MADHARA YA KUINGIZA VIDOLE UKENI WAKATI WA KUJISAFISHA
- Kitendo cha kuweka vidole sehemu za siri wakati wa kujisafisha, husababisha michubuko hasahasa kwenye mlango wa shingo ya kizazi hivyo kupelekea kuta hizo kushambuliwa na wadudu kirahisi
- Pia husababisha wadudu kupenya kirahisi mpaka kwenye kizazi na kusababisha madhara makubwa ikiwemo kutopona vidonda kwa wale wanawake waliojifungua kwa operesheni
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/VidoleUkeniKujisafisha
#JFAfya
- Kitendo cha kuweka vidole sehemu za siri wakati wa kujisafisha, husababisha michubuko hasahasa kwenye mlango wa shingo ya kizazi hivyo kupelekea kuta hizo kushambuliwa na wadudu kirahisi
- Pia husababisha wadudu kupenya kirahisi mpaka kwenye kizazi na kusababisha madhara makubwa ikiwemo kutopona vidonda kwa wale wanawake waliojifungua kwa operesheni
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/VidoleUkeniKujisafisha
#JFAfya
KAGERA: WATU 3 WANAODAIWA KUWA MAJAMBAZI WAUAWA
> Polisi walikuwa wakipelekwa zilikofichwa silaha, ghafla walianza kushambuliwa kwa risasi kutoka porini
> Waliouawa ni Erick Samson(Burundi), Shabani Magote na mmoja jina lake halijafahamika
Soma > https://jamii.app/MajambaziKagera
#JFLeo
> Polisi walikuwa wakipelekwa zilikofichwa silaha, ghafla walianza kushambuliwa kwa risasi kutoka porini
> Waliouawa ni Erick Samson(Burundi), Shabani Magote na mmoja jina lake halijafahamika
Soma > https://jamii.app/MajambaziKagera
#JFLeo
MAELEZO KUHUSU LISHE KWA MBWA NA UANDAAJI WA CHAKULA CHAKE
> Vyakula vingi vya Mbwa hupatikana madukani kutoka viwandani maana vimefanyiwa utafiti ila hata wewe mmiliki wa Mbwa unaweza kujitengenezea chakula mwenyewe
> La muhimu kuzingatia ni kuwa Mbwa anaweza kukaa muda mrefu bila kula chakula ( Hunger tolerance) lakini hawezi kukaa muda mrefu bila kunywa maji. Akipoteza 1/10 ya maji yake mwilini hupoteza maisha
> Chakula cha Mbwa kinatakiwa kuwa na ladha na harufu ya kuvutia, kiwango kikubwa cha nguvu (wanga) na Protini ya kutosha kuwezesha ukuaji
Fahamu zaidi - https://jamii.app/ChakulaLisheMbwa
#JFKilimo
> Vyakula vingi vya Mbwa hupatikana madukani kutoka viwandani maana vimefanyiwa utafiti ila hata wewe mmiliki wa Mbwa unaweza kujitengenezea chakula mwenyewe
> La muhimu kuzingatia ni kuwa Mbwa anaweza kukaa muda mrefu bila kula chakula ( Hunger tolerance) lakini hawezi kukaa muda mrefu bila kunywa maji. Akipoteza 1/10 ya maji yake mwilini hupoteza maisha
> Chakula cha Mbwa kinatakiwa kuwa na ladha na harufu ya kuvutia, kiwango kikubwa cha nguvu (wanga) na Protini ya kutosha kuwezesha ukuaji
Fahamu zaidi - https://jamii.app/ChakulaLisheMbwa
#JFKilimo
NINI MAANA YA KUVAA NGUO NYEUSI MSIBANI?
> Mjadala ndani ya JamiiForums unaeleza kwamba nguo nyeusi kwenye misiba huwa ni ishara ya kufukuza pepo wachafu/ roho za mauti na wengine wanadai kwamba nguo nyeusi inapovaliwa msibani ni kukumbushana kwamba asili yetu wote ni mavumbini kama ambavyo marehemu anatangulia kwenye kwenye asili yake, na sisi tutafuata
> Je, kwa mtazamo wako ni kwanini rangi nyeusi hutawala sana kwenye misiba?
Tembelea - https://jamii.app/RangiNyeusiMsibani
#JFHoja
> Mjadala ndani ya JamiiForums unaeleza kwamba nguo nyeusi kwenye misiba huwa ni ishara ya kufukuza pepo wachafu/ roho za mauti na wengine wanadai kwamba nguo nyeusi inapovaliwa msibani ni kukumbushana kwamba asili yetu wote ni mavumbini kama ambavyo marehemu anatangulia kwenye kwenye asili yake, na sisi tutafuata
> Je, kwa mtazamo wako ni kwanini rangi nyeusi hutawala sana kwenye misiba?
Tembelea - https://jamii.app/RangiNyeusiMsibani
#JFHoja
FILAMU YA NAMNA MITANDAO YA KIJAMII INAVYOSIMAMIWA NA KUSAFISHWA KUONESHWA KESHO
> Kupitia filamu hiyo jopo la wadau watajadili namna maudhui yanavyosafishwa katika Mitandao ya Kijamii
> Kesho jioni ktk ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Dar
Soma > https://jamii.app/TheCleanersDar
#JFLeo
> Kupitia filamu hiyo jopo la wadau watajadili namna maudhui yanavyosafishwa katika Mitandao ya Kijamii
> Kesho jioni ktk ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Dar
Soma > https://jamii.app/TheCleanersDar
#JFLeo
UFARANSA: KOFFI OLOMIDE AHUKUMIWA MIAKA 2 YA KIFUNGO CHA NJE KWA UBAKAJI
> Katika kesi hiyo Wanenguaji wanne walilalamika kunyanyaswa kingono na Koffi Olomide alipokuwa akirekodi nyimbo zake kati ya mwaka 2002-2006 nchini Ufaransa
Soma > https://jamii.app/KoffiOlomideAfungwa
#JFCelebrity
> Katika kesi hiyo Wanenguaji wanne walilalamika kunyanyaswa kingono na Koffi Olomide alipokuwa akirekodi nyimbo zake kati ya mwaka 2002-2006 nchini Ufaransa
Soma > https://jamii.app/KoffiOlomideAfungwa
#JFCelebrity
MAAFA YA KIMBUNGA MSUMBIJI: IDADI YA VIFO YAHOFIWA KUFIKIA 1,000
> Kimbunga hicho kililikumba Jiji la Beira lililopo katika pwani ya nchi hiyo.
> Kimbunga 'Idai' kinaelezwa kuwa kilikuwa na kasi ya Kilomita 177 kwa saa
Zaidi, soma => https://jamii.app/CycloneIdai1000
#JFLeo
> Kimbunga hicho kililikumba Jiji la Beira lililopo katika pwani ya nchi hiyo.
> Kimbunga 'Idai' kinaelezwa kuwa kilikuwa na kasi ya Kilomita 177 kwa saa
Zaidi, soma => https://jamii.app/CycloneIdai1000
#JFLeo
THAILAND: ASKARI POLISI WAPELEKWA KAMBI YA KUPUNGUZA UZITO
> Jumla ya Askari 200 wamehusika kwenye progamu hiyo ya majaribio ya wiki mbili
> Kupitia programu hiyo wapo Askari waliopungua uzito kutoka kilo 80 hadi 60
Zaidi, soma => https://jamii.app/ThaiPorkyPolisi
#JFInternational
> Jumla ya Askari 200 wamehusika kwenye progamu hiyo ya majaribio ya wiki mbili
> Kupitia programu hiyo wapo Askari waliopungua uzito kutoka kilo 80 hadi 60
Zaidi, soma => https://jamii.app/ThaiPorkyPolisi
#JFInternational
HISTORIA: LITI KIDANKA MWANAMKE SHUJAA ALIYEILINDA NGOME YA WANYATURU KWA NYUKI
> Ni Liti Lerti Kidanka aliyewaongoza watu wa kabila la Wanyaturu Mkoani Singida katika mapambano dhidi ya utawala wa Kijerumani
Kupata historia hii adhimu,fungua > https://jamii.app/LetiKidanka
#JFHistoria
> Ni Liti Lerti Kidanka aliyewaongoza watu wa kabila la Wanyaturu Mkoani Singida katika mapambano dhidi ya utawala wa Kijerumani
Kupata historia hii adhimu,fungua > https://jamii.app/LetiKidanka
#JFHistoria
MVUA KUBWA NA THELUJI VYASABABISHA MAAFA MAREKANI
> Mvua kubwa na theluji vimesababisha vifo vya watu wawili huku wengine wawili wakiwa hawajulikani walipo
> Mamlaka zinaendelea na shughuli zake za utafutaji na uokoaji katika maeneo yaliyoathirika na mafuriko
Soma - https://jamii.app/FloodsDeathUS
#JFInternational
> Mvua kubwa na theluji vimesababisha vifo vya watu wawili huku wengine wawili wakiwa hawajulikani walipo
> Mamlaka zinaendelea na shughuli zake za utafutaji na uokoaji katika maeneo yaliyoathirika na mafuriko
Soma - https://jamii.app/FloodsDeathUS
#JFInternational
WALIOLIPWA FEDHA ZA KOROSHO KUBANDIKWA KWENYE OFISI ZA VIJIJI
> Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga ameagiza kubandikwa kwa majina ya wakulima wote waliolipwa fedha za Korosho na kiasi walicholipwa ikiwa ni hatua ya kuondokana na taarifa potofu zinazotolewa na baadhi yao kuwa hawajalipwa na kuichafua Serikali
Soma - https://jamii.app/MajinaMalipoKorosho
#JFLeo
> Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga ameagiza kubandikwa kwa majina ya wakulima wote waliolipwa fedha za Korosho na kiasi walicholipwa ikiwa ni hatua ya kuondokana na taarifa potofu zinazotolewa na baadhi yao kuwa hawajalipwa na kuichafua Serikali
Soma - https://jamii.app/MajinaMalipoKorosho
#JFLeo
HIVI NDIVYO SHERIA INAVYOMLINDA MTOTO ANAYEFANYA KAZI ZA NYUMBANI
> Ingawa sheria inasema Mtoto mwenye miaka 14 ana haki ya kufanya kazi, inakwenda mbali kutaka aajiriwe kufanya ‘kazi nyepesi’ na kupata malipo stahiki
Zaidi, soma > https://jamii.app/WatotoAjira
#JFCivicSpace
> Ingawa sheria inasema Mtoto mwenye miaka 14 ana haki ya kufanya kazi, inakwenda mbali kutaka aajiriwe kufanya ‘kazi nyepesi’ na kupata malipo stahiki
Zaidi, soma > https://jamii.app/WatotoAjira
#JFCivicSpace
WAKIMBIZI WADAIWA KULA CHAKULA CHA MSAADA CHENYE SUMU
> Shirika la chakula duniani, WFP limesitisha shughuli ya kugawanya chakula cha misaada kwa wakimbizi nchini Uganda baada ya madai kuibuka kuwa watu 2 wamefariki na wengine zaidi ya 200 kulazwa katika Hospitali ya Karamoja Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo baada ya kutumia unga wa uji unaodaiwa kuwa na sumu
> Shirika la msalaba mwekundu limeripoti kuwa waathiriwa wanaonesha ishara za kuugua ugonjwa wa akili huku wengi wao wakilalamika kuumwa tumbo
Soma - https://jamii.app/SumuChakulaWFP
#JFLeo
> Shirika la chakula duniani, WFP limesitisha shughuli ya kugawanya chakula cha misaada kwa wakimbizi nchini Uganda baada ya madai kuibuka kuwa watu 2 wamefariki na wengine zaidi ya 200 kulazwa katika Hospitali ya Karamoja Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo baada ya kutumia unga wa uji unaodaiwa kuwa na sumu
> Shirika la msalaba mwekundu limeripoti kuwa waathiriwa wanaonesha ishara za kuugua ugonjwa wa akili huku wengi wao wakilalamika kuumwa tumbo
Soma - https://jamii.app/SumuChakulaWFP
#JFLeo
MAFURIKO INDONESIA: TAKRIBANI WATU 89 WAFARIKI
> Idadi hiyo inaweza kuongezeka kutokana na mamia ya watu kutokujulikana walipo tangu kutokea kwa janga hilo
> Idadi ya majeruhi mpaka sasa ni 150 huku waliookolewa ni 6,800
Soma > https://jamii.app/MafurikoIndonesia
#JFInternational
> Idadi hiyo inaweza kuongezeka kutokana na mamia ya watu kutokujulikana walipo tangu kutokea kwa janga hilo
> Idadi ya majeruhi mpaka sasa ni 150 huku waliookolewa ni 6,800
Soma > https://jamii.app/MafurikoIndonesia
#JFInternational
WALIOKUWA VIONGOZI WAANDAMIZI WA CUF WAPEWA KADI ACT WAZALENDO
> Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo amemkabidhi Maalim Seif kadi namba 1 na Juma Haji Duni namba 10
> Ismail Jussa, Mbalala Maharangande na Sheweji Mketo nao wakabidhiwa
Soma > https://jamii.app/MaalimKadiACT
#JFLeo
> Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo amemkabidhi Maalim Seif kadi namba 1 na Juma Haji Duni namba 10
> Ismail Jussa, Mbalala Maharangande na Sheweji Mketo nao wakabidhiwa
Soma > https://jamii.app/MaalimKadiACT
#JFLeo
KENYA YAKUMBWA NA BAA LA NJAA
> Serikali ya Kenya inasema Kaunti zaidi ya 10 nchini humo zinakabiliwa na baa la njaa kutokana na ukame unaosababishwa na kukosekana kwa mvua
> Kaunti ya Turkana ndipo kumeathiriwa zaidi ambapo vifo tayari vimeanza kuripotiwa
Soma - https://jamii.app/NjaaKaunti10KE
#JFInternational
> Serikali ya Kenya inasema Kaunti zaidi ya 10 nchini humo zinakabiliwa na baa la njaa kutokana na ukame unaosababishwa na kukosekana kwa mvua
> Kaunti ya Turkana ndipo kumeathiriwa zaidi ambapo vifo tayari vimeanza kuripotiwa
Soma - https://jamii.app/NjaaKaunti10KE
#JFInternational
TANZANIA YATOA MSAADA WA CHAKULA NA DAWA
> Msaada huo ni kwa Msumbiji, Zimbabwe na Malawi zilizokumbwa na janga la kimbunga
> Kimbunga hicho kimepelekea mafuriko makubwa yaliyosababisha idadi kubwa ya vifo na uharibifu wa miundombinu
Soma > https://jamii.app/TzYatoaMsaada
#JFLeo
> Msaada huo ni kwa Msumbiji, Zimbabwe na Malawi zilizokumbwa na janga la kimbunga
> Kimbunga hicho kimepelekea mafuriko makubwa yaliyosababisha idadi kubwa ya vifo na uharibifu wa miundombinu
Soma > https://jamii.app/TzYatoaMsaada
#JFLeo
GLOOMY SUNDAY: WIMBO UNAODAIWA KUSABABISHA ZAIDI YA WATU 100 WAJIUE
> Uliotungwa mwaka 1933 na Rezso Seress, msanii kutoka Hungary. Alitunga maneno ya wimbo huo na kupiga ala ya huzuni ikiwa ni baada ya kuachwa na mpenzi wake
Kwa kisa hiki, soma > https://jamii.app/GloomySundayVifo
> Uliotungwa mwaka 1933 na Rezso Seress, msanii kutoka Hungary. Alitunga maneno ya wimbo huo na kupiga ala ya huzuni ikiwa ni baada ya kuachwa na mpenzi wake
Kwa kisa hiki, soma > https://jamii.app/GloomySundayVifo
UFAHAMU KUHUSU 'PROCESSOR' YA SIMU
> Processor katika simu ni kifaa ambacho huchukua maelezo kutoka kwenye software na kufanya kazi za kimahesabu na kimantiki pamoja na kutoa na kuingiza vitu ili simu yako ifanye kazi kwa ufanisi
> Simu nyingi zinatumia processor aina ya 'arm' na wana aina yao ya processor inayoitwa 'A series' ambayo ndiyo inatumika sana kwenye simu na inajumuisha; cortex A5, A6, A7, A8, A9, A12 na A15
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/ProcessorSimu
#JFTeknolojia
> Processor katika simu ni kifaa ambacho huchukua maelezo kutoka kwenye software na kufanya kazi za kimahesabu na kimantiki pamoja na kutoa na kuingiza vitu ili simu yako ifanye kazi kwa ufanisi
> Simu nyingi zinatumia processor aina ya 'arm' na wana aina yao ya processor inayoitwa 'A series' ambayo ndiyo inatumika sana kwenye simu na inajumuisha; cortex A5, A6, A7, A8, A9, A12 na A15
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/ProcessorSimu
#JFTeknolojia
LIPUMBA: MAALIM SEIF HAJAHAMA CHAMA BALI ALIFUKUZWA
> Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Ibrahim Lipumba amesema kuwa kabla ya Maalim Seif kukihama chama hicho tayari alikuwa ameshafukuzwa kuwa mwanachama wa CUF kwenye mkutano mkuu uliopita, baada ya kubaini hana nia njema na chama na anataka kukidhoofisha
> Amewataka wanaotaka kumfuata Maalim Seif kuchanganya akili zao na kutokurupuka
Soma - https://jamii.app/LipumbaVsMaalimCUF
#JFLeo
> Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Ibrahim Lipumba amesema kuwa kabla ya Maalim Seif kukihama chama hicho tayari alikuwa ameshafukuzwa kuwa mwanachama wa CUF kwenye mkutano mkuu uliopita, baada ya kubaini hana nia njema na chama na anataka kukidhoofisha
> Amewataka wanaotaka kumfuata Maalim Seif kuchanganya akili zao na kutokurupuka
Soma - https://jamii.app/LipumbaVsMaalimCUF
#JFLeo