akimfundisha mwanafunzi huyo kipindi cha likizo
Soma - https://jamii.app/KifungoUbakajiMimba
#JFLeo
HANDENI, TANGA: MADINI YA DHAHABU YAKAMATWA YAKITOROSHWA
> Madini hayo yana uzito wa gramu 180, yamekamatwa yakiwa yanasafirishwa kwenda nje ya wilaya hiyo kinyume na utaratibu
> Dhahabu hiyo ilichimbwa Mgodi wa Magambazi
Zaidi, soma => https://jamii.app/DhahabuHandeniTanga
#JFLeo
> Madini hayo yana uzito wa gramu 180, yamekamatwa yakiwa yanasafirishwa kwenda nje ya wilaya hiyo kinyume na utaratibu
> Dhahabu hiyo ilichimbwa Mgodi wa Magambazi
Zaidi, soma => https://jamii.app/DhahabuHandeniTanga
#JFLeo
KASULU, KIGOMA: MVUA YA MAWE YAHARIBU MAJENGO YA SHULE NA MASHAMBA
> Majengo ya vyumba 4 vya madarasa katika Shule za Msingi Nyaruhande na Bugaga yabomoka
> Zaidi ya ekari 100 za shamba la mbegu la Wakala wa Mbegu za Kilimo limeharibiwa
Soma > https://jamii.app/MvuaKasulu
#JFLeo
> Majengo ya vyumba 4 vya madarasa katika Shule za Msingi Nyaruhande na Bugaga yabomoka
> Zaidi ya ekari 100 za shamba la mbegu la Wakala wa Mbegu za Kilimo limeharibiwa
Soma > https://jamii.app/MvuaKasulu
#JFLeo
RAIS MAGUFULI ASAINI MUSWADA WA VYAMA VYA SIASA KUWA SHERIA, CHADEMA WATOA NENO
> Baada ya Rais Magufuli kutia saini muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa, CHADEMA watoa tamko na kusema watafungua shauri la kupinga
Zaidi, soma > https://jamii.app/CHADEMAVsMuswadaVyama
#JFLeo
> Baada ya Rais Magufuli kutia saini muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa, CHADEMA watoa tamko na kusema watafungua shauri la kupinga
Zaidi, soma > https://jamii.app/CHADEMAVsMuswadaVyama
#JFLeo